Mgombea urais kupitia CCM, Dkt
Mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itaendeleza utalii Arusha kwa kuboresha miundombinu na kuongeza vivutio vipya, ikiwemo utalii wa michezo. Amesema ujenzi wa uwanja wa…
Mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itaendeleza utalii Arusha kwa kuboresha miundombinu na kuongeza vivutio vipya, ikiwemo utalii wa michezo. Amesema ujenzi wa uwanja wa…
Kufuatia msiba wa mwana mazingira na mtafiti mbobezi wa uhusiano wa sokwe, binadamu na mazingira, Dkt. Jane Goodall ambaye utafiti wake zaidi ya miaka 50 kuhusu sokwe ulimpa heshima na…
Rais Volodymyr Zelensky ameonya Ulaya kwamba mashambulizi ya ndege zisizo na rubani ni dalili Russia inataka kuongeza vita, akitoa uzoefu wa Ukraine kusaidia kujenga ulinzi. Je, Ulaya iko tayari kuzuia…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuendeleza Mitaji, UNCDF, limeendelea kuwekeza katika kupunguza hatari za hasara za kifedha na kufungua fursa za mitaji nafuu kwa vijana, wanawake na sekta muhimu…
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kuzuia mashambulizi makubwa ya kikatili yanayoendeshwa kwa misingi ya…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antnio Guterres amelani vikali shambulio la kigaidi lililotokea leo kwenye sinagogi la Heaton Park Hebrew Congregation huko Manchester, nchini Uingereza, ambapo watu 2 waliuawa…
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametoa onyo kali kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu nchini Haiti, akiiambia Baraza la Haki za…
Kadri magenge ya uhalifu nchini Haiti yanavyoendelea kupanua wigo wa maeneo wanayoyadhibiti na kuendeleza vitisho kwa raia bila kusita, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limechukua hatua madhubuti…
Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, wananchi wa Tanzania wameanza kutoa hisia kali dhidi ya CCM wakilalamikia huduma hafifu za kijamii. Je, sauti hizi za wazi ni…
Wamefunguka ,apungufu wanayoyaona kwenye mpira huo, Soma zaidi hapa
Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa Vassily Nebenzia, amewaambia waandishi habari kwamba nchi yake haitambui vikwazo vya Umoja huo vilivyorejeshewa Iran.
Shirika la afya Ulimwenguni limesema mripuko wa Ebola uliotangazwa katika Jamhuri ya Kidemkokrasia ya Kongo, mwanzoni mwa mwezi Septemba umesababisha vifo vya watu 42
Karibu viongozi 50 wa Ulaya wamekutana Copenhagen kujadili vita vya Ukraine, usalama wa bara na changamoto za kiuchumi huku Rais Volodymyr Zelensky akitafuta msaada zaidi kufuatia kupungua kwa uungwaji mkono…
Inaelezwa kuwa karne ya sasa, wanawake wengi huchelewa kuzaa kutokana na sababu mbalimbali kama masomo, kazi, biashara, na baadhi huanza kuzaa tu baada ya ndoa. Hali hii mara nyingine husababisha…
Msafara wa Sumud Flottilla wa takriban meli na mashua 45 ukielekea Gaza wazuiwa na wanaharakati wakamatwa na jeshi la Israel katika eneo la bahari la Kimataifa
Ni ukweli wa wazi kuwa upendo na mshikamano kwenye familia huchangia kwa kiasi kikubwa sana mafanikio ya wana familia kiuchumi na kijamii. Lakini isivyo bahati, katika baadhi ya familia mafanikio…
Mwanamke mwenye umri wa miaka 36, makazi wa Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda – Morogoro, amefariki dunia akidaida kufanya jaribio la kutoa ujauzito. Nini kifanyike ili kuzuia matukio kama…
Kufuatia malalamiko ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kuhusu huduma zisizoridhisha za mabasi ya mwendokasi, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza mabadiliko katika uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo…
“FU-AES” inawakilisha kikosi kilichounganishwa cha Muungano wa Nchi za Sahel. Hili ndilo lilikuwa lengo la ziara ya Jenerali Abdourahamane Tiani mjini Bamako siku ya Jumanne, Septemba 30. Mkuu wa nchi…
Jamii nyingi duniani zinakabiliwa na tatizo la ukatili na hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa ili kupunguza matukio hayo. Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Ilala, Joyce Maketa ameeleza aina za ukatili…
Wananchi wameeleza maoni yao baada ya mabasi mapya ya mwendokasi ya kampuni ya MOFAT kuanza kutoa huduma kwa abiria wanaosafiri kati ya Mbezi na Kimara, hatua iliyolenga kupunguza kero ya…
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, ametoa rai kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya uharibifu wa miundombinu ya umma licha ya changamoto za usafiri zinazojitokeza,…
Mwanaharakati wa mazingira raia wa Uingereza Jane Goodall, ambaye alikuwa mbobezi katika sayansi ya wanyamapori na hasa uhusiano kati ya sokwemtu na binadamu na kujipatia umaarufu mkubwa duniani kutokana na…
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, katika ripoti yake inaishtumu serikali ya Tanzania kwa kuminya uhuru wa kisiasa, hatua ambayo inatilia shaka iwapo uchaguzi…
Watu karibu 40 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa, baada ya kuangukiwa na fito na mbao za kushikilia jengo la Kanisa nchini Ethiopia. Imechapishwa: 02/10/2025 – 08:09 Dakika…
Wanaharakati wawili wa nchini Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, wameripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda katika mazingira ya kutatanisha. Imechapishwa: 02/10/2025 – 07:57 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Korea Kusini imekubali kwa mara ya kwanza leo Alhamisi, Oktoba 2, wajibu wake wa kuasili makumi ya maelfu ya watoto waliotumwa nje ya nchi kwa njia mbaya “kupitia” wakati mwingine…
Idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.9 kipimo cha Richter lililopiga katikati mwa Ufilipino siku ya Jumanne jioni imeongezeka hadi 72, kulingana na shirka…
Msafara wa meli, ujulikanao kama Global Sumud Flotilla (GSF), unaobeba misaada kuelekea ukanda wa Gaza ilutangaza mapema leo Alhamisi, Oktoba 2, kwamba unaendelea na safari yake kuelekea eneo lenye vita…
Marekani itapanga kuipatia Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi, maafisa wawili wamesema siku ya Jumatano, wakati nchi…
Vyama vya wafanyakazi vya Italia vimeitisha mgomo wa jumla siku ya Ijumaa kwa mshikamano na shirika la kimataifa la misaada kwa Gaza. Maandamano yalizuka katika miji kadhaa siku ya Jumatano…
Jeshi la wanamaji la Israel limekamata meli zilizokuwa zimebeba misaada kuelekea Gaza na kuwaweka kizuizini wanaharakati waliokuwa ndani, akiwemo mwanaharakati wa hali ya hewa wa Sweden Greta Thunberg. Imechapishwa: 02/10/2025…
Vyama vya wafanyakazi nchini Madagascar vinaongeza shinikizo kwa Rais Andry Rajoelina, wiki moja baada ya kuanza kwa vuguvugu la maandamano ambalo halijawahi kushuhudiwa linaloitikisa taifa hivi sasa. Mshikamano wa Vyama…
Mlipuko mpya wa Ebola umekuwa ukiendelea tangu mapema mwezi Septemba nchiniJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika Mkoa wa Kasai. Kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), watu 42 wamefariki kati…
NAIROBI – Kadri matumizi ya mitandao yanavyoongezeka barani Afrika, wanawake na wasichana wanazidi kuripoti ukatili kutokana na matumizi hayo ya mitandao. Imechapishwa: 02/10/2025 – 04:56 Dakika 3 Wakati wa kusoma…
Hali ya mambo katika maeneo ya Gaza City imechukuwa mwelekeo wa kuzusha wasiwasi mkubwa+++Hadi sasa mamlaka za Uganda zimesita kutoa taarifa kuhusu kukamatwa kwa wanaharakati wawili wa kisiasa raia wa…
Kulingana na Samia, wale wanaoshawishi kuvunja amani wana mahali pa kukimbilia wao na familia zao.
MABAHARIA wa KMKM, wamefanikiwa kuvuna Sh10.5 millioni kutoka kwa Mkuu wa Kikosi cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), Azana Hassan Msingiri ikiwa sehemu ya kuipongeza timu hiyo kwa kuingia hatua ya…
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeidhinisha jumla ya wapiga kura 717,557 watakaoshiriki kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
MECHI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyochezwa leo Oktoba 1, 2025 kati ya JKU na KVZ kwenye Uwanja wa Mao A mjini Unguja, imemalizika kwa sare ya mabao 2-2.
Kwa mara nyingine Iran inajikuta chini ya vikwazo vikali vya kimataifa kuhusiana na mpango wake wa nyuklia na wa makombora ya masafa marefu. Haya yanajiri baada ya mkwamo wa mazungumzo…
Wagombea Tanzania wameendelea kurusha kete zao za kisiasa vilivyo na wakiwekeza katika mbinu mbadala za ushindi huku wananchi nao wakitoa maoni yao wakati wakisubiri siku ya kupiga kura.
Uwanja wa tamasha maarufu la bia, Oktoberfest, nchini Ujerumani huko mjini Munich umefungwa kwa muda hadi baadae jioni hii kutokana na kitisho cha bomu.
Mgombea urais wa chama tawala CCM nchini Tanzania ambaye pia ni Rais wa Taifa hilo la Afrika Mashariki Samia Suluhu Hassan, anaendelea kunadi sera zake akiomba kura kwa wananchi.
eo, Jumatano Oktoba 1, 2025, kuna mechi kadhaa za Ligi ya Mabingwa ya UEFA (UEFA Champions League) katika hatua ya pili ya makundi (Matchday 2). Hizi hapa ni baadhi ya…
Hapa chini ni matokeo ya mechi za Ligi ya Mabingwa ya UEFA zilizochezwa Jumanne, Septemba 30, 2025: 🔥 Matokeo ya Mechi Kwa matokeo haya, baadhi ya timu zimejiimarisha kileleni mwa…
Hapa nimeandaa players rating za wachezaji wa Yanga SC kulingana na mechi ya Septemba 30, 2025 dhidi ya Mbeya City (0-0) na uchambuzi uliotolewa. Nimezitumia alama ya nyota 1–5 (5…
🏟️ Muhtasari wa Mechi 🔹 Maelezo Muhimu 🔹 Muhtasari wa Kihistoria Kwa kifupi, Yanga SC imekataliwa na Mbeya City uwanjani Sokoine, mashabiki wanaendelea kushinikiza mabadiliko ya kocha, huku Folz na…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF linatoa wito kwa viongozi wa Afrika kufanya uwekezaji wa kifedha wa busara utakaowezesha watoto kupata ujuzi wa msingi wa kujifunza na…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO limesema mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) bado upo lakini maambukizi…