Megan ajiandaa kisaikolojia kuolewa na Klay Thompson
Rapa wa Marekani, Megan Thee Stallion ameweka wazi kuwa yuko tayari kuvishwa pete na kuolewa na...
Mahakama yaratibu tarehe ya uamuzi kuhusu kupanua benchi kesi ya kung’atuliwa kwa Rigathi Gachagua
Mahakama Kuu itatoa uamuzi mnamo Machi 2026 kuhusu ombi ambalo linaweza kubadilisha mwelekeo ambao kesi inayopinga uteuzi wa Kithure Kindiki itachukua.
Ukaguzi wathibitisha ubora wa bwawa JNHPP
PWANI: Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) imekagua maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika hilo na kuridhishwa na usimamizi pamoja na utekelezaji wake, uliokidhi viwango…
Mkenya anayeishi mtaa wa Kawangare awa wa kwanza kupata chanjo ya kuzuia maambukizi ya HIV
Samson Mutua, 27, ndiye Mkenya wa kwanza kupokea Lenacapavir, chanjo ya kuzuia maambukizi ya VVU inayofanya kazi kwa muda mrefu. Inaashiria hatua muhimu Kenya.
LIVE: Ibada ya kumuga Kardinali Pengo St Joseph
Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete...
TRA yaja kivingine huduma kwa walipa kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzindua ofisi zinazotembea kwa kutumia magari ya huduma kwa walipa kodi. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa…
TRA United thrash Fountain Gate
ARUSHA: TRA United beat Fountain Gate 4-1 in their Mainland Premier League clash at Black Rhino Sports Complex in Arusha on Wednesday. The win moves TRA United up to 10th…
Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Armenia kuhusu azma ya Iran ya kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbilii na majirani…
Mwanzilishi wa kampuni ya Easy Coach bilionea Azym Dossa afariki, Wakenya waomboleza
Sekta ya usafiri ya Kenya yaomboleza kifo cha Azym Dossa, mwanzilishi wa Easy Coach. Uongozi wake wenye maono uliacha urithi mkubwa katika usafiri wa masafa marefu.
Pakistan yatangaza ‘vita vya wazi’ dhidi ya Afghanistan, yashambulia Kabul na miji mingine
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesema, subira ya nchi yake kwa kundi la Taliban imemalizika na kwa hiyo imeingia kweye "vita vya wazi," dhidi ya Afghanistan.
LIVE: Wananchi walivyojitokeza kuaga mwili wa Kardinali Pengo
Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete...
Campaign launched to boost PWDs in football
DODOMA: THE Football Association for Persons with Disabilities in Dodoma has launched a new initiative to form dedicated football teams for young people living with disabilities. The association says the…
Pakistan strikes Afghanistan as PM says forces ready to ‘crush’ Taliban
PAKISTAN: Pakistan strikes the Afghan capital of Kabul as part of a wave of attacks across the country, according to a government official. As tensions flare, Pakistan’s PM says the…
Sea Cliff Golf Club launches free junior golf programme
ZANZIBAR: SEA Cliff Golf Club, Zanzibar, has unveiled a free Junior Golf Training Programme, signalling both sporting ambition and institutional transformation at the island’s premier golfing destination. The programme, open…
Kwimba farmers urged to adopt WRS
MWANZA: FARMERS cultivating green grams and lentils in Kwimba District, Mwanza Region, have been urged to adopt the Warehouse Receipt System (WRS) to strengthen postharvest management, improve market access and…
Dar Derby fever eclipses
DAR ES SALAAM: WITH just 48 hours to go before Dar es Salaam Derby roars to life, coaches from Tanzania’s football giants Young Africans SC and Simba SC have declared…
CCM: Pengo atakumbukwa kwa faraja, tumaini
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo alikuwa kiongozi wa kiroho mwenye hekima. Katibu Mkuu CCM,…
Vodacom backs SME growth through digital innovation
