“Ni ukweli kwamba deni la taifa, ukilipima katika mizania yote ni dogo kulinganisha na nchi nyingine zote katika ukanda huu wa A…
“Ni ukweli kwamba deni la taifa, ukilipima katika mizania yote ni dogo kulinganisha na nchi nyingine zote katika ukanda huu wa Afrika Mashariki” David Kafulila – Mkurugenzi Mtendaji wa PPP…
🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA, SEPTEMBA 01, 2025
🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao cha pamoja kilicholenga kujadili ush…
#HABARI: Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao cha pamoja kilicholenga kujadili ushirikiano katika uwekezaji wa sekta ya miliki ili kuboresha na kuendeleza makazi…
#HABARI: Jeshi la Polisi Wilaya ya Bariadi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limetangaza Oparesheni kuwasaka na kuwachukulia hatua…
#HABARI: Jeshi la Polisi Wilaya ya Bariadi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limetangaza Oparesheni kuwasaka na kuwachukulia hatua Maafisa Usafirishaji(BODABODA) wanaokiuka Sheria ya matumizi ya vyombo vya usafirishaji kwa kunyofoa baadhi…
#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza…
#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza chuki na kuwagawa wananchi kwa misingi ya itikadi, kabila au dini,…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa msamaha wa kutochukua hatua kwa watu au mtu yeyote anayemilik…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa msamaha wa kutochukua hatua kwa watu au mtu yeyote anayemiliki silaha kwa njia za panya, endapo ataisalimisha kwa hiyari…
CAR: Aliyekuwa Waziri Mkuu Anicet-Georges afuta kuwania tena urais
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Anicet-Georges Dologuele, ameamua kufuta uraia wake wa Ufaransa, ili kuwania urais katika nchi yake. Imechapishwa: 01/09/2025 – 18:01 Dakika 1 Wakati…
Vyombo vya habari vyalaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari Gaza
Vyombo vya Habari zaidi ya 250 katika nchi zaidi ya 70 duniani, zimechapisha Habari kuu, siku ya Jumatatu, kulaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari kwenye ukanda wa Gaza na kutaka mashambulio…
Wakfu wa Thabo Mbeki kuandaa kongamano kujadili amani ya mashariki ya DRC
Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, unaandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…
Wakfu wa Thabo Mbeki waandaa kongamano kujadili amani ya mashariki ya Congo
Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, umeandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…
Operesheni ya uokozi yaendelea Afghanistan baada ya tetemeko
Hata hivyo juhudi hizo tayari zinakumbwa na changamoto kwa kuwa kuna baadhi ya maeneo yasiyofikika kwa urahisi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeliambia shirika la habari la…
Jumuiya ya SCO yalaani vikali vitendo vya Israel huko Gaza
Taarifa iliyochapishwa na shirika la habari la China, Xinhua, wanachama hao 10 wa SCO pia wameikosoa vikali Marekani na Israel kwa kuishambulia Iran mnamo mwezi Juni. Taarifa hiyo imetolewa baada…
Urusi yahusishwa na shambulizi la GPS kwenye ndege ya Leyen
Urusi inashutumiwa kuhusika na tukio la kuzimika ghafla kwa mfumo wa GPS wa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen wakati ikiwa…
Mamia ya wanafunzi wakusanyika Indonesia licha ya onyo
Machafuko ya mwishoni mwa wiki yalikuwa ni mabaya zaidi kushuhudiwa nchini humo kwa zaidi ya miongo miwili. Karibu watu 500 walikusanyika nje ya bunge la Indonesia mjini Jakarta mchana wa…
Je utawala wa Trump unaandika upya historia Marekani?
Wachambuzi wanakosoa kuwa matamshi ya kiongozi huyo yanabainisha kosa jingine la kihistoria ndani ya utawala wa Trump. Katika mtandao wa X akaunti iitwayo “Republicans against Trump” iliandika Vita vya Pili…
Ni taabu kupata maji ya kunywa kaskazini mwa Kenya
01.09.20251 Septemba 2025 Kaskazini mwa Kenya, kaunti za Turkana na Marsabit zinatatizika kupata maji safi na salama. Maji ya chumvi katika Ziwa Turkana katikati yao yamekuwa si chanzo cha maji…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : SEPTEMBA 01, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUSAIDIWA VIFAA VYA UJENZI
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : SEPTEMBA 01, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUSAIDIWA VIFAA VYA UJENZI
Mashambulizi ya Israel yawaua 19 Ukanda wa Gaza
Maafisa wa Palestina pamoja na watu walioshuhudia, wanasema mshambulizi ya anga ya Jumatatu yamewauwa watu wasiopungua 19. Kuhusu mashambulizi hayo jeshi la Israel limesema vikosi vyake vinaendelea kupambana na Hamas…
Mfumo wa GPS wa ndege ya mkuu wa EU wavurugwa
Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imesema ndege iliyombeba rais wake Ursula von der Leyen ilikuwa ikijiandaa kutua nchini Bulgaria wakati mfumo wake wa GPS, yaani ramani ya kidijitali inayotoa…
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Kwenye miji ya Goma na Bukavu, wazazi wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa katika kuwaandaa watoto wao kwa mwaka mpya huu wa shule. Ingawa hii tarehe mosi Septemba wanafunzi wamerudi shule…
Uganda: Kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi wa upinzani Kizza Besigye yaahirishwa hadi Oktoba 1
Nchini Uganda, mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, Kizza Besigye, hakuhudhuria ufunguzi wa kesi yake ya uhaini siku ya Jumatatu asubuhi Septemba 1, katika Mahakama Kuu ya Kampala.…
Maandamano yaendelea Indonesia licha ya mauaji kuripotiwa
Waandamanaji wasiopungua 500 walikusanyika nje ya bunge la taifa mjini Jakarta huku maafisa wa usalama wakiwatazama. Awali wanajeshi walipiga doria ila waliondoka baada ya saa kadhaa. Katika mji jirani wa…
Ujerumani: Mabadiliko ya Merz kukabiliwa na upinzani
Mageuzi anayopanga kuyafanya Kansela Friedrich Merz hivi karibuni katika kodi na masuala ya ustawi yanaweza kuleta mzozo katika serikali yake ya muungano Changamoto zinazoikabili serikali yake ni kubwa ikizingatiwa kuwa…
Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ‘inalaani vikali’ mauaji ya raia Gaza
Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), inayojumuisha mataifa 10 yakiwemo China, India, Urusi na Iran, imesema leo Jumatatu, Septemba 1, kwamba “inalaani vikali vitendo vinavyosababisha vifo vya raia” katika Ukanda…
#HABARI: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hansbeti Augustine, mkazi wa Kata ya Nshambia, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, a…
#HABARI: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hansbeti Augustine, mkazi wa Kata ya Nshambia, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, amekamatwa na Maafisa wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimesema kuwa kimeimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yaliyopangwa kufany…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimesema kuwa kimeimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yaliyopangwa kufanyika mikutano ya Mgombea wa Chama hicho nafasi ya Urais wa Jamhuruiya Muungano…
Mkutano kati ya Zelensky na ‘viongozi wa Ulaya’ kufanyika Paris Paris siku ya Alhamisi
Mkutano kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na “viongozi kadhaa wa Ulaya” umepangwa kufanyika siku ya Alhamisi, Septemba 4, mjini Paris, chanzo cha kisiasa cha Ulaya kimeliambia shirika la…
Berlin haitotoa visa kwa walio hatarini kuandamwa na Taliban
Katika hatua ya kupunguza kiwango cha wahamiaji Ujerumani, utawala wa kansela wa taifa hilo umesitisha mipango ya kuwapa hifadhi mamia ya Waafghani, ambao awali waliarifiwa kuhusu utayari wa serikali hiyo…
#HABARI: Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Magharibi kati Tabora mchungaji Newto…
#HABARI: Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Magharibi kati Tabora mchungaji Newton Maganga ambaye amekuwa kivutio baada ya kuonekana kupitia mitandao ya kijamii…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Bukene lililopo mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), @JohnLuhende, amesema akipata…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Bukene lililopo mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), @JohnLuhende, amesema akipata nafasi ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundombinu ya barabara, Afya,…
🔴MEZAHURU: .MSAMAHA WA KODI YA KIFORODHA AGOSTI 31, 2025
🔴MEZAHURU: .MSAMAHA WA KODI YA KIFORODHA AGOSTI 31, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Zaidi ya watu 800 wafa kwa tetemeko nchini Afghanistan
Kulingana na msemaji wa serikali ya Taliban, tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha richta limetokea Jumapili jioni na kuathiri miji kadhaa katika jimbo la Kunar, karibu na…
Vyama zaidi Tanzania vyazindua kampeni za uchaguzi
Vita ya kisiasa sasa rasmi imehamia majukwaani, vyama vikijaribu kuwashawishi wapiga kura katika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani utakaofanyika oktoba 29. Mara baada ya kipyenga cha kampeni kupulizwa, Chama…
Wasomi: Israel inafanya mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza
Asilimia 86 ya wajumbe 500 wa Jumuiya hiyo waliopiga kura wameunga mkono azimio hilo linalosema “Sera na matendo ya Israel huko Gaza vimefikia kiwango cha kisheria cha mauaji ya kimbari,…
#HABARI: Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipango miji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya M…
#HABARI: Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipango miji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi…
Rais Xi Jinping alaani “tabia za uonevu”
Xi amewatolea wito viongozi wa ushirika huo uliojikita kwenye masuala ya usalama kuheshimu usawa na haki na kuepuka fikra za Vita Baridi, ushindani wa makundi na tabia za uonevu. “Kwanza,…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
India na Urusi zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Mazungumzo haya yanafanyika katikati ya mahusiano yaliyodhoofika kati ya New Delhi na Washington, kufuatia mvutano wa manunuzi ya mafuta ya Urusi. Viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo baada ya kuhudhuria kikao…
Ukraine: Urusi imemuua spika wa zamani wa Ukraine
Andriy Parubiy, spika wa zamani wa bunge na kiongozi mkuu wa vuguvugu la maandamano ya Ukraine ya mwaka 2004 na 2014, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa magharibi wa…
China kuongeza msaada kwa Jumuiya ya ushirikiano wa Shanghai
Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuwa nchi yake itatoa msaada zaidi kwa ajili ya maendeleo bora ya Jumuiya ya ushirikiano wa Shanghai SCO. Ameyasema hayo akiuhutubia mkutano wa 25…
Tetemeko la ardhi Afghanistan, zaidi ya 800 waangamia
Akizungumza na waandishi wa Habari mapema Jumatatu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, msemaji wa serikali ya Taliban nchini humo Zabihullah Mujahid, amesema takriban watu 800 wamekufa, na wengine 2,500…
Israel inafanya jinai ya kimbari Gaza
Miripuko mikubwa na milio ya risasi ilisikika kwenye eneo zima la Jiji la Gaza usiku wa kuamkia Jumatatu (Septemba 1), wakati jeshi la Israel likiendeleza mashambulizi yake kwenye jiji hilo…
Ruto atakiwa kutuma wanajeshi Mandera kuimarisha Usalama
Tangu vita viliporitiwa katika nchi jirani ya Somalia haswa eneo la Bula Hawa, idadi ya wakimbizi imekuwa ikiendelea kuongezeka katika jimbo la Mandera. Kulingana na gavana wa jimbo hilo Mohamed…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Mtuhumiwa mmoja Bwana Moses Mungungulu mkazi wa Halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amekamatwa na Shirika la Ume…
#HABARI: Mtuhumiwa mmoja Bwana Moses Mungungulu mkazi wa Halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amekamatwa na Shirika la Umeme Tanzania-TANESCO mkoani Njombe akihujumu miundombinu ya shirika hilo ikiwemo kuchezea mita…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Liverpool vs Arsenal: Takwimu muhimu na kile kitakachoamua mechi ya leo
Chanzo cha picha, Getty Images 31 Agosti 2025 Liverpool imeibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Arsenal katika Anfield, ushindi uliopatikana kupitia mpira wa adhabu wa Dominik Szoboszlai…
#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko eneo la Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, wilay…
#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko eneo la Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…