Magazeti ya Kenya: ODM yasitisha mazungumzo ya muungano na UDA, yapiga marufuku kampeni za ‘Two tam’
Siku ya Ijumaa, Aprili 17, 2026, magazeti yaliangazia mvutano unaoongezeka katika serikali pana huku Chama cha ODM kikizidisha msimamo wake dhidi ya UDA.
Jina lililojificha nyuma ya tukio la Diamond, Simba Day
Unakumbuka ile Simba Day ya mwaka 2020 ambayo msanii Diamond Platnumz, alishuka na helikopta...
Wanyama wanaofugwa nyumbani wanavyozikwa kifahari nchini Kenya
''Sio paka wakula panya, ni rafiki anayekutoa msongo wa mawazo'', Muthoni Nyokabi, daktari wa mifugo anaiambia BBC.
Samia aeleza mapinduzi ya upasuaji ubongo
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imepiga hatua kubwa katika kuimarisha huduma za...
Usitishaji vita wa siku kumi kati ya Israel na Lebanon waanza kutekelezwa
Iran inasisitiza kuwa Lebanon ni ''sehemu'' ya makubaliano ya awali ya usitishaji vita kati yake na Marekani.
Picha za satelaiti zilivyofichua ukubwa wa mashambulizi ya Israel huko Lebanon
BBC Verify iligundua kuwa zaidi ya majengo 1,400 yameharibiwa tangu tarehe 2 Machi.
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Mustakabali wa Rashford Barcelona haujulikani
Mustakabali wa Marcus Rashford Barcelona haujulikani, Anthony Gordon kuchagua kati ya Bayern Munich na Arsenal, huku Manchester City wakimuwania Eduardo Conceicao.
Mbeya City yaachana na Mecky Maxime usiku
Kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa Yanga, leo Alhamisi, Juni 16, 2026 kwenye Uwanja wa KMC...
Wizara Ya Maliasili na Utalii mguu sawa kuelekea AFCON 2027
WIZARA ya Maliasili na Utalii, imewahakikishia wawekezaji na wadau wa michezo ushirikiano wa kutosha kuwezesha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ili kuongeza thamani ya vivutio vya utalii vilivyopo…
Mbeya City yaachana na Maxime baada ya siku 130
UONGOZI wa Klabu ya Mbeya City, umetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha mkataba wa Kocha Mecky Maxime pamoja na wasaidizi wake ambao ni Nizar Khalfa (Kocha Msaidizi)…
Walimu waliowezesha ufaulu kuongezeka 2025 wakumbukwa kwa tuzo Kibaha
Uongozi wa Manispaa ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani umewapongeza walimu wa shule za msingi na...
Mgomo wa daladala Tanga waingia siku ya pili, usafiri bado wateteraka
Hali ya usafiri wa daladala katika Jiji la Tanga bado haijaimarika kutokana na mgomo unaoendelea.
Daladala zakatisha safari Arusha, abiria walalamika nauli kuongezeka
Wananchi wa Jiji la Arusha wameilalamikia tabia ya baadhi ya madereva wa daladala kukatisha...
Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kutua rasmi bungeni
Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria...
Watu 61 mbaroni kwa tuhuma ya kuvunja sheria
Jeshi la Polisi jijini Mwanza linawashikilia watu 61 kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi na...
Babu Aanika Picha Yake Akifua Nguo na Kudai Mabinti Zake Walimtoroka, Mmoja Wao Ajibu
Mzee Jacobs alizua mjadala mtandaoni baada ya kujianika akiteta kwamba mabinti zake wamemhepa jambo lililoibua jibu kutoka kwa Celia ambaye alikanusha madai hayo
Global HackAtom spreads wings to Africa
Twenty student teams from Namibia took part in a 24 hour nuclear technology challenge, with the winning team now set to compete at the Global HackAtom international finals in Russia…
Wanaodaiwa kuiibia benki Sh5.7 bilioni majadiliano kumaliza kesi
Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili washtakiwa tisa, wanaokabiliwa na...
Imani mpya sokoni hatifungani EFTA ikivuka lengo
Soko la mitaji nchini limepata msukumo mpya baada ya hatifungani ya kampuni ya Equity for...
Rekodi tamu za Yanga ikiipa kichapo Mbeya City
Yanga imeendelea kuwa tishio katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya leo, Alhamisi, Aprili 16...
NMB yatoa vifaa vya afya, elimu Kagera
KAGERA: Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya elimu na Afya vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 103.2 kwa shule za msingi, sekondari na zahanati mkoani Kagera.…
Kipa wa Arsenal na Liverpool afariki kwa ajali
Vilabu mbalimbali alivyowahi kuchezea tayari vimetoa salamu za pole, ikiwemo Salzburg, ambayo...
Yanga yaipiga Mbeya City 6-0, ikiandika rekodi mbili
YANGA imeendelea kuwa tishio katika Ligi Kuu Bara ikishusha kipigo kingine kikali msimu huu, ikiichapa Mbeya City kwa mabao 6-0, huku ikiandika rekodi mbili.
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala, ametoa agizo kali kwa madereva wanaopaki nje ya stand ndogo ya Kaloleni kuhakikisha …
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala, ametoa agizo kali kwa madereva wanaopaki nje ya stand ndogo ya Kaloleni kuhakikisha wanaingia ndani ya eneo rasmi la stand hiyo kwa ajili…
“TUNAWASUBIRI CHADEMA KWA HAMU WALIWEKA MPIRA KWAPANI.” Katibu wa NEC Itikadi uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tai…
"TUNAWASUBIRI CHADEMA KWA HAMU WALIWEKA MPIRA KWAPANI." Katibu wa NEC Itikadi uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Kenani Kihongosi (Feed generated with FetchRSS)
Unataka kwenda China, ujumbe huu unakuhusu
Baada ya madai ya baadhi ya wananchi kuwa Ubalozi wa China nchini Tanzania hauna utaratibu...
BASATA assigns Tunu Halisi to pen AFCON special song for winning Rising Star Award
DAR ES SALAAM: THE National Arts Council of Tanzania (BASATA) has announced emerging artist Tunu Halisi as the winner of the BASATA Rising Star Awards, assigning him the responsibility of…
IGP Wambura aeleza maboresho vituo vya afya vya polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amesema vituo vya afya vya polisi...
Donald Trump atangaza kwamba Israel na Lebanon zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku 10
Rais wa Marekani Donald Trump amezungumza na mwenzake wa Lebanon, Joseph Aoun, na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Alhamisi, Aprili 16. Imechapishwa: 16/04/2026 – 18:15 Dakika 1…
Afrika imepata maendeleo katika chanjo, lakini mamilioni ya watoto bado wametengwa
Licha ya maendeleo makubwa katika chanjo barani Afrika, mamilioni ya watoto bado wananyimwa chanjo. Hii ni moja ya matokeo ya ripoti iliyochapishwa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO). Imechapishwa:…
Aliyekutwa na kucha, meno ya Simba akwaa kisiki mahakamani
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Sumbawanga, imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Zahoro Masala...
CCM yaikaribisha Chadema ulingoni, kushindana kwa hoja na sera
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefurahishwa na uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Rufaa kukirudisha...
Wajumbe wa DRC na Rwanda wakabiliana tena katika Umoja wa Mataifa, Marekani yaonya
Vita vipya vya maneno vimezuka kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Mnamo Aprili 15, hali mashariki mwa DRC,…
Wananchi wataka nembo ya BoT kwenye fomu za mikopo kudhibiti ‘mikopo umiza’
Wakati malalamiko ya wananchi kuumizwa na mikopo isiyo rasmi yakiongezeka, wakazi wa Wilaya ya...
Chakwera ahitimisha ziara yake nchini, akibeba matumaini ya wadau
Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Lazarus Chakwera amehitimisha ziara yake ya...
Ligi ya Mabingwa: Arsenal yapata heri kubwa kabla ya nusu fainali dhidi ya Atletico Madrid
Arsenal yakabiliana na Atletico Madrid katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa, ikinufaika na sheria mpya za UEFA zinazowapa faida nyumbani katika mechi ya pili.
Tuzo za ATI Bima kuchochea ushindani, fursa sekta ya bima
Sekta ya bima nchini inatarajiwa kunufaika na ongezeko la ushindani, ubunifu na uaminifu wa...
Mwanasheria wa zamani wa klabu ya Yanga SC na wakili wa FIFA pamoja na International Criminal Court, Simon Patrick, ameteuliwa k…
Mwanasheria wa zamani wa klabu ya Yanga SC na wakili wa FIFA pamoja na International Criminal Court, Simon Patrick, ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya AFCON.…
Julius Malema: Kiongozi msema kweli wa EFF ahukumiwa miaka 5 jela kwa tukio la kufyatua bastola
Julius Malema wa Afrika Kusini amehukumiwa miaka mitano jela kwa kumiliki silaha kinyume cha sheria hatimaye kuweka EFF taabani na kutishia nafasi yake ya ubunge.
Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050
DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo Taifa linapaswa kuyazingatia ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa…
Maswa yapata majiko banifu 1,247
Wakati gharama za nishati ya kupikia zikiendelea kuwa mzigo kwa wananchi wengi vijijini, ujio...
Tanzania envisions good performance of its entities in the Public Investment Bill
DODOMA: THE Tanzanian government has said it will finalise the Public Investment Bill in the 2026/27 financial year as part of a broader strategy to strengthen the performance of public…
Brazamen arudi nyumbani baada ya kusota hadi kuoa bi kizee kwa sababu ya chakula na malazi Marekani
Mchekeshaji MC Kapale amerudi nyumbani baada ya kukaa Marekani kwa shida, akishiriki mapambano ya ndoa, kuishi, na majuto ya kufuata ndoto ya Marekani.
Madeleka: Wananchi waache kujichukulia sheria mkononi
Wakati Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha likiendelea kuwasaka wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya...
UDA yamlima Gachagua kwa kupanga maandamano ya kuteta kuhusu bei ya mafuta: “Mau Mau bandia”
UDA imetetea kupanda kwa bei ya mafuta, ikilaumu vikosi vya kimataifa, huku kukiwa na shutuma za upinzani. Hassan Omar amekosoa wito wa kuandaliwa kwa maandamano
Sh430 milioni zilivyosaidia elimu Bugurula
Zaidi ya wanafunzi 470 wa Shule ya Msingi Bugurula wilayani Geita Mkoa wa Geita waliokuwa...