Haya Maega ana kazi ya kujitetea alivyofumwa na Sandra. Sheiza ajifanya ameumia ili awe karibu na Radhia.

Mfaume bado anaendelea kuwa mwiba kwa wote anaowataka wamsogeze kwenye hazina.

Usikose #PichaYanguSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *