Aga Khan kuchunguza bure saratani ya matiti kila Jumamosi
Madaktari bingwa wa saratani nchini wametoa wito kwa Watanzania, hasa wanawake, kujichunguza...
Majaji waishukia Polisi kukaa na watuhumiwa zaidi ya saa 24
Bukoba. Mahakama Kuu imeliamuru Jeshi la Polisi nchini, kuwaachia huru watuhumiwa saba...
Pilato Yanga, Silver Strikers huyu hapa, wajipange
Mchezo huo umepangwa kuanza saa 11:00 jioni kwa muda wa Afrika Mashariki.
Wapigakura 271,933 kushiriki uchaguzi mkuu Kahama Mjini
Kahama. Wapiga kura 271, 933 waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura, vyama...
Makarani watakiwa kutimiza majukumu kwa weledi Moshi
Msele pia amewakumbusha makarani hao kuonyesha unadhifu, kutumia lugha nzuri na kuwapa...
Kocha: Hivi ndivyo Small Simba ilivyoanguka
NI miaka 24 sasa tangu Small Simba ya Zanzibar ipotee katika ramani ya soka la kiushindani, ambapo timu hiyo yenye rekodi na mafanikio makubwa ilianzishwa mtaani ikijulikana kwa jina la…
Malkia wa zamani wa Thailand Sirikit afariki dunia akiwa na umri 93
Sirikit, mama yake Mfalme wa Thailand Vajiralongkorn, alifariki katika hospitali saa tatu na dakika ishirini na moja usiku wa Ijumaa baada ya kuwa na matatizo katika mfumo wa damu.
#HABARI: Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kwela mkoani Rukwa ndugu Josephat Kayombo amesema watu 237,090 ambao walijitokeza kujian…
#HABARI: Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kwela mkoani Rukwa ndugu Josephat Kayombo amesema watu 237,090 ambao walijitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, wanatarajia kupiga kura Oktoba 29…
Mataifa 65 yasaini mkataba wa kwanza wa UN wa kupambana na uhalifu mtandaoni
Mataifa 65 yamesaini mkataba muhimu wa Umoja wa Mataifa mjini Hanoi, Vietnam, wenye lengo la kukabiliana na uhalifu mtandaoni hatua ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema…
Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi Dar, Zanzibar
Samia ametoa ahadi hizo jijini Dar es Salaam katika wilaya za Kinondoni, Ilala na Temeke pamoja...
Kinachoendelea Kwa Mkapa muda huu, mechi ya kisasi Yanga Vs Silver Strikers, UKICHELEWA usilaumu mtu
Matola, Kapombe waitangazia vita Nsingizini Hotspurs KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola na nahodha wa timu hiyo, Shomari Kapombe, wametamba kuendelea kufanya vizuri katika mechi ya mkondo wa pili ya…
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kutekeleza awamu ya kwanza ya mpango wa ugawaji wa mitambo midogo ya umwagiliaji kwa v…
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kutekeleza awamu ya kwanza ya mpango wa ugawaji wa mitambo midogo ya umwagiliaji kwa vikundi vya wakulima katika mikoa saba nchini yenye thamani ya…
Bosi Azam aziombea heri Yanga, Singida Black Stars na Simba
Mmoja wa Wajumbe wa Bodi ya Azam FC, Yusuf Bakhresa amezitakia kheri Yanga, Singida Black Stars...
Wanasaikolojia wanasema wanaume huumia zaidi pindi wanapotengana kuliko wanawake
Wanasaikolojia wanasema wanaume huumia zaidi pindi wanapotengana kuliko wanawake. Je, unakubaliana na hili? Msikilize Msaikolojia, Geofrey Mwamnyanyi akifafanua. ✍Juliana James Mhariri | @moseskwindi #AzamTVUpdates
Marekani yadaiwa kutuma droni kufuatilia hali Gaza
Jeshi la Marekani, limeanza kutuma droni Gaza kufuatilia uzingatiaji wa makubaliano ya amani kati ya Israel na kundi la Hamas. Haya ni kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari…
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jiji la kibiashara la Dar es Salaam nchini Tanzania linafahamika kama kitovu cha biashara nchini humo. Mbali na biashara mbalimbali zinazofanyika lakini bandari kuu ya nchi hiyo pia iko jijini…
Jeshi la Ukraine ladai kukikomboa kijiji cha Torske
Jeshi la Ukraine limesema leo Jumamosi kuwa limekikomboa tena kijiji cha Torske, ambacho ni muhimu kwa ulinzi wa mji wa Lyman.
Raia nchini Ivory Coast wapiga kura ya kumchagua rais mpya
Raia nchini Ivory Coast leo Jumamosi wanapiga kura katika uchaguzi wa rais huku rais wa sasa Alassane Ouattara mwenye umri wa miaka 83, akiwania muhula wa nne, hatua itakayopanua utawala…
Mkataba wa UN juu ya uhalifu wa mitandaoni kusainiwa Vietnam
Mkataba wa kihistoria wa UN kuhusu uhalifu wa mtandao unaolenga kukabiliana na makosa yanayogharimu uchumi wa dunia, trilioni za dola kila mwaka, unatarajiwa kusainiwa wikendi hii nchini Vietnam, na takriban…
Marekani yataka kumhamishia Liberia raia wa Salvador
Serikali ya Marekani imesema inataka kumhamishia nchini Liberia raia wa Salvador Kilmar Abrego Garcia kufikia mwishoni mwa mwezi huu. Hatua hizo imekuja katikati mwa mzozo kuhusu mpango wa uhamiaji wa…
Anko Kitime: Nimekumbuka magwiji waliotuacha Oktoba
Kitu ambacho hakipingiki ni kuwa kila mmoja wetu iko siku atakufa. Pengine ni kwa sababu ya...
Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA
TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda…
#HABARI: Marekani imemuwekea vikwazo Rais wa Colombia Gustavo Petro, wakidai alishindwa kuzuia biashara haramu ya dawa za kulevy…
#HABARI: Marekani imemuwekea vikwazo Rais wa Colombia Gustavo Petro, wakidai alishindwa kuzuia biashara haramu ya dawa za kulevya ambapo vizuizi hivyo pia vinamuathiri mke wake na mtoto wake mkubwa wa…
Jiongeze: Madem na pesa nyingi
Kuna kitu kimoja kimekuwa kikitawala vijiweni, WhatsApp Groups na X (Twitter). Kwamba Wanawake...
Misri: Makundi ya Wapalestina yakubaliana kukabidhi usimamizi wa Gaza kwa tume ya mpito
Makundi yaliyokutana Cairo kwa siku kadhaa yamekubaliana Oktoba 24 kuunda tume ya mpito ya kusimamia Gaza. Makundi hayo ni pamoja na Hamas na Fatah, pamoja na makundi mengine ya Kiislamu,…
Vita nchini Ukraine: Mashambulizi mapya ya Urusi yaikumba Kyiv na miji mingine kadhaa
Ukraine imelengwa tena na mashambulizi ya Urusi katika saa za hivi karibuni. Vitongoji kadhaa huko Kyiv vimelengwa na mashambulizi haya. Imechapishwa: 25/10/2025 – 11:16 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
Matola, Kapombe waitangazia vita Nsingizini Hotspurs
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola na nahodha wa timu hiyo, Shomari Kapombe, wametamba kuendelea kufanya vizuri katika mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya…
Fanya mazoezi haya ili mwili wako uweze kuwa mwepesi na kuufanya kuwa imara zaidi
Fanya mazoezi haya ili mwili wako uweze kuwa mwepesi na kuufanya kuwa imara zaidi. @mcjojo__ Juliana James Mhariri | @allymufti_tz #AzamTVUpdates
#HABARI: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, ku…
#HABARI: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, kufuatia utekelezaji wa zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya umeme linaloendelea kote nchini. Akitoa…
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewaasa Maa…
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewaasa Maafisa Maendeleo ya Jamii mkoani Geita, waliopatiwa pikipiki ambazo zimetolewa na…
Oauttara wa Côte d’Ivoire awania muhula wa nne
Kuna wapiga kura zaidi ya milioni nane waliosajiliwa na wagombea uraisa watano.
Thailand: Malkia Sirikit Kitiyakorn aaga dunia
Malkia wa zamani Sirikit Kitiyakorn, mke wa Bhumibol Adulyadej, ambaye alitawala Thailand kwa miaka 70 na mama wa mfalme wa sasa, amefariki akiwa na umri wa miaka 93, na kuashiria…
Uchaguzi wa urais Côte d’Ivoire: Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kote nchini
Raia wa Côte d’Ivoire leo Jumamosi Oktoba 25 wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura kote nchini kumchagua rais wao mpya. Wagombea watano wako kwenye kinyang’anyiro, akiwemo Rais aliyepo madarakani, Alassane…
#HABARI: Mfanyabiashara maafuru nchini Rostam Azizi (pichani) akiwa na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe.Hakainde Hichilema wakati w…
#HABARI: Mfanyabiashara maafuru nchini Rostam Azizi (pichani) akiwa na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe.Hakainde Hichilema wakati walipokutana katika Ikulu ya Lusaka baada ya mazungumzo ya kikazi. Bilionea Rostam aliyeanza…
Kocha Nsingizini ajipa matumaini kupindua meza Kwa Mkapa
KOCHA Mkuu wa Nsingizini Hotspurs, Mandla Qhogi, amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa mabao 3-0, dhidi ya Simba katika mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya Serikali ya Elico Foundation imeikabidh…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya Serikali ya Elico Foundation imeikabidhi Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, soko la kuuzia samaki na mtambo…
Ndani ya Boksi: Kila mtu anataka awe ‘Influensa’
Kizazi cha sasa kimeamka tofauti kabisa! Hawa siyo wale vijana wa zamani waliotamani kuwa...
🔴#LIVE:KONGAMANO LA AMANI KANDA YA KATI…OKTOBA 25, 2025
🔴#LIVE:KONGAMANO LA AMANI KANDA YA KATI...OKTOBA 25, 2025
Polisi: Mchungaji Mtaita hakutekwa, tunamshikilia kwa uchochezi
Jeshi la Polisi mkoani Manyara, linamshikilia mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
Matokeo ya mechi za bure Yanga katika CAF
YANGA jioni ya leo Jumamosi inashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kurudiana na Silver Strikers ya Malawi katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
🔴MUBASHARA:WAKUU VYOMBO VYA HABARI NA WAHARIRI WAANDAMIZI .OKTOBA 25, 2025
🔴MUBASHARA:WAKUU VYOMBO VYA HABARI NA WAHARIRI WAANDAMIZI .OKTOBA 25, 2025
Dk Spendi: Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa kwa maendeleo ya Taifa letu
Mhina ameeleza kuwa ukuaji wa biashara, uwekezaji na ustawi wa wananchi unategemea kwa kiasi...
Dk Mhina: Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa kwa maendeleo ya Taifa letu
Mhina ameeleza kuwa ukuaji wa biashara, uwekezaji na ustawi wa wananchi unategemea kwa kiasi...
Chapa ya Harmonize na changamoto zake nje ya WCB
Tangu Harmonize ameondoka WCB Wasafi zaidi ya miaka mitano iliyopita, kuna nyakati amepitia...
Bangladesh afunguka alivyomwibua Ludacris
Mtayarishaji wa muziki, Shondrae Crawford maarufu kama Bangladesh, 47, amefunguka alivyokutana...
#HABARI:Chama cha Demokrasia na mandeleo CHADEMA kimesema kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa Mh.John Heche anashikiliwa kwenye mahabu…
#HABARI:Chama cha Demokrasia na mandeleo CHADEMA kimesema kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa Mh.John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba , jijini Dodoma. Taarifa hiyo ya CHADEMA inasema kuwa…
Waziri wa vita wa Israel akiri hawawezi kuharibu mahandaki ya Muqawama Ghaza
Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni ametamka bayana kwamba utawala huo ambao umefanya jinai kubwa mno za kuchupa mipaka kwa muda wa miaka miwili kwenye Ukanda wa Ghaza, hauwezi…
Iran: Baraza la Usalama halipaswi kukubali kudanganywa na kutumiwa vibaya
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Hati ya Umoja wa Mataifa imekumbana na mitihani mingi mizito kutokana na vitendo vya…
UN yapinga madai ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani kuhusu UNRWA
Umoja wa Mataifa umepinga taarifa ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani aliyedai kiuongo kwamba Shirika la Umoja wa Mataifa la Kusaidia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) lina uhusiano na…