Timu ya taifa ya Tannzania chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imetinga fainali AFCON U17 baada ya kuiondosha Misri kwa mikwaju ya penati 4-3.
Sasa, Tanzania itacheza na Senegal katika mchezo wa fainali, Senegal imetinga fainali kwa kuiondosha Morocco kwa mikwaju ya Penati 7-6
(Feed generated with FetchRSS)
