Wakati Jumamosi wiki hii chama cha ACT-Wazalendo kikitarajia kutoa msimamo wake kuhusu ushiriki wake katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), wadau mbalimbali wametoa maoni mseto kuhusu umuhimu wa serikali hiyo kwa maendeleo ya wananchi.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
(Feed generated with FetchRSS)