#KIPIMAJOTO: “Dawa za kulevya zipo za aina nyingi kwa mfano hapa nchini kuna dawa za kulevya za mashambani kwa maana ya bangi na mirungi, dawa za kulevya zingine hazipatikani hapa nchini zinafika kwa kusafirishwa……..” Angelina Chacha – Kamishna Msaidizi Uzingatiaji na Madai DCEA.
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
–
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania