DRC kupiga marufuku wauzaji wa kobalti wanaokiuka utaratibu wake mpya
DRC ambayo inachangia takriban 70% ya pato la kobalti duniani, ilisimamisha mauzo ya nje mwezi Februari baada ya bei ya madini hayo muhimu ya betri ya umeme kushuka kwa kiasi kikubwa kwa miaka tisa.