#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limetoa ufafanuzi kuhusu lalamiko la mwanamke aitwaye Filomena Richard Mataris, Miaka 36,…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limetoa ufafanuzi kuhusu lalamiko la mwanamke aitwaye Filomena Richard Mataris, Miaka 36, Mkazi wa Gongo la mboto, Dar es Salaam, kuhusu kubadilishiwa mtoto…
DRC | ” mara ya kwanza Afrika inashiriki Kombe la Dunia ilicheza Morocco”, Mkuu wa UFM Radio, @baruan_muhuza akizungumzia hist…
DRC | '' mara ya kwanza Afrika inashiriki Kombe la Dunia ilicheza Morocco'', Mkuu wa UFM Radio, @baruan_muhuza akizungumzia historia ya soka la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na namna…
KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania
KUOGELEA | Watoto zaidi ya 400 kutoka klabu mbalimbali wameshiriki msimu wa kumi wa mashindano ya mchezo wa kuogelea Tanzania. Mashindano hayo yanayohusu watoto wenye umri chini ya miaka 12,…
Watu wawili wafariki dunia ajali baada ya magari kugongana uso kwa uso Daraja la Wami
Watu wawili wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso...
Tanroads Mbeya yafunga taa za kidijitali kusaidia wanafunzi kuvuka barabara
Kufuatia ajali zinazohusisha wanafunzi, Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mbeya...
Wawili wafariki dunia ajali ya magari kugongana Daraja la Wami
Watu wawili wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso...
Deti Yaishia kwa Aibu: Totoshoo Abaki na Bili Nono Hotelini Baada ya Kalameni Kutoweka
Kisura wa Nairobi kwa jina Juliette Awata aliachwa na bili ya hoteli ya KSh 10,000 baada ya mwanaume aliyemwalika kwenda naye deti Westlands kula kona
KOMBE LA DUNIA | Je, unaikumbuka mechi ambayo Cristiano Ronald alipiga #hattrick kwenye Kombe la Dunia
KOMBE LA DUNIA | Je, unaikumbuka mechi ambayo Cristiano Ronald alipiga #hattrick kwenye Kombe la Dunia Ni hii ambayo iko hewani muda huu, Ureno dhidi ya Hispania, mechi ya kundi…
Ziara ya Russia haitaathiri mahusiano yetu na nchi nyingine
Serikali imesema ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia haitaathiri uhusiano wa...
Robai Agufa: Mfanyabiashara maarufu wa Vihiga akata roho ghafla akihudhuria mazishi ya rafiki yake
Kaunti ya Vihiga inaomboleza mfanyabiashara maarufu Robai Agufa, ambaye inasemekana alizimia akihudhuria mazishi ya rafiki yake na baadaye kutangazwa kuwa amefariki.
SICPA Tanzania showcases fuel integrity solution at TBS 50th anniversary
DAR ES SALAAM: SICPA Tanzania participated as a strategic partner at the Viwango Business Forum held on Friday at the Mlimani City Conference Centre in Dar es Salaam, joining national…
NBC unveils strategy to deepen financial participation
DAR ES SALAAM: National Bank of Commerce (NBC) has launched a nationwide campaign, “Tunakuona Mbali,” aimed at expanding financial inclusion and increasing access to banking services for Tanzanians, particularly those…
Wahitimu Shule ya Msingi Oysterbay Wakabidhi mtambo wa kusafisha maji
Wanafunzi waliohitimu darasa la saba katika Shule ya Msingi Oysterbay 1985, wameikabidhi...
Tanzania itakavyovuna Sh5.25 trilioni za uwekezaji kutoka Russia
Tanzania inatarajia kuvutia uwekezaji na biashara zenye thamani ya zaidi ya Dola 2 bilioni za...
130bn/- Floton Africa projects to boost Zanzibar tourism capacity
ZANZIBAR: REAL estate developer Floton Africa has unveiled three Zanzibar Investment Promotion Authority (ZIPA)-approved property projects worth more than $50 million (about 130bn/-), a move expected to strengthen Zanzibar’s tourism…
Geita Gold, Kagera Sugar zarejea Ligi Kuu Bara
TIMU za Geita Gold na Kagera Sugar zimerejea Ligi Kuu Bara msimu ujao wa 2026-2026, baada ya kujihakikishia ushindi katika mechi zao za raundi ya 28, ambapo zimezifanya kufikisha pointi…
Jamii yahimizwa kuandika wosia kupunguza migogoro ya mirathi
Jamii imetakiwa kuacha dhana potofu kuhusu kuandika wosia na badala yake kutambua kama nyenzo...
Vijana Mkoani Kilimanjaro wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
Vijana Mkoani Kilimanjaro wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa programu zake mbalimbali za kuwainua na kuwawezesha kiuchumi, ikiwemo mikopo ya asilimia kumi inayotolewa…
Ni Mashindano ya Michezo Tofauti wanazozikutanisha Wafanyakazi wa Shule za Nyamuge
Ni Mashindano ya Michezo Tofauti wanazozikutanisha Wafanyakazi wa Shule za Nyamuge. Michezo hiyo ikiwemo Netball, Volleyball ,Mpira wa Miguu inataraji kufanyika kila Mwaka, ambapo kwa Mwaka huu Mashindano hayo yameshirikisha…
Geita Gold, Kagera Sugar zarejea Ligi Kuu
Geita Gold na Kagera Sugar leo Jumapili, Juni 7, 2026, zimerudi tena katika Ligi Kuu Tanzania...
Adakwa akituhumiwa kujifanya ofisa wa Takukuru Arusha
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha inamshikilia Ashley Mrangi...
Benki ya Azania yaidhinisha gawio la Sh18.36 bilioni kwa wanahisa wake
Benki ya Azania Plc imeidhinisha malipo ya gawio la Sh18.36 bilioni kwa wanahisa wake katika...
Huwel wins Mkwawa Rally to bolster title defence
IRINGA: THE 2025 National Rally Championship (NRC) winner, Ahmed Huwel, opened his title-defence campaign with bright colours after winning Mkwawa Rally, the 2026 season opener in Iringa today, June 7,…
SMZ yatenga Sh5 bilioni maandalizi AFCON 2027
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetenga Sh5 bilioni kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hatua inayotarajiwa kuleta manufaa makubwa ya kiuchumi…
Azam, Lupopo zamsaka beki mkongo
MABOSI wa Azam FC wamehamishia nguvu zao katika kuimarisha safu ya ulinzi baada ya kuanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa Union Maniema, Jeancy Mpindi Mukuene, ambaye pia anawaniwa…
Serikali za mitaa Mjini Magharibi zatakiwa kubuni miradi ya mapato
Watendaji wa serikali za mitaa wamehimizwa kubuni na kuendeleza miradi itakayoongeza mapato...
Mitandao jamii yatajwa kuwa nguzo ya uchumi wa kidijitali vijijini
Wadau wa mawasiliano, teknolojia na maendeleo ya jamii wamekutana mjini Tarime, Mkoa wa Mara...
Kiungo KMC FC mlangoni JKT Tanzania
WAKATI KMC FC ikibakisha hatua chache kucheza Ligi ya Championship msimu ujao wa 2026-2027, nyota wa timu hiyo, Rashid Chambo ameanza kuzivutia klabu mbalimbali ili kuipata saini yake, huku maafande…
KOMBE LA DUNIA | Ujerumani dhid ay Argentina, ulikuwa ni mchezo wa fainali katika fainali za mwaka 2014 zilizopigwa nchini Brazi…
KOMBE LA DUNIA | Ujerumani dhid ay Argentina, ulikuwa ni mchezo wa fainali katika fainali za mwaka 2014 zilizopigwa nchini Brazil. Ujerumani akachukua ubingwa wake wa nne wa Kombe la…
Wamiliki wa shule zisizo za Serikali walia na tozo
Wamiliki wa shule binafsi nchini wamezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kusitisha ukusanyaji...
Azungumzia nafasi ya wanahabari PPP
DAR ES SALAAM: Mwandishi mkongwe nchini, Eda Sanga, amewakumbusha wadau wa sekta ya umma na binafsi kuhusu nafasi isiyozibika ya vyombo vya habari katika kufanikisha mageuzi ya utoaji huduma za…
Dk Mwinyi: Utoaji haki haupaswi kutegemea teknolojia pekee
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesisitiza kuwa mafanikio ya mfumo wa utoaji haki haupaswi...
Vijana Afrika Mashariki watwishwa zigo vita dhidi dawa za kulevya
Vijana wa Afrika Mashariki na Kati wametakiwa kuwa mabalozi wa mapambano dhidi ya dawa za...
Mgosi ana rekodi Simba Queens
WAKATI pongezi nyingi zikielekezwa kwa Simba Queens baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania msimu huu, Kocha msaidizi wa timu hiyo, Mussa Hassan ‘Mgosi’ naye ana rekodi…
#HABARI: Wananchi mkoani Mtwara wameaswa kuendelea kutunza vyanzo vya maji ili kuruhusu ukuaji wa kasi wa kiuchumi, uwekezaji w…
#HABARI: Wananchi mkoani Mtwara wameaswa kuendelea kutunza vyanzo vya maji ili kuruhusu ukuaji wa kasi wa kiuchumi, uwekezaji wa viwanda, na shughuli zingine za kimaendeleo. Wito huo umetolewa na watumishi…
Mabarobaro 130 wafungishwa ndoa, watakiwa kudumisha ndoa
Mabarobaro 130 walioomba msaada wa kulipiwa mahari na Taasisi ya Al Hikma Foundation...
Jiongeze: Marioo hakomi kwa mkwewe
Kuna muunganiko wa Harmonize na Marioo. Kwanza ni kifamilia zaidi kwa maana ya Marioo wa Paula...
Bilo, Ruangwa warejea walikotoka
WAKATI bingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens akitangazwa mapema huku kwenye vita ya kushuka daraja nako ishajulikana nani ana nafasi ya kusalia na nani anarudi Ligi daraja la…
Chobanka afichua kilichoiangusha Ceasiaa
KOCHA Mkuu wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema kubadilisha kikosi kila msimu ndicho kilichochangia timu hiyo kushindwa kufanya vizuri katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania msimu huu tofauti na ilivyokuwa…
Pan African court dismisses four charges against the Tanzanian government
ARUSHA: THE African Court on Human and Peoples’ Rights sitting in Arusha has dismissed all the four charges filed against the government of Tanzania, signaling the regional court’s trust on…
TAMONGCSO urges authorities in Arusha to stop charging abolished taxes and levies
ARUSHA: THE Tanzania Association of Managers and Owners of Non-Government Schools and Colleges (TAMONGSCO) has called on Local Government Authorities to stop charging taxes and levies that were previously abolished…
Chadema yamfuta uanachama aliyekishtaki mahakamani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemfukuza uanachama Said Issa Mohammed kwa kosa...
DRC | “Ni nchi yenye timu nyingi zinazotoa kimasomaso ikiwemo TP Mazembe,” Mtangazaji wa Azam TV, @gharib_mzinga23 akieleza namn…
DRC | “Ni nchi yenye timu nyingi zinazotoa kimasomaso ikiwemo TP Mazembe,” Mtangazaji wa Azam TV, @gharib_mzinga23 akieleza namna Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ilivyo na klabu mbalimbali zinazofanya vizuri…
Evalisto akiri ugumu Misri
KIUNGO mshambuliaji wa Mtanzania anayekipiga Fouad FC ya Misri, Oscar Evalisto, amesema msimu uliomalizika haukuwa wa mzuri kwake baada ya kushindwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara tangu alipojiunga…
Mnoga anavizia timu za League One
BAADA ya kumaliza mkataba wake na Salford City ya England, inaelezwa beki wa Mtanzania, Haji Mnoga kuna timu mbili kutoka League One zimeanza kumfuatilia.gi kwa dakika 1697 akitoa mchango wake…
Takwimu za Ubamba zaichanganya FC Masar
WINGA wa kimataifa, Hasnath Ubamba, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika soka la wanawake nchini Misri baada ya kumaliza msimu wa 2025/26 akiwa miongoni mwa nyota walioibeba FC Masar.