Waangalizi wa uchaguzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wapelekwa Tanzania
Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamepelekwa nchini Tanzania kwa ajili ya kusimamia zoezi la uchaguzi mkuu wan chi hiyo ulioapnagwa kufanyika Jumatano ijayo Oktoba 29.