Iran yaishukuru Pakistan kwa kuwa pamoja nayo wakati wa vita vya kulazimishwa
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran (SNSC) Ali Larijani ameishukuru Pakistan kwa kuiunga mkono Tehran wakati wa "vita visivyo vya haki" vya mwezi Juni 2025 vilivyoanzishwa…
Caracas yamhutubu waziri wa Israel: Jina Venezuela ni kubwa, haliwezi kutamkwa na kinywa chako kichafu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ametumia lugha kali kujibu tuhuma za waziri wa mambo ya nje wa utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Caracas, kwa kumwita waziri…
Gazeti la Haaretz lamuonya Netanyahu: Israel inaelekea kuporomoka kwa ndani
Gazeti la Kiebrania la Haaretz limeikosoa serikali ya utawala wa kizayuni wa Israel na waziri mkuu wake Benjamin Netanyahu, likionya kwamba utawala huo unaelekea kuporomoka kwa ndani huku Netanyahu akifanya…
Katibu Mkuu wa UN atoa indhari kali: Dunia inabadilika kwa kiwango cha kutisha
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali katika hotuba yake kwa Mkutano wa Saba wa Pamoja wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya unaofanyika mjini…
Afghanistan: Shambulio la Pakistan limeua watoto tisa na mwanamke mmoja mkoani Khost
Msemaji wa serikali ya muda ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban Zabihullah Mujahid, amesema watoto tisa na mwanamke mmoja wameuawa baada ya vikosi vya jeshi la Pakistan kushambulia nyumba moja katika…
Afghanista: Shambulio la Pakistan limeua watoto tisa na mwanamke mmoja mkoani Khost
Msemaji wa serikali ya muda ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban Zabihullah Mujahid, amesema watoto tisa na mwanamke mmoja wameuawa baada ya vikosi vya jeshi la Pakistan kushambulia nyumba moja katika…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…NOVEMBA 26, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...NOVEMBA 26, 2025
16 Days of Activism: Minister warns of rising online GBV
ZANZIBAR: MINISTER of Community Development, Gender, Elderly and Children, Anna Atanasi Paul, has launched this year’s 16 Days of Activism Against Gender-Based Violence, calling for nationwide cooperation to end all…
Kwa nini Ulaya imechukua mkondo wa sera kali dhidi ya wakimbizi?
Ujerumani inataka kuweka sheria kali zaidi dhidi ya wakimbizi na wahamiaji, na inapanga kufukuza nchini humo idadi kubwa ya wakimbizi.
Govt stresses need for fuel storage, youth opportunities
DODOMA: DEPUTY Minister for Energy, Ms Salome Makamba has tasked the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) to enhance the efficiency and speed of fuel transportation systems in Tanzania…
Jumatano, Novemba 26, 2025
Leo ni Jumatano 5 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria mwafaka na tarehe 26 Novemba 2025 Milaadia.
Vijana wanaomaliza masomo ya ufundi stadi kutoka Mamlaka ya Ufundi Stadi nchini (VETA) wametakiwa kutumia fursa tatu zilizopo ka…
Vijana wanaomaliza masomo ya ufundi stadi kutoka Mamlaka ya Ufundi Stadi nchini (VETA) wametakiwa kutumia fursa tatu zilizopo katika jamii kupitia maarifa waliyovuna katika vyuo vinavyoendeshwa na mamlaka hiyo. Fursa…
Tanzania targets stronger investor support in transport sector
DAR ES SALAAM: THE government has called on both local and foreign investors to channel their resources into sustainable transport, stressing that improved infrastructure is crucial for accelerating national development.…
Govt reaffirms fast wildlife compensation commitment
MOROGORO: MINISTER for Natural Resources and Tourism, Dr Ashatu Kijaji has reaffirmed that the ministry will continue to promptly address challenges facing citizens, including providing consolation and compensation payments to…
FCT clears 96pc of cases in five years, moves to full digital system
DAR ES SALAAM: THE Fair Competition Tribunal (FCT) has recorded major progress in the resolution of business-related disputes after completing 152 out of 156 cases filed in the past five…
Tanzania envoy strengthens Zanzibar Potsdam Partnership
ZANZIBAR: IN a bid to deepen transcontinental bonds, Tanzanian Ambassador to Germany, Mr Hassani Iddi Mwamweta met with Potsdam Mayor Noosha Aubel at a pivotal workshop recently, reaffirming the vibrant…
New cargo ships to boost trade in Katavi, Kigoma
KATAVI: MINISTER for Transport, Professor Makame Mbarawa has said that the construction of four new cargo ships will significantly unlock economic and commercial opportunities in Katavi and Kigoma regions. Prof…
TRA surpasses first-quarter tax target
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) collected 8.97tri/- in the first quarter of the 2025/26 financial year, achieving 106.3 per cent of its quarterly target as improved business…
26.11.2025 Matangazo ya Jioni
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Urusi imepokea vyema marekebisho kwenye vipengele vya mpango wa Marekani wa kukomesha vita vya Ukraine / Milio ya risasi imesikika mapema Jumatano karibu na Ikulu…
26.11.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika wameahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, biashara na kukabiliana na changamoto za uhamiaji usio wa…
26.11.2025 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer amesema mazungumzo kuhusu uwezekano wa kusitisha mapigano nchini Ukraine "yalikuwa kwenye mwelekeo mzuri" alipozungumza na viongozi wa washirika wa…
When justice becomes a weapon: Tanzania and the politics of the ICC
AFRICA: For decades, the International Criminal Court (ICC) has positioned itself as the global arbiter of justice. But in much of Africa, it is increasingly seen less as a neutral…
Erdogan ataka mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Kiev na Moscow kufanyika Istanbul
Rais Erdogan amesema kupitia mkutano ulioandaliwa kwa njia ya mtandao ya kwamba Uturuki iko tayari kuandaa mazungumzo ya moja kwa moja mjini Istanbul na inaendelea kuwasiliana na maafisa wa Ukraine…
A Century after the Scramble for Africa, The new battle is for Global Power
A CENTURY after European empires carved up the continent in the infamous Scramble for Africa, a new geopolitical contest is unfolding—this time global in scope, but once again rooted in…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 25 NOVEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 25 NOVEMBA 2025
198 wafutiwa mashitaka kesi ya uhaini Dar
DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) leo Novemba 25,2025 amewafutia mashitaka jumla ya washitakiwa 198 kati ya 216 waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka ya uhaini na kula njama. Washitakiwa hao…
Wasichana wa shule waliotekwa Nigeria wameachiwa huru
Wasichana 24 waliotekwa katika shule kaskazini-magharibi mwa Nigeria wiki iliyopita wameachiwa huru, msemaji wa gavana wa jimbo la Kebbi alisema siku ya Jumanne.
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amewasihi wananchi kudumisha amani na kushirikiana na Jeshi la Polisi ili kuhakikisha usalama wa Taifa unaendelea kuimarika. Mhe. Simbachawene…
Stanbic, GIZ waja na mpango kuwakwamua mama lishe, baba lishe kiuchumi
Wanawake na vijana wanaohudumu kwenye biashara ndogo za chakula maarufu kama mama lishe na baba...
DRFA: Yanga freshi, zingine zisikate tamaa
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam, Lameck Nyambaya, ameipongeza Yanga kwa kuanza vyema hatua ya makundi michuano ya kimataifa, huku akizitaka Simba, Azam na…
#HABARI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga, amewataka watumishi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kuboresha u…
#HABARI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga, amewataka watumishi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kuboresha utendaji kazi na kuongeza ubunifu ili kuendana na mahitaji ya soko la…
#HABARI: Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru leo Novemba 25, 2025
#HABARI: Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru leo Novemba 25, 2025. Shauri lililokuwa linawakabili watuhumiwa hao leo lilikuwa linaendelea katika Mahakama ya Hakimu…
#HABARI: Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaanza kutekeleza mradi wa kutandaza nyaya za Umeme (Wiring) kwa wan…
#HABARI: Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaanza kutekeleza mradi wa kutandaza nyaya za Umeme (Wiring) kwa wananchi kupitia miradi ya kusambaza umeme inayotekelezwa na wakala kote nchini. Hayo…
CAS yatupilia mbali rufaa ya Guinea, Taifa Stars ikihakikishiwa AFCON 2025
Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetupilia mbali rufaa ya Guinea iliyoomba timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ipokonywe haki ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika…
Wakati baadhi ya vijana wananufaika na elimu ya mafunzo ya ufundi stadi kupitia mpango wa wanagenzi, kundi la vijana wasiopata f…
Wakati baadhi ya vijana wananufaika na elimu ya mafunzo ya ufundi stadi kupitia mpango wa wanagenzi, kundi la vijana wasiopata fursa hizo limeiomba Serikali kupanua mpango huo ili uwafikie wengi…
Watu 10 zaidi watekwa nyara Nigeria
Watekaji nyara wamewateka wanawake na watoto 10 katika tukio jipya la utekaji nyara nchini Nigeria, polisi wamesema siku ya Jumanne.
Baraza la Mawaziri (SCTIFI) wakutana Kenya
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI) na Mkutano wa Dharura Pili wa Baraza…
Makamu wa Rais Ashiriki Mkutano wa AU-EU Angola
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, ameshiriki Mkutano wa 7 wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), uliofanyika Luanda,…
Wavuvi katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wamedai kuwa takribani mashine 50 za uvuvi zimeporwa ziwani humo kuanzia Januari had…
Wavuvi katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wamedai kuwa takribani mashine 50 za uvuvi zimeporwa ziwani humo kuanzia Januari hadi sasa, jambo lililofanya wavuvi hao kumuombaMkuu wa Mkoa huo, Simon Sirro…
Idadi vifo vurugu za Oktoba 29 bado giza nene
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekutana na maswali kutoka kwa wahariri kuhusu matukio ya...
Dk. Kijaji aagiza ukarabati wa Hoteli Mikumi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amefanya ukaguzi wa ukarabati mkubwa unaoendelea katika Hoteli ya Mikumi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, hatua inayolenga kuongeza viwango vya…
Wajasiriamali wadogo katika maeneo mbalimbali nchini wameiambia #AzamNews kuwa wanasubiri kwa hamu utekelezaji wa ahadi ya kuras…
Wajasiriamali wadogo katika maeneo mbalimbali nchini wameiambia #AzamNews kuwa wanasubiri kwa hamu utekelezaji wa ahadi ya kurasimisha shughuli zao, wakiamini kuwa endapo hilo litatekelezwa vyema, litaboresha na kurahisisha ustawi wa…
Wafuasi 300 wa upinzani wamekamatwa wakati wa kampeni nchini Uganda
Vyombo vya usalama nchini Uganda vimewakamata wafuasi na maafisa zaidi ya 300 kutoka chama cha mgombea wa urais wa upinzani Bobi Wine tangu kampeni za uchaguzi wa Januari kuanza mwezi…
Niffer mambo bado magumu, wenzake huru
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) ameendelea kuwafutia mashtaka washtakiwa wa kesi...
Wakazi Dar kufanyiwa uchunguzi magonjwa yasiyoambukiza
DAR ES SALAAM: Wakazi wa Dar es Salaam watapata nafasi ya kufanyiwa uchunguzi na matibabu bure kwa magonjwa yasiyoambukiza katika kambi maalumu itakayofanyika Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Kambi hiyo…
Niffer akwama, wenzake 20 wafutiwa mashitaka
DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa 20 kati ya 22 walioko katika kesi ya uhaini inayomkabili mfanyabiashara Jennifer Jovin(26) na wenzake 21.…
Waziri Kijaji aitaka Tanapa kuongeza ubunifu
MOROGORO: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji ameagiza Uongozi wa Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuongeza ubunifu wa hali ya juu ili kuchangia kwa kasi kufikia malengo ya…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU- 25 NOVEMBA 2025-WAZIRI MKUU:TUHAKIKISHE VURUGU HAZITOKEI TENA
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU- 25 NOVEMBA 2025-WAZIRI MKUU:TUHAKIKISHE VURUGU HAZITOKEI TENA
Changamoto ya ukosefu wa zahanati ya kijiji katika Kijiji cha Matale, mkoani Simiyu, uliosababisha wananchi kutembea zaidi ya ki…
Changamoto ya ukosefu wa zahanati ya kijiji katika Kijiji cha Matale, mkoani Simiyu, uliosababisha wananchi kutembea zaidi ya kilomita sita kufuata huduma za afya, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia ujenzi wa…