Hamida amuigiza Shakei ampelekee Sheiza mzigo, imebidi ashangae 😅 Kachoi amchana ukweli Chaichaka anayeonekana kutaka ukaribu na…
Hamida amuigiza Shakei ampelekee Sheiza mzigo, imebidi ashangae 😅 Kachoi amchana ukweli Chaichaka anayeonekana kutaka ukaribu na Sheiza. Kipande haishi kumsakama Sheiza licha ya utendaji wake wazua kazi. Usikose kutazama…
DRC: Kujiondoa kwa AFC/M23 Uvira, kuna mashaka mengi
Tangazo la kundi la waasi wa AFC/M23, mashariki wa DRC, ambalo liliwekwa hadharani usiku wa Jumatatu, Desemba 15 kuamkia Jumanne, Desemba 16, ambalo utekelezaji wake unategemea masharti kadhaa—linaacha maswali mengi…
DRC inamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani katika serikali ya kiongozi wa zamani Kabila
Aliyekuwa mgombea urais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo alikamatwa siku ya Jumanne mjini Kinshasa, chama chake cha kisiasa kilitangaza, kikisema kuwa hakuna sababu zilizotolewa za kukamatwa kwake.
Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 17,2025 kwenye #MorningTrumpet ya #utv108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 17,2025 kwenye #MorningTrumpet ya #utv108 #AzamTVUpdates
Giza latanda ACT Wazalendo kuingia SUK
Siku zinaendelea kuyoyoma, huku ukimya ukitawala kuhusu hatima ya Chama cha ACT - Wazalendo...
Donald Trump apiga marufuku raia wa nchi saba zingine kuingia Marekani
Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne Desemba 16 amepanua orodha ya raia wa kigeni waliopigwa marufuku kuingia nchini Marekani, ambayo sasa inajumuisha Raia wa Syria, Burkina Faso, Mali,…
Rushwa yatajwa kuchochea foleni Tunduma
Sambamba na rushwa, wamiliki binafsi wa maegesho ya magari wameingia lawamani, wakitajwa...
Donald Trump kuweka vizuizi kwa meli za mafuta zilizowekewa vikwazo nchini Venezuela
Marekani itaweka vizuizi nchini Venezuela dhidi ya “meli za mafuta zilizowekewa vikwazo zinazoingia na kutoka Venezuela,” Rais Donald Trump ametangaza. Hii inaashiria ongezeko jipya la mgogoro kati ya nchi hizo…
Lukashenko ataka hatua za haraka kukomesha vita vya Ukraine
Rais Alexander Lukashenko wa Belarus ametowa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha vita nchini Ukraine wakati huu Marekani ikiendelea na juhudi za kidiplomasia kuhusu mzozo huo uliodumu kwa miaka…
M23 wajiondowa Uvira kwa agizo la Marekani
Imefahamika kuwa kujiondowa kwa kundi la waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutoka mji muhimu wa Uvira kumetokana na agizo la Washington.
Vyuo vikuu sita vya Uturuki vimeingia 100 bora katika viwango uendelevu vya GreenMetric 2025
Jumla ya vyuo vikuu 54 vya Uturuki vimewekwa katika vyuo 500 vya viwango vya juu zaidi vya GreenMetric duniani, huku 97 wakiwa 1,000 bora.
Venezuela yautaka Umoja wa Mataifa kulaani wizi wa Marekani
Venezuela imetuma malalamiko yake rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kile inachokiita "wizi" wa Marekani iliyoiteka meli yake ya mafuta kwenye Bahari ya Karibiani wiki…
Mataifa ya Ulaya yaanzisha Kamisheni ya Madai ya Ukraine
Baraza la Ulaya, shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humu, limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidia za kivita kwa watu wa Ukraine.
Watu 30 washitakiwa kwa jaribio la mapinduzi Benin
Mahakama ya Uhalifu wa Kiuchumi na Ugaidi nchini Benin imewashitaki watu wapatao 30, wengi wao wakiwa wanajeshi, kwa jaribio la mapinduzi lililoshindwa mapema mwezi juu.
Qalibaf asisitiza umuhimu wa utafiti katika kutatua matatizo ya kitaifa
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa utafiti katika kutatua changamoto na matatizo ya kitaifa.
UNICEF: Hali ya maisha kwa watoto Gaza ni majanga
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya maisha kwa watoto katika Ukanda wa Gaza ni mbaya mno.
Takriban raia 2,000 waukimbia mji wa Heglig, Sudan baada ya kudhibitiwa na kikosi cha RSF
Duru za habari ndani ya Sudan jana ziliarifu kuwa takriban raia 2,000 wameyaacha makazi yao katika mji wa Heglig wa magharibi mwa Sudan huko Kordofan Magharibi baada ya safari ngumu…
Matumaini ya amani ya Ukraine nusu kwa nusu
Licha ya kumalizika kwa mkutano wa pande tatu baina ya Ukraine, Marekani na Ulaya mjini Berlin juu ya uwezekano wa mkataba wa kumaliza vita vya miaka minne vya Urusi, bado…
Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi, upinzani walalamika
Bunge la Zambia limepasisha kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani unadai vitamsaidia Rais Hakainde Hichilema katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Je, mabadiliko ya mkakati wa ECOWAS yatarejesha utulivu Afrika Magharibi?
Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) waliokutano huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wamelaani wimbi la mapinduzi ya kijeshi katika eneo hilo na…
Jumatano, 17 Disemba, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 26 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria mwafaka na tarehe 17 Disemba 2025.
17.12.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Polisi wa Australia wamemfungulia mashtaka mshukiwa wa shambulio la Bondi Beach, Sydney, yakihusisha mauaji ya watu 15 / Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo…
TAIFA CUP VOLLEYBALL | Ilikuwa ni siku ya pili ya mashindano ya mpira wa wavu kwenye viwanja vya Chinangali, Dodoma…
TAIFA CUP VOLLEYBALL | Ilikuwa ni siku ya pili ya mashindano ya mpira wa wavu kwenye viwanja vya Chinangali, Dodoma…. Mchezo wa mwisho kwa leo ulikuwa ni huu….ambao umemalizika kwa…
Umuhimu wa Familia Kupeana Zawadi
Umuhimu wa Familia Kupeana Zawadi Kupeana zawadi ndani ya familia huimarisha upendo, mshikamano na furaha. Zawadi huonyesha kuthaminiana na hujenga umoja wa kifamilia. 👉 Changia maoni yako: Je, kupeana zawadi…
Aziza analazimika kupitia mazingira magumu, yote ili wadogo zake wawe salama 🥹
Aziza analazimika kupitia mazingira magumu, yote ili wadogo zake wawe salama 🥹
Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa baada ya abiria mwenzake kukutwa na $5.9m
Mamlaka za nchini Ureno zimemshtaki mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha, polisi walisema siku ya Jumanne.
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 16 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 16 DESEMBA 2025
@albertomsando, DC Ubungo akielezea hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika wilaya hiyo
@albertomsando, DC Ubungo akielezea hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika wilaya hiyo. #SentroYaCloudstv #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
“Tuliweka camera za mfano kwenye baadhi ya maeneo lakini tayari mradi ule Serikali imeshauanzisha
"Tuliweka camera za mfano kwenye baadhi ya maeneo lakini tayari mradi ule Serikali imeshauanzisha. Kuna mchakato unaoendelea ambapo naamini watapatikana wawekezaji kuwekeza kwa ukubwa wake kama ambavyo tunaona Dodoma tayari…
Droni zimewaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4: Umoja wa Mataifa
Watu wasiopungua 104 wameuawa, ikiwemo watoto 43, katika mashambulizi mbalimbali eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Disemba 4, ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu ilisema siku ya…
Mkuu wa wilaya ya Ubungo, @albertomsando ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ibadili matumizi ya Shilingi Bilioni 10 zili…
Mkuu wa wilaya ya Ubungo, @albertomsando ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ibadili matumizi ya Shilingi Bilioni 10 zilizotengwa kwa ajili ya Ujenzi wa Hoteli Kata ya Sinza, ambapo kiasi…
Sowah, Kante wafungiwa mechi tano, Yanga yatozwa faini
MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah na kiungo wa timu hiyo, Allasane Kante, wamefungiwa kucheza mechi tano kila mmoja kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu waliyofanya dhidi ya Azam FC,…
Sowah, Kante wafungiwa mechi tano, Yanga yatozwa faini Sh5 milioni
MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah na kiungo wa timu hiyo, Allasane Kante, wamefungiwa kucheza mechi tano kila mmoja kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu waliyofanya dhidi ya Azam FC,…
Wamisri wasiopungua 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete: Cairo
Wamisri wasiopungua 14 wamefariki baada ya boti la wahamiaji kuzama karibu na bandari katika kisiwa cha Crete cha Ugiriki, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema siku ya Jumanne.
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..16 DESEMBA 2025
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..16 DESEMBA 2025
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka watumishi kufanya kazi kwa bidii, …
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka watumishi kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na maarifa ili kuleta tija katika kuwatumikia wananchi. Ametoa rai hiyo…
#HABARI: Baada ya Mji wa Uvira kutekwa na waasi wa AFC/M23, baadhi ya wapiganaji wa makundi ya wazalendo wameripotiwa kuanza kus…
#HABARI: Baada ya Mji wa Uvira kutekwa na waasi wa AFC/M23, baadhi ya wapiganaji wa makundi ya wazalendo wameripotiwa kuanza kusalimisha silaha zao kwa waasi hao. Hatua hiyo inatajwa kuchangiwa…
#MICHEZO: Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Simba Godfrey Nyange Kaburu amezungumza na @hoseamchopa kuhusu mtazamo wake juu ya uwas…
#MICHEZO: Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Simba Godfrey Nyange Kaburu amezungumza na @hoseamchopa kuhusu mtazamo wake juu ya uwasilishaji wa Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa klabu AFrika ACA katika…
#HABARI: Bei za mazao ya Nafaka ukiwemo Mchele na Maharage, vimepanda katika masoko matatu ya Mabibo, Tandale na Magomeni, ambay…
#HABARI: Bei za mazao ya Nafaka ukiwemo Mchele na Maharage, vimepanda katika masoko matatu ya Mabibo, Tandale na Magomeni, ambayo yamekuwa yakitegemewa na baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar…
Rais Donald Trump wa Marekani amelifungulia mashtaka Shirika la Habari la BBC kwa kukiuka maadili ya taaluma ya uandishi wa haba…
Rais Donald Trump wa Marekani amelifungulia mashtaka Shirika la Habari la BBC kwa kukiuka maadili ya taaluma ya uandishi wa habari kwa kuhariri (kwa namna ya upotoshaji) vipande vya hotuba…
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Peramiho marehemu Jenista Mhagama amezikwa kijijini kwao Ruanda wilayani Mbinga na kuhitimisha rasm…
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Peramiho marehemu Jenista Mhagama amezikwa kijijini kwao Ruanda wilayani Mbinga na kuhitimisha rasmi safari ya maisha yake hapa duniani. Marehemu Jenista Mhagama alifariki dunia Disemba…
Lugha ya alama ni njia ya mawasiliano iliyobuniwa kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye ulemavu wa kusikia
Lugha ya alama ni njia ya mawasiliano iliyobuniwa kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye ulemavu wa kusikia. Hata hivyo njia hii inatazamwa kama hitaji maalum kwa watu maalum na sio…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, mkoani Njombe, Bw
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, mkoani Njombe, Bw. Olivanus Thomas, ameonyesha kukasirishwa na kusuasua kwa ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo ya bwalo la chakula, mabweni mawili na vyoo vya…
#MICHEZO: @hoseamchopa amezungumza na kocha Dimitar Pantev kuhusu kwa nini alikuwa anampa dakika nyingi Eli Mpanzu na kumuamini …
#MICHEZO: @hoseamchopa amezungumza na kocha Dimitar Pantev kuhusu kwa nini alikuwa anampa dakika nyingi Eli Mpanzu na kumuamini kama mchezaji namba moja muhimu katika idara ya ushambuliaji ilihali kipindi chake…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya, limewashusha baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri na mabas…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya, limewashusha baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri na mabasi mbalimbali yanayotoka mkoani humo, baada ya kubainika kuwa mabasi hayo yalikuwa yamebeba…
“Tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan alivyoingia mwaka 2021 vision yake ni kuhakikisha kwamba huduma zote muhimu za kijamii zinap…
"Tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan alivyoingia mwaka 2021 vision yake ni kuhakikisha kwamba huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana kwa mwananchi kwa gharama nafuu, kwa wakati kwa ubora na…
Benin yawakamata watu karibu 30 kuhusiana na jaribio la mapinduzi
Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi lililotibuliwa mwezi huu, vyanzo vya kisheria vimeiambia AFP.