[ad_1]
Mrengo uliojitenga na muungano mkuu wa upinzani nchini Somalia wa Salvation Forum umetia saini makubaliano ya uchaguzi na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia, na hivyo kutoa pigo kubwa kwa harakati kuu ya upinzani nchini humo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Mrengo wa upinzani Somalia wafikia makubaliano na serikali kuhusu uchaguzi