Kiongozi wa Mali awafuta kazi makamanda waandamizi huku kukiwa na matatizo ya usalama
Kiongozi wa mpito wa nchi hiyo Assimi Goita alimtimua naibu kamanda wa jeshi, mkuu wa usalama jeshini na mkuu wa majeshi ya ardhini.
Mahakama yakubali pingamizi la pili la Lissu
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeikataa ripoti ya uchunguzi wa uhalisia wa picha...
Watumiaji wa WhatsApp kutumia ‘username’ badala ya namba ya simu
Mtandao wa WhatsApp uko mbioni kuanza kutumia jina la kipekee la mtumiaji (username) badala ya...
Exim yakarabati jengo la watoto na vijana Muhimbili
Dar es Salaam. Benki ya Exim Tanzania imekabidhi jengo lililokarabatiwa la Kitengo cha Afya ya...
Hamas: Miswada haramu ya unyakuzi wa Ukingo wa Magharibi inafichua sura mbaya ya ukoloni wa Israel
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani pendekezo la awali la Bunge la Israel (Knesset) la kunyakua eneo la Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, na kusema kuwa…
Waziri wa Usalama wa Taifa: Iran haina imani kuhusu kulindwa maslahi ya taifa kupitia mazungumzo na Marekani
Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani kabisa kