‘Inclusive economy fosters unity’
ARUSHA: THE government has reaffirmed its commitment to building an inclusive economy, emphasising that it remains a cornerstone for strengthening peace, unity and shared prosperity among all citizens. Prime Minister…
Soil mapping plan covers 19 regions
DODOMA: THE government has made significant strides in implementing the National Soil Health Testing Programme, which has so far covered 19 regions across the country. About 90,000 soil samples have…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 19, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Government eyes gas for power boost
WASHINGTON: TANZANIA is ramping up natural gas use in electricity generation as it targets 8,000 megawatts by 2030, placing the resource at the core of its energy expansion strategy. Energy…
INQUIRY COMMISSION: Homegrown solution lauded
DAR ES SALAAM: TANZANIANS have been urged to embrace homegrown reconciliation efforts following the government’s decision to establish a commission of inquiry into the October 29, 2025 incidents, a move…
Mamelodi, FAR Rabat zatinga fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini na FAR Rabat ya Morocco zimefanikiwa kutinga hatua ya...
Serikali kuimarisha miundombinu Mara
MARA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa Serikali itaendelea kujenga na kukamilisha barabara zilizopo mkoani Mara kwa kiwango cha lami. Hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na kurahisisha huduma…
Ruto asema viongozi wa Upinzani ni wagonjwa wanahitaji kumuona daktari: “Tutawapeleka hospitali”
Rais William Ruto alidai kughadhibika na kukemea hadharani ni dalili za ugonjwa, akiongeza kuwa wakosoaji wake wameonyesha dalili kama hizo na huenda wanaugua.
Kenya Police waisogeza Gor karibu na lango la ubingwa baada ya kuwafunga AFC Leopards
AFC Leopards walipata pigo kubwa katika kinyang'anyiro cha ubingwa baada ya kupoteza 3-0 dhidi ya Kenya Police FC mechi nzito iliyopigwa katika Uwanja wa Nyayo
Chadema kusaka mrithi wa Wenje Kanda ya Victoria
Ezekiel Wenje alihamia Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2025.
Emmanuela Mtatifikolo, ameonesha dhamira yake ya dhati ya kuwatumikia wananchi kwa kuchukua na kurejesha fomu ya kuwania nafasi …
Emmanuela Mtatifikolo, ameonesha dhamira yake ya dhati ya kuwatumikia wananchi kwa kuchukua na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Isimani. Hatua hii inaakisi utayari wake wa…
18 CCM wachukua, kurudisha fomu kumrithi Lukuvi Isimani
Imeelezwa kuwa idadi hiyo inajumuisha wanamume 16 na wanawake wawili.
Bodaboda walioshtakiwa kwa kusafirisha bangi kilo 150 waachiwa
Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewaachia huru waendesha...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi dk Charles Msonde amepongeza Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania TEMESA kwa kuweza kuboresha m…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi dk Charles Msonde amepongeza Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania TEMESA kwa kuweza kuboresha muundo wa mpya wa watumishi na kutatua changamoto mbalimbali za…
Serikali: Tuitumie AFCON 2027 kukuza utalii
Amesema waongoza watalii ni wadau muhimu katika kukuza sekta hiyo, wakichangia ongezeko la...
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Misitu nchini, Dkt
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Misitu nchini, Dkt. Tuli Msuya, amesema jumla ya miradi 137 imechaguliwa kunufaika na ruzuku kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kati ya zaidi ya maombi 400…
Mwenge wa Uhuru watua Pwani, miradi ya Sh200 bilioni kukaguliwa
Pwani. Bagamoyo Mwenge wa Uhuru 2026 leo Jumamosi Aprili 18, 2026 umekabidhiwa rasmi kutoka...
CCM yashauri Serikali kuharakisha mradi wa barabara ya njia nne Mbeya
Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimeishauri Serikali kuharakisha mchakato wa...
Ishu ya Chobwedo, TRA iko hivi
UONGOZI wa TRA United kupitia mwenyekiti wake, Kamna Shomari umevunja ukimya na kuweka wazi kwamba hawana taarifa ya mchezaji wa timu hiyo, Ramadhan Salum ‘Chobwedo’ kusaini katika chama lingine kwani…
Tamasha la Family Day linaloandaliwa na Chuo cha Maafisa wa Polisi Tanzania – Kidatu kilichopo Mkoani Morogoro, limeendelea kuwa…
Tamasha la Family Day linaloandaliwa na Chuo cha Maafisa wa Polisi Tanzania – Kidatu kilichopo Mkoani Morogoro, limeendelea kuwa chachu ya kuimarisha uhusiano kati ya jeshi la polisi na jamii…
Straika Mkenya Pamba Jiji apata ahueni
MSHAMBULIAJI nyota wa Pamba Jiji, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi, anaendelea vizuri kwa sasa baada ya kushindwa kuendelea na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya timu ya TRA United, iliyopigwa juzi…
Wananchi 12,216 Maswa kunufaika na mradi wa maji wa Sh1.2 bilioni
Mradi huo unahusisha ujenzi wa tenki la kuhifadhi na kusambaza maji kwenye mnara wa urefu wa...
Madiwani Lindi walalamikia ubovu wa barabara
Ameendelea kusema kuwa wakiacha hali hiyo iendelee, wakulima wa ufuta watalazimika kupeleka...
Wavuvi katika Halmashauri ya Mtama, Wilayani Lindi, Mkoani Lindi, wametakiwa kujisajili ili waweze kutambulika na kupata mikopo …
Wavuvi katika Halmashauri ya Mtama, Wilayani Lindi, Mkoani Lindi, wametakiwa kujisajili ili waweze kutambulika na kupata mikopo ambapo hadi sasa wavuvi 200 ndiyo wamejisajili na kutambulika rasmi na kwamba hatua…
Vita ya clean sheet yamuibua Mgaboni
KIPA wa TRA United raia wa Gabon, Jean-Noel Amonome, amesema licha ya kutoruhusu bao katika mechi tisa za Ligi Kuu Bara msimu huu kwa maana ya kufikisha (Clean Sheets tisa),…
Varane awindwa Singida BS
MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza mchakato wa kumfuatilia beki wa kati wa Police FC ya Rwanda, Mghana Issah Yakubu ‘Varane’, ili kuipata saini yake mapema, baada ya menejimenti ya…
Viongozi wa dini, siasa waaga miili waliokufa mvua
KAGERA: Viongozi mbalimbali wa Serikali,siasa na dini wameungana na wananchi wa Kata ya Kibeta mtaa wa Anyama kushiriki Ibada ya kuaga miili ya watoto 2 kati ya 4 wa familia…
Kocha Dodoma Jiji afuta mapumziko, kujipanga upya
BAADA ya Dodoma Jiji kupoteza mechi mbili mfululizo, kocha wa timu hiyo, Amani Josiah, amesema wachezaji wa kikosi hicho hawatakuwa na mapumziko, licha ya Ligi Kuu Bara kusimama ili kupisha…
Vita ya KVZ, Polisi Ligi Kuu Zanzibar
MZUNGUKO wa 23 wa Ligi Kuu Zanzibar umeanza kuchezwa Aprili 18, 2026 kwa michezo miwili kati ya Mlandege na Muembe Makumbi wakati Fufuni ikisaka alama tatu kwa Junguni kisiwani Pemba.
Oburu Oginga ahangaika kuhusu mvutano na UDA, amtaka Ruto kuwakemea vijana wake: “Anafaa kuwabwekea”
Oburu Oginga wa ODM alimshauri Rais Ruto kuwadhibiti viongozi wa UDA wakati kukiripotiwa mvutano katika muungano wao unaopinga ushirikiano licha ya mazungumzo.
Hizi hapa nauli mpya za mabasi, daladala
Tangazo hilo limetolewa jana Ijumaa Aprili 17, 2026 kupitia Gazeti la Serikali ambapo zitaanza...
Necta: Itakuwa aibu mwanafunzi wa darasa la nne kutojua kusoma na kuandika
Profesa Mohamed amesema hatua ya kuwapima wanafunzi wakiwa darasa la pili imeiwezesha Serikali...
Larry Madowo akiri alitaka kuwa kasisi Mkatoliki, asema huenda akawazia kuurejelea Papa akimuita
Larry Madowo alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha CNN ambapo alikiri kwamba alitaka kuwa kasisi Mkatoliki. Alitania kuhusu kile kingemfanya afikirie upya.
Video: Mbunge wa UDA amuaibisha Gachagua, amkemea wakati akihotubia waombolezaji kupitia simu
Mvutano ulizuka wakati wa mazishi Kirinyaga baada ya hotuba ya naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua kupitia simu kuzua mzozo kati ayke na Mbunge Mary Maingi,
Ekuru Aukot awahimiza Wakenya kujitokeza kuteta kuhusu bei ya mafuta: “Acha tukunywe teargas”
Ekuru Aukot ameunga mkono maandamano ya kitaifa dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta, akiwahimiza Wakenya kujitokeza na kuchukua hatua dhidi ya ugumu wa maisha.
DStv, SuperSport Kurusha ‘Live’ Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia 2026
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya matangazo ya michezo ya SuperSport kwa kushirikiana na DStv imetangaza kuwa itarusha mubashara mechi zote 104 za FIFA World Cup 2026, mashindano yatakayofanyika katika nchi…
Wajumbe wa Jumuhiya ya Tawala za Mitaa Tanzania(ALAT) Mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na Mwenyekiti waowamefanya ziara katika ha…
Wajumbe wa Jumuhiya ya Tawala za Mitaa Tanzania(ALAT) Mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na Mwenyekiti waowamefanya ziara katika halmashauri ya Jiji la Mwanza ziara iliyokua na lengo la kujifunza na kujionea…
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ametutakia ‘Wikiend Njema’ kwa ujumbe wa kutakiana mafanikio na kheri badala ya kuombean…
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ametutakia 'Wikiend Njema' kwa ujumbe wa kutakiana mafanikio na kheri badala ya kuombeana mabaya na maanguko. Kwa namna anavyoyarudi....unasemaje? Amepatia kwenda na mistari…
Wakati hospitali ya rufaa ya kanda Bugando ikifanikisha upasuaji wa kwanza wa upandikizaji wa figo, madaktari bingwa kutoka hosp…
Wakati hospitali ya rufaa ya kanda Bugando ikifanikisha upasuaji wa kwanza wa upandikizaji wa figo, madaktari bingwa kutoka hospitali hiyo na hospitali ya Benjamin Mkapa ya jijini Dodoma wamesema ili…
Mwanamke wa Turkana, 33, Apoteza Miguu Yote Baada ya Kung’atwa na Mamba Akiogelea
Mama wa Turkana alipoteza miguu yote baada ya kushambuliwa na mamba huku maji ya Ziwa Turkana yakiongezeka kwa viwango hatari na kuongeza hatari kwa jamii
Wachimbaji wadogo wa madini katika migodi midogo iliyopo kata ya Mwakitolyo, halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wamesimamisha sh…
Wachimbaji wadogo wa madini katika migodi midogo iliyopo kata ya Mwakitolyo, halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wamesimamisha shughuli zao kwa muda wakipinga kuanzishwa kwa tozo mpya ya Shilingi 200,000 kwa…
Kufuatia wilaya ya Kongwa kufanya vizuri katika mitihani ya Taifa ya ngazi mbalimbali za elimu kwa mwaka 2025, walimu wanaofundi…
Kufuatia wilaya ya Kongwa kufanya vizuri katika mitihani ya Taifa ya ngazi mbalimbali za elimu kwa mwaka 2025, walimu wanaofundisha kwenye wilaya hiyo wamepongezwa ikiwa ni sehemu ya hamasa ya…
JK, Ruto hold talks in renewed efforts to restore stability in South Sudan
NAIROBI: THE Former Tanzanian President, Jakaya Mrisho Kikwete, has intensified regional efforts to restore stability in South Sudan after holding high-level talks with William Ruto in Nairobi on Thursday, April…
Mwanajeshi wa Ufaransa auawa na wengine 3 wajeruhiwa katika shambulio la kuvizia Lebanon
Mwanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Mataifa kutoka Ufaransa ameuawa leo Jumamosi nchini Lebanon katika shamulio la kuvizia, amesema Waziri wa Ulinzi Catherine Vautrin. Sajenti Meja Florian Montorio “alikuwa kwenye…
Chama cha Wataalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Chakula nchini wameihimiza serikali kutafuta namna ya kuongeza elimu kuhusu usal…
Chama cha Wataalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Chakula nchini wameihimiza serikali kutafuta namna ya kuongeza elimu kuhusu usalama wa chakula tangu kinapoanza kulimwa mpaka kinapomfikia mlaji kwa madai kuwa…