Polisi yaanika athari vurugu uchaguzi, yasaka wanane
JESHI la Polisi nchini limebainisha athari kubwa zilizotokana na vurugu, uporaji na uvunjifu wa amani vilivyotokea Oktoba 29, mwaka huu katika maeneo mbalimbali nchini. Pia, limesema linaendelea na msako mkali…