Kupitia TheSpark ya Clouds tv @iamkevincash ametaja director wa video kutoka Tanzania @hanscana_ kuwa ni miongoni mwa watu waliomshika mkono mwaka 2024/25 na kumtambulisha rasmi kwenye ulimwengu wa muziki.

Ameeleza kuwa #Hanscana alimtambulisha kwenye muziki kwa kwa kumpa platform yeke ili aonyeshe kipaji chake.

Cc @missloloh_ @djfantastic255 @masterjimmytz

#TheSparkShow
#clouds26nyoosha

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *