#HABARI: Chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt
#HABARI: Chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania itaanza uchimbaji wa uranium katika Wilaya ya Namtumbo, Ruvuma, yenye akiba ya tani milioni…
#UCHAGUZI2025: Mgombea urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir, ameonesha utofauti kwa kutinga na usafiri wa bodaboda kwenda kuchukua…
#UCHAGUZI2025: Mgombea urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir, ameonesha utofauti kwa kutinga na usafiri wa bodaboda kwenda kuchukua fomu ya kuwania urais. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania
Sudan: Mapigano yanapambapa moto al-Fasher, na kuzidisha mzozo wa kibinadamu
Nchini Sudan, takriban watu 19 wameuawa katika mashambulizi ya anga huko Darfur. Shambulio lililohusishwa na jeshi la Sudan kwenye kliniki ya Nyala, Darfur Kusini, lilisababisha vifo vya watu kumi na…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Afghanistan: Zaidi ya watu 800 wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi
Watu zaidi ya 800 wamefariki na wengine zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika…
Afghanistan: Zaidi ya watu 600 wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi
Takriban watu 622 wamefariki na wengine zaidi ya 1,500 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika kipimo…
Tetesi za soka Jumatatu: Newcastle imekubali kumuuza Isak kwenda Liverpool kwa £130m
Chanzo cha picha, Getty Images Saa 4 zilizopita Liverpool wamekubaliana ada ya £125m na Newcastle kumsajili Alexander Isak. The Reds watawasilisha ada ya rekodi ya Uingereza itakayofikia £130m. (Telegraph) Aston…
AU yaeleza kuguswa na kuongezeka kwa fedha haramu barani Afrika
Umoja wa Afrika, umeeleza kuguswa na kuongezeka kwa fedha haramu kwenye bara hilo, fedha ambazo zimetokana na ukwepaji kodi, rushwa, utakatishaji wa fedha, utoroshaji wa mitaji na ufadhili wa ugaidi,…
Uchaguzi Tanzania 2025: Uchaguzi bila Chadema, nini tafsiri na athari zake?
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, yuko gerezani kwa zaidi ya miezi minne kwa tuhuma za uhaini Saa 3 zilizopita Tangu kurejeshwa kwa…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Zaidi ya watu 200 wamefariki na mamia ya wengine kujeruhiwa baada ya tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 6.0 kugonga ene…
#HABARI: Zaidi ya watu 200 wamefariki na mamia ya wengine kujeruhiwa baada ya tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 6.0 kugonga eneo la mashariki mwa Afghanistan siku ya Jumapili, kwa…
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuboresha zaidi MISAMAHA YA ADHABU YA KIFORODHA kwa Watanzania?
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuboresha zaidi MISAMAHA YA ADHABU YA KIFORODHA kwa Watanzania? Hebu tupe maoni yako..
Usajili 10 ghali zaidi England, Isak wanne duniani
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 18 zilizopita Liverpool wamevunja rekodi ya soka ya Uingereza baada ya kufikia makubaliano na Newcastle United kumsajili mshambuliaji wa Kiswidi, Alexander Isak, kwa ada…
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Jinsi China inavyoipiku Marekani kama kinara wa teknolojia ulimwenguni
Chanzo cha picha, David Paul Morris/Bloomberg vía Getty Images Maelezo ya picha, Kwa mujibu wa gazeti la Japani la Nikkei Asia, 87% ya wauzaji wa Apple wana mitambo ya uzalishaji…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: MCHUNGAJI ALIYESHIRIKI MARATHONI NDANI YA JOHO AFUNGUKA …SEPTEMBA 01, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: MCHUNGAJI ALIYESHIRIKI MARATHONI NDANI YA JOHO AFUNGUKA …SEPTEMBA 01, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: LIGI KUU TANZANIA BARA KUANZA KURINDIMA …SEPTEMBA 01, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: LIGI KUU TANZANIA BARA KUANZA KURINDIMA …SEPTEMBA 01, 2025
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
🔴KUMEKUCHA: SIASA NA UCHAGUZI – SEPTEMBA 01, 2025
🔴KUMEKUCHA: SIASA NA UCHAGUZI – SEPTEMBA 01, 2025
🔴MAGAZETI: MAFISADI WOTE WATANYONGWA / SIMBA HAKUNA KULALA …SEPTEMBA 01, 2025
🔴MAGAZETI: MAFISADI WOTE WATANYONGWA / SIMBA HAKUNA KULALA …SEPTEMBA 01, 2025
Israel yamuua msemaji wa Hamas Abu Obeida huko Gaza
Chanzo cha picha, Getty Images Msemaji wa kundi la wapiganaji la Hamas, Abu Obeida, ameuawa katika shambulizi la anga katika mji wa Gaza, Israel imesema. Waziri wa Ulinzi wa Israel…
#KIPIMAJOTO: Ombi la Wakulima wa Kokoa Mbeya kutaka kuundwe bodi ya Kudhibiti ubora wa zao hilo kama zilivyo za mazao mengine
#KIPIMAJOTO: Ombi la Wakulima wa Kokoa Mbeya kutaka kuundwe bodi ya Kudhibiti ubora wa zao hilo kama zilivyo za mazao mengine. Je, Serikali ilitekeleze?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – SEPTEMBA 01, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – SEPTEMBA 01, 2025
Ripoti: Marekani yapanga kuchukua udhibiti kamili wa Gaza
Marekani inapanga kuwahamisha wakaazi wote wa ukanda wa Gaza na kuchukua udhibiti kamili wa ukanda huo chini ya mpango unaozingatiwa na utawala wa Rais Donald Trump. Taarifa hizo zimeripotiwa jana…
Waasi wa Houthi wavamia ofisi za UN, wateka wafanyakazi
Waasi wa Houthi wamevamia ofisi za mashirika mawili ya misaada ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, na kuwateka nyara wafanyakazi kadhaa. Taarifa hizo ni kwa mujibu…
Kim Jong Un akagua kiwanda cha silaha kabla ya ziara China
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekagua kiwanda kipya cha utengenezaji wa makombora pamoja na mchakato wa uzalishaji wa silaha hizo kwa kutumia teknolojia ya kisasa, kwa mujibu wa…
Khamenei ataka ushirikiano wa China na Iran kuibadili dunia
Kupitia chapisho kwenye mtandao wa kijamii wa X, Khamenei amesema nchi hizo mbili kutoka pande tofauti za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko makubwa ya kikanda na duniani kwa ujumla.…
Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano
Kauli hiyo amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita hivyo mwaka 2022, na hivi karibuni Zelensky alithibitisha kuwa yuko tayari kwa mazungumzo ya ana kwa ana na Putin…
Ngoma za Njuga na jinsi zinavyorithishwa kupitia sanaa
01.09.20251 Septemba 2025 Ngoma za Njuga ni aina ya ngoma za asili zinazochezwa kwa kuvaa njuga miguuni au mikononi, zikitamba kwa sauti ya kipekee inayochochea furaha, heshima na mdundo wa…
Njia za kukabiliana na hofu ya kujifungua kwa mara ya kwanza
Veronica Natalis 01.09.20251 Septemba 2025 Kwa wanaojifungua kwa mara ya kwanza wakati mwengine wanakuwa na hofu kubwa ya kupitia mchakato mzima wa kujifungua. Wengi wanakuwa na uwoga baaada ya kuwasikia…
01.09.2025
SK2 / S02S01.09.20251 Septemba 2025 Idadi ya watu ambao wamefariki nchini Afghanistan kufuatia tetemeko baya la ardhi imeongezeka na kufikia zaidi ya 800+++Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuwa nchi…
Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 01 Septemba 2025
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 01 Septemba 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW Bonn.
Wahouthi wavamia ofisi za UN Yemen, wafanyakazi wakamatwa
Wahouthi wamevamia ofisi za mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayoshughulika na chakula na watoto mjini Sanaa, Yemen, na kumkamata mfanyakazi mmoja, huku vikosi vyao vikiimarisha ulinzi kufuatia kuuawa kwa waziri…
Msafara wa meli wa kina Greta Thunberg waelekea tena Gaza
Msafara wa meli zinazobeba misaada ya kibinadamu na wanaharakati, wakiwemo mpiganiaji wa mazingira kutoka Sweden Greta Thunberg, uliondoka mjini Barcelona Jumapili ukiahidi kuvunja “mzingiro haramu wa Gaza,” kwa mujibu wa…
#HABARI: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe
#HABARI: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Mhe. Jaji George J. Kazi leo tarehe 31 Agosti, 2025 amekabidhi fomu ya uteuzi kwa mgombea wa Kiti cha Rais wa Serikali…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 31, 2025 -WAGOMBEA SITA WACHUKUWA FOMU ZA KUWANIA URAISI- ZANZIBAR
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 31, 2025 -WAGOMBEA SITA WACHUKUWA FOMU ZA KUWANIA URAISI- ZANZIBAR
Israel yasema imemuua msemaji wa kijeshi wa Hamas Abu Abeida
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amethibitisha Jumapili kwamba msemaji wa muda mrefu wa kijeshi wa Hamas, Abu Obeida, ameuliwa katika shambulizi la anga mjini Gaza. Kupitia ujumbe aliouandika…
Urusi yashambulia kwa droni vituo vya nishati vya Ukraine
Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliyeapa kulipiza kisasi kwa kuamuru mashambulizi zaidi ndani ya ardhi ya Urusi. Kampuni kubwa kabisa ya kibinafsi ya nishati nchini…
Israel yathibitisha kuuawa kwa msemaji wa Hamas Abu Obeida
Watu saba wameripotiwa kuuawa katika shambulizi lililomlenga Obeida. Hata hivyo, Hamas haijathibitisha rasmi kifo hicho na imeyataja madai hayo kuwa ni “vita vya kisaikolojia.” Muda mfupi kabla ya Katz kuthibitisha…
Muungano tawala Benin wamteua waziri wa fedha kuwania urais
Uamuzi uliotangazwa baada ya kikao cha siri nyumbani kwa Rais Patrice Talon, ambaye amesisitiza hatagombea muhula wa tatu kikatiba. Muungano tawala unaundwa na vyama kadhaa, kikiwemo cha Republican Bloc –…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA: AGOSTI 31, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA : AGOSTI 31, 2025 –
“Barabara hii ni ya uchumi, ndiyo barabara ambayo kuna minada hufanyika kila Jumapili
“Barabara hii ni ya uchumi, ndiyo barabara ambayo kuna minada hufanyika kila Jumapili. Minada hii inaingiza kiasi kikubwa cha fedha ndani ya Halmashauri, lakini pia mifukoni mwa wafugaji na wafanyabiashara…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, Singida, imemhukumu Juma Zakale Nyenze (68), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Chiwondo,…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, Singida, imemhukumu Juma Zakale Nyenze (68), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Chiwondo, Kijiji cha Sukamahela, kwenda jela miaka 30 baada ya kupatikana na…
Miaka 10 ya kauli ya Merkel ‘Tutaweza!’
Jumapili hii inatimiza miaka kumi tangu Kansela wa zamani wa Ujerumani Angela Merkel kutoa kauli yake maarufu “Wir schaffen das” — “Tutaweza” — wakati taifa hilo lilipofungua mipaka kwa wimbi…
“Kwa upande wa elimu, tunakuja kufanya majambo kwa kuongeza shule, kwa sababu tunajua watoto wetu wanakua na mahitaji ya madaras…
“Kwa upande wa elimu, tunakuja kufanya majambo kwa kuongeza shule, kwa sababu tunajua watoto wetu wanakua na mahitaji ya madarasa bado yapo. Tutakuja kuongeza shule za sekondari na shule za…
#HABARI: Moto mkubwa ambao chanzo chake hakijajulikana umeibuka na kuteketeza jengo la ghorofa linaloendelea kujengwa katika ene…
#HABARI: Moto mkubwa ambao chanzo chake hakijajulikana umeibuka na kuteketeza jengo la ghorofa linaloendelea kujengwa katika eneo la Kariakoo, kwenye makutano ya Mitaa ya Aggrey na Sikukuu, majira ya saa…
“Ndugu zangu Wanakondoa, hapa tupo mafiga matatu, Kuna mimi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye ninaomba kura zenu
“Ndugu zangu Wanakondoa, hapa tupo mafiga matatu, Kuna mimi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye ninaomba kura zenu. Lakini pia ninawaombea kura wabunge hawa wawili. Na pale tunapomimina…
Putin, Modi, viongozi wengine wako China kwa mkutano wa SCO
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umeanza mjini Tianjin, kaskazini mwa China, ukiwaleta pamoja viongozi kutoka zaidi ya nchi 20. Huu ndiyo mkutano mkubwa zaidi tangu…
Modi, Putin, viongozi wengine wawasili Mkutano wa SCO China
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umeanza mjini Tianjin, kaskazini mwa China, ukiwaleta pamoja viongozi kutoka zaidi ya nchi 20. Huu ndiyo mkutano mkubwa zaidi tangu…