DAR ES SALAAM: VODACOM Tanzania is stepping up its efforts to empower small and medium-sized enterprises (SMEs) with practical and affordable digital solutions, underscoring the sector’s central role in driving…
TanTrade urges early pavilion registration
DAR ES SALAAM: BUSINESSES in Tanzania and abroad are urged to secure pavilion space early for the 50th edition of the Dar es Salaam International Trade Fair (DITF), to be…
UN: Wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wanarudi makwao kwa hiari, hawashurutishwi
Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR nchini Tanzania Bahia Egeh amesema, wakimbizi wa Burundi walioko nchini humo ambao wanarudi makwao, wanafanya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….FEBRUARI 27, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....FEBRUARI 27, 2026
Tanzania’s young designer makes global strides
DAR ES SALAAM: DREAMS often begin as quiet whispers in the heart, fragile and unseen. Yet, when nurtured with courage, discipline and persistence, they grow into powerful stories of transformation.…
#MICHEZO: Kuelekea dabi ya Simba na Yanga iltakayocheza Katika Uwanja wa New Amaan Zanzibar Machi mosi, Bodi ya Ligi imeweka wa…
#MICHEZO: Kuelekea dabi ya Simba na Yanga iltakayocheza Katika Uwanja wa New Amaan Zanzibar Machi mosi, Bodi ya Ligi imeweka wazi Waamuzi watakaochezesha mechi hiyo wakiongozwa na Mwamuzi wa kati…
PCCB saves 85m/- in Mwanza teachers’ allowance review
MWANZA: THE Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Mwanza Region has saved more than 85m/- following a review of the subsistence allowance payment system for secondary school teachers…
Public sector responsibility in protecting personal data
DAR ES SALAAM: AS government services become increasingly digital, a quiet but defining question sits beneath our progress: Who is protecting the citizen behind their personal data Every form completed…
#MEZAHURU; Je matumizi ya AI (Artificial Intelligence) yanaweza kuua baadhi ya vitu vya uhalisia kwenye maisha yetu ya sasa au k…
#MEZAHURU; Je matumizi ya AI (Artificial Intelligence) yanaweza kuua baadhi ya vitu vya uhalisia kwenye maisha yetu ya sasa au kuna faida zozote.? -weka maoni yako -saa tisa kamili
Martin Fayulu awasilisha pendekezo la mazungumzo ya kitaifa yakijumuisha makundi yenye Silaha
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado inajaribu kuondokana na mgogoro wa usalama wa pande mbili huko mashariki, huku mgogoro wa kitaasisi ukiendelea kuwa kitovu cha mijadala. Kwa Rais Félix…
#HABARI: Waziri wa Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
#HABARI: Waziri wa Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Remidius Mwema, kwa jitihada zake za kutatua migogoro ya ardhi kati…
New coaching standard for CAF Clubs, National teams’ competitions
AFRICA: AS part of its ongoing efforts to raise the standards of African football, the Confederation of African Football (CAF) has reminded its Member Associations of the coaching requirements approved…
NIMR rolls out child-friendly bilharzia treatment
MWANZA: THE National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with other health-sector partners, has launched a new schistosomiasis (bilharzia) medicine for young children under the STEPPs project. Speaking at…
Time for Twiga Stars to break new ground
DAR ES SALAAM: AS the nation turns its attention to the forthcoming Women Africa Cup of Nations finals in Morocco from 17 March to 3 April this year, our message…
Tabitha Karanja: Seneta wa Nakuru amshtua Jeff Koinange baada ya kufichua kuwa yeye ni bilionea
Seneta wa Nakuru Tabitha Karanja aliwashangaza Wakenya baada ya kufichua kuwa yeye ni bilionea kwenye runinga. Jeff Koinange hata alitania kutafiti thamani yake.
Stakeholders join forces to boost seed sector
DODOMA: THE Government, the private sector and development partners have agreed to collaborate to ensure that farmers access quality seeds that meet market demands. A statement published on the website…
Siasa zayumbisha uchumi Kenya
MVUTANO wa kisiasa na kauli kali kutoka kwa viongozi wa zamani tayari umeanza kujitokeza nchini Kenya huku taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi wa mwaka 2027. Mijadala hiyo inaonekana katika mikusanyiko…
Tanzania 5th in global youth mental health index
DAR ES SALAAM: TANZANIA has been ranked fifth out of 84 countries worldwide in the latest global Mental Health Quotient (MHQ) survey among youth aged between 18 and 34 years.…
Mkenya anayeshutumiwa kuwatuma raia kupigana nchini Ukraine ashtakiwa
Kiongozi wa mtandao unaodaiwa kuwatuma Wakenya zaidi ya 1,000 kwenda Urusi, ambapo wengi waliandikishwa kwa nguvu jeshini, ameshtakiwa mnamo Februari 26, 2026, kwa “biashara ya binadamu,” ofisi ya mwendesha mashtaka…
PCCB recovers 1.5bn/- in unpaid NSSF contributions
DAR ES SALAAM: THE Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Ilala Region has facilitated the recovery and remittance of more than 1.5bn/- to the National Social Security Fund…
#HABARI: Mwili wa marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliyefariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jaka…
#HABARI: Mwili wa marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliyefariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), tayari umewasili katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu kwa…
Digital labour system to power economic growth
DAR ES SALAAM: THE government has said that the establishment of the National Labour Market Information System (NLMIS) demonstrates its commitment to leveraging technology to promote employment, boost productivity and…
Investment surge creates over 28,000 jobs in Z’bar
ZANZIBAR: MINISTER for Labour and Investment Mr Shariff Ali Shariff, has said the increase in investors in Zanzibar has significantly helped reduce unemployment, particularly among youth. Through projects registered by…
Sofia anammaliza mganga Martin lakini anaingia mikononi mwa mke wa Bey
Sofia anammaliza mganga Martin lakini anaingia mikononi mwa mke wa Bey. Osman na watu wake mtegoni kwa Ulujah shughuli ni pevu na mambo bado ni magumu. Usikose kutazama OTTOMAN leo…
DRC na Marekani zakubaliana ushirikiano wa kimkakati wa afya wa dola bilioni 1.2
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zimefikia makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati wa afya wa dola bilioni 1.2, serikali hizo mbili zimesema katika taarifa ya pamoja siku ya Alhamisi.…
Ulaji wadudu unavyopata umaarufu
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa, wadudu wanaoliwa wana mchango...
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….FEBRUARI 27, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....FEBRUARI 27, 2026
SGR lot five hits 68 pc as minister applauds contractor
MWANZA: MINISTER for Transport, Professor Makame Mbarawa has expressed satisfaction with the progress of construction works on Standard Gauge Railway (SGR) Lot Five, which covers the Mwanza–Isaka section, noting that…
Habari za kukamatwa kwa Zein zinaendelea kusambaa maeneo yote, wakati ambao Sarah ameenda kumuona Karam ambaye kwa dsasa ana hal…
Habari za kukamatwa kwa Zein zinaendelea kusambaa maeneo yote, wakati ambao Sarah ameenda kumuona Karam ambaye kwa dsasa ana hali mbaya. Usikose kutazama THE PRICE kuanzia saa 3:00 usiku ndani…
#HABARI: Mbunge waJimbo la Kawe jijini Dar es Salaam Mhe
#HABARI: Mbunge waJimbo la Kawe jijini Dar es Salaam Mhe. Geofrey Timoth, amewahakikishia wafanyabiashara wadogo (wauza maua), waliokuwa wakifanya shughuli zao katika eneo la Kawe lililopo chini ya Shirika la…
Magazetini: Serikali yapendekeza kuwahamisha watumishi wa umma kutoka ajira za kudumu hadi mikataba
Serikali ya Kenya, kupitia mapendekezo kutoka Wizara ya Utumishi wa Umma, inasukuma mpango wa kuwabadilisha wafanyakazi wake kutoka ajira za kudumu hadi za mikataba.
Former leaders’ statements and the fate of Kenya’s economy towards the 2027 elections
NAIROBI: POLITICAL tensions and very strong words from former leaders are already rising as Kenya prepares for the 2027 elections. What seems to be a typical political discussion often appears…
Mauaji ya kimbari Rwanda: Adhabu ya miaka 15 Jela yaombwa dhidi ya Claude Muhayimana
Claude Muhayimana, 65, Mfaransa mwenye asili ya Rwanda, anashtakiwa Paris kwa kushiriki katika mauaji ya kimbari na uhalifu dhidi ya binadamu kwa madai ya kuhusika kwake katika mauaji ya kimbari…