Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 11, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…
STAN BAKORA UKIRUDI UJE UMALIZIE MKATABA WAKO WA BODABODA..?😀😏
STAN BAKORA UKIRUDI UJE UMALIZIE MKATABA WAKO WA BODABODA..?😀😏 @stanbakora_ NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza kikengere ili kupata notification…
ANAULIZA MWANDAMBO
ANAULIZA MWANDAMBO... NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza kikengere ili kupata notification pindi habari zinapopostiwa ::: #standupcomedy #tanzaniatalent #talent #wcb4life…
WEMA SEPETU AZIDI KUWACHAMBA GEN Z HUKO SNAPCHAT
WEMA SEPETU AZIDI KUWACHAMBA GEN Z HUKO SNAPCHAT.. NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza kikengere ili kupata notification pindi habari…
“Hatua tunazozichukua zinaonwa na wale ambao tunakanyaga mikia yao”
"Hatua tunazozichukua zinaonwa na wale ambao tunakanyaga mikia yao"
Watalii waongezeka Zanzibar Novemba Waitaliano waongoza
Wasafiri kutoka Ulaya waliendelea kutawala soko, wakiweka asilimia 73.1 ya wote waliowasili...
BAADHI YA WASANII WATAJWA KUIKIMBIA BONGO
BAADHI YA WASANII WATAJWA KUIKIMBIA BONGO... NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza kikengere ili kupata notification pindi habari zinapopostiwa :::…
Kibaha yamaliza maandalizi kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwakani
Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani imeingia katika hatua za mwisho za maandalizi makubwa ya...
Zein ni kijana wa hovyo…(ijapokuwa hatujui itakuwa hivyo siku zote au la), Karam amekuja naye anaonesha tabasamu la upendo lak…
Zein ni kijana wa hovyo...(ijapokuwa hatujui itakuwa hivyo siku zote au la), Karam amekuja naye anaonesha tabasamu la upendo lakini hatujui kama ndio ngozi yake halisi. Tumeianza safari ya THE…
“Kwahiyo mahitaji ndio yanachochea bidhaa fulani kutafutwa kwa kiwango kikubwa sana”- Erald Mporoto, Mchambuzi wa masualaya kija…
"Kwahiyo mahitaji ndio yanachochea bidhaa fulani kutafutwa kwa kiwango kikubwa sana"- Erald Mporoto, Mchambuzi wa masualaya kijamii, siasa za kimataifa na balozi wa kiswahili nchini Tanzania. #SentroYaCloudstv #LainiYaWana
“Uchumi unapokua walio wengi wanatakiwa washikiliwe sana”- Erald Mporoto, Mchambuzi wa masualaya kijamii, siasa za kimataifa na …
"Uchumi unapokua walio wengi wanatakiwa washikiliwe sana"- Erald Mporoto, Mchambuzi wa masualaya kijamii, siasa za kimataifa na balozi wa kiswahili nchini Tanzania. #SentroYaCloudstv #LainiYaWana
“Baadhi ya Mataifa mteja anatajiwa bei, analipia bidhaa anaondoka lakini kwa Tanzania ili mnunuaji akuamini wewe muuzaji unataki…
"Baadhi ya Mataifa mteja anatajiwa bei, analipia bidhaa anaondoka lakini kwa Tanzania ili mnunuaji akuamini wewe muuzaji unatakiwa upunguze hata shilingi 500"- Erald Mporoto, Mchambuzi wa masualaya kijamii, siasa za…
Sudan: Marekani yawawekea vikwazo Wakolombia kwa jukumu lao la kuajiri mamluki kwa RSF
Marekani imewawekea vikwazo watu wanne wa Colombia na makampuni manne kwa jukumu lao la kuajiri mamluki kwa kuelekea Sudan. Wizara ya Fedha ya Marekani ilitangaza hili siku ya Jumanne, Desemba…
Shaiza/Mussa ameanza kazi rasmi lakini alipewa onyo kuhusu Radhia, mtoto mkubwa wa Mzee Maega kuwa ni jasusi pia hivyo awe makin…
Shaiza/Mussa ameanza kazi rasmi lakini alipewa onyo kuhusu Radhia, mtoto mkubwa wa Mzee Maega kuwa ni jasusi pia hivyo awe makini, kijana wa watu amezimika na Radhia hataki maelekezo hapo…
Marufuku magari binafsi, bodaboda barabara za mwendokasi
Marufuku hiyo imetangazwa leo Jumatano na Dart kupitia taarifa kwa umma ya Kitengo cha...
Mwanzilishi wa Tanzania Fashion & Style Awards, itakayofanyika 20 DEC 2025, ambaye pia ni model @daxxcruzofficial, ameweka wazi …
Mwanzilishi wa Tanzania Fashion & Style Awards, itakayofanyika 20 DEC 2025, ambaye pia ni model @daxxcruzofficial, ameweka wazi kupitia kipindi cha Clouds E kuwa kwenye tasnia ya uwanamitindo Tanzania hakuna…
KOMBOLELA TAMTHILIA BORA UBUNIFU WA MAVAZI
KOMBOLELA TAMTHILIA BORA UBUNIFU WA MAVAZI Hongera kwa timu nzima ya @nabra_creative_company kwa ushindi wa tuzo ya tamthilia bora ubunifu wa mavazi kutoka jukwaa kubwa la @swahilifashionweek Mwasisi wa Nabra…
M-tag mshkaji wako anayekusapoti kwenye harakati zako!
M-tag mshkaji wako anayekusapoti kwenye harakati zako! #SentroYaCloudsTv #Clouds26Nyoosha #LainiYawana
Jasusi mwingine ni Kachio, rafiki wa damu wa Chaichaka, licha ya urafiki wao…Kachio ana kazi maalum anazotumwa na jeshi kuhusu…
Jasusi mwingine ni Kachio, rafiki wa damu wa Chaichaka, licha ya urafiki wao...Kachio ana kazi maalum anazotumwa na jeshi kuhusu mali au hazina inayomilikiwa na Mzee Maega. Kupitia Chaichaka, kazi…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 10/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 10/12/2025
HOLIDAY MOVIES 🍿 #AzamONE
HOLIDAY MOVIES 🍿 #AzamONE Furahia safu ya burudani za filamu mbalimbali kwenye msimu huu wa sikukuu kupitia chaneli yako ya AzamONE namba 101 kwenye kisimbuzi cha #AzamTV Lipia mapema kifurushi…
Kizazi cha sasa mapenzi bila pesa yanawezekana
Kizazi cha sasa mapenzi bila pesa yanawezekana Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 Hosted by @missloloh_ @djfantastic255 #TheSparkShow
Ujenzi wa barabara ya Iringa kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha umetajwa kuwa kichocheo cha kuimarisha shughuli za utalii ndani …
Ujenzi wa barabara ya Iringa kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha umetajwa kuwa kichocheo cha kuimarisha shughuli za utalii ndani ya hifadhi hiyo, huku ukifungua fursa za kiuchumi kwa wananchi…
Nondo nne kwa madiwani Bariadi
Madiwani hao wana wajibu wa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria na viapo vyao ili...
Juana hajui hili wala lile, Gaby amejua ni nani aliyeshika ujauzito na anakutana na sura anayoifahamu vizuri tena sio kuifahamu …
Juana hajui hili wala lile, Gaby amejua ni nani aliyeshika ujauzito na anakutana na sura anayoifahamu vizuri tena sio kuifahamu tu; ni sura ya mwanamke anayejaribu kujidanganya kuwa hampendi... Camila…
Mashauri 15 ACT Wazalendo yatajwa mahakamani leo
Akitoa ufafanuzi wa hilo, Wakili Rajab amesema wanachohitaji ni kupitia majibu ya Serikali ili...
Hili ni Soko Janja la Makachero wa Sentro nyanya hapa tunauza kwa ya shamba, bidhaa za nyumbani kwa bei rafiki
Hili ni Soko Janja la Makachero wa Sentro nyanya hapa tunauza kwa ya shamba, bidhaa za nyumbani kwa bei rafiki. Tumefanya maisha ya mjini kuwa rahisi kama kijijini, rahisi na…
UNESCO awards Tanzanian organization for promoting peace
PARIS: THE Tanzanian youth organization, African Leadership Initiatives for Impact (ALII), has been awarded the UNESCO Global Citizenship Education Award in recognition of its significant contribution to promoting peace and…
Kijana adaiwa kumbaka, kumjeruhi bibi yake
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augustino Senga, amekiri kumshikilia mtuhumiwa.
Beatrice alivyoianza sikukuu mapema Morogoro
Morogoro: Mkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania, Chiha Nchimbi (kushoto), pamoja na Meneja Mauzo na mkakati wa biashara Kanda ya Kati, Latifa Salum (kulia), wakimkabidhi kapu la sikukuu…
Mawaziri wanne watua Pwani, wapewa kero nne
Mawaziri hao na wizara zao kwenye mabano ni Profesa Kitila Mkumbo (Mipango na Uwekezaji)...
Mama adaiwa kuua mtoto kwa kipigo
MBEYA; JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Marry Timotheo, mkazi wa Kijiji cha Garijembe Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake, Scola Mwaba (10),…
Tanzania explores strategies to promote Kwala Industrial Park
KIBAHA: TANZANIA has unveiled strategies to further promote Kwala Industrial Park (KIP) as the country’s new hub of business and investment. This was revealed during the five ministries’ tour of…
Ndayiragije awapa nyota TRA United siku kumi
BAADA ya kuikanda Singida Black Stars kwa mabao 3-1 wachezaji wa TRA United wamepewa siku 10 za kupumzika kabla ya kurudi kujiandaa na mechi zijazo za Ligi Kuu Bara, Kombe…
Tanzania yaeleza inavyotumia maarifa ya asili, sayansi kulinda bahari ikolojia za pwani
Nairobi. Tanzania imeeleza hatua inazochukua kulinda rasilimali za pwani na mifumo ya ikolojia...
Mama adaiwa kuua mwanaye, kutupa mwili shambani
Mwamba (10) alikuwa mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Ngonde.
Ibenge achekelea rekodi mpya kwa Simba
SIMBA bado wanalaumiana kufuatia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC, huku wenzao wanacheka tu na kumfanya kocha Florent Ibenge achekelee kubadilisha mzimu wa matokeo mabaya dhidi ya Wekundu…
Irene anayekabiliwa na kesi ya uhaini, aongezewa kesi nyingine
Irene, ambaye ni mjasiriamali, anadaiwa kutenda kosa hilo kinyume na kifungu 340 na 35 cha...
RC Makalla commends Arusha residents for patriotism
ARUSHA: ARUSHA Regional Commissioner, Amos Makalla, has commended the residents of the region for rejecting the planned demonstrations scheduled for December 9, 2025. He also emphasized the importance of cultivating…