Korti yakataza DCI kuanika data ya mwanafunzi wa chuo kikuu aliyeachiliwa kesi ya Ruto katika jeneza
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Moi aliyeshinda kesi dhidi ya serikali amepata ushindi mwingine huku akifukuzia fidia ya KSh 200m kwa madai ya ukiukaji wa faragha.
Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani
Rais Donald Trump amesema Wawakilishi wa Marekani, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha Democratic katika Congress ya Marekani kupiga kelele…
PPAA halts 586bn/- in tenders to protect public funds
DODOMA: THE Public Procurement Appeals Authority (PPAA) has blocked the award of 43 tenders worth more than 586bn/- after establishing that the bidders lacked the required financial and technical capacity,…
Afrika Kusini yajaribu kuboresha kiuchumi wake licha ya msuguano na Washington
Licha ya msukosuko wa kimataifa na msuguano na Marekani, uchumi wa Afrika Kusini unaonyesha dalili za uboreshaji. Waziri wa Fedha amekaribisha hili siku ya Jumatano, Februari 25, 2026, wakati wa…
Hahahah Katanga kaingizwa mjini…Zora anacheza na akili ya Katanga
Hahahah Katanga kaingizwa mjini...Zora anacheza na akili ya Katanga. Usikose kutazama uhondo wa #ZoraSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD Dah Kembo yanamkuta huku mke wake akimsaliti. (Feed generated…
#KUMEKUCHA: Suala la upatikanaji wa bidhaa za afya nchini, linasimamiwa na Wizara ya Afya nchini
#KUMEKUCHA: Suala la upatikanaji wa bidhaa za afya nchini, linasimamiwa na Wizara ya Afya nchini... MSD yeye ni mdau katika kuhakikisha kwamba huduma za afya bidhaa za afya zinapatikana, kwa…
Usalama mashariki mwa DRC na vita vya OIF vyatawala mkutano wa Tshisekedi na Macron
Rais wa DRC Félix Tshisekedi amekutana na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, siku ya Jumatano, Februari 25, katika Ikulu ya Élysée. Chakula cha mchana cha kililenga uhusiano wa pande mbili,…
Mama ya watoto 2 auawa na gari la polisi, familia yazungumza kihisia
Familia iliomboleza msiba wa Salome, mama mchanga aliyeuawa katika ajali na kuaxcha watoto wawili huku wapendwa wake wakijitahidi kukabiliana na hali hiyo.
Experts back Tanzania’s rate strategy
DAR ES SALAAM: TANZANIA has diverged sharply from its neighbours, with experts saying its low policy rate signals a deliberate growth-first strategy rather than regional monetary restraint. The country stands…
Nakuru: Familia, shule yaguswa mwanapatholojia akishiriki kilichomuua mvulana aliyefariki shuleni
Kuchunguza kifo cha kutatanisha cha mvulana wa darasa la 8 katika Shule ya Moi Comprehensive huko Nkauru, huku wazazi wakitaka majibu ya haraka...
CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025
Utawala haramu wa Israel uliwaua wanahabari wasiopungua 84 mwaka wa 2025 - idadi kubwa zaidi kuliko dola lolote duniani katika mwaka uliokuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa kwa vyombo vya habari.
NTSA yaorodhesha makosa 37 ya trafiki yenye faini za hadi KSh 10,000 za papo hapo kwa madereva wote
NTSA imetoa orodha ya makosa 37 ya trafiki yenye faini ya hadi KSh 10,000. Mfumo mpya wa utekelezaji otomatiki unalenga kuboresha usalama barabarani nchini Kenya.
Magazetini, Februari 26: Upande wa William Ruto Wamlaumu Uhuru Kenyatta kwa Kufadhili Upinzani
Upande wa serikali unamshutumu rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwa kufadhili upinzani kupinga azma ya Rais William Ruto kuchaguliwa tena katika Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Kagera RCC approves 9.2bn/- budget
BUKOBA: KAGERA Regional Consultative Committee (RCC) members, yesterday approved a 9.2bn/- budget for the 2026/27 financial year. Presenting the budget, the Assistant Head of the Planning Department at the Regional…
Noura amefariki aisee, huzuni imetanda kwenye familia, Siham atampokea Obedi kweli?
Noura amefariki aisee, huzuni imetanda kwenye familia, Siham atampokea Obedi kweli? Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria
Watu wasiopungua 25 wameuawa huku nyumba kadhaa zikichomwa moto baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji viwili katika Jimbo la Adamawa, kaskazini mashariki mwa Nigeria usiku wa kuamkia jana.
RDC: Makaburi ya pamoja yagunduliwa Uvira baada ya M23 kuondoka
Nchini DRC, mwezi mmoja baada ya kuondoka kwa waasi wa AFC-M23 kutoka Mji wa Uvira Kivu Kusini, makaburi ya halaiki yamegunduliwa wiki hii wakati huu ambapo familia nyingi hazina taarifa…
Waafrika 1,700 wadaiwa kushiriki katika vita vya Russia, Ukraine
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Andrii Sybiha amedai kwamba, zaidi ya Waafrika 1,700 wanapigana kwa niaba ya Russia katika vita vyake dhidi ya Ukraine, na kuongeza kwamba Moscow…
Afrika: Zaidi ya watu Bilioni Moja wanahofia kupoteza ardhi yao
Zaidi ya watu bilioni 1 duniani, ambao ni sawa na mtu mzima mmoja kati ya wanne, wanahofia kupoteza ardhi yao au makazi katika kipindi cha miaka mitano ijayo, ripoti mpya…
Ligi Kuu yaelezea kwa nini ratiba za mechi za Arsenal na Manchester City huenda zikaahirishwa
Ratiba za Ligi Kuu kwa Arsenal na Manchester City mwezi Machi zinaweza kuahirishwa kutokana na droo ya Ligi ya Mabingwa, ambayo imeathiri michuawano.
Sudan Kusini: Wakimbizi wakabiliwa na tishio la baa la njaa
Juhudi za utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa zaidi ya wakimbizi Milioni Moja nchini Sudan Kusini zinakabiliwa na tishio kutokana na uhaba wa ufadhili katika idara muhimu zinazohusika na misaada…
Uganda: Waasi wa zamani zaidi ya Elfu 28 wamepewa msamaha
Tume ya kutoa msamaha nchini Uganda, imetoa ahueni kwa waasi wa zamani zaidi ya Elfu 28 na 340 tangu mwaka 2000, mwenyekiti wake akitoa wito kwa wale ambao bado hawajarejea…
Makabiliano kati ya Wazalendo na M23 yaripotiwa Masisi na Kalehe DRC
Mapigano makali yameripotiwa kati ya wapiganaji Wazalendo, wanaoshirikiana na jeshi la Congo, na waasi wa kundi la M23/AFC katika maeneo ya Masisi mkowa wa Kivu kaskazini na Kalehe mkowani Kivu…
Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amemuonya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya kufanya maamuzi yanayotegemea taarifa zisizo sahihi, akisisitiza kuwa Iran haijawahi kutafuta, haitafuti, wala haitawahi…
Ripoti ya haki za kisheria yafichua “ukandamizaji dhidi ya Wapalestina” nchini Uingereza
Shirika moja la haki za kisheria limebaini kile lilichokitaja kuwa “juhudi za kimfumo” za kukandamiza harakati za mshikamano na Palestina nchini Uingereza, likirekodi karibu matukio 1,000 katika kipindi cha miaka…
Wanajeshi wa Urusi waliiambia BBC: ‘Tulishuhudia wenzetu wakiuawa kwa amri ya makamanda wetu’
"Ni mateso tu, kila siku, bila hisia zozote usoni mwao. Ni kama wazimu," alisema Dima akiwaonyesha waliomtesa.
Tanzania yatoa tahadhari ya kuongezeka maambukizi ya mafua, Covid 19 na Dengue
Wizara ya Afya ya Tanzania imetoa tahadhari ya afya kwa umma ya kuongezeka kwa maambukizi ya mafua na Uviko-19 na kuongezeka kwa hatari ya homa ya dengue, huku ikiwataka wananchi…
Kwanini Putin aliivamia Ukraine?
Putin kwa muda mrefu amekuwa akitaka kumuondoa rais wa Ukraine anayeegemea upande wa magharibi, na Zelensky amekuwa akilengwa tangu kuanza kwa vita hivyo.
NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran
Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) Marekani National Endowment for Democracy (NED), ambalo lilianzishwa na shirika kuu la kijasusi nchini humo, CIA, limekiri kuwa lilitumia takriban vifaa 200 vya Starlink nchini…
Kampuni ya Mali yachukua vituo vya mafuta vya TotalEnergies
Kampuni ya NDC Energie ya Mali imenunua takriban vituo 80 vya mafuta nchini Mali ambavyo awali vilikuwa vinaendeshwa na shirika la Ufaransa la TotalEnergies.
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi: Hatima ya mkataba wa Kobbie Mainoo Man United haijuikani
Mohamed Salah angefurahi kusalia Liverpool hadi 2027, vilabu sita vya Premier League vinamtaka Nnamdi Collins wa Eintracht Frankfurt, huku Casemiro akitaka kuendelea kucheza Ulaya.
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa…
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa malengo ya amani
Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa…
Kuna dalili kwamba Iran inajaribu kufufua shughuli za nyuklia -JD Vance
''Ikiwa Iran itachukua hatua za kutengeneza upya silaha hizo, hali hiyo itakuwa changamoto kubwa kwetu'', anasema makamu wa rais wa Marekani.
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
Ingawa Marekani daima inapiga ngoma ya vita na kutishia kuishambulia Iran kwa kutuma manowari na zana nyingine nzito za kijeshi katika maji yaliyo karibu na Iran, lakini ukweli wa mambo…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 26, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Daah huyu Sofia kacheza mchezo mwingine aisee,,, Osman naye ameamini🥲
Daah huyu Sofia kacheza mchezo mwingine aisee,,, Osman naye ameamini🥲 (Feed generated with FetchRSS)
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 25, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 25, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 25, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 25, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Shilingi imesimama, Dodoma Jiji yakataa unyonge mbele ya Simba
MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji, Dodoma Jiji dhidi ya Simba, imemalizika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku ikishuhudiwa pambano hilo lililokuwa la kuvutia kutokana na ushindani…
Simba yavutwa sharubu na Dodoma Jiji ikisubiriwa na Yanga
Mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Dodoma Jiji na Simba, imemalizika kwenye Uwanja wa...
Mshindi wa droo akabidhiwa Sh5 milioni
Katika kuwaleta pamoja wateja wake kampuni ya Mawasiliano Yas, imekabidhi hundi ya Sh5 milioni...
Mwandishi wetu Esterbella Malisa amezungumza na Dada wa marehumu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiwa nyumbani kwake Chang’om…
Mwandishi wetu Esterbella Malisa amezungumza na Dada wa marehumu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiwa nyumbani kwake Chang'ombe, ambaye ameelezea simulizi ya maisha ya kaka yeke. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi…
Kutana na Bundala Sabasi, mwalimu wa kujitolea anayefundisha hasa wanafunzi wenye mahitaji maalumu
Kutana na Bundala Sabasi, mwalimu wa kujitolea anayefundisha hasa wanafunzi wenye mahitaji maalumu. Kwa sasa, mwalimu huyo ni kivutio kwa makundi mbalimbali, ikiwemo wazazi na wanafunzi, kutokana na mtindo wa…
Dada asimulia maisha ya utoto ya Kardinali Pengo
Katika historia ya Kanisa Katoliki Tanzania, jina la Polycarp Kardinali Pengo limebeba uzito...
Wakati wakulima wengi nchini wakikabiliwa na changamoto ya mvua zisizotabirika kutokana na mabadiliko ya tabianchi, matumaini ma…
Wakati wakulima wengi nchini wakikabiliwa na changamoto ya mvua zisizotabirika kutokana na mabadiliko ya tabianchi, matumaini mapya yanaanza kuonekana katika Kijiji cha Kibebe, Wilaya ya Iringa, ambapo wananchi wa kijiji…
Wakati mwili wa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Polycarp Kardinali Pengo, ukitarajiwa kuzik…
Wakati mwili wa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Polycarp Kardinali Pengo, ukitarajiwa kuzikwa Jumamosi wiki hii, familia yake imeendelea na maombolezo nyumbani kwa…
Wadau wa elimu, wakiwemo wanafunzi wametakiwa kubadili mtazamo kuhusu matumizi ya Akili Unde (AI) kwa kuitumia kama nyenzo ya ku…
Wadau wa elimu, wakiwemo wanafunzi wametakiwa kubadili mtazamo kuhusu matumizi ya Akili Unde (AI) kwa kuitumia kama nyenzo ya kujiletea manufaa ya kiuchumi na chachu ya mabadiliko binafsi, badala ya…
Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
Dodoma: The government is set to hold talks with South Korea and Saudi Arabia to secure more study opportunities for Tanzanians under a scholarship scheme. Minister for Education, Science and…