Mkutano wa G20 wafungulia Afrika Kusini, matarajio ya Afrika Kusini, Marekani yasusia mkutano
Mkutano wa kilele wa G20 unafunguliwa leo Jumamosi jijini Johannesburg, kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Afrika. Huu ni mkutano mkuu ambapo masuala ya hali ya hewa, kifedha, na…
Kim Kardashian adai kuzoea kuwa single!
Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu Marekani, Kim Kardashian, 45, amefunguka kuhusu maisha...
Nigeria: Zaidi ya wanafunzi 200 na walimu wa shule ya Kikatoliki wametekwa nyara
Idadi ya wanafunzi waliotekwa nyara katika shule ya Kikatoliki katika Jimbo la Niger, katikati mwa Nigeria, siku ya Ijumaa, Novemba 21, ilifichuliwa jioni y siku hiyo na Chama cha Wakristo…
Mwisho wa safari ya MC Pilipili
Kila binadamu aliyetoka kwenye tumbo la mwanamke, siku zake za kuishi zinahesabika yaani nafsi...
Asilimia 80 ya wagonjwa wanaotibiwa ugonjwa wa mtoto wa jicho nchini katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wameondolewa adha ya…
Asilimia 80 ya wagonjwa wanaotibiwa ugonjwa wa mtoto wa jicho nchini katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wameondolewa adha ya maumivu na kuchelewa kupona baada ya hospitali hiyo kuanza kutumia…
Afrika Kusini yasema haitakabidhi kwa balozi mdogo wa Marekani urais wa G20 wa 2026
Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Vincent Magwenya amesema, kiongozi huyo hatomkabidhi balozi mdogo wa Marekani urais wa mkutano wa G20 kwa mwaka 2026 baada ya Marekani kusisitiza…
Moscow: Stratijia ya Magharibi ya mashinikizo na vikwazo dhidi ya Iran haina tija
Mjumbe wa Baraza la Uhusiano Baina ya Kaumu Mbalimbali linalosimamiwa na Rais Vladimir Putin wa Russia amesema vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havitafua…
Kwa mnasaba wa Siku ya Mshikamano, Guterres aihimiza dunia izidi kuwaunga mkono Wapalestina
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa kuwepo uungaji mkono mpya kimataifa kwa watu wa Palestina na haki yao ya kujitawala, akisema, mateso ya Palestina yamefikia…
Cristiano Ronaldo akosolewa vikali kwa kukutana na Trump White House katika dhifa ya chakula
Nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo anaandamwa na wimbi la ukosoaji mkali baada ya kushiriki kwenye dhifa ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa…
Mahakama ya Nigeria yamhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa Wabiafra wanaopigania kujitenga
Mahakama ya Nigeria imemhukumu Nnamdi Kanu, kiongozi wa harakati ya kupigania kujitenga ya Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), kifungo cha maisha jela baada ya kumpata na hatia ya mashtaka…
Jumamosi, 22 Novemba, 2025
Leo ni Jumamosi Mosi Mfunguo Tisa Jamaduthani 1447 Hijria mwafaka na 22 Novemba 2025 Miladia
Sababu za Ripota wa UN za kuonya kuhusu kuendelea Ulaya kuipa silaha Israel
Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuendelea nchi za Ulaya kuisheheneza silaha Israel licha ya kwamba kuna ushahidi wa kutosha na usiopingika wa jinsi utawala wa Kizayuni unavyotumia silaha hizo kufanya…
TANESCO deepens ties with local authorities
DAR ES SALAAM: LOCAL government leaders have been identified as key players in safeguarding electricity infrastructure due to their proximity to communities and their central role in coordinating service information…
PURE surveys uncover 3.8bn/- investment potential
DAR ES SALAAM: FIELD surveys conducted across four regions as part of the Productive Use of Renewable Energy (PURE) initiative have identified a potential to unlock $1.6 million (approximately 3.8…
UNCDF extends TZ climate resilience partnership
BRAZIL: THE United Nations Capital Development Fund (UNCDF) has agreed to continue partnering with Tanzania in implementing the second phase of the Local Climate Adaptive Living (LoCAL) Programme. Through the…
Mwinyi appoints new PS, deputies
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Dr Hussein Mwinyi has appointed a new team of Permanent Secretaries and Deputy Permanent Secretaries across multiple ministries. This marks one of the most significant administrative reshuffles…
Nchemba calls for unity, protection of national dignity
SINGIDA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has urged youth and Tanzanians in general to refrain from any acts that undermine the dignity and stability of the nation. He said citizens…
Viongozi wa Kundi la G20 waanza kuwasili Afrika Kusini
Viongozi wa dunia wameanza kuwasili leo Ijumaa nchini Afrika Kusini, kwa mkutano wa kwanza ndani ya bara la Afrika, wa kundi la mataifa tajiri na yanayoinukia kiuchumi ya G20.
SAMIA’S CALL TO PARENTS: Guide, talk to children
KILIMANJARO: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has called on parents and community leaders to take a more active role in guiding and mentoring young people, emphasising the importance of providing support…
Masawe, Kipenye wazamisha jahazi la Dodoma Jiji
MABAO mawili ya nyota wa Namungo, Jacob Masawe dakika ya 75 na Cyprian Kipenye dakika ya 82, yametosha kuipatia ushindi timu hiyo wa 2-0, dhidi ya Dodoma Jiji, katika mechi…
JKT Tanzania yaweka rehani kibarua cha Maximo
Kibarua cha Kocha Marcio Maximo ndani ya KMC kinazidi kuwa shakani baada ya leo timu hiyo...
Wataalamu na wakongwe wa habari nchini wamesema televisheni bado ina nafasi kubwa ya kuendelea kutekeleza wajibu wake kwa jamii …
Wataalamu na wakongwe wa habari nchini wamesema televisheni bado ina nafasi kubwa ya kuendelea kutekeleza wajibu wake kwa jamii kwa kutoa taarifa za uhakika licha ya maendeleo ya mitandao ya…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kukamatwa kwa mkandarasi wa kampuni ya China First Highway Engineering anayetekeleza m…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kukamatwa kwa mkandarasi wa kampuni ya China First Highway Engineering anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Ntyuka - Mvumi hadi Kikombo mkoani Dodoma…
Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko katika barabara ya Mwanza – Shinyanga eneo la Mkuyuni imewafanya watumiaji wa njia hiyo kushi…
Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko katika barabara ya Mwanza - Shinyanga eneo la Mkuyuni imewafanya watumiaji wa njia hiyo kushindwa kufika kwenye shughuli za utafutaji baada ya njia hiyo kujaa Maji…
Wananchi wa kijiji cha Mang’oto wilayani Makete mkoani Njombe wamefanikiwa kujenga miundombinu ya madarasa ya shule kwa kutumia …
Wananchi wa kijiji cha Mang'oto wilayani Makete mkoani Njombe wamefanikiwa kujenga miundombinu ya madarasa ya shule kwa kutumia michango ya kujitolea pamoja na kutumia miradi ya shule hiyo ikiwemo mradi…
Wanawake waongoza kwa idadi wahitimu Rucu
Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) leo kimefanya mahafali yake ya 18 katika viwanja vya chuo...
Jamhuri yaweka wazi ushahidi itakaoutumia kesi ya Jatu
Mashahidi 60 wanatarajiwa kuitwa na Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili...
Wajasiriamali wafichua siri ya tiba kwenye maua
Wajasiriamali wa bidhaa za maua katika Maonesho ya Biashara ya Morogoro wamesema kuwa, licha ya...
Ni vita Tuzo ya Mchezaji Bora
DAR ES SALAAM; SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza wachezaji watano watakaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2024/25. – Wachezaji hao…
IGP Wambura aonya polisi, ataka wananchi wasikubali kugawanywa
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura amewataka wahitimu wa mafunzo ya jeshi hilo...
Mkutano wa kwanza wa G20 kufanyika barani Afrika
Mkutano wa kwanza wa G20 barani Afrika unafanyika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, kuanzia tarehe 22-23 Novemba, 2025. Hii ni hatua ya kihistoria kwani ni mara ya kwanza kwa viongozi wa…
Balozi Mangu atoa maagizo matano sekta ya bandari
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Bandari Dar es Salaam, Balozi Ernest Mangu ametoa maagizo matano...
Vijana 35 Watanzania wapata ujuzi kubadili taka kuwa bidhaa, wachekelea
Wakati wewe ukitupa au ukizitazama taka kama chupa za plastiki, vifuu vya nazi, mabaki ya...
Profesa Kabudi ataka waandishi wa vitabu waongeze ubunifu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamangamba Kabudi amewataka waaandishi...
Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea zaidi ya Dola milioni 500 kutoka Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya utekelezaji w…
Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea zaidi ya Dola milioni 500 kutoka Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya utekelezaji wa afua za UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na uimarishaji wa…
Baada ya kuzinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Agosti mosi mwaka huu, Kituo cha Kimataifa cha Biashara na Usafirishaji Afrika…
Baada ya kuzinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Agosti mosi mwaka huu, Kituo cha Kimataifa cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki kinatarajia kufanya maonesho ya kwanza ya bidhaa huku zaidi…
Moto wateketeza mabweni mawili Mwanza, Polisi yaanza uchunguzi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linachunguza chanzo cha moto ulioteketeza mabweni mawili ya...
TBPL na miaka 10 ya kuleta mapinduzi katika vita dhidi ya malaria nchini
Mwaka 2015, Tanzania iliandika historia mpya baada ya kuzinduliwa kwa kiwanda kipya cha...
Madiwani 10 Simanjiro wajitosa uenyekiti wa halmashauri
Jumla ya madiwani wateule 10 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejaza fomu za kuwania nafasi...
Hatima umeya, uenyekiti mikononi mwa kamati za siasa wilaya, mikoa
Uamuzi wa majina matatu kati ya kadhaa waliochukua fomu kuomba ridhaa ya umeya na naibu meya wa...
Urusi inasema haijapokea taarifa kutoka Marekani kuhusu vita vya Ukraine
Urusi inasema, hajapokea taarifa zozote rasmi kutoka Marekani, kuhusu pendekezo lolote la mpango wowote kuhusu kumaliza vita vyake na nchi jirani ya Ukraine. Imechapishwa: 21/11/2025 – 16:55Imehaririwa: 21/11/2025 – 17:01…
IAA yabuni jukwaa jipya kupunguza adha ya uchapishaji wa tafiti
Kwa miaka mingi, wanafunzi wa elimu ya juu wamekuwa wakichelewa kumaliza masomo kutokana na...
Wanafunzi wa shule inayomilikiwa na Kanisa Katoliki watekwa Nigeria
Nchini Nigeria, idadi isiyofahamika ya wanafunzi kutoka Shule inayomimilikiwa na Kanisa Katoliki, wametekwa na watu wenye silaha, katikati ya nchi hiyo, ikiwa ni tukio la pili kufanyika wiki hii. Imechapishwa:…
DC Naano aagiza kukamatwa kwa wanaotatiza usambazaji wa mbegu za pamba
Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vicent Naano ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wote wa...
Tanzania: Polisi yaonya dhidi ya maandamano yanayopangwa Desemba 9
Polisi nchini Tanzania, wanaoshtumiwa na wapinzani na waharakati wa kutetea haki za binadamu kwa kutekeleza mauaji ya mamia ya watu wakati wa uchaguzi mkuu mwezi uliopita, wameonya kuhusu mpango wa…
Wanawake Kigogo wajengewa uwezo kiuchumi, kifikra
Baadhi ya wanawake wa Kata ya Kigogo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, wameendelea...
Mreno afanya kikao cha dharura na mastaa watatu Yanga
KABLA ya kuanza kwa mazoezi ya kikosi cha Yanga jioni ya leo, Ijumaa, Novemba 21, 2025, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex hapa Zanzibar, kocha mkuu, Pedro Goncalves raia wa…
Emir wa Qatar azuru Kigali na Kinshasa
Kiongozi wa Qatar SheikhTamim bin Hamad Al-Thani amekamilisha ziara rasmi ya siku mbili nchini Rwanda na kuelekea mjini Kinshasa ambako anatazamiwa kukutana kwa mazungumzo na Rais Felix Tshisisekedi.
KMC hali tete, yalala mbele ya JKT
TIMU ya KMC hali yake imeendelea kuwa mabaya ikipoteza mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani dhidi ya JKT Tanzania kwa bao 1-0.
Waziri Mkuu Nchemba awaonya vijana kujiepusha na chokochoko
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amezungumzia kwa mara ya kwanza vurugu zilizojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu nchini humo akiwaonya vijana kuhusu kutumika kubomoa taifa lao.