Jukwaa la Tuzo za Afya Barani Afrika limeiomba Serikali kuendelea kuimarisha huduma za afya vijijini, ikiwemo kuongeza idadi ya …
Jukwaa la Tuzo za Afya Barani Afrika limeiomba Serikali kuendelea kuimarisha huduma za afya vijijini, ikiwemo kuongeza idadi ya madaktari na wataalamu wa afya katika hospitali na vituo vya kutolea…
Mamia wajitokeza maziko ya Jenista, Dk Nchimbi akiongoza
Mamia ya watu wamejitokeza katika kijiji cha Luanda kilichopo Halmashauri ya Mbinga mkoani...
#MEZAHURU”..njia za kisasa (za kutunza fedha) ni njia ya benki lakini pia kuna hizi njia za kutumia simu ambazo zina changamoto …
#MEZAHURU”..njia za kisasa (za kutunza fedha) ni njia ya benki lakini pia kuna hizi njia za kutumia simu ambazo zina changamoto zake lakini kuna njia za mifumo ya uwekaji wa…
Boti yenye kioo kinachomwezesha mtalii kutazama viumbe na baadhi ya vivutio vilivyo ndani ya maji, ijulikanao kama TAWA Sea Crui…
Boti yenye kioo kinachomwezesha mtalii kutazama viumbe na baadhi ya vivutio vilivyo ndani ya maji, ijulikanao kama TAWA Sea Cruiser, imeendelea kuwa kivutio na kichocheo cha utalii wa ndani katika…
Unatoka Ubungo pande zipi?
Unatoka Ubungo pande zipi? Una swali gani kwa mwenye dhamana ya Wilaya hiyo DC @albertoMsando Dondosha swali lako hapa chini kisha baadae Mzee wa Jambo @ally__kashmiry atapita nalo kwenye kikao…
Vuli amemkimbiza maji na kuacha balaa, makachero wa #SentroCloudstv wameamua kupiga Kampeni ya operesheni chemchem maji atafutwe…
Vuli amemkimbiza maji na kuacha balaa, makachero wa #SentroCloudstv wameamua kupiga Kampeni ya operesheni chemchem maji atafutwe mpaka apatikane ili asaidie wengi. Kutoka river side hadi goba madale hadi kimara…
“…..baba yangu amelala pale, wengi watakuwa wanajiuliza kwa nini mama yangu mpenzi naye amelala pale…..kulikuwa na mti mkubw…
".....baba yangu amelala pale, wengi watakuwa wanajiuliza kwa nini mama yangu mpenzi naye amelala pale.....kulikuwa na mti mkubwa....basi marehemu mama yangu katika ustawi wa maisha yake na kumpenda mpenzi wake…
“Na tangu nimeanza kutoa elimu ya fedha 2022 kitaalamu hata madarasa ambayo nimekuwa nikiwakaribisha watu ili waweze kujifunza u…
"Na tangu nimeanza kutoa elimu ya fedha 2022 kitaalamu hata madarasa ambayo nimekuwa nikiwakaribisha watu ili waweze kujifunza unakuta unapata watu kwa idadi kubwa sana. Kumekuwa na mwamko mkubwa sana…
Mtazamo wa Tunisia na Afrika: Palestina ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki wa kimataifa
Tunisia imeitangaza kadhia ya Palestina kuwa ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki duniani.
Wafanyabiashara wa samaki kwenye Mwalo wa Mswahili – Mwanza wameeleza kuimarika kwa biashara yao baada ya eneo la soko hilo kubo…
Wafanyabiashara wa samaki kwenye Mwalo wa Mswahili - Mwanza wameeleza kuimarika kwa biashara yao baada ya eneo la soko hilo kuboreshwa na kujengewa banda maalumu la kuwakinga na mvua. Wakizungumza…
“Baadhi ya watu wananiambia wao ni maskini nataka kuwapa elimu ya fedha itawasaidia kitu gani?
"Baadhi ya watu wananiambia wao ni maskini nataka kuwapa elimu ya fedha itawasaidia kitu gani? Nawafundisha elimu ya fedha wakati hawajala chakula na wana changamoto mbalimbali, wataitumiaje elimu hiyo fedha…
Ripoti mpya ya uhakika wa chakula yathibitisha hofu ya kuongezeka kwa janga la njaa Afghanistan wakati wa baridi
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeonya kuhusu kuongezeka kwa njaa kali na utapiamlo huko Kabul nchini Afghanistan, wakati msimu wa baridi unaanza. Onyo hilo…
WHO: Viongozi wa dunia wapitisha azimio la kihistoria kuhusu magonjwa yasiyoambukiza na afya ya akili
Viongozi wa dunia wanaokutana katika Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA, wamepitisha azimio la kisiasa la kihistoria linalolenga kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza NCDs, sambamba na…
Aina mpya ya homa ya mafua inaongezeka kwa kasi, lakini chanjo bado ni kinga bora: WHO
Wakati msimu wa homa ya mafua katika Ulimwengu wa Kaskazini ukianza mapema, aina mpya ya virusi inaenea kwa kasi hata hivyo, chanjo bado ndio “ulinzi wenye ufanisi zaidi”, limesema leo…
Maelfu waendelea kufungasha virago Kivu Kusini DRC kutokana na machafuko ya M23: UNHCR
Maelfu ya watu wameendelea kufungasha katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kimokrasia ya Confgo DRC kutokana na machafuko yanayoendelea.
Mkuu wa OHCHR ataka mapigano yakome mara moja Sudan akilaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa UN
Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo ameeleza hofu yake kubwa kuhusu kuongezeka kwa mapigano katika eneo la Kordofan nchini Sudan, akitaka kusitisha…
Frida Amani: Kutetea mazingira ni ndoto yangu kubwa
Frida Amani, msanii wa muziki wa kizazi kipya wa kwa hip hop au muziki wa kufokafoka almaarufu kama rap kutoka nchini Tanzania, ambaye pia ni mtangazaji na mwanamazingira, amepata heshima…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….DESEMBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....DESEMBA 16, 2025
Kilimo ikolojia chatajwa kuongeza usalama wa chakula kwa walaji
Arusha. Matumizi makubwa ya kemikali, mbolea nyingi na dawa za kuulia wadudu yanayofanywa na...
Tanzania yaendelea kuwa chaguo la watalii wa kimataifa
Tanzania inaendelea kushuhudia ongezeko la watalii kutoka mataifa mbalimbali ya Ulaya, yakiwemo Ufaransa, wanaovutiwa na uzuri wa kipekee wa asili na mandhari tofauti zinazopatikana nchini. Imechapishwa: 16/12/2025 – 12:52Imehaririwa: 16/12/2025…
” 🌻 Ipo Stoo & Tayari Kusambazwa!
" 🌻 Ipo Stoo & Tayari Kusambazwa! Sunland Sunflower Oil 📦 Upatikanaji wa uhakika 📦 Inafaa kwa wauzaji wa jumla · Tayari kwa dukani kwako Supermarkets na wauzaji wa jumla…
Baghaei: Jamii ya kimataifa ichukue hatua dhidi Israel
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani jinai zinazoendelea kufanywa na Israel huko Ghaza na mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, na amezitaka nchi za ukanda huu na…
MABADILIKO YA RATIBA ZA VIPINDI AZAM ONE KUANZIA JANUARI 2026
MABADILIKO YA RATIBA ZA VIPINDI AZAM ONE KUANZIA JANUARI 2026 Msimamizi Msaidizi wa Chaneli ya #AzamONE, @kechu_jackson ameeleza kuhusu mabadiliko ambayo chaneli hiyo inaenda kuyafanya kuanzia Januari mosi 2026. Miongoni…
Mvua zaharibu asilimia 90 ya mahema ya wakimbizi Ukanda wa Ghaza
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko Ghaza hadi hivi sasa zimeshaharibu asilimia 90 ya mahema wa wakimbizi wa ukanda huo tena wakati huu wa kukaribia kuingia kwenye msimu wa baridi kali.
Lavrov: Iran haikuwahi kukanyaga makubaliano ya JCPOA
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kwamba, Iran haijawahi kwenda kinyume na ahadi zake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, akisema kwamba Marekani ndiyo iliyoyachana na kuyatupa…
Benki ya ushirika yaja na Coopesa
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo ameitaka Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) kulinda kwa...
M23 yatangaza kujiondoa katika eneo la Uvira kama hatua ya kujenga uaminifu
Kundi la waasi la Harakati ya Machi 23 (M23) lilitangaza jana Jumatatu kwamba limeamua lenyewe tu kuondoa vikosi vyake katika mji wa Uvira wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Khaled Masha’al: Trump anapaswa kuachana na sera ya Israel kwanza
Mmoja wa viongozi waandamizi wa harakati ya HAMAS amemtaka rais wa Marekani Donald Trump kuachana na sera ya Washington ya Israel Kwanza, akisema kuwa, hata wafuasi wa Trump kama vile…
Mfahamu Rebeca mrembo aliyeacha soka ili amuunge mkono Fabinho
Kutana na Rebeca Tavares, 31, mwanasoka wa zamani ambaye pia ni mke na mama watoto wa kiungo...
Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, CGP Jeremiah Katungu amesema hatasita kuchukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya watumishi waze…
Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, CGP Jeremiah Katungu amesema hatasita kuchukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya watumishi wazembe ndani ya Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha…
Mashabiki Simba, Yanga kuonyeshana umwamba
Mashabiki wa Simba na Yanga watacheza mechi ya kirafiki, Jumapili, Desemba 21, 2025 kwa lengo la kuhamasisha upendo na umoja baina yao.
Mashambulizi ya Marekani Pasifiki ya mashariki yaua watu 8
Jeshi la Marekani lilishambulia vyombo vitatu vya majini katika Bahari ya Pasifiki ya mashariki, likidai kuwa vilikuwa boti za dawa za kulevya. Inaripotiwa kuwa wanaume wanane wamefariki katika tukio hilo.
Kundi la waasi la M23 jana Jumatatu limetangaza uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya K…
Kundi la waasi la M23 jana Jumatatu limetangaza uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mji ambao lilidai kudhibiti wiki iliyopita.…
Ubomoaji bila kibali wazua taharuki Kariakoo, miundombinu yahatarishwa
Wakazi na wafanyabiashara wa mitaa ya Swahili na Donge, Kariakoo, jijini Dar es Salaam...
Kesi ya mtu aliyevurumisha gari kwenye umati yaanza Munich
Kesi dhidi ya Farhad N., mwanaume wa Afghanistan mwenye umri wa miaka 25 anayetuhumiwa kuvurumisha gari kwenye umati wa watu mjini Munich mwezi Februari, imeanza katika Mahakama Kuu ya Kikanda…
M23 yatangaza kujiondoa katika mji wa Uvira nchini Kongo
Kundi la waasi la M23 limetangaza leo kuwa limekubali ombi la Marekani la kujiondoa kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Urusi yasema haifahamu makubaliano ya Berlin kuhusu Ukraine
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Ryabkov amesema nchi yake bado haina ufahamu kuhusu makubaliano yaliyofikiwa na Marekani, Ukraine na Umoja wa Ulaya mjini Berlin.
Sudan yaongoza tena orodha ya Shirika la IRC
Sudan kwa mara nyingine tena imeongoza orodha ya waangalizi wa kimataifa wa migogoro ya kibinadamu iliyotolewa na Shirika la Kimataifa la Misaada ya Kiutu la International Rescue Committee (IRC).
Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi
Bunge la Zambia limepitisha jana kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani unadai vitamsaidia Rais Hakainde Hichilema katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Thailand : Lazima Cambodia iwe ya kwanza kusitisha mapigano
Thailand imesema leo kuwa Cambodia lazima iwe ya kwanza kutangaza kusitisha mapigano kati ya mataifa hayo mawili baada ya zaidi ya wiki moja ya mapigano makali katika mzozo uliozuka upya…
Bado siku mbili kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza
Bado siku mbili kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza. #MrsGarcia #AzamONE
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….DESEMBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....DESEMBA 16, 2025
Waasi wa AFC/M23 wasema wako tayari kuondoka Uvira
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, waasi wa AFC/M23 wamesema wako tayari kuondoka kutoka mji wa Uvira kwa masharti kwamba mji huo utabaki bila askari na utalindwa na kikosi kisichoegemea…
Zambia yapitisha mswaada wa kubadili vipengee vya katiba
Upinzani walalamikia hatua ya bunge kupitisha muswaada wa kubadili vipengee 13 vya katiba kumpendelea rais Hichilema katika uchaguzi wa rais mwaka ujao
#HABARI: Wizara ya Fedha imetoa wito kwa Wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika katika Ofisi za Hazina D…
#HABARI: Wizara ya Fedha imetoa wito kwa Wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika katika Ofisi za Hazina Dodoma ili kupatiwa vitambulisho vya wastaafu vya kielektroniki. Wito…
Hizi hapa ngoma za Bongo Fleva zilizobamba 2025
Mwaka 2025 haukuwa mzuri sana kwenye mahusiano baina ya wasanii na mashabiki kutokana na...