Singida BS yatinga makundi CAF, Chama aandika historia
Clatous Chama na Gadiel Michael sasa wanaingia katika historia ya kuwa wachezaji waliofuzu...
Yanga yashusha makocha wapya watatu kwa mpigo
SAA chache baada ya Rais wa Klabu ya Yanga kuthibitisha kuwa usiku huu wanatangaza kocha mkuu wa klabu hiyo, Mwanaspoti limenasa jina lake.
Wakazi wa kata ya Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametoa wito kwa serikali wajengewe soko na kituo cha mabasi ili kuche…
Wakazi wa kata ya Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametoa wito kwa serikali wajengewe soko na kituo cha mabasi ili kuchechemua biashara iliyotokana na kukamilika kwa daraja la JPM ambalo…
Jukwaa la Mabunge ya Nchi za Maziwa Makuu ambalo ni miongoni mwa taasisi za watazamaji wa Uchaguzi Mkuu nchini limewahimiza wana…
Jukwaa la Mabunge ya Nchi za Maziwa Makuu ambalo ni miongoni mwa taasisi za watazamaji wa Uchaguzi Mkuu nchini limewahimiza wananchi kushiriki kwa wingi kuchagua viongozi ifikapo Jumatano ya Oktoba…
Watendaji Wakuu na Wahariri Waandamizi wa vyombo vya habari nchini wametoa tamko la pamoja la kuhimiza umuhimu wa kutunza amani …
Watendaji Wakuu na Wahariri Waandamizi wa vyombo vya habari nchini wametoa tamko la pamoja la kuhimiza umuhimu wa kutunza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.…
Wenje amesema kuhamia CCM hakumpotezei sifa
Amesema mbali na mafanikio yaliyopatikana nchini kupitia CCM, lakini pia aliamua kujiunga na...
Zaidi ya makarani 450 wa Uchaguzi Mkuu katika jimbo la Tanganyika lililopo mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo huku ufafanuzi kuhus…
Zaidi ya makarani 450 wa Uchaguzi Mkuu katika jimbo la Tanganyika lililopo mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo huku ufafanuzi kuhusu makarabi ambao awali walipangwa kusimamia uchaguzi katika ituo 90 ambavyo vilikuwa…
Chadema yaeleza Heche anashikiliwa Dodoma, ahojiwa na Uhamiaji
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai Makamu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho...
Mtoto wa Mjini – 14
Muddy alijitahidi kwa kila njia kuhakikisha anamfanya Linnie kuvutiwa zaidi na vitendo vyake kwa ajili ya kumaliza kiu zao ambazo zilistahili kutendewa haki. Alikuwa na uhakika wa kushinda pambano lake…
Chaumma yaahidi kuharakisha bandari ya Bagamoyo kuinua uchumi
Bagamoyo. Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma)...
Mtoto wa Mjini – 13
Linnie alikuwa akiishi peke yake katika nyumba iliyoko nje kidogo ya Jiji la Stockholm, kwenye mji mdogo uitwao Sigtuna, umbali wa takribani kilomita hamsini kutoka mji mkuu. Alianza maisha hayo…
Yanga yaichapa Silver Strikers, yafuzu makundi kibabe
MABAO mawili ya kipindi cha kwanza kutoka kwa nahodha msaidizi, Dickson Job na Pacome Zouzoua, yameifanya Yanga kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiiondosha Silver Strikers ya…
Mzimu wa ajali waliibua kanisa Katoliki Same
Kwa mujibu wa kanisa, eneo hilo litakuwa mahali ambako kila msafiri ataweza kufika kusali kabla...
Yanga yapindua meza ikitinga makundi CAF
Mabao ya Pacome, Dickson Job yameipa Yanga ushindi wa jumla 2-1 dhidi ya Silver Strikers ya...
Kiungo Simba awapa njia mastaa Pamba
KIUNGO wa zamani wa Simba, Hamis Abdallah amewataka wachezaji wa Pamba Jiji kusikiliza na kufuata maelekezo ya benchi la ufundi ili kufanikisha malengo ya klabu hiyo msimu huu kumaliza katika…
Ongezeko la udokozi kwa wanaweke ni zaidi ya uhalifu
Tayari Jeshi la Polisi limesema limemtambua mtuhumiwa na linaendelea na hatua za kisheria.
Kwa JKT Tanzania boli haliishi hadi liishe
JKT Tanzania wamekuja kivingine msimu huu, kwani wamedhihirisha kuwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi yao haliishi hadi filimbi ya mwisho ya mwamuzi itakapopulizwa ndipo mpinzani anatakiwa kushangilia.
Kadi nyekundu za Chalamanda kuna kitu
UNAWEZA kudhani kama masihara, lakini ukweli ni kwamba kadi nyekundu aliyoonyeshwa Ramadhan Chalamanda wa JKT Tanzania dhidi ya Mbeya City, inafanana na ile aliyowahi kuonyeshwa dhidi ya timu hiyo misimu…
Kipre Jr, Sillah watuma salamu Azam
SIKU moja baada ya Azam FC kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, waliokuwa mastaa wa timu hiyo wamewapongeza wachezaji, benchi…
Othman afunga kampeni Pemba, aahidi kuimarisha ‘brandi ya Zanzibar’
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amefunga kampeni...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amewasihi wananchi wa Busanda mkoani Geita kujitokeza kwa wingi siku ya Ucha…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amewasihi wananchi wa Busanda mkoani Geita kujitokeza kwa wingi siku ya Uchaguzi Mkuu. Biteko amesema hayo akiwa katika mkutano wa kukamilisha…
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 712 kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja mkoani Morogoro kwa kipindi cha miak…
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 712 kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja mkoani Morogoro kwa kipindi cha miaka minne. Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS ) mkoani humo,…
Viongozi wa dini wahamasisha jamii kushiriki uchaguzi
Viongozi hao wa dini wameyasema hayo leo jumamosi Oktoba 25, 2025 jijini Dodoma ambapo pia...
Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina
Rais wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevuliwa uraia wake baada ya kuikimbia nchi hiyo mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana dhidi ya utawala wake.
Mwalimu: Kanichagueni nirudishe heshima ya pamba, mifugo
Mwalimu, akiendelea na kampeni Bariadi Vijijini, ameahidi kurejesha hadhi ya zao la pamba na...
Trump aelekea Asia kwa mazungumzo na Xi Jinping
Rais wa Marekani Donald Trump anaanza leo Jumamosi ziara yake barani Asia ambapo anatarajiwa kufanya mazungumzo ya kibiashara na mwenzake wa China Xi Jinping.
Dk Nchimbi afunga kampeni Ukerewe, aahidi kiwanda cha samaki
Dk Emmanuel Nchimbi amehitimisha safari ya siku 57 za kusaka ushindi wa Chama cha Mapinduzi...
Rubio aahidi kurejesha miili ya mateka wote nchini Israel
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ameapa kuhakikisha kurejeshwa kwa miili ya mateka wote wa Israel ambayo bado inazuiliwa huko Gaza.
Reiche ajificha kwenye handaki nchini Ukraine
Waziri wa Uchumi wa Ujerumani Katherina Reiche alilazimika kujificha kwenye handaki wakati wa mashambulizi ya usiku kucha ya Urusi katika mji mkuu wa Ukraine, Kiev.
Viongozi wa upinzani nchini Cameroon wakamatwa
Viongozi wawili wa upinzani nchini Cameroon Anicet Ekane na Djeukam Tchameni wamekamatwa jana mjini Douala huku maandamano yakilighubika taifa hilo juu ya matokeo ya uchaguzi wa rais .
Wakuu wa vyombo vya habari watoa tamko kulinda amani, Manyerere alikosoa
Katika azimio la nne, wakuu hao wa vyombo vya habari wamekumbusha umuhimu wa kujifunza kutokana...
