Umewahi kusikia kuhusu ugonjwa wa ‘Bipolar’? Ni ugonjwa unaosababisha mtu kuwa katika hali ya huzuni au furaha inayopitiliza.

Daktari Bingwa wa Afya na Magonjwa ya Akili- Muhimbili, Said Kuganda anasema jamii haipaswi kuwanyanyapaa wagonjwa wa ‘Bipolar’ kwani hali hiyo si ya kudumu.

✍Ibrahimu Kilumbo
@goodluckpaul_mc

Mhariri | @moseskwindi

#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *