IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa, wahalifu wa Kimarekani na Kizayuni wajue kwamba hakuna hata moja kati ya jinai na mauaji ya kidhulma wanayofanya yatakayopita bila…
YouVersion opens Kenya hub as Africa leads Bible growth
NAIROBI, Kenya—YouVersion, creator of the world’s most popular Bible App, has opened a Regional Hub in Kenya to support the significant Bible engagement momentum already underway across Africa. The opening…
Wakazi Meru wawashutumu wabunge wao kwa kumhadaa Ruto kuhusu miradi ya maendeleo eneo hilo
Wenyeji wa Meru wana hasira kuhusu miradi iliyokwama. Wanawashutumu Wabunge wao kwa kushindwa kuwasiliana na Rais Ruto kuhusu hali halisi iliyopo.
Sunil Mittal atunukiwa tuzo ya maisha ya GSMA kwa mageuzi ya mawasiliano duniani
Taasisi ya kimataifa ya sekta ya mawasiliano ya simu, GSMA, imemtunuku Tuzo ya Maisha (Lifetime...
Kampeni yamzawadia mshindi Sh100 milioni
Kupitia Kampeni ya ‘Tunasheherekea Pamoja - Mwaka Mmoja wa Yas, Veronica Kilango, mkazi wa...
UN yataka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu wasichana wadogo 167 waliouliwa na US/Israel
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu shambulio lililolenga skuli ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab kusini mwa Iran.
Familia yampokea kwa furaha jamaa yao ambaye amekuwa gerezani kwa miaka 20, asimulia kilichotokea
John Wakabiu alisherehekea uhuru wake aliosubiri muda mrefu baada ya miaka 20 gerezani, akisimulia kisa chake na klufurahia joto la familia yake nyumbani.
Sekta ya sanaa yatakiwa kuwekewa mifumo ya kazi zenye staha
Wakati sekta ya sanaa na ubunifu ikiendelea kukua kwa kasi na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana...
Video: Picha zanasa watu wakiokolewa Yare Plaza baada ya jengo hilo kushika moto mtaani Eastleigh
Moto katika Yare Plaza huko Eastleigh ulisababisha machafuko huku wakazi wakiokolewa, mtu mmoja akitoroka kwa kamba, na mamlaka zikaanza uchunguzi kuhusu moto huo.
Ruto na Sakaja wazindua Hospitali ya Mutuini yenye vitanda 400, inatarajiwa kufunguliwa rasmi Aprili
William Ruto na Sakaja waimarisha huduma ya afya ya Nairobi kwa kupanua Hospitali ya Mutuini, wakiongeza uwezo, huku wakipa kipaumbele utoaji wa huduma bora.
Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi
Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani...
IRGC: Majibu yajayo yatakuwa makali zaidi, Tel Aviv yateketea kwa makombora
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, kiwango cha nguvu za makombora kitaongezwa na mwendelezo wa mashambulio dhidi ya maadui wavamizi utazidi kurefushwa.
Kichanga chaokotwa kikiwa kimefariki Njoro, wananchi walaani
Katika hali ya kusikitisha, kichanga cha kike kimeokotwa kikiwa kimetelekezwa katika eneo...
Kifo cha mwanafunzi, padri awataka waumini wasimlaumu yeyote
Mwili wa mwanafunzi wa darasa la nne, Shule ya Msingi Terrat, Daniel Massawe (11) umeagwa...
Diaspora kuvutwa uwekezaji kwenye hisa Tanzania
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeshauriwa kuongeza nguvu ili kuwavuta Watanzania...
Mahakama ya Rufani yapigilia msumari kifungo cha maisha jela kwa mbakaji
Hivi kama mama utaumia kiasi gani unapomkuta papo hapo, mpenzi wako anambaka mtoto wako mdogo...
Manahodha Bara watia neno kanuni za Ligi Kuu
WAKATI kumekuwa na mijadala kuanzia mtaani hadi mitandaoni kuhusu kanuni za Ligi Kuu Bara msimu huu ambao zimeonekana kuuma kwelikweli, baadhi yaa mastaa na manahodha wa klabu za ligi hiyo…
China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitizia ulazima wa faili la nyuklia la Iran kuondolewa kwenye wingu la vita.
Azam vs Yanga kupigwa Chamazi
MAJIBU ya maswali kuhusu wapi Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu itachezwa yamepatikana baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kupisha…
Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna
Mamia ya wanachama wa asasi zinazopinga vita, wanaharakati wa haki za binadamu na wapinzani wa uchokozi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran wameandamana katika mitaa…
Baba Levo, AG kidedea, mahakama yakataa nyaraka kukaguliwa
Mahakama Kuu Kigoma, imekataa maombi ya kukagua na kujiridhisha kuhusu nyaraka mbalimbali za...
Meneja Singida BS atuma salamu Yanga
MENEJA Mkuu wa Singida Black Stars, Othmen Najjar amesema kikosi kipo tayari kwa mtihani wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga itakayochezwa Alhamisi hii Machi 5, 2026, akiweka wazi maandalizi…
Tanroad kufunga taa maeneo ya kona kali barabara ya Mbeya – Chunya
Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mbeya umeanza kufunga taa za kisasa katika...
Hasheem Thabeet kuanza na haya kikapu
RAIS mpya wa TBF, Hasheem Thabeet amesema mambo mazuri yanakuja baada ya kuchaguliwa kuliongoza shirikisho hilo la mpira wa kikapu nchini akigusia ligi ya kikapu kupigwa mikoa yote.
Mbeya City hali tete ikichapwa nyumbani na Fountain Gate
Mbeya City ambayo awali ilikuwa nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi na pointi zake 13, imeshuka...
Mossad walivyodukua kamera za barabarani, kumuua Khamenei
Mashambulizi ya anga Mashariki ya Kati yameingia siku ya nne leo huku milipuko mikubwa...
Mbegu za asili zaidi ya 1,000 zimeingizwa kwenye mfumo rasmi
Serikali imesema kuwa hadi sasa imefanikiwa kutunza mbegu za asili zaidi ya aina 1,000 ambazo...
Fountain Gate yailaza Mbeya City kwao
MBEYA City imeendelea kuwa na matokeo ya kusuasua kwenye Ligi Kuu Bara baada ya kuchapwa bao 1-0 na Fountain Gate kwenye mechi kali ya kufunga mzunguko wa kwanza kwa timu…
Vijana 6,000 kufanya kazi nje, Serikali kuwachongea njia
Serikali imesema licha ya kutoa fursa kwa vijana kupata mafunzo ya uanagenzi bila gharama...
Mara yapanga bajeti ya Sh488.9 bilioni
Sekretarieti ya Mkoa wa Mara pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani humo zinatarajia...
Tanzania affirms ties with global firms on environment, climate change
ZANZBAR: THE Tanzanian government has strengthened international cooperation and made significant contributions to regional and global matters concerning the environment and climate change, the Minister of State in the Vice…
Tume ya uchunguzi yakutana na Abdurahman Kinana
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, jana Machi 2, 2026 imekutana na mwanasiasa mkongwe wa Chama…
Upgraded transport industry earns Tanzania 12tri/- through customs duties
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has said that major improvements undertaken in the transport sector have brought positive transformation in the performance of the country’s ports, enabling them…
Rais Samia aelekeza hatua za kimkakati hifadhi ya mafuta nchini
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo mahsusi kwa Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya...
ACT Wazalendo yaja na mnara kuwakumbuka waliopoteza maisha Oktoba 29
“Machozi ya mama anayesubiri kurejeshewa mwili wa mwanae ni kilio kisicho na sauti, lakini...
Tanzanian tourism dictates terms at ITB Berlin Travel Trade Show
BERLIN: TANZANIA has made a powerful entry to the world’s leading travel trade show, ITB Berlin, with over 70 tour companies and more than 169 delegates flying the national flag…
Biopsies can’t cause breast cancer to spread, Council rubbishes claims
DAR ES SALAAM: THE Traditional and Alternative Medicine Council has dismissed claims circulating online that breast cancer biopsies cause the disease to spread, calling them scientifically unfounded. The council made…
Dr Samia graces the construction of 15 oil tanks amid shocks in the global oil market
DAR ES SALAAM: TANZANIAN President, Dr Samia Suluhu Hassan, has today, March 3, 2026, laid the foundation stone for the Oil Receiving and 15 Storage Tanks Construction Project at the…
Vita vya Marekani-Israel dhidi ya Iran: “Niliuza vitu vyangu nikijua nitasafiri” – Mkenya
Mashambulizi yanayofanywa na Marekani, Isrel na Iran yametatiza pia safari za anga katika maeneo mbalimbali duniani.
Sydney Carter: Kocha anayevunja mipaka uwanjani
SYDNEY Carter ni mmoja wa wanawake waliotengeneza jina kubwa katika ulimwengu wa mpira wa kikapu, si tu kama mchezaji bali pia kama kocha mwenye ushawishi mkubwa ndani na nje ya…
Ripoti: Uandishi wa habari za Afya Afrika unakabiliwa vikwazo
DAR ES SALAAM: RIPOTI ya Mitindo ya Vyombo vya Habari vya Afya Afrika ya 2026 iliyotolewa jijini Nairobi na taasisi ya FINN Partners imesema kuwa uandishi wa habari za afya…
TSL yazindua mifuko miwili kupanua fursa za uwekezaji
Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imezindua mipango miwili mipya ya uwekezaji wa...
Wafanyabiashara watakiwa kuzifahamu sheria za ushindani
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara, Sempeho Manongi, akimwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, amewataka wafanyabiashara na wadau wa soko nchini kujielimisha kuhusu…
Serikali kukamilisha maandalizi mkakati kukabiliana na wanyama wakali
Serikali imesema inaendelea kukamilisha maandalizi ya Mkakati wa Kitaifa wa Kukabiliana na...
Kesi ya ‘Dk Manguruwe’ Shahidi aeleza alivyotapeliwa milioni 1.5 kilimo cha soya
Shahidi wa 20 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kuendesha biashara ya upatu inayomkabili...
Tsavorite marvels Tanzania’s gemstone paradise at global markets
ARUSHA: TANZANIA’S Tsavorite gemstone has continued to make its mark on international markets, celebrated not only for its vivid green brilliance but also for its economic and strategic value. The…