NBC Premier League leo Jumamosi

Saa 10:00 jioni Pamba Jiji watakuwa uwanja wa CCM Kirumba wakiwakaribisha Singida BS.

Saa 1:00 usiku, JKT Tanzania watakuwa dimba lao la nyumbani Meja Jenerali Isamuhyo wakiwaalika Simba SC.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii mbashara kupitia AzamSports1HD.

#NBCPL #Azamtvsports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *