Skip to content
  • Sun. Jul 26th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88
MWANANCHI

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London

July 26, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88

July 26, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
MWANANCHI
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
MWANANCHI
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
MWANANCHI
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
MWANANCHI
Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
MWANANCHI
Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
MWANANCHI
Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
IDHAA YA DUNIA

Urusi yashambulia Makao makuu ya EU na kuua 23

August 29, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, ameeleza hasira yake kufuatia shambulio kubwa zaidi la Urusi mjini Kyiv tangu Julai, ambapo watu 23…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 29, 2025

August 29, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 29, 2025

Uncategorized

Kurejea malori yanayoegeshwa hifadhi ya barabara za Dar es Salaam

August 29, 2025 mjombazecoder

Kurejea malori yanayoegeshwa hifadhi ya barabara za Dar es Salaam. Je, Operesheni iliyofanyika kuyaondoa ilikua nguvu ya soda?

Uncategorized

WHO: Zaidi ya watu 15,600 wakiwemo watoto 3,800 wanahitaji kuondolewa haraka Gaza kwa ajili ya matibabu

August 29, 2025 mjombazecoder

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa watu zaidi ya 15,600 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto 3,800, wanahitaji kuondolewa haraka katika eneo hilo lililokumbwa na vita…

Uncategorized

Araqchi atahadharisha kuhusu njozi za "Israel Kubwa" kabla ya mkutano wa dharura wa OIC

August 29, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ametahadharisha kuwa kuwepo njozi za “Israel Kubwa” kunawakilisha hatari na tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia. Araqchi amezitolea wito…

Uncategorized

29.08.2025

August 29, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ29.08.202529 Agosti 2025 Jeshi la Israel limeanza oparesheni kubwa za kijeshi pembezoni mwa mji wa Gaza+++Kesho dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya waathirika wa matukio ya kutoweka na utekaji+++Ligi kuu…

Uncategorized

Matangazo ya Asubuhi 29.08.2025

August 29, 2025 mjombazecoder

29.08.202529 Agosti 2025 Israel bado inaendeleza mashambulizi Gaza huku kukiwa na hofu ya kutokea janga la kiutu // Vikwazo vya kibiashara vilivyowekwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, dhidi ya…

Uncategorized

Taarifa ya Habari Asubuhi 29.08.2025

August 29, 2025 mjombazecoder

29.08.202529 Agosti 2025 Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Israel kujizuia kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mashambulizi makubwa ya anga ya Urusi…

Uncategorized

Pongezi za Kamati za Muqawama wa Palestina/Yemen yafanyia majaribio kombora jipya dhidi ya Israel

August 28, 2025 mjombazecoder

Katika shambulio lake la Ijumaa usiku Yemen ilifanyia majaribio kwa mafanikio kombora jipya dhidi ya adui Mzayuni, jambo ambalo lilizifurahisha sana kamati za muqawama wa Palestina na kuzifanya ziwashukuru watu…

Uncategorized

Afisa mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon: Muqawama hauwezi kusalimu amri

August 28, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah huku akisisitiza kuwa, uamuzi wa serikali ya Lebanon wa kuupokonya silaha muqawama ni uamuzi usio wa kisheria wala halali amesema: Muqawama ni utamaduni…

Uncategorized

Kwa nini utawala wa Kizayuni hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen?

August 28, 2025 mjombazecoder

Maafisa wa utawala wa Kizayuni wamekiri kwamba utawala huo hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen, ambayo yanalenga kwa usahihi mkubwa shabaha zilizoko katika ardhi…

Uncategorized

#MALUMBANOYAHOJA: “Kwanza wananchi wanatakiwa kujua mgombea bora ni yupi ni kwatika hawa wanaogombea nani anafaa…”

August 28, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: “Kwanza wananchi wanatakiwa kujua mgombea bora ni yupi ni kwatika hawa wanaogombea nani anafaa…”

Uncategorized

#MALUMBANOYAHOJA: “Hoja ambayo nimeipenda sana na imenivutia sana ni kuanzishwa kwa bima kwa wazee Watoto na watu walemavu…”

August 28, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: “Hoja ambayo nimeipenda sana na imenivutia sana ni kuanzishwa kwa bima kwa wazee Watoto na watu walemavu…”

Uncategorized

#MALUMBANOYAHOJA: “Wagombea naomba Zaidi wajikite chini kwa wananchi ambao tuna hali ya chini sana…”

August 28, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: “Wagombea naomba Zaidi wajikite chini kwa wananchi ambao tuna hali ya chini sana…”

Uncategorized

#MALUMBANOYAHOJA: “Ninacho kitarajia kwanza kabisa ni maendeleo na kukua kwa siasa bora Tanzania…”

August 28, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: “Ninacho kitarajia kwanza kabisa ni maendeleo na kukua kwa siasa bora Tanzania…”

Uncategorized

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, AGOSTI 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, AGOSTI 2025

Uncategorized

Mawakili wa Uingereza katika vita vya kisheria dhidi ya Uzayuni

August 28, 2025 mjombazecoder

Dunia imeshuhudia karibu miezi 23 ya mauaji ya wazi dhidi ya watu wa Palestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Azma ya Malaysia ya uungaji mkono endelevu kwa Palestina

August 28, 2025 mjombazecoder

Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa…

Uncategorized

Venezuela yashukuru Iran kwa mshikamano dhidi ya vitisho vya uvamizi vya Marekani

August 28, 2025 mjombazecoder

Waziri wa mambo ya nje wa Venezuela ameishukuru Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuunga mkono taif hilo a la Amerika ya Kusini mbele ya vitisho vya uchokozi vinavyotolewa na…

Uncategorized

🔴 MALUMBANOYAHOJA:KUANZA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴 MALUMBANOYAHOJA:KUANZA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025. JE, NINI MATARAJIO YA WANANCHI?

Uncategorized

Aliyeua watoto kwa bunduki katika skuli ya kanisa Marekani ni mwanamume aliyebadilisha jinsia

August 28, 2025 mjombazecoder

Mshambuliaji aliyefyatulia risasi kanisa katika skuli ya kikatoliki kusini mwa mji wa Minneapolis nchini Marekani jana Jumatano na kuua na kujeruhi watu kadhaa ametambuliwa na gazeti la The New York…

Uncategorized

Iran yaionya E3: Fanyeni chaguo la busara, mkitekeleza 'snapback' ushirikiano na IAEA utasita

August 28, 2025 mjombazecoder

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezionya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamba itasitisha maingiliano yake na shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya nyuklia iwapo nchi hizo tatu zitalifanya…

Uncategorized

#HABARI: Familia ya Jacob Ndukwa, wanaoishi katika Kijiji cha Ilowelo, Kata ya Lwanjilo, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kuingi…

August 28, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Familia ya Jacob Ndukwa, wanaoishi katika Kijiji cha Ilowelo, Kata ya Lwanjilo, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi baina yao na Bw. Juma Tusiwe, ambaye anadaiwa…

Uncategorized

Utumiaji mbaya wa silaha Marekani wasababisha vifo vya watu wawili

August 28, 2025 mjombazecoder

Shule moja katika mji wa Minneapolis, ulioko katika jimbo la Minnesota, siku ya Jumatano, ilishuhudia maafa mengine yaliyotokana na utumizi mbaya wa silaha zilizoko mikononi mwa raia. BONYEZA HAPA USOME…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 28, 2025 – CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 28, 2025 – CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

Uncategorized

#HABARI:Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewataka madereva na makondakta wa magari ya abiria kuheshimu sheria za usalama barabar…

August 28, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewataka madereva na makondakta wa magari ya abiria kuheshimu sheria za usalama barabarani, kwa kutoingilia misafara ya viongozi wakiwemo wagombea, kuheshimu ving’ora vya magari ya…

Uncategorized

#MALUMBANOYAHOJA: Kuanza rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: Kuanza rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025. Je, nini matarajio ya wananchi?

Uncategorized

Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?

August 28, 2025 mjombazecoder

Marekani imeanza kutekeleza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka India. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Mamas of Zanzibar: Kutunza utamaduni, kujenga maisha

August 28, 2025 mjombazecoder

Katika mitaa tulivu ya Bububu Ngalawa, Zanzibar, kuna hadithi ya wanawake waliogeuza changamoto kuwa fursa, wakitumia urithi wa utamaduni wa Kizanzibari kubadilisha maisha yao na jamii zao. Kikundi hiki, kinachojulikana…

Uncategorized

Umoja wa Ulaya waghadhabishwa na shambulizi la Urusi

August 28, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Ulaya umemwita balozi wa Urusi mjini Brussels Alhamisi, baada ya mashambulizi makubwa ya Urusi dhidi ya Kiev huko Ukraine ambayo yamesababisha vifo vya watu 14. Mashambulizi hayo ya…

Uncategorized

Israel kufungua vituo vipya vya kusambaza misaada Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Vituo hivyo vinatazamiwa kukamilishwa katika siku zijazo na vitawekwa kusini mwa pwani ya Gaza iliyo chini ya mzingiro. Lakini vitafunguliwa huku kile kilichoko kwa sasa kikifungwa. Katika tukio jingine, wanachama…

Uncategorized

Hali ya Gaza yazidi kuzorota, watoto walipa walipa gharama

August 28, 2025 mjombazecoder

Taarifa za Wizara ya Afya ya Gaza zinaonyesha kuwa zaidi ya watu 62,000 wameuawa tangu Oktoba 2023, wengi wao wakiwa wanawake na watoto. Wakati huo huo, Shirika la GHF, linaloungwa…

Uncategorized

Rwanda: Kundi la kwanza la wahamiaji saba waliofukuzwa Marekani wapokelewa mjini Kigali

August 28, 2025 mjombazecoder

Mamlaka ya Rwanda imetangaza siku ya Alhamisi, Agosti 28, kuwasili kwa wahamiaji saba waliofukuzwa kutoka Marekani, ambao wako Kigali tangu katikati ya mwezi Agosti. Hili ni kundi la kwanza kupokelewa…

Uncategorized

Polisi Ujerumani watoa tahadhari, watoto kuuzwa mtandaoni

August 28, 2025 mjombazecoder

Mamlaka nchini Ujerumani zimekamilisha uchunguzi wa idadi kubwa zaidi ya kesi za usafirishaji haramu wa binadamu na unyanyasaji mnamo mwaka 2024 tangu matukio hayo yalipoanza kuorodheshwa mnamo mwaka 2000. Maafisa…

Uncategorized

Denmark yalalamika rasmi kuhusu juhudi za Marekani kujipenyeza kwa siri Greenland

August 28, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark ilitangaza Jumatano kwamba imemwita balozi wa Marekani kufuatia ripoti za intelijensia zinazosema kwamba raia wa Marekani wamehusika kwa siri katika kuchochea upinzani dhidi…

Uncategorized

CCM yazindua kampeni kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29

August 28, 2025 mjombazecoder

Shangwe, nderemo na nyimbo za hamasa zilitawala leo jijini Dar es Salaam wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipozindua rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Uzinduzi huo uliofanyika…

Uncategorized

Rwanda yawapokea wahamiaji 7 waliofurushwa Marekani

August 28, 2025 mjombazecoder

Hatua hiyo ni sehemu ya mkataba unaoiruhusu Rwanda kuwapokea wahamiaji wanaofurushwa Marekani. Serikali ya Rwanda imesema hayo Alhamisi. Msemaji wa serikali ya Rwanda Yolande Makolo, ameliambia shirika la Habari la…

Uncategorized

Malawi yakabiliwa na uhaba wa dawa za kifua kikuu

August 28, 2025 mjombazecoder

Malawi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa za kifua kikuu, huku maafisa wa afya wakionya kuwa akiba wanayo itaisha mwishoni mwa Septemba. Imechapishwa: 28/08/2025 – 17:25 Dakika 2 Wakati wa…

Uncategorized

#VIDEO: “Jambo jengine tutapiga marufuku, ndugu wananchi tutapiga marufuku hospitali yoyote nchini kuzuia miili ya marehemu kuch…

August 28, 2025 mjombazecoder

#VIDEO: “Jambo jengine tutapiga marufuku, ndugu wananchi tutapiga marufuku hospitali yoyote nchini kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa………. ” – Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Uncategorized

Ulaya yalaani vikali mashambulizi ya Urusi Ukraine

August 28, 2025 mjombazecoder

Haya yanafanyika wakati ambapo Urusi imesema bado ina nia ya kufanya mazungumzo ya kusitisha vita vya Ukraine. Baada ya mashambulizi hayo ya Urusi mjini Kyiv, mkuu wa Halmashauri Kuu ya…

Uncategorized

Niger yalipiza kisasi, yaweka masharti magumu kwa wasafiri kutoka nchi za Ulaya

August 28, 2025 mjombazecoder

Kufuatia sheria mpya ya usafiri iliyowekwa na serikali ya Niger, raia wa nchi zilizoathirika sasa inawalazimu wawasilishe maombi yao ya visa katika balozi za Niger zilizoko Russia, Uswisi, na Uturuki.…

Uncategorized

Kampuni ya Dangote kutoka Nigeria na Ethiopia kujenga kiwanda cha mbolea cha dola Bilioni 2.5

August 28, 2025 mjombazecoder

Ethiopia imetia saini makubaliano na kampuni ya Dangote kutoka Nigeria ya kujenga kiwanda cha kutengeneza mbolea kitakachogharimu doma Bilioni 2.5, Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ametangaza leo Alhamisi katika…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA : AGOSTI 28, 2025 –

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA : AGOSTI 28, 2025 –

Uncategorized

#HABARI: Mahakama ya Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 10 mwaka huu, kusikiliza maombi ya walalamikaji katik…

August 28, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mahakama ya Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 10 mwaka huu, kusikiliza maombi ya walalamikaji katika kesi ya mgawanyo wa mali ambayo imefunguliwa na Mwenyekiti Mstaafu…

Uncategorized

#HABARI: Wakazi wa Kata ya Kwakoa wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kumsindikiza Mgombea udiwani wa Kata ya Kw…

August 28, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakazi wa Kata ya Kwakoa wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kumsindikiza Mgombea udiwani wa Kata ya Kwakoa Bw. kiende Mvungi kwenda kurudisha fomu ya kugombea udiwani, katika Ofisi ya…

Uncategorized

Nchi saba zaihimiza UN kuimarisha kikosi cha usalama Haiti

August 28, 2025 mjombazecoder

Mataifa ya Marekani, Canada, na Kenya ni miongoni mwa nchi saba zinazolitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukiimarisha Kikosi maalumu cha Usalama cha kimataifa (MSS) kilichopelekwa Haiti kupambana…

Uncategorized

Mamilioni ya Waisraeli wajificha kwenye mahandaki baada ya kombora la Yemen kulenga uwanja wa ndege

August 28, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Yemen limefanikiwa tena kulenga Ben Gurion, uwanja mkubwa wa ndege wa utawala wa Israel, katika operesheni mpya ya kuunga mkono Wapalestina ambayo ilisababisha makaazi ya walowezi haramu kukimbilia…

Uncategorized

#HABARI: Chama cha ACT Wazalendo, kimemlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), Jimbo la Itilima, lililo…

August 28, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama cha ACT Wazalendo, kimemlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), Jimbo la Itilima, lililopo mkoani Simiyu, Bw. Polycarp Ntapanya, kushindwa kupokea fomu ya mgombea Ubunge…

Uncategorized

#VIDEO: Wakati shughuli za uzinduzi wa Kampeni za CCM zikiendelea Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, Heli…

August 28, 2025 mjombazecoder

#VIDEO: Wakati shughuli za uzinduzi wa Kampeni za CCM zikiendelea Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, Helikopta ilikuwa sehemu ya kampeni hizo ambapo imeonekana ikipita na Picha…

Uncategorized

Afrika Kusini: Mauaji ya Wapalestina yameongezeka sana, Israel inapaswa kusitisha vita

August 28, 2025 mjombazecoder

Afrika Kusini imesema mauaji ya Wapalestina yanazidi kuongezeka na hivyo imeutaka utawala wa Israel uafiki mkataba wa kusitisha mapigano uliojadiliwa na wadau wote muhimu. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Posts pagination

1 … 1,085 1,086 1,087 … 1,098

Recent Posts

  • Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba
  • Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London
  • Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi
  • Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar
  • Uwanja AFCON Arusha wafikia asilimia 88

Recent Comments

  1. DouglasPrurb on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. GordonJardy on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. Gregoryworie on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. WilliMer on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. RalphSlorm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANANCHI

Mradi wa nyumba Magomeni Kota kukamilika Oktoba

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania yaorodhesha hatifungani katika Soko la Hisa la London

July 26, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania marks World Kiswahili Language Day 2026 in Malawi

July 26, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Sh111 bilioni kutumika upimaji ardhi kidijitali  Zanzibar

July 26, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS