Skip to content
  • Mon. Jul 27th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88
MWANANCHI

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London

July 26, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88

July 26, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
MWANANCHI
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
MWANANCHI
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
MWANANCHI
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
MWANANCHI
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
MWANANCHI
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
MWANANCHI
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
Uncategorized

“Ni ukweli kwamba deni la taifa, ukilipima katika mizania yote ni dogo kulinganisha na nchi nyingine zote katika ukanda huu wa A…

September 1, 2025 mjombazecoder

“Ni ukweli kwamba deni la taifa, ukilipima katika mizania yote ni dogo kulinganisha na nchi nyingine zote katika ukanda huu wa Afrika Mashariki” David Kafulila – Mkurugenzi Mtendaji wa PPP…

Uncategorized

🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA, SEPTEMBA 01, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA, SEPTEMBA 01, 2025

Uncategorized

#HABARI: Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao cha pamoja kilicholenga kujadili ush…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao cha pamoja kilicholenga kujadili ushirikiano katika uwekezaji wa sekta ya miliki ili kuboresha na kuendeleza makazi…

Uncategorized

#HABARI: Jeshi la Polisi Wilaya ya Bariadi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limetangaza Oparesheni kuwasaka na kuwachukulia hatua…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Jeshi la Polisi Wilaya ya Bariadi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limetangaza Oparesheni kuwasaka na kuwachukulia hatua Maafisa Usafirishaji(BODABODA) wanaokiuka Sheria ya matumizi ya vyombo vya usafirishaji kwa kunyofoa baadhi…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI SEPTEMBA 01, 2025 –

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI SEPTEMBA 01, 2025 –

Uncategorized

#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza chuki na kuwagawa wananchi kwa misingi ya itikadi, kabila au dini,…

Uncategorized

#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa msamaha wa kutochukua hatua kwa watu au mtu yeyote anayemilik…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa msamaha wa kutochukua hatua kwa watu au mtu yeyote anayemiliki silaha kwa njia za panya, endapo ataisalimisha kwa hiyari…

Uncategorized

CAR: Aliyekuwa Waziri Mkuu Anicet-Georges afuta kuwania tena urais

September 1, 2025 mjombazecoder

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Anicet-Georges Dologuele, ameamua kufuta uraia wake wa Ufaransa, ili kuwania urais katika nchi yake. Imechapishwa: 01/09/2025 – 18:01 Dakika 1 Wakati…

Uncategorized

Vyombo vya habari vyalaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya Habari zaidi ya 250 katika nchi zaidi ya 70 duniani, zimechapisha Habari kuu, siku ya Jumatatu, kulaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari kwenye ukanda wa Gaza na kutaka mashambulio…

Uncategorized

Wakfu wa Thabo Mbeki kuandaa kongamano kujadili amani ya mashariki ya DRC

September 1, 2025 mjombazecoder

Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, unaandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…

Uncategorized

Wakfu wa Thabo Mbeki waandaa kongamano kujadili amani ya mashariki ya Congo

September 1, 2025 mjombazecoder

Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, umeandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…

Uncategorized

Operesheni ya uokozi yaendelea Afghanistan baada ya tetemeko

September 1, 2025 mjombazecoder

Hata hivyo juhudi hizo tayari zinakumbwa na changamoto kwa kuwa kuna baadhi ya maeneo yasiyofikika kwa urahisi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeliambia shirika la habari la…

Uncategorized

Jumuiya ya SCO yalaani vikali vitendo vya Israel huko Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Taarifa iliyochapishwa na shirika la habari la China, Xinhua, wanachama hao 10 wa SCO pia wameikosoa vikali Marekani na Israel kwa kuishambulia Iran mnamo mwezi Juni. Taarifa hiyo imetolewa baada…

Uncategorized

Urusi yahusishwa na shambulizi la GPS kwenye ndege ya Leyen

September 1, 2025 mjombazecoder

Urusi inashutumiwa kuhusika na tukio la kuzimika ghafla kwa mfumo wa GPS wa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen wakati ikiwa…

Uncategorized

Mamia ya wanafunzi wakusanyika Indonesia licha ya onyo

September 1, 2025 mjombazecoder

Machafuko ya mwishoni mwa wiki yalikuwa ni mabaya zaidi kushuhudiwa nchini humo kwa zaidi ya miongo miwili. Karibu watu 500 walikusanyika nje ya bunge la Indonesia mjini Jakarta mchana wa…

Uncategorized

Je utawala wa Trump unaandika upya historia Marekani?

September 1, 2025 mjombazecoder

Wachambuzi wanakosoa kuwa matamshi ya kiongozi huyo yanabainisha kosa jingine la kihistoria ndani ya utawala wa Trump. Katika mtandao wa X akaunti iitwayo “Republicans against Trump” iliandika Vita vya Pili…

Uncategorized

Ni taabu kupata maji ya kunywa kaskazini mwa Kenya

September 1, 2025 mjombazecoder

01.09.20251 Septemba 2025 Kaskazini mwa Kenya, kaunti za Turkana na Marsabit zinatatizika kupata maji safi na salama. Maji ya chumvi katika Ziwa Turkana katikati yao yamekuwa si chanzo cha maji…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : SEPTEMBA 01, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUSAIDIWA VIFAA VYA UJENZI

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : SEPTEMBA 01, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUSAIDIWA VIFAA VYA UJENZI

Uncategorized

Mashambulizi ya Israel yawaua 19 Ukanda wa Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Maafisa wa Palestina pamoja na watu walioshuhudia, wanasema mshambulizi ya anga ya Jumatatu yamewauwa watu wasiopungua 19. Kuhusu mashambulizi hayo jeshi la Israel limesema vikosi vyake vinaendelea kupambana na Hamas…

Uncategorized

Mfumo wa GPS wa ndege ya mkuu wa EU wavurugwa

September 1, 2025 mjombazecoder

Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imesema ndege iliyombeba rais wake Ursula von der Leyen ilikuwa ikijiandaa kutua nchini Bulgaria wakati mfumo wake wa GPS, yaani ramani ya kidijitali inayotoa…

Uncategorized

Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma

September 1, 2025 mjombazecoder

Kwenye miji ya Goma na Bukavu, wazazi wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa katika kuwaandaa watoto wao kwa mwaka mpya huu wa shule. Ingawa hii tarehe mosi Septemba wanafunzi wamerudi shule…

Uncategorized

Uganda: Kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi wa upinzani Kizza Besigye yaahirishwa hadi Oktoba 1

September 1, 2025 mjombazecoder

Nchini Uganda, mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, Kizza Besigye, hakuhudhuria ufunguzi wa kesi yake ya uhaini siku ya Jumatatu asubuhi Septemba 1, katika Mahakama Kuu ya Kampala.…

Uncategorized

Maandamano yaendelea Indonesia licha ya mauaji kuripotiwa

September 1, 2025 mjombazecoder

Waandamanaji wasiopungua 500 walikusanyika nje ya bunge la taifa mjini Jakarta huku maafisa wa usalama wakiwatazama. Awali wanajeshi walipiga doria ila waliondoka baada ya saa kadhaa. Katika mji jirani wa…

Uncategorized

Ujerumani: Mabadiliko ya Merz kukabiliwa na upinzani

September 1, 2025 mjombazecoder

Mageuzi anayopanga kuyafanya Kansela Friedrich Merz hivi karibuni katika kodi na masuala ya ustawi yanaweza kuleta mzozo katika serikali yake ya muungano Changamoto zinazoikabili serikali yake ni kubwa ikizingatiwa kuwa…

Uncategorized

Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ‘inalaani vikali’ mauaji ya raia Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), inayojumuisha mataifa 10 yakiwemo China, India, Urusi na Iran, imesema leo Jumatatu, Septemba 1, kwamba “inalaani vikali vitendo vinavyosababisha vifo vya raia” katika Ukanda…

Uncategorized

#HABARI: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hansbeti Augustine, mkazi wa Kata ya Nshambia, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, a…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hansbeti Augustine, mkazi wa Kata ya Nshambia, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, amekamatwa na Maafisa wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…

Uncategorized

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimesema kuwa kimeimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yaliyopangwa kufany…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimesema kuwa kimeimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yaliyopangwa kufanyika mikutano ya Mgombea wa Chama hicho nafasi ya Urais wa Jamhuruiya Muungano…

Uncategorized

Mkutano kati ya Zelensky na ‘viongozi wa Ulaya’ kufanyika Paris Paris siku ya Alhamisi

September 1, 2025 mjombazecoder

Mkutano kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na “viongozi kadhaa wa Ulaya” umepangwa kufanyika siku ya Alhamisi, Septemba 4, mjini Paris, chanzo cha kisiasa cha Ulaya kimeliambia shirika la…

Uncategorized

Berlin haitotoa visa kwa walio hatarini kuandamwa na Taliban

September 1, 2025 mjombazecoder

Katika hatua ya kupunguza kiwango cha wahamiaji Ujerumani, utawala wa kansela wa taifa hilo umesitisha mipango ya kuwapa hifadhi mamia ya Waafghani, ambao awali waliarifiwa kuhusu utayari wa serikali hiyo…

Uncategorized

#HABARI: Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Magharibi kati Tabora mchungaji Newto…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Magharibi kati Tabora mchungaji Newton Maganga ambaye amekuwa kivutio baada ya kuonekana kupitia mitandao ya kijamii…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Bukene lililopo mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), @JohnLuhende, amesema akipata…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Bukene lililopo mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), @JohnLuhende, amesema akipata nafasi ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundombinu ya barabara, Afya,…

Uncategorized

🔴MEZAHURU: .MSAMAHA WA KODI YA KIFORODHA AGOSTI 31, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴MEZAHURU: .MSAMAHA WA KODI YA KIFORODHA AGOSTI 31, 2025

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

Uncategorized

Zaidi ya watu 800 wafa kwa tetemeko nchini Afghanistan

September 1, 2025 mjombazecoder

Kulingana na msemaji wa serikali ya Taliban, tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha richta limetokea Jumapili jioni na kuathiri miji kadhaa katika jimbo la Kunar, karibu na…

Uncategorized

Vyama zaidi Tanzania vyazindua kampeni za uchaguzi

September 1, 2025 mjombazecoder

Vita ya kisiasa sasa rasmi imehamia majukwaani, vyama vikijaribu kuwashawishi wapiga kura katika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani utakaofanyika oktoba 29. Mara baada ya kipyenga cha kampeni kupulizwa, Chama…

Uncategorized

Wasomi: Israel inafanya mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Asilimia 86 ya wajumbe 500 wa Jumuiya hiyo waliopiga kura wameunga mkono azimio hilo linalosema “Sera na matendo ya Israel huko Gaza vimefikia kiwango cha kisheria cha mauaji ya kimbari,…

Uncategorized

#HABARI: Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipango miji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya M…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipango miji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi…

Uncategorized

Rais Xi Jinping alaani “tabia za uonevu”

September 1, 2025 mjombazecoder

Xi amewatolea wito viongozi wa ushirika huo uliojikita kwenye masuala ya usalama kuheshimu usawa na haki na kuepuka fikra za Vita Baridi, ushindani wa makundi na tabia za uonevu. “Kwanza,…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

Uncategorized

India na Urusi zakubaliana kuimarisha ushirikiano

September 1, 2025 mjombazecoder

Mazungumzo haya yanafanyika katikati ya mahusiano yaliyodhoofika kati ya New Delhi na Washington, kufuatia mvutano wa manunuzi ya mafuta ya Urusi. Viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo baada ya kuhudhuria kikao…

Uncategorized

Ukraine: Urusi imemuua spika wa zamani wa Ukraine

September 1, 2025 mjombazecoder

Andriy Parubiy, spika wa zamani wa bunge na kiongozi mkuu wa vuguvugu la maandamano ya Ukraine ya mwaka 2004 na 2014, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa magharibi wa…

Uncategorized

China kuongeza msaada kwa Jumuiya ya ushirikiano wa Shanghai

September 1, 2025 mjombazecoder

Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuwa nchi yake itatoa msaada zaidi kwa ajili ya maendeleo bora ya Jumuiya ya ushirikiano wa Shanghai SCO. Ameyasema hayo akiuhutubia mkutano wa 25…

Uncategorized

Tetemeko la ardhi Afghanistan, zaidi ya 800 waangamia

September 1, 2025 mjombazecoder

Akizungumza na waandishi wa Habari mapema Jumatatu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, msemaji wa serikali ya Taliban nchini humo Zabihullah Mujahid, amesema takriban watu 800 wamekufa, na wengine 2,500…

Uncategorized

Israel inafanya jinai ya kimbari Gaza

September 1, 2025 mjombazecoder

Miripuko mikubwa na milio ya risasi ilisikika kwenye eneo zima la Jiji la Gaza usiku wa kuamkia Jumatatu (Septemba 1), wakati jeshi la Israel likiendeleza mashambulizi yake kwenye jiji hilo…

Uncategorized

Ruto atakiwa kutuma wanajeshi Mandera kuimarisha Usalama

September 1, 2025 mjombazecoder

Tangu vita viliporitiwa katika nchi jirani ya Somalia haswa eneo la Bula Hawa, idadi ya wakimbizi imekuwa ikiendelea kuongezeka katika jimbo la Mandera. Kulingana na gavana wa jimbo hilo Mohamed…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

Uncategorized

#HABARI: Mtuhumiwa mmoja Bwana Moses Mungungulu mkazi wa Halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amekamatwa na Shirika la Ume…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mtuhumiwa mmoja Bwana Moses Mungungulu mkazi wa Halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amekamatwa na Shirika la Umeme Tanzania-TANESCO mkoani Njombe akihujumu miundombinu ya shirika hilo ikiwemo kuchezea mita…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

September 1, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025

IDHAA YA DUNIA

Liverpool vs Arsenal: Takwimu muhimu na kile kitakachoamua mechi ya leo

September 1, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images 31 Agosti 2025 Liverpool imeibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Arsenal katika Anfield, ushindi uliopatikana kupitia mpira wa adhabu wa Dominik Szoboszlai…

Uncategorized

#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko eneo la Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, wilay…

September 1, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko eneo la Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Posts pagination

1 … 1,080 1,081 1,082 … 1,098

Recent Posts

  • Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
  • Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
  • Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
  • Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
  • Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88

Recent Comments

  1. DouglasPrurb on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. GordonJardy on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. Gregoryworie on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. WilliMer on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. RalphSlorm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANANCHI

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London

July 26, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar

July 26, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS