Aliyeitungua Simba, aibukia Singida Black Stars
KLABU ya Singida Black Stars, imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Fufuni ya Pemba, Mboni Stephen Kibamba ambaye aliitungua Simba katika mechi ya makundi katika Kombe la Mapinduzi 2026.
Straika Singida Black Stars atimkia Ureno
MSHAMBULIAJI nyota wa Singida Black Stars, Mzambia Andrew Phiri, ameenda Ureno katika majaribio katika timu ya Clube Desportivo Nacional, baada ya uongozi wa kikosi hicho kumridhia kwa lengo la kwenda…
Express yarejea kwa Galiwango
MABOSI wa timu ya Express ya Uganda wamefungua mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa beki wa kushoto wa timu hiyo, Dissan Galiwango, baada ya nyota huyo kubakisha mkataba wa miezi sita na…
Kiungo kiraka ajipa kazi Geita Gold
KIUNGO mpya kiraka wa Geita Gold, Raymond Masota amesema ujio wake ndani ya timu hiyo unaiongezea nguvu katika mapambano ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu Bara, huku akiahidi kuisaidia ili…
Johola aanika mambo manne yanayombeba Bara
KIPA wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Mashujaa akiwa ndiye kinara wa ‘cleansheet’ katika Ligi Kuu Bara, Erick Johola amesema ubora alionao unatokana na mambo manne ikiwamo kujiamini, kupambana,…
Trident yagoma kumuachia Sichone
MSHAMBULIAJI kinda wa Kitanzania, Mourice Sichone yupo kwenye mvutano baada ya klabu anayoitumikia Trident FC ya Zambia kukataa kumuachia, huku mchezaji huyo akionyesha nia ya kurejea nyumbani Tanzania.
Chomelo ataja sababu ya kutoonekana uwanjani
KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema sababu ya kutoonekana uwanjani ni kutokana na kuchelewa kupata kibali cha kazi.
Kassim Mbarouk aanza vyema Uturuki
WINGA wa Kitanzania anayekipiga Dispas SC ya Ligi ya Walemavu Uturuki, Kassim Mbarouk ameanza vyema ligi hiyo baada ya kufunga bao moja na kuasisti moja kwenye mechi tatu alizocheza.
Brighton & Hove Albion kuachana na Aisha Masaka
KLABU ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka, msimu ujao baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu…
Tanzania yamaliza nafasi ya 11, Australia ikitwaa dhahabu ‘mixed relay’
Tanzania imemaliza katika nafasi ya 11 kwenye mashindano ya dunia ya mbio za nyika zinazoendelea Tallahassee, Florida nchini Marekani kwa upande wa relay mchanganyiko, huku Australia ikitwaa medali ya dhahabu…
Pamba yazindua jezi baada ya miezi mitano
HATIMAYE Klabu ya Pamba jiji ya Mwanza imezindua rasmi jezi za msimu wa 2025/2026 na uuzaji wake utaanza leo katika mkoa wa Mwanza, baada ya subira ya mashabiki ya takribani…
Suala la posho Stars lilivyomshtua Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa alishtushwa na taarifa za mgomo wa wachezaji wa Taifa Stars kabla ya Fainali za AFCON 2025 kutokana na…
Samia akutana na Taifa Stars Dar
RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco.
Rais Samia akutana na Taifa Stars Dar
RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco.
Simba, Pamba wana jambo lao Mwanza
‎KESHOKUTWA kitawaka katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza ambapo mashabiki wa Simba na Pamba Jiji watapomenyana katika mchezo wa kirafiki ikiwa ni sehemu ya kunogesha sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar.
Mtunisia Azam anukia Irak
KLABU ya Azam huenda ikaachana na winga Mtunisia Baraket Hmidi, baada ya mchezaji huyo kushindwa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkongomani Florent Ibenge tangu asajiliwe.
Tanzania Prisons yampigia hesabu Lyanga
MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameanza mazungumzo na Singida Black Stars kwa ajili ya kupata saini ya Ayoub Lyanga kwa mkopo katika dirisha hili dogo la usajili ikiwa ni pendekezo la…
TRA yapiga hodi ikimtaka Mzamiru Simba
BAADA ya kuinasa saini ya Denis Nkane kutoka Yanga, TRA United imehamia Simba ikiwinda saini ya mkongwe Mzamiru Yassin ili kuongeza nguvu eneo la kiungo.
Lameck Kanyong ala kiapo Mashujaa
LICHA ya kukabiliana na ushindani mkali wa namba katika kikosi cha Mashujaa FC, kipa Lameck Kanyonga bado ana imani atapata nafasi ya kucheza na hawezi kuikimbia changamoto hiyo.
Rhino Rangers wanaitaka Championship
KUSHINDA mechi zote tatu za First League siyo bahati mbaya kwa maafande wa Rhino Rangers ya Tabora, kwani wamedhamiria kufanya vizuri na kupanda daraja kwenda Ligi ya Championship msimu huu.
Ukuta wa Singida unavuja, kocha atia neno
SINGIDA Black Stars imeondoshwa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026, huku safu yao ya ulinzi ikionekana kutokuwa imara katika kujilinda.
Wachezaji watatu Azam watengwa
WAKATI bingwa wa kihistoria wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC ikijiandaa kuikabili Yanga katika fainali ya michuano hiyo, kuna nyota watatu wametengwa kwa kupewa programu maalumu.
Yanga yaichapa Singida BS, yaifuata Azam fainali Mapinduzi
YANGA imefuzu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 baada ya kuifunga Singida Black Stars bao 1-0 katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa leo Januari 9, 2026 kwenye Uwanja wa New…
Naby Camara amebeba zote
MCHEZAJI mwenye uwezo wa kucheza safu nzima ya ulinzi na kiungo, Naby Camara amefanya kitu cha kipekee kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayokwenda kukamilika Januari 13, 2026 kwa…
Wawili Yanga watupwa nje, Mudathir arejea kikosini
JANA usiku Yanga ilikuwa uwanjani kucheza mechi ya nusu fainali katika Kombe la Mapinduzi 2026 dhidi ya Singida Black Stars, huku taarifa njema zikiwa ni kurejea kwa kiungo Mudathir Yahya.
Duchu, Jusa na rekodi Mapinduzi
WAKATI tukisubiri kushuhudia fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 ipigwe Januari 13, 2026 pale Gombani kisiwani Pemba baada ya jana usiku kuchezwa nusu fainali ya pili kati ya Yanga na…
Watano kuipa mzuka Bunda Queens
KOCHA Mkuu wa Bunda Queens, Alley Ibrahim amesema ili kukiongezea nguvu kikosi chao kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, watawapandisha wachezaji wao watano kutoka kwenye kituo chao cha kukuza vipaji vya…
Geita Gold ugenini safi, nyumbani mmh!
GEITA Gold ni timu tishio msimu huu kwenye Ligi ya Championship ikiwa kileleni katika mbio za kupanda daraja, lakini licha ya makali yake hayo, uwanja wa nyumbani Nyankumbu umekuwa ukiwapa…
Kiungo Simba atua Mbeya City
KIUNGO wa Simba aliyekuwa anacheza kwa mkopo Mashujaa, Omary Omary amekamilisha usajili wa mkopo wa miezi sita kuitumikia Mbeya City.
Nyota Azam FC huyoo Namungo
UONGOZI wa Namungo uko katika hatua za mwisho za kuipata saini ya beki wa kati wa Azam FC, Ali Hassan Chamulungu kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu, baada ya…
Simba v JKT Queens hakuna mbabe WPL
HATIMAYE mechi ya malkia wawili, JKT Queens na Simba Queens imemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam. Mechi hiyo ya raundi ya saba…
Ngoja tuone!
WATU wanajiuliza itakuwaje mechi ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars leo Ijumaa katika nusu fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi 2026 itakayochezwa saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa…
Yanga vs Singida BS utamu upo hapa
WATU wanajiuliza itakuwaje mechi ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars leo Ijumaa katika nusu fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi 2026 itakayochezwa saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa…
Dili zikitiki Tanzania Prisons kazi mnayo!
VIONGOZI wa timu ya Tanzania Prisons wanaendelea na vikao vya tathmini mkoani Dodoma, ili kupata picha ya kipi wakifanye katika usajili wa dirisha dogo litakalofungwa Januari 30, lakini kama michongo…
Vaibu la mapokezi ya Taifa Stars
KULIKUWA na vaibu la aina yake jana wakati wa tukio la kuwasili kwa kikosi cha Taifa Stars kilichorejea kikitokea nchini Morocco lilikoenda kushiriki Fainali za 35 za Kombe la Mataifa…
Mapinduzi Cup yaiamsha ZFF
OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Mohamed Kabwanga, amesema kilichotokea katika maandalizi ya Kombe la Mapinduzi 2026, kimewapa chachu ya kuboresha Ligi Kuu Zanzibar.
Shauri atamani kuvunja rekodi binafsi riadha
MWANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Magdalena Shauri amesema anataka kuvunja rekodi yake ya taifa ya marathoni kwa wanawake akilenga kukimbia chini ya saa 2:18 katika mashindano yajayo ya kimataifa.
KMC yakomba noti usajili wa Pipino
KMC imeingiza zaidi ya Sh70 milioni baada ya aliyekuwa kiungo wa kikosi hicho, Ahmed Bakari Pipino kuvunja mkataba wa miaka miwili uliobaki, huku akikamilisha taratibu za kujiunga na Singida Black…