#HABARI: Zaidi ya wananchi 6000 wa Jamii ya Wawindaji na Waokota Matunda ya Wahadzabe, wanaoishi katika Bonde la Yaeda Chini, wi…
#HABARI: Zaidi ya wananchi 6000 wa Jamii ya Wawindaji na Waokota Matunda ya Wahadzabe, wanaoishi katika Bonde la Yaeda Chini, wilayani Mbulu, mkoani Manyara, waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la…
Serikali ilivyojibu madai ya Amnesty sakata la haki za binadamu
Amnesty International linataka mamlaka kukomesha vitendo ukandamizaji wa maoni tofauti, ambayo...
Bakwata Mara waandaa dua maalumu kuliombea Taifa amani
Katibu wa Baraza la Waislamu (Bakwata) Mikidadi Shada amesema dua maalumu ya kuliombea Taifa...
Kungwi wa Kisasa, Eva Mrema amesema ni rahisi kwa mwanamke kujifunza kumpenda mwanaume asiyempenda ila ni vigumu kwa mwanaume ku…
Kungwi wa Kisasa, Eva Mrema amesema ni rahisi kwa mwanamke kujifunza kumpenda mwanaume asiyempenda ila ni vigumu kwa mwanaume kuingia kwenye uhusiano wenye malengo na mwanamke asiyempenda. Ushawahi kumpenda mtu…
Mgombea urais TLP aahidi kumaliza migogoro ya wakulima, wafugaji
Mbali na mkakati huo, pia amesema ataboresha miundombinu muhimu ya kilimo na ufugaji endapo...
#HABARI: Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt
#HABARI: Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii Mkoani Njombe kutunza na kutumia kwa umakini pikipiki…
Utajiri wa Afrika: Matumbawe ya Ushelisheli
Matumbawe yanasaidia msururu mkubwa wa viumbe vya baharini na yana jukumu muhimu katika kudumisha bayoanuwai ya baharini.
EAC watuma kikosi kazi kufuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini
Waangalizi hao kutoka nchi za EAC wanakuja kutekeleza majukumu hayo wakati Tanzania ikiwa...
Raia wa Ivory Coast wapiga kura kumchagua rais mpya
Wagombea ni pamoja na Rais aliyepo madarakani Alassane Ouattara na wagombea wengine wanne wa upinzani uliodhoofishwa kutokana na kuenguliwa kwa wagombea wakuu.
Taasisi ya Tanzania Jumuishi (TAJU) inayotetea haki za watu wenye ulemavu nchini imetoa wito kwa Watanzania kushiriki uchaguzi…
Taasisi ya Tanzania Jumuishi (TAJU) inayotetea haki za watu wenye ulemavu nchini imetoa wito kwa Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu bila kujihusisha na vurugu na machafuko. TAJU…
Iran: Lazima kuwe na kikomo cha kutoadhibiwa Utawala wa Kizayuni
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kwamba hali ya kutoadhibiwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, ambayo imepewa uhalali na wale wanaounga mkono utawala huo, inapaswa…
#HABARI: Kufuatia taarifa zilizosambaa katika mitandao ya kijamii juu ya Mchungaji wa KKKT Usharika wa Boay Eleth Mtaita kudaiwa…
#HABARI: Kufuatia taarifa zilizosambaa katika mitandao ya kijamii juu ya Mchungaji wa KKKT Usharika wa Boay Eleth Mtaita kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed…
Rais wa Nigeria ateua makamanda wapya wa kijeshi baada ya njama ya mapinduzi
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ameteua makamanda wapya wa kijeshi Ijumaa katika mabadiliko makubwa, wiki chache baada ya maafisa 16 wa kijeshi kukamatwa kwa tuhuma za kupanga mapinduzi ya kijeshi,…
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba…
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 na kuwaambia kuwa serikali imeendelea kufanya juhudi za kuboresha…