[ad_1]
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Nyuklia la Iran, Mohammad Eslami, ametangaza kuwa Iran na Russia zitasaini mikataba ya ujenzi wa mitambo mipya ya nyuklia nchini Iran wakati wa ziara yake rasmi nchini Russia.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Iran na Russia kusaini mikataba ya kujenga mitambo mipya ya nyuklia