Mhitimu wa Chuo Kikuu, Rozina Peter amependekeza kutolewa kwa mafunzo ya elimu ya fedha kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ili iwasaidi…
Mhitimu wa Chuo Kikuu, Rozina Peter amependekeza kutolewa kwa mafunzo ya elimu ya fedha kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ili iwasaidie kujenga tabia bora za matumizi ya fedha, kupanga bajeti,…
UN yaripoti kuongezeka vurugu katika jimbo la Upper Nile la Sudan Kusini
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kwamba timu ya kulinda amani ya umoja huo nchini Sudan Kusini imekuwa ikiripoti kuongezeka vurugu za kijamii pamoja na wizi wa mifugo na uvamizi…
RSF: Tunafuatilia jitihada za kiimataifa za kurejesha amani Sudan
Kundi linalojulikana kwa jina la Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) limesema kuwa, linafuatilia jitihada za kimataifa za kushinikiza kukomeshwa vita na mapigano angamizi nchini humo.
Ulaya yazungumza na Zelensky kumshawishi asikubali mpango wa Trump
Duru za habari zimeripoti kuwa, Kansela wa Ujerumani, Rais wa Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana mpango mpya wa amani wa serikali ya Marekani…
Makamu wa Rais akutana na Dk Mwinyi
MAKAMU wa Rais Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi kwa ushindi wa kishindo aliyoupata katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba…
Aliyekuwa askari JWTZ jela kwa mauaji ya mpenzi wake
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma, imemhukumu kifungo cha miaka minne jela aliyekuwa askari...
#HABARI: Miss Grand Tanzania 2025, Betrice Alex, ameibuka na fursa mpya baada ya kusaini mkataba wa kuwa Balozi mkubwa wa kampun…
#HABARI: Miss Grand Tanzania 2025, Betrice Alex, ameibuka na fursa mpya baada ya kusaini mkataba wa kuwa Balozi mkubwa wa kampuni ya mchezo wa kubashiri nchini Bang Bet. Akizungumza mara…
Ramaphosa ahimiza “mshikamano wa mataifa” mkutano wa G20
Mkutano wa kilele wa kundi la mataifa tajiri na yale yanayoinukia kiuchumi duniani la G20 umefunguliwa rasmi siku ya Jumamosi mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mke wa dereva bodaboda aliyeuawa arejeshewa nyumba
Mjane Sion Mathayo amerejeshewa nyumba iliyokuwa dhamana ya deni la Sh11 milioni baada ya Mkuu...
#HABARI: Waziri wa Maji, Mhe
#HABARI: Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ameanza utekelezaji wa mkakati mahsusi wa kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Dodoma, kupitia miradi ya muda mfupi yenye thamani ya shilingi…
South Africa seeks to prioritise developing world at historic G20 summit
SOUTH AFRICA: SOUTH Africa has sought to preserve the integrity and stature of the Group of 20 (G20) top economies, President Cyril Ramaphosa has said in opening remarks to the…
Marjorie Taylor Greene resigns after public feud with Trump
USA: US Representative Marjorie Taylor Greene announced on Friday that she will step down from her position in January. She made the announcement in a social media post, after a…
Polisi yamshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za uchochezi
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya 'Saint Clemence'...
Dr Mwinyi, VP Nchimbi vow stronger cooperation on Union affairs
ZANZIBAR: PRESIDENT and Chairman of the Revolutionary Council, Dr Hussein Ali Mwinyi, has met with the newly elected Vice President , Dr Emmanuel John Nchimbi, who paid him a courtesy…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linamshikilia Mmiliki na mwalimu wa Shule ya Awali ya Saint Clemence, Ndugu Clem…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linamshikilia Mmiliki na mwalimu wa Shule ya Awali ya Saint Clemence, Ndugu Clemence Kenani Mwandambo, mkazi wa Uzunguni 'A' Jijini Mbeya, kwa…
Harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
Hivi sasa kumejitokeza harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Troika ya Ulaya na Marekani dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki…
Pedro katika mtihani wa rekodi ya Yanga na Waarabu CAF
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, leo Jumamosi Novemba 22, 2025, ana mtihani mgumu kikosini hapo katika michuano ya kimataifa atakapoikabili AS FAR Rabat kutoka Morocco.
Petro alivyotoka kimaisha kwa manukato ya ‘jero’
Eneo la Tabata Segerea, jijini Dar es Salaam, Samwel Petro (26), anayefahamika kwa jina la...
#MICHEZO: Klabu ya Soka ya Yanga leo inashuka dimbani kwenye Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar, wakiwa na shabaha moja ya kuanza…
#MICHEZO: Klabu ya Soka ya Yanga leo inashuka dimbani kwenye Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar, wakiwa na shabaha moja ya kuanza kampeni ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania kundi…
Mkutano wa viongozi wa G20 unaanza nchini Afrika Kusini
Viongozi wa dunia wakutana kwa siku mbili za mazungumzo katika mkutano wa kwanza wa kilele wa G20 uliofanyika barani Afrika, chini ya mada ya "mshikamano, usawa na uendelevu".
Tanzania kuanza na Ureno futsal Kombe la Dunia
TIMU ya Taifa ya wanawake ya Futsal inaanza karata yake ya kwanza kesho kusaka taji la Kombe la Dunia la futsal dhidi ya Ureno mechi itakayopigwa saa 8:30 mchana katika…
Wanafunzi na Walimu 315 wametekwa nchini Nigeria: Ripoti
Muungano wa Wakristo nchini Nigeria unasema wanafunzi na Walimu 315 walitekwa katika shambulio la watu wenye silaha Ijumaa ya wiki hii. Imechapishwa: 22/11/2025 – 10:56Imehaririwa: 22/11/2025 – 11:02 Dakika 2…
Polisi wa Tanzania waonya dhidi ya maandamano yaliyopangwa ya ‘Siku ya Uhuru’
Wanaharakati na upinzani wametoa wito wa kufanyika maandamano ya amani Desemba 9 ili kuendana na siku ya uhuru wa Tanzania.
Afrika Kusini yatangaza ukatili dhidi ya wanawake kuwa janga la kitaifa
Haya yanajiri baada ya maandamano kadhaa ya "uongo" kufanyika nchini kote siku ya Ijumaa katika kile ambacho waandaaji walisema kilikuwa na lengo la kuwaenzi wanawake 15 wanaouawa kila siku nchini…
Michezo ya hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi hii
Michezo ya hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi hii. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi, lipia sasa usipitwe. #CAFCL #Azamtvsports #SisiNiSoka
Siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za watoto kujitoa uhai kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo kukasirishwa na mambo ma…
Siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za watoto kujitoa uhai kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo kukasirishwa na mambo madogo madogo. Msikilize Daktari wa Saikolojia kutoka Hospitali ya Rufaa ya…
Erdogan wa Uturuki, viongozi wengine wa dunia wanawasili Johannesburg kuhudhuria mkutano wa G20
Rais wa Uturuki Erdogan, akiandamana na ujumbe wa ngazi ya juu, anatazamiwa kuhudhuria mijadala muhimu ya G20 na kufanya msururu wa mazungumzo ya kidiplomasia nchini Afrika Kusini.
🔴RAIS SAMIA ANATUNUKU KAMISHE MAAFISA WANAFUNZI MONDULI ARUSHA, NOVEMBA 22, 2025
🔴RAIS SAMIA ANATUNUKU KAMISHE MAAFISA WANAFUNZI MONDULI ARUSHA, NOVEMBA 22, 2025
Fanya mazoezi haya ili kuimarisha mwili mzima
Fanya mazoezi haya ili kuimarisha mwili mzima. @mcjojo__ #AzamTVUpdates ✍Juliana James Mhariri | John Mbalamwezi
Matola, Mutale wasisitiza jambo Simba
KOCHA wa Simba, Selemani Matola na mchezaji wa timu hiyo, Joshua Mutale wamefichua siri itakayowabeba msimu huu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku malengo makubwa yakiwa ni kufika…
Guterres anatoa wito kwa G20 kushinikiza kusitishwa mapigano Sudan, kusitisha mtiririko wa silaha
"Tunahitaji amani nchini Sudan," mkuu wa Umoja wa Mataifa anasema, akitoa wito "kukomeshwa kwa mtiririko wa silaha na wapiganaji nchini Sudan na vyama vya nje."
Petro de Luanda yaipiga mkwara Simba
KOCHA Mkuu wa Petro de Luanda ya Angola raia wa Hispania, Franc Artiga, amesema licha ya kucheza na Simba kwa mara ya kwanza lakini haihofii wakati timu hizo zitakapokutana kesho…
Benki za Marekani zaachana na mpango wa uokoaji wa dola Bilioni 20 kwa Argentina
Mpango wa uokoaji wa kifedha wa Argentina umepunguzwa. Kulingana na Gazeti la Wall Street Journal, benki kadhaa za Marekani zimeamua kujiondoa kwenye makubaliano ya mkopo wa dola bilioni 20 waliyokuwa…
Tanzania Women fall short to Scotland in cricket tourney
BANGKOK: TANZANIA Women were left to rue missed opportunities after falling just short in a tense encounter against Scotland Women during the ICC Women’s Emerging Nations Trophy at Asian Institute…
Trump asaini amri ya kumaliza hali ya ulinzi kwa Wasomali huko Minnesota ‘
Mpango wa TPS kwa Wasomali ulizinduliwa na Rais wa wakati huo George HW Bush mnamo Septemba 1991.
Ukraine yakabiliwa na shinikizo kuhusu mpango wa amani wa Marekani
Rais wa Ukraine amekutana na Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance siku ya Ijumaa kujadili mpango wa kukomesha vita. Hapo awali, alifanya mashauriano ya dharura na viongozi wa Ufaransa,…
PM demands justified project costs
SINGIDA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has directed Minister for Works, Mr Abdallah Ulega and all regional leaders to ensure that all projects implemented in their respective areas reflect the…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewasili kwenye Viwanja vya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli, mkoani Arusha, kwa…
Dar City storm into BAL East Division Elite 16 semi-finals
NAIROBI: NATIONAL envoy Dar City remain unbeaten and firmly on course in the FIBA Africa Championships Club Road to BAL 2026 East Division Elite 16. Dar City overpowered Ferroviario da…
Huko nchini Algeria, maafisa wa ulinzi wamewakamata watu watatu wenye uraia usiojulikana wakijaribu kuvuka mpaka kuelekea Hispan…
Huko nchini Algeria, maafisa wa ulinzi wamewakamata watu watatu wenye uraia usiojulikana wakijaribu kuvuka mpaka kuelekea Hispania wakiwa wamejificha kwa kujifananisha na kondoo. Walinzi wa usalama wa mpakani waligundua mienendo…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Ndugu Jabiri Makame, ameagiza Halmashauri za Wilaya kuhakikisha zinatengeneza mazingira rafiki …
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Ndugu Jabiri Makame, ameagiza Halmashauri za Wilaya kuhakikisha zinatengeneza mazingira rafiki ili kuwavutia Vijana kuingia kwenye Sekta ya Kilimo. Amesisitiza matumizi ya mashamba makubwa…
Yanga, Singida in CAF test
ZANZIBAR: THE national envoys Young Africans SC and Singida Black Stars begin their CAF interclub campaigns today as the group stages get underway across the continent. Yanga will host Moroccan…
Eee bwana ee…!
Eee bwana ee…! huko nchini Hispania, wanandoa walikuwa wakilisakata rumba pamoja na wageni waalikwa katika moja ya fukwe, kila mmoja akiwa amezama kwenye furaha na shangwe bila wasiwasi wowote. Ghafla,…
Mashariki mwa DRC: Mahakama ya Paris ‘ina uwezo wa kumhukumu’ Roger Lumbala
Mahakama ya Paris imetoa uamuzi mnamo Novemba 21, 2025, kwamba ina “uwezo wa kumfungulia mashitaka na kumhukumu” kiondozi wa zamani kivita nchini DRC, Roger Lumbala, jaji mkuu amehitimisha baada ya…
Sudan: RSF yakaribisha juhudi za amani za Trump
Vikosi va Msaada wa Haraka nchini Sudan (RSF) na Falme za Kiarabu, nchi inayodaiwa kuwaunga mkono, siku ya Ijumaa, Novemba 21, wamekaribisha nia ya Donald Trump ya kukomesha vita vya…
Russia: Wamagharibi wakubali haki ya Iran ya kurutubisha madini ya urani na waache lugha ya vitisho
Serikali ya Russia imeyataka madola ya Magharibi kuachana na lugha ya vitisho na badala yake yatambue na kuikubali haki ya Iran ya kurutuubisha madini ya urani.
Madaktari Wasio na Mipaka: Zaidi ya Wapalestina 300 wameuawa shahidi tangu kusitishwa vita Gaza
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limetangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel umewauwa shahidi Wapalestina zaidi ya 300 katika Ukanda wa Gaza tangu kufikiwa kwa usitishaji vita katika Ukanda huo.
Idadi ya kaya masikini nchini Ujerumani imeongezeka
Matokeo ya uchunguzi yanaonesha kuwa idadi ya kaya maskini nchini Ujerumani inaongezeka na kukosekana kwa usawa wa kipato kumeongezeka hadi kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, na hivyo kusababisha hali ya kutoaminiana…
Cuba: Marekani inataka kuivamia kijeshi Venezuela kwa visingizio vya uongo
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Cuba amelaani vikali hatua za Marekani za kuhalalisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela.