DPP awafutia mashitaka ya uhaini mwandishi wa Ayo Tv, wengine watatu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa...
Wafungwa watatu raia wa China watinga mahakamani kutoa ushahidi kesi ya kughushi msamaha wa Rais
Mashahidi watatu raia wa China ambao pia ni wafungwa wanaotumikia vifungo gerezani wametinga...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, ameendelea na ziara ya kupambana na ujambazi unaofanywa ndani ya Ziwa Tangan…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, ameendelea na ziara ya kupambana na ujambazi unaofanywa ndani ya Ziwa Tanganyika kufuatia malalamiko ya wavuvi na wajasirimali wa mazao ya…
Ukatili wa Kijinsia Unaendelea Kuathiri Jamii
UKATILI wa kijinsia ni tatizo linaloendelea nchini Tanzania, linaloathiri jamii kwa njia ambayo ni ya kisaikolojia, kimwili, kiuchumi, na kijamii. Tatizo hili linagusa wanawake, wasichana, wanaume, wazee, na watu wenye…
Ushirikiano Tanzania, Qatar kufungua fursa za ajira kwa mabaharia
Mabaharia watanufaika na maslahi bora na fursa zaidi za kazi kwenye masoko yenye ushindani...
Hivi ndivyo ilivyo vigumu kupunguza uzito wa mwili kuliko kuongeza
Wakati kesho Novemba 26, 2025 dunia ikiadhimisha siku ya kupinga uzito uliokithiri...
Wanawake wa Kongo waandamana kupinga ukatili dhidi yao
Tarehe 25 Novemba ni Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake. Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mamia ya wanawake wa dhehebu la kikatoliki waliandamana Kivu Kusini kudai…
UNCTAD yaonya kuhusu uchumi wa Palestina
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa vita vya Israel katika Ukanda wa Gaza vimeharibu uchumi wa eneo la Palestina na vinatishia uhai wake.
Watu sita wameuawa katika mashambulizi mapya huko Ukraine
Urusi ilirusha makombora 22 na zaidi ya droni 460 kuilenga Ukraine, mashambulizi hayo yamesababisha kukatika huduma za maji na umeme huku joto likiongezeka katika baadhi ya maeneo ya Kyiv.
#HABARI: Mkoa wa Mtwara umeweka rekodi mpya katika mauzo ya zao la Korosho baada ya kuuza zaidi ya tani 147,410 kupitia minada s…
#HABARI: Mkoa wa Mtwara umeweka rekodi mpya katika mauzo ya zao la Korosho baada ya kuuza zaidi ya tani 147,410 kupitia minada sita iliyofanyika hadi sasa kupitia mfumo wa stakabadhi…
Erdogan akosoa kuangaziwa duni kwa ukatili wa Israel dhidi ya wanawake huko Gaza
Rais wa Uturuki amesema bila kujali asili ya mnyanyasaji au anayenyanyaswa , Uturuki itasema ukweli kwa sauti kubwa katika kila jukwaa.
Tanzania: Vurugu za Oktoba 29 zililenga kuhujumu uchumi
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amezungumzia vurugu za Oktoba 29 na ameeleza kuwayaliyotokea, yalilenga kuhujumu Uchumi wa Tanzania.
Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake
Leo tarehe 25 Novemba, ulimwengu unasimama kwa sauti moja kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake. Ni siku ya kutafakari, ya kuhamasisha na ya kuungana kupinga ukatili…
Dk. Dorothy Gwajima: Safari ya Maisha, Uongozi na Siasa
KUNA baadhi ya viongozi wachache wa Tanzania ambao historia yao ya maisha na kazi inafaa kusimuliwa kwa uangalifu. Mmoja wa hao ni Dk. Dorothy Onesphoro Gwajima, kiongozi anayejulikana si tu…
PM urges Tanzanian Editors to bank on the independent commission
DAR ES SALAAM: TANZANIAN Prime Minister, Dr Mwigulu Nchemba, has urged Tanzanians to unite and remain peaceful as the newly formed independent commission continues to investigate the cause of violence…
Baada ya kuanzishwa kwa anuani za makazi, sasa Serikali imeleta programu tumizi ya ‘National Physical Addressing’ (NaPA), ambayo…
Baada ya kuanzishwa kwa anuani za makazi, sasa Serikali imeleta programu tumizi ya ‘National Physical Addressing’ (NaPA), ambayo inamwezesha Mtanzania kupata barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa bila kulazimika…
Watanzania waitwa kupima magonjwa yasiyoambukiza bure
Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam...
Kasoro za ushahidi zamweka huru aliyedaiwa kusafirisha dawa za kulevya
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imemuachia huru...
Serikali kuwakopesha wajasiriamali Sh200 bilioni
Serikali inatarajia kutoa Sh200 bilioni kwa ajili ya kutunisha mfuko wa mikopo ya wajasiriamali...
Makamba aitaka Tanesco kuimarisha ulinzi na matengenezo ya mitambo
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba amewataka watumishi wa Shirika la Umeme Tanzania...
Wauaji wa MC Pilipili giza nene
Takribani siku 10 zimepita tangu ulipotokea msiba wa mshereheshaji na mchekeshaji maarufu...
Tani 131,000 za mahindi zakosa soko Chunya, sababu yatajwa
Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, imesema wastani wa tani 131,000 za zao la...
Uturuki kuanzisha uzalishaji wa wingi wa ndege ya mafunzo ya juu ya Hurjet: maafisa
Sampuli ya awali ya ndege hiyo imekamilisha zaidi ya saa 260 za safari za majaribio huku Uturuki ikijiandaa kusaini mkataba wa mauzo na Hispania.
#AIBUYAKO: Usikose kufuatilia kipindi hiki Jumatatu ijayo kupitia Televisheni yako pendwa ya ITV, Super Brand Afrika Mashariki s…
#AIBUYAKO: Usikose kufuatilia kipindi hiki Jumatatu ijayo kupitia Televisheni yako pendwa ya ITV, Super Brand Afrika Mashariki saa 4:00 usiku. Kipindi hiki kinapatikana pia Katika Youtube yetu #ITVTANZANIA.
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA- 25 NOVEMBA 2025- AMUUA MKE WAKE KWA KUMYONGA NA RASTA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA- 25 NOVEMBA 2025- AMUUA MKE WAKE KWA KUMYONGA NA RASTA
Ibenge awapa maujanja mastaa Azam
AZAM FC tayari ipo Zanzibar ikijiandaa kuikaribisha Wydad Athletic kutoka Morocco katika mechi ya pili Kundi B la Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa…
MTAKUWWA Iringa watakiwa kuwa mabalozi kutokomeza ukatili
Wadau na wajumbe wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto...
UN: Kila baada ya dakika 10 mwanamke mmoja huuwa
Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 2024 inaeleza kuwa takribani kila baada ya dakika 10 mwanamke au msichana mmoja aliuawa na mwenza wake au mwanafamilia.
Kiswanya hataki mchezo Namungo
KIUNGO wa Namungo, Abdulkarim Kiswanya amesema kupata nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha timu hiyo si jambo jepesi kutokana na ubora wa nyota waliopo.
Mtwara auctions 147,410 tonnes of cashew to set a new selling record
MTWARA: MTWARA Region has set a new record in cashew sales after selling a total of 147,410 tonnes through six auctions held so far under the warehouse receipt system and…
Tafiti 41 kuisaidia Serikali majibu ya changamoto za kiuchumi
Serikali inatarajia kunufaika na matokeo ya tafiti 41 za ndani na nje ya nchi zinazolenga...
“Pakitokea fujo, pakitokea vurugu, haijawahi kutokea vurugu isiyo na madhara, natoa rai kwa Watanzania tukae eneo ambalo haliko …
"Pakitokea fujo, pakitokea vurugu, haijawahi kutokea vurugu isiyo na madhara, natoa rai kwa Watanzania tukae eneo ambalo haliko sawa tujadiliane tusiruhusu tena jambo la aina hii,"-Dkt.Mwigulu Nchemba - Waziri Mkuu…
Bunge la Ujerumani kupiga kura ya kupitisha bajeti wiki hii
Wabunge Ujerumani wiki hii wanatarajiwa kupiga kura ya mwisho kwa bajeti ya mwaka 2026.
Mjumbe wa Marekani ataka mapigano yasitishwe Sudan
Mjumbe wa Rais Donald Trump barani Afrika, Massad Boulos, ametoa mwito kwa pande zinazozozana Sudan kukubali pendekezo jipya la usitishwaji mapigano lililowasilishwa na Marekani, bila masharti yoyote.
Marekani na Ukraine zakubaliana hoja muhimu za amani
Marekani na Ukraine zimeafikiana kuhusiana na hoja muhimu katika mpango uliowasilishwa na Marekani wa kusitisha vita nchini Ukraine.
UNCTAD – itachukua miongo uchumi Palestina kuimarika
Vita vya miaka miwili huko Gaza na vikwazo vya kiuchumi vimesababisha kuporomoka pakubwa kwa uchumi wa Palestina na kuondoa juhudi za miongo kadhaa za kuimarika kwake.
Mashaka: Mchongo ni nafasi tu
MSHAMBULIAJI wa Simba anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Valentino Mashaka amesema kwa sasa anachotaka ni nafasi tu ndani ya kikosi hicho ili kuonyesha ubora wake.
FCT kuimarisha ushindani nchini
DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametembelea Baraza la Ushindani (FCT) katika ofisi baraza zilizopo Dar es Salaam, ambapo alipokea taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu ya…
Pamba Jiji yavunja rekodi yake
PAMBA Jiji imevunja rekodi ya msimu uliopita ndani ya raundi saba za kwanza Ligi Kuu Bara kiasi cha kuwaibua wakongwe wa timu hiyo akiwemo Khalfan Ngassa.
Gnabry kushiriki mechi ya Bayern dhidi ya Arsenal
Winga wa timu ya taifa ya Ujerumani na Bayern Munich Serge Gnabry atashiriki mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya klabu yake itakapocheza na Arsenal Jumatano.
Posta Tanzania awarded International Security Certificate
DAR ES SALAAM: TANZANIA Posts Corporation (TPC) has been awarded the International Postal Security Certificate (S58 and S59) by the Universal Postal Union (UPU), confirming that the organisation meets required…
Tanzania, Estonia deepen ties in digital technology, cybersecurity, investment
ZANZIBAR: THE Tanzanian government and the government of Estonia have agreed to continue strengthening cooperation in various sectors of mutual interest, including the development and reform of digital technology, innovation…
Dada wa Raila Odinga afariki dunia
DPP awafutia mashitaka ya uhaini mwanahabari wa Ayo Tv, wengine watatu
Diddy anavyoendesha maisha yake gerezani
Kuwa gerezani siyo mwisho wa malengo, mtandao wa TMZ umenasa picha na video za gwiji wa muziki...
Tanzania joins the World Heritage Committee for a five-year term
PARIS: TANZANIA has been elected to join the World Heritage Committee for a period of five years from 2025-2029. Tanzania won the seat in the first round of the election…
Tanzanian traders submit gemstones to TGC for 3rd Auction in Arusha
ARUSHA: Traders in the country’s mineral sector have continued to submit their gemstones to the Tanzania Gemological Centre (TGC) as part of the preparations for the third gemstone auction scheduled…
Mivutano kati ya Pakistan na Afganistan inazidi kuongezeka
Mivutano kati ya Afghanstan na Pakistan imezidi huku utawala waTaliban ukivishutumu vikosi vya anga vya Pakistan kuhusika na mashambulizi mapya yaliyosababisha vifo vya watoto na wanawake.
“Mimi kwenye Imani yangu, kumwaga damu ya mtu mmoja asiye na hatia siyo baraka katika Ardhi husika,tunatoa pole kwa familia amba…
"Mimi kwenye Imani yangu, kumwaga damu ya mtu mmoja asiye na hatia siyo baraka katika Ardhi husika,tunatoa pole kwa familia ambazo zimekutana na madhila hayo, ombi langu kila mmoja kwenye…
NEMC embarks on Pillar Three for environmental conservation, climate change resilience
DAR ES SALAAM: THE National Environmental Management Council (NEMC) has conducted a special capacity-building training on the implementation of the Tanzania Development Vision 2050, with a particular focus on Pillar…