Hatari ya Uharibifu wa bioanuwai ya Bonde la Congo
Bonde la Congo, lipo katikati ya bara la Afrika. Ni muhimu kwa kuhifadhi mazingira kwani mbali na kunyonya tani milioni 600 za gesi ya ukaa kila mwaka, ni makazi ya…
Simulizi ya Dar City ikiishia njiani BAL
BAADA ya Johannesburg Giants ya Afrika Kusini kuiondoa Dar City City katika nusu fainali ya mashindano ya kikapu Road to BAL Elite 16, kocha wa timu hiyo, Florsheim Ngwenya amesema…
Serengeti, Mt Kilimanjaro, Zanzibar glorify Tanzanian beauty at Doha Travel Mart
DOHA: VISITORS from across the world explored the beauty, investment potential, and unique tourism experiences that make Tanzania a premier global destination at the ongoing Qatar Travel Mart in Doha.…
Makada sita Chadema waachiwa huru Mbeya, Chadema yatoa kauli
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, imewaachia huru watuhumiwa sita ambao ni wafuasi wa...
“….Watanzania hawa wote hawa awe na duka lake gari yake, ni watu wanaojikusanyana sana…….umechoma vituo vya mwendokasi una…
"....Watanzania hawa wote hawa awe na duka lake gari yake, ni watu wanaojikusanyana sana.......umechoma vituo vya mwendokasi unataka ukachome stendi ya Magufuli, unataka ukawashe Kinyerezi ambako ndio inatoa nishati ya…
Tanzania: Call for Expression of Interest for investors in pharmaceutical, medical devices
DAR ES SALAAM: THE Minister for Health, Mohamed Mchengerwa, has directed that within 21 days, the Ministry, through the Department of Pharmaceutical Services and the Office of the Chief Government…
Shule nchini Nigeria bado ni hatari kwa wanafunzi
Nigeria ilizindua Mpango wa Shule Salama SSI baada ya kutekwa wanafunzi wa Chibok zaidi ya miaka 10 iliyopita. Lakini hadi leo nchi hiyo bado inakabiliwa na changamoto ya kukomesha utekaji…
Ajeruhiwa mkono mgogoro wa ekari sita za urithi
Mgogoro wa ardhi katika Kijiji cha Mwajipugila, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, uliodumu...
Tanzania, Qatar sign MoU to enhance seafaring competency standards, safety,
LONDON: THE Tanzanian government and the government of Qatar have signed a Memorandum of Understanding (MoU) on the mutual recognition of seafarers’ certificates at a signing ceremony held in London.…
“….hawa wanaofanya kazi na mikesha wameajiri vijana wanalipwa, huyo anayewalipa ana maslahi gani na Tanzania, atarejeshaje hiz…
"....hawa wanaofanya kazi na mikesha wameajiri vijana wanalipwa, huyo anayewalipa ana maslahi gani na Tanzania, atarejeshaje hizo fedha, na Watanzania amkeni wale wenzenu wako na familia zao na watoto wao,…
Yanga ilivyofanya kufuru Algeria ikitua kuikabili JS Kabylie
Iko hivi! Soma zaidi hapa
AU-EU Summit calls for a deep partnership in trade, technology, and clean energy.
LUANDA: The European Union said the time has come for African countries and members of the union to deepen their partnership in trade, technology, investment, and clean energy, saying the…
Tanzania cancels 73 mining licences
DODOMA: THE Tanzanian government has revoked 73 mineral exploration and medium-scale mining licences after holders failed to rectify various legal and operational breaches. Speaking to media outlets in Dodoma today,…
Papa Leo kupeleka ujumbe wa amani Uturuki, Lebanon katika zaia ya kwanza nje ya nchi
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo ataanza ziara yake ya kwanza nje ya Italia kama kiongozi wa Kanisa Katoliki siku ya Alhamisi, akisafiri hadi Uturuki na Lebanon, ambapo anatarajiwa…
“.….nimesema wanahabari wenzangu kwa sababu nilipomaliza chuo kikuu, kazi yangu ya kwanza yenye mkataba yenye ujira yenye mshaha…
“.….nimesema wanahabari wenzangu kwa sababu nilipomaliza chuo kikuu, kazi yangu ya kwanza yenye mkataba yenye ujira yenye mshahara, nililipwa nikiwa nafanya kazi kwenye sekta ya habari, nikiwa IPP media….”-Waziri Mkuu…
Polisi Mwanza yaendeleza kampeni ulinzi shirikishi
MWANZA: WATAFITI nchini wametakiwa kufanya tafiti zenye tija na kuhakikisha matokeo ya tafiti hizo yanawafikia wananchi ili kuchangia utatuzi wa changamoto za jamii na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa.…
Tanzania sees wheat, edible oil production as a solution to reliance on imports
DAR ES SALAAM: THE Minister for Agriculture, Daniel Chongolo, has asked the Cereals and Other Produce Regulatory Authority (COPRA) to explore additional strategic areas to broaden the scope of results.…
Energy Minister orders TPDC to increase CNG stations
DAR ES SALAAM: THE Minister for Energy, Deogratius Ndejembi, has directed the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) to increase compressed natural gas (CNG) filling stations in the Dar es Salaam…
Niffer, wenzake wafikishwa mahakamani
DAR ES SALAAM; MFANYABIASHARA Jeniffer Jovin ‘Niffer’(26)na wenzake 21 wanaokabiliwa na kesi ya uhaini wamefikishwa mahakamani mchana huu kwa ajili ya kesi yao kutajwa. Niffer na wenzake kesi yao inatajwa…
🔴MEZA HURU – UMUHIMU WA KIPATO KWENYE FAMILIA…NOVEMBA 25- 2025
🔴MEZA HURU - UMUHIMU WA KIPATO KWENYE FAMILIA...NOVEMBA 25- 2025
80 Tanzanian youth trained for EACOP mission graduate
MOSHI: EIGHTY young people from communities along the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) have completed a one-year technical training program designed to equip participants with practical, market-relevant skills across…
Athari za ukatili wa kingono asilani hazifutiki katika maisha ya mtu: Muathirika DRC
Leo ni Siku ya Kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na tunafunga sabfari hadi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumsikia muathirika wa ukatili wa kingono katika miozo.
Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina: Ushuhuda wa wapalestina kwenye Umoja wa Mataifa
“Alilala kitandani mwake na hakuwahi kuamka tena. Kitanda chake kikawa kaburi lake, kaburi lililo chini ya dari ya chumba chake, na dari ikawa sehemu ya kumbukumbu. Hakuna jina, hakuna mwaka…
Ripoti ya UKIMWI ya 2025: Kutokomeza janga hili, kubadilisha hatua dhidi ya UKIMWI
Kuelekea Siku ya Kimataifa ya UKIMWI, Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na Virusi Vya Uimwi, VVU , (UNAIDS) leo hii huko Geneva, Uswisi limetoa ripoti mpya kuhusu hali…
UNCTAD: Uchumi wa Palestina umesambaratika baada ya miaka miwili ya vita
Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (UNCTAD) inaonya kwamba uchumi wa Eneo la Palestina Linalokaliwa kwa Mabavu na Israel umerudi nyuma miaka 22 kwa…
Kila siku wanawake na wasichana 137 wanauawa na wapenzi wao au jamaa: UN Women
Takwimu zilitolewa leo katika ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Matifa a Masuala ya Wanawake UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Dawa na Uhalifu UNODC inasema…
Jinsi AI inavyochochea ukatili wa kijinsia mtandaoni dhidi ya wanawake na hatua za kuudhibiti
Katika dunia ambayo tayari takribani mwanamke mmoja kati ya watatu hupitia ukatili wa kimwili au kingono, kuenea kwa teknolojia za Akili Mnemba AI, kumeongeza kwa kiasi kikubwa wigo, kasi na…
Ukatili wa kidijitali ni ukatili halisi hakuna kisingizio kwa ukatili mtandaoni
Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake wa siku hii ametoa onyo kali kuhusu kuongezeka…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
Wawakilishi wa Marekani na Urusi wanajadili mzozo wa Ukraine
Katibu katika Wizara ya ulinzi ya Marekani Dan Driscoll anakutana na ujumbe wa Urusi jijini Abu Dhabi kujadili mzozo wa Ukraine, vyombo vya habari vya Marekani vimethibitisha. Imechapishwa: 25/11/2025 –…
Ethiopian volcano eruption sends ash to Delhi, hitting flight operations
ETHIOPIA: A plume of volcanic ash from Ethiopia has swept across the Red Sea through Oman and Yemen and reached Delhi, the India Meteorological Department (IMD) has said. The eruption…
Mtazamo wa mashaka kuhusu uwezo wa Die Mannschaft
Wajerumani wengi hawaamini kwamba timu ya taifa ya kandanda "Die Mannschaft" inaweza kushinda Kombe la Dunia la FIFA mwaka ujao, hii ikiwa ni kwa mujibu wa ripoti ya utafiti wa…
Ulega: Daladala Gongo la Mboto ruksa kupita barabara ya mwendokasi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya kawaida ya abiria, kuitumia...
Wakulima wa chama kikuu cha wakulima wa korosho MAMCU wilayani Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara wamefanikiwa kukusanya zaidi ya …
Wakulima wa chama kikuu cha wakulima wa korosho MAMCU wilayani Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara wamefanikiwa kukusanya zaidi ya Shilingi Bilioni 149 baada ya kuuza korosho zao katika minada miwili…
Trump asaini dikri dhidi ya Ikhwanul Muslimeen
Kwa kutia saini amri ya utendaji dhidi ya Ikhwanul Muslimeen au kwa jina jingine Muslim Brotherhood, Rais Donald Trump wa Marekani ameweka baadhi ya matawi ya kundi hilo la Kiislamu…
Hospitali ya Mtakatifu Elizabeth ya Arusha imeanzisha kitengo maalum cha kuhudumia watoto wwanaozaliwa kabla ya wakati wao ili k…
Hospitali ya Mtakatifu Elizabeth ya Arusha imeanzisha kitengo maalum cha kuhudumia watoto wwanaozaliwa kabla ya wakati wao ili kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma mahsusi kwa watoto hao. Kitengo hicho…
Papa Leo kupeleka ujumbe wa amani Uturuki na Lebanon
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa XIV atafanya ziara yake ya kwanza nje ya Italia atakapoelekea Uturuki na Lebanon, anakotarajiwa kupeleka ujumbe wa amani katika eneo hilo.
Mashambulizi ya kijihadi yachangia kwa njaa kubwa kaskazini
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP, linasema mashambulizi ya kijihadi na ukosefu wa amani kaskazini mwa Nigeria yanasababisha njaa kufikia viwango hatari.
Yemen: Tunasimama na Lebanon na wapiganaji wa muqawama nchini humo
Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Lebanon dhidi ya uvamizi na uchokozi wa mara kwa mara wa utawala…
Afghanistan yasema itajibu “kwa wakati” mashambulizi ya Paki
Serikali ya Taliban huko Afghanistan imeapa kutoa jawabu "sahihi kwa wakati" baada ya mashambulizi ya angani ya Pakistan usiku kucha kuwauwa watu 10 katika mikoa ya mashariki.
Zelenskiy asema Urusi imerusha makombora 22 mjini Kyiv
Urusi imerusha makombora 22 na ndege 460 zisizo na rubani usiku wa kuamkia leo nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu 6.
Viongozi wa Ulaya na Afrika wakutana Luanda kwa mkutano wa k
Viongozi wa Ulaya na Afrika wamekutana katika Mji Mkuu wa Angola, Luanda, kwa mkutano wa kilele wa kuzidisha mahusiano yao ya kiuchumi na kiusalama.
Hizbullah ya Lebanon: Muqawama utalipiza kisasi cha mashahidi wake
Mwanachama mmoja wa ngazi za juu katika Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa harakati hiyo ya muqawama italipiza kisasi cha mashahidi wake na kwamba irada yake kamwe haitadhoofishwa.
Mahmood Mamdani: Israel ni dola la wavamizi, inafanya majaribio ya silaha zake juu ya vichwa vya watu wa Gaza
Msomi na mwanafikra mashuhuri raia wa Uganda, Mahmood Mamdani, ambaye ni baba wa Muislamu wa kwanza kushinda nafasi ya umeya wa New York huko Marekani, Zohran Kwame Mamdani, ameishutumu Israel…
Larijani: Ushirikiano wa Iran na Pakistan unachangia amani ya kikanda
Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC), amesema ushirikiano kati ya Tehran na Islamabad katika nyanja mbalimbali unaimarisha amani na utulivu wa kieneo, na…
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekubali kubadilishwa kwa baadhi ya vipengele via mpango wa amani kati ya nchi yake na Urusi…
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekubali kubadilishwa kwa baadhi ya vipengele via mpango wa amani kati ya nchi yake na Urusi ili kumaliza mgogoro unaoendelea baina ya nchi hizo. Taarifa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzanja (TAA) imesema imeanza maboresho ya sehemu mbalimbali za Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ju…
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzanja (TAA) imesema imeanza maboresho ya sehemu mbalimbali za Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) ikiwemo mifumo ya ulinzi kwa lengo la…
Wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika Soko Kuu la Iringa wameiomba serikali na taasisi za bima kuwafikia na kuwapa…
Wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika Soko Kuu la Iringa wameiomba serikali na taasisi za bima kuwafikia na kuwapa elimu ya manufaa ya kuzikatia bima biashara zao ili kukabiliana na…
Viongozi wa AU na EU wajadili ushirikiano, Luanda
Viongozi wa Afrika wanataka kuona ahadi zitakazotekelezwa za uwekezaji kutoka washirika wao Ulaya, na sio maazimio matupu ya ahadi nyingi.