SENEGAL ‘YAPOKWA’ UBINGWA WA AFCON 2025

Senegal wamevuliwa Ubingwa wa Afrika #AFCON2025 na badala yake CAF imewapa Morocco Ubingwa huo.

Uamuzi huo umetolewa usiku huu kufuatia rufaa ya Morocco waliolalamikia vitendo visivyo vya uana michezo , vilivyofanywa na Senegal katika mchezo wa fainali.

CAF imewapa ushindi Morocco katika rufaa hiyo na ‘ushindi wa mezani’ wa mabao 3-0, hivyo Senegal kutakiwa kurejesha kombe na medali, ili wakabidhiwe mabingwa wapya, ambao sasa ni Morocco.

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *