Baada ya kuchezwa mechi za mwanzo za Kombe la Dunia 2026, ushindani wa kuwania Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) umeanza kupamba moto.
Hadi sasa, hawa ndio wanaoongoza kwa mabao:
Lionel Messi (Argentina) Mabao 3
Kylian Mbappé (Ufaransa) Mabao 2
Erling Haaland (Norway) Mabao 2
Folarin Balogun (Marekani) Mabao 2
Kai Havertz (Ujerumani) Mabao 2
Yasin Ayari (Uswis) Mabao 2
Elijah Just (New Zealand) Mabao 2
Mashindano bado yapo katika hatua za mwanzo, hivyo orodha hii inatarajiwa kubadilika kadri mechi zinavyoendelea .

(Feed generated with FetchRSS)