Wataalamu wa maji nchini wamependekeza njia mbadala ya uchimbaji wa visima vya maji ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa maji k…
Wataalamu wa maji nchini wamependekeza njia mbadala ya uchimbaji wa visima vya maji ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa maji katika maeneo mbalimbali nchini. Wataalamu hao wanadai kuwa jiografia…
MARVEL’s THE PUNISHER KUANZIA JANUARI PILI, 2026
MARVEL's THE PUNISHER KUANZIA JANUARI PILI, 2026 Baada ya kulipiza kisasi kwa watu waliohusika na vifo vya mkewe na watoto wake, Frank Castle anaendeleza moto dhidi ya wahalifu wa New…
Mzee Maega aweka wazi kuwa hazina ipo na miongoni mwa ramani za watoto wake migongoni basi ipo
Mzee Maega aweka wazi kuwa hazina ipo na miongoni mwa ramani za watoto wake migongoni basi ipo... Tuendelee na hadithi tamu ya #PichaYanguSeries kila Jumatatu hadi Alhamisi saa 1:30 usiku…
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 16,2025 – BEI YA NAFAKA YAPANDA DAR ES SALAAM
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 16,2025 - BEI YA NAFAKA YAPANDA DAR ES SALAAM
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 16/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 16/12/2025
PSG kumlipa Mbappe Sh175 bilioni
Kwa upande wa PSG ilikuwa imefungua kesi ya kupinga ikidai Pauni milioni 211 (699 bilioni)...
Mkuu wa majeshi Sudan Burhan yuko tayari kwa mazungumzo kuhusu amani na Trump
Jenerali Abdel Fattah al Burhan amepongeza "dhamira ya mazungumzo na juhudi za kutafuta na kumaliza vita nchini kwake" za Trump.
Madaktari wa upasuaji na wasimamizi wao wapo kwenye safari ya kimatibabu, iliyojaa mambo mbalimbali ikiwemo hadithi za kuhuzunis…
Madaktari wa upasuaji na wasimamizi wao wapo kwenye safari ya kimatibabu, iliyojaa mambo mbalimbali ikiwemo hadithi za kuhuzunisha na kufanya kulazimika kufanya uamuzi utakaobadilisha maisha yao, yote hayo lengo ni…
Wastaafu Dodoma kupatiwa vitambulisho vya kielektroniki
Wizara ya Fedha imetoa wito kwa wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika...
Mchakato upangaji majaji kesi za uchaguzi Zanzibar kuanza Desemba 23
Mchakato wa upangaji wa majaji watakaosikiliza kesi za kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa...
Ulaya yasisitiza Urusi igharamie uharibifu wa nchini Ukraine
Jitihada za Ulaya kuisadia Ukraine katika kuikabili Urusi zimeshika kasi, baraza la Ulaya linasisitiza kwamba Urusi inapaswa kubeba mzigo wa gharama ya uharibifu uliofanyika nchini Ukraine kufuatia uchokozi wake.
#HABARI: Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Loya, mwenye umri wa miaka kumi na mitano aliyefahamika kwa jina la Tausi Juma Yusufu,…
#HABARI: Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Loya, mwenye umri wa miaka kumi na mitano aliyefahamika kwa jina la Tausi Juma Yusufu, mkazi wa Kijiji cha Loyabondeni, Kata ya Loya, Wilaya…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kusini, imeteketeza madawa ya kulevya aina ya bang…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kusini, imeteketeza madawa ya kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilo gramu 73, yaliyokamatwa katika Wilaya…
Katika msimu huu wa Sikukuu za mwisho wa mwaka, hii ndio burudani ya Movie utakayoipata kupitia AzamONE
Katika msimu huu wa Sikukuu za mwisho wa mwaka, hii ndio burudani ya Movie utakayoipata kupitia AzamONE. Kwa kifurushi cha mwezi cha shilingi 19,000 unatazama movies hizi. #AzamONEWeSpeakMovies
Zimesalia siku 15 pekee mwaka 2025 utamatike…Najua mwishoni mwa 2024 uliweka malengo ya kufanikisha ndani ya 2025…Vipi umetoboa
Zimesalia siku 15 pekee mwaka 2025 utamatike…Najua mwishoni mwa 2024 uliweka malengo ya kufanikisha ndani ya 2025…Vipi umetoboa Mwandishi wa Vitabu, Zakayo Iganja ameelezea mambo yanayokwamisha malengo kwa baadhi ya…
Kremlin yakataa kusitisha vita Ukraine msimu wa Krismasi
Ikulu ya Kremlin imethibitisha tena msimamo wake wa kukataa usitishaji wa vita nchini Ukraine baada ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz kumtaka Rais wa Urusi Vladimir Putin kusitisha mapigano wakati…
Mazishi ya Jenista yaibua kero ya barabara Mbinga
Wakati aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama akihitimisha safari yake ya mwisho...
Watu 30 wafungwa jela Benin kwa jaribio la mapinduzi
Benin imewatupa korokoroni takriban watu 30, wengi wao wanajeshi, wanaotuhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi lililotibuka mwezi huu.
Burhan asema yuko tayari kuzungumza na Trump kuhusu amani
Kiongozi wa Kijeshi nchini Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, yuko tayari kufanya kazi na Rais wa Marekani Donald Trump kutatua mzozo unaoigawanya nchi yake. Haya yamesemwa leo na wizara ya…
Ulimwengu akumbushia sakata lake, Balozi Bandora kuvuliwa uraia
Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu amekumbushia namna yeye na wenzake...
UN: Mzozo wa njaa waongezeka Afghanistan ufadhili ukipungua
Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa WFP limesema leo kuwa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miongo kadhaa linashindwa kutoa msaada kwa mamilioni ya Waafghani wanaokabiliwa…
Kiongozi wa zamani wa waasi Kongo ahukumiwa miaka 30 jela
Aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Roger Lumbala amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya ukatili aliofanya miongo miwili iliyopita wakati wa Vita vya…
Wanawake vinara ufaulu ARU, 2024/2025
Jumla ya wanafunzi 115 waliofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali kwa mwaka wa masomo...
Usikae kinyonge ukiwa Moshi, yajue maeneo tisa ya kula bata
Ni mambo ya bata batani! Wazungu wanasema ‘December to remember’ ndivyo ambavyo msemo huu...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA – DESEMBA 16, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA - DESEMBA 16, 2025 -
Kenya: Wanadiplomasia wana wasiwasi kuhusu vijana wanaolazimishwa kuajiriwa kwa jeshi la Urusi
Nchini Kenya, watu wanaodaiwa kupatiwa kazi nchini Urusi wanaendelea kuajiriwa kwa nguvu kupigana kwa upande wa Urusi katika vita nchini Ukraine. Hii ni kwa mujibu wa Gazeti la Daily Nation,…
DPP amfutia kesi ya uhaini Irene na kumwachia huru
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Irene Mabeche (58)...
#HABARI: Uhaba wa makazi na vitendea kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, umeendelea kuwa mwib…
#HABARI: Uhaba wa makazi na vitendea kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, umeendelea kuwa mwiba mchungu kwao katika kutimiza majukumu yao ya kutatua changamoto mbalimbali…
Soka: PSG yaamriwa kumlipa Kylian Mbappé karibu euro milioni 61
Mahakama ya Kazi ya Paris leo Jumanne, Desemba 16, imeamuru Paris Saint-Germain, kumlipa takriban euro milioni 61 mchezaji wake wa zamani Kylian Mbappé katika mzozo kati ya pande hizo mbili…
Gamondi aivimbia Nigeria AFCON 2025
KOCHA wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, amesema hana hofu wala presha na safu ya ushambuliaji ya Nigeria inayoongozwa na nyota wa Galatasaray, Victor Osimhen kwa kueleza anaijenga timu hiyo kwa…
Hospitali ya Selian Arusha kusimamiwa na JKCI
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeingia makubaliano ya uendeshaji wa hospitali ya...
Kitambala atabiriwa makubwa Azam FC
BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban amesema baada ya mshambuliaji wa Azam, Jephte Kitambala kuifunga Simba, timu zingine zinatakiwa zijipange kumzuia, kwani atafunga sana.
Mahakama ya Ufaransa yaiamuru PSG kumlipa Mbappe zaidi ya dola milioni 70
Mahakama ya Ufaransa imeiamuru klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) kumlipa mshambuliaji Kylian Mbappé zaidi ya dola milioni 70 kutokana na mishahara na posho ambazo hakulipwa.
Mama ateketea akirudia fedha kwenye nyumba inayoungua
Mkazi wa Mtaa wa Mwasele kata ya Kambarage mjini Shinyanga, Agness James (33) ameteketea baada...
Kulandana apewa mwaka Mbeya City
WAKATI usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufunguliwa Januari Mosi 2026 ukikaribia, uongozi wa Mbeya City umemalizana na aliyekuwa kiungo wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana kwa kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja.
NGO zahimizwa kujenga misingi imara ya uongozi
Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa uwazi na uwajibikaji na kubaini makosa kabla...
Wanafunzi 40 wateuliwa mabalozi wa utalii, uhifadhi
Jumla ya wanafunzi 40 wa shule za sekondari zinazopatikana ndani ya eneo la hifadhi ya jamii ya...
Waliopata maafa ya mvua Kahama kupatiwa misaada ya kibinadamu
Kufuatia nyumba zaidi ya 200 ikiwemo zahanati ya kijiji cha Mwanase Halmashauri ya Msalala...
Mahakama yaamua PSG imlipe Mbappé zaidi ya dola milioni 70
Mahakama ya Paris inayohusika na masuala ya ajira imeamua kwamba Paris Saint-Germain lazima imlipe Kylian Mbappé zaidi ya euro milioni 60 (dola milioni 70).
Vijana Mara wafunzwa kujikwamua kiuchumi
Baadhi ya vijana katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamesema licha ya kuelezwa juu ya uwepo...
Zaidi ya watu 30 wafariki kwenye ajali ya boti Kongo
Majonzi na simanzi vimetawala mkoani Kwilu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo baada ya watu 30 kupoteza maisha kwenye mkasa wa kuzama kwa boti ndani ya Mto Kwango mwishoni mwa…
TBS kuja na viwango vipya vya ufanisi wa nishati vifaa vya umeme
Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limeandaa viwango vya ufanisi wa nishati ya umeme kwa vifaa...
Wakulima wa korosho Lindi wavuna Sh82 bilioni
Wakulima wa zao la korosho mkoani Lindi kupitia chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao tayari...
#HABARI: Mtu mmoja mwanamke mwenye umri wa miaka 36, anayejulikana kwa jina Agnes James, amefariki dunia huku wengine saba wakin…
#HABARI: Mtu mmoja mwanamke mwenye umri wa miaka 36, anayejulikana kwa jina Agnes James, amefariki dunia huku wengine saba wakinusurika kifo kufuatia ajali ya moto, iliyotokea katika nyumba waliyokuwa wanaishi…
Baraza Kuu UN lapitisha azimio kukabili changamoto ya afya ya akili, NCDs
Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) umepitisha azimio linalolenga kuimarisha...