GGML reinforces sustainable water stewardship
ARUSHA: THE Geita Gold Mining Limited (GGML) has reaffirmed its commitment to sustainable resource management. The company made the commitment ahead of the National Conference for Boards of Directors of…
Mwinyi rally youth around Qur’anic values
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Dr Hussein Mwinyi has underscored the importance of nurturing a culture of reading, memorising and respecting the Holy Qur’an among young people as a foundation for building…
Nchini Liberia, mamlaka zina hofu ya kuibuka kwa wanamgambo wapya wa Fulani
Nchini Liberia, utata unazuka kuhusu kundi la kujilinda la Fulani, “National Fula Security of Liberia.” Ili kuangazia kundi hili, Baraza la Wawakilishi limemwitisha Waziri wa Sheria, Mkurugenzi wa Shirika la…
Tanzania banks stability as Moody’s affirms B1
DAR ES SALAAM: WHEN a global ratings agency speaks, markets listen. On February 20, 2026, Moody’s Ratings affirmed Tanzania’s B1 long-term issuer ratings and maintained a stable outlook. That is…
Wakenya Katika Jeshi la Urusi Wapata Majeraha Mabaya Baada ya Mashambulizi ya Ukraine
Wakenya waliojeruhiwa na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani waomba serikali kuowaokoa kutoka hospitali ya Urusi baada ya kuajiriwa kwa siri kupigana
Investors bullish as Moody affirms TZ at B1
DAR ES SALAAM: INVESTOR confidence remains firm as Moody’s keeps the country’s sovereign rating at B1 with a stable outlook, signaling steady borrowing costs despite last year’s challenges. The reassurance…
Madagascar: Mahakama yatoa waranti mpya wa kukamatwa kwa Mamy Ravatomanga
Mahakama ya Madagascar inaendelea na uchunguzi wake kuhusu Mamy Ravatomanga, mfanyabiashara mkubwa na mshirika wa karibu wa rais aliyetimuliwa madrakani Andry Rajoelina, ambaye kwa sasa yuko kizuizini kabla ya kesi…
Zidane apata dili jipya
Taarifa za ndani zinadai kuwa, kocha Zinedine Zidane anajiandaa kurejea rasmi katika benchi la...
William Ruto na Oburu Odinga Wakubaliana Kuungana Katika Uchaguzi wa 2027
Rais William Ruto na kinara wa ODM Oburu Oginga wamekubaliana kugawa maeneo kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao wa 2027. UDA haitasimamisha wagombea Nyanza.
‘Kwa nini kuishambulia Iran ni hatari zaidi kuliko kumkamata Maduro?’ – New York Times
Tunaanza ziara yetu na gazeti la Marekani la "The New York Times" na maoni yaliyoandikwa na Abdul Latif Daher na Samuel Granados yenye kichwa "Kwa nini Kuilenga Iran ni Hatari…
DRC: Mapigano makali yameripotiwa kati ya jeshi na wapiganaji wa Twirwaneho Kivu Kusini
Mapigano makali yameendelea wikendi nzima katika nyanda za juu za Minembwe katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mapigano hayo ni kati ya wapiganaji…
Police warn against online incitement to crime
DAR ES SALAAM: THE police force has assured the public that it is closely monitoring individuals using social media platforms to incite people to engage in criminal activities, stressing that…
Wapiganaji wa Kiafrika waliouawa vitani Ukraine: Familia nyingi zasindwa kufanya maombolezo
Karibu siku kumi zilizopita, RFI iliripoti uchapishaji, kwa mara ya kwanza, wa orodha ya wapiganaji wa Kiafrika katika jeshi la Urusi waliouawa nchini Ukraine. Orodha hii isiyo kamili ya waathiriwa…
Seif anamtishia Teddy
Seif anamtishia Teddy. Katanga amgeukia Maya. Je, ni Juma ndio kaichekecha gari ya Teddy? Usikose kutazama #ZoraSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD pekee. (Feed generated with FetchRSS)
LGAs directed to establish dashboards to address citizens’ concerns
ARUSHA: PRIME Minister, Dr Mwigulu Nchemba has directed leaders of all Local Government Authorities (LGAs), including village chairpersons, to establish special dashboards in their offices to track citizens’ complaints and…
Urusi: Katika Tamasha la Maslenitsa, matumaini ya kuunga mkono au kupinga kumalizika kwa vita
Siku ya Jumanne hii, Februari 24, Urusi inaingia katika mwaka wake wa tano wa vita, dhidi ya historia ya mabadilishano ya kidiplomasia ambayo hadi sasa hayajaonyesha maendeleo yoyote halisi kuelekea…
CEO wa Sportpesa Ronald Karauri Atangaza Kugombea Kiti cha Ugavana wa Nairobi
Mbunge wa Kasarani Ronald Karauri alitangaza kuwania kiti cha ugavana wa Nairobi katika uchaguzi wa 2027, akilaani kushindwa kwa uongozi wa sasa wa Sakaja.
PM puts contractors on notice
ARUSHA: PRIME Minister, Dr Mwigulu Nchemba, has warned contractors undertaking government projects that failure to pay subcontractors and casual labourers will result in blacklisting. “I will speak with the Attorney…
Iran yatangaza ‘haki yake ya kujilinda’ dhidi ya tishio linaloongezeka la mgogoro na Marekani
Hata kama diplomasia inavyoendelea, Marekani na Iran zinaonekana kukaribia mzozo. Huku ikisisitiza “haki yake ya kujilinda” iwapo kutatokea shambulio la Marekani, Iran imesema siku ya Jumapili, Februari 22, kwamba kulikuwa…
Tour du Rwanda: Mashabiki wawili wafariki, leo ni hatua ya pili
Watu wawili wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa hapo jana baada ya gari la matangazo la mashindano ya baiskeli ya Tour du Rwanda kupoteza njia na kuwagonga watazamaji, waandaji wa mashindano…
Mvutano kati ya Meloni na Macron waendelea kushika kasi
Ni wazi kwamba uhusiano kati ya Meloni na Macron haujaboreka. Siku ya Jumatano, Februari 18, Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni alitoa maoni kuhusu kifo cha mwanaharakati wa mrengo wa…
Ni kwa kiwango gani China na Urusi zitasaidia Tehran iwapo mzozo utazuka kati ya Iran na Marekani?
"Inaonekana kuwa hivi sasa, lengo kuu la China na Urusi ni kutuma ujumbe wa kuzuia Marekani kutopanua zaidi uwepo wake na kuhamasisha vikosi katika eneo", mtaalam Yulia Roknifard anasema.
Jumatatu, 23 Februari, 2026
Leo ni Jumatatu 5 Ramadhani 1447 Hijria mwafaka na 23 Februari 2026
SAFARI YA FARAJA: Kutoka Shahada ya Ualimu hadi kondakta
Saa 11 alfajiri katika kituo cha mabasi Iringa, sauti ya Faraja Mfyagidzi husikika ikitangaza...
Sudan yalaani hatua ya Museveni kukutana na kiongozi wa RSF
Mwishoni mwa juma rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekutana kwa mazungumzo na kiongozi wa wapiganaji wa RSF wa nchini Sudan, Mohamed Hamdan Gadalo, mjini Entebbe. Imechapishwa: 23/02/2026 – 04:45 Dakika…
Chad yafunga mpaka wake na Sudan
Chad imevifunga vivuko kadhaa vya mpaka wake na Sudan siku ya Jumapili, pamoja na sehemu muhimu ya Adre na pia Darfur Magharibi, ili kuzuia makundi yenye silaha ya Sudan kuvuka…
Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho
Kamanda wa jeshi la Iran amepuuzilia mbali mkusanyiko wa meli na ndege za kivita za Marekani katika eneo la Asia Magharibi zilizoshuhudiwa wiki chache za hivi karibuni na kuitaja kuwa…
Marekani yashangaa kwa nini Iran haijasalimu amri licha ya mashinikizo ya kijeshi
Mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff, amesema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameonyesha mshangao mkubwa kuhusu sababu zinazofanya Iran isikubali masharti ya Washington katika…
Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon
Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi…
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo…
Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, ameashiria kile kinachojulikana kama "Bodi ya Amani ya Trump" kwa ajili ya Gaza, na kusema: "Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai…
Mexico: Vurugu zazuka baada ya mlanguzi mkubwa “El Mencho” kuuawa
Jeshi la Mexico, hapo jana jioni lilitangaza kufanikiwa kumuua moja ya viongozi wa juu wa makundi ya dawa za kulevya nchini humo Nemesio “El Mencho” Oseguera, katika operesheni ambayo ilisababisha…
Mwanaume mwenye silaha auawa baada ya kuingia katika makazi ya Trump
Mwanaume huyo alikuwa amebeba bunduki na kopo la mafuta aliposimamishwa kabla ya kupigwa risasi na maafisa wa Secret Service na polisi
Wamarekani wahoji: Je, Huckabee anawakilisha maslahi ya Washington au Tel Aviv?
Kauli na matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamesababisha hasira kubwa baada ya kusema kwamba utawala ghasibu wa Israel una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora…
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Real Madrid na Barcelona wamtaka Rodri wa ManCity
Real Madrid na Barcelona watajaribu kumnunua Rodri kutoka Manchester City, matumaini ya Liverpool kumsajili Zeki Celik yaongezeka, huku Arsenal na Chelsea wakimtaka Julian Alvarez.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 23, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Kigogo aahidi kumrudisha Messi Barcelona
Mgombea wa urais wa Barcelona, Victor Font, amezungumza kuhusu dhamira yake ya kumrudisha...
Makamishna 13 wapandishwa vyeo Tawa
Makamishina 13 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tawa) wamevalishwa vyeo...
Kampuni za uchimbaji madini zatakiwa kuwekeza teknolojia kwa wachimbaji wadogo
Kampuni za uchimbaji wa madini nchini zimetakiwa kuwawezesha wachimbaji wadogo katika...
Depu akoleza moto, akiipa Yanga pointi tatu
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurelio 'Depu' ameendeleza makali katika Ligi Kuu Bara, baada ya kuifungia bao moja kwenye ushindi wa wa 1-0 dhidi ya Namungo FC.
Radi yaua mmoja Kilimanjaro
Stephano Zawadi (43), mkazi wa Kitongoji cha Kambeni, Kata ya Myamba, Wilaya ya Same, mkoani...
Hivi vichwa 😅 #PichaYanguSeries
Hivi vichwa 😅 #PichaYanguSeries (Feed generated with FetchRSS)
Depu atupia akiipa Yanga pointi tatu
Mshambuliaji wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurelio 'Depu' ameendeleza makali katika Ligi Kuu...
Mbunge atoa msaada wa vyakula, nguo kwa yatima
MOROGORO: MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Sheila Lukuba, amewafariji watoto yatima wanaoishi katika Kituo cha Dal – Ul Muslimeen Orphanage kilichopo Manispaa ya Morogoro kwa kuwapatia msaada wa…
Kaka na dada kimewaka huku, japo Aziza bado hajamuelewa vizuri Jemo
Kaka na dada kimewaka huku, japo Aziza bado hajamuelewa vizuri Jemo (Feed generated with FetchRSS)
Chichi amechoka madeko ya Suzy kaamua auze kesi 😎
Chichi amechoka madeko ya Suzy kaamua auze kesi 😎 #NomaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Wakazi Tunduru wahofia watoto kusombwa maji, walilia daraja
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaskazini wamemuomba Mbunge wa jimbo hilo, Ado...
Thousands march in Lyon in tribute to murdered right-wing activist
LYON: More than 3,200 people marched through the French city of Lyon on Saturday to honor Quentin Deranque, a nationalist activist killed following a street brawl with alleged far-left militants.…
Spain’s top court rejects father’s bid to block daughter’s euthanasia
SPAIN: Spain’s Constitutional Court has rejected an appeal by a father seeking to halt his 25-year-old daughter’s access to euthanasia, effectively upholding her right to die under the country’s legislation.…