NMB MAPINDUZI CUP:

Wananchi Yanga SC leo wanayaanza mashindano haya kwa kukipiga na KVZ.

Mchezo huu utachezwa saa 11:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports3HD.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mixhuano hii.

#NMBMapinduziCup #Azamtvsports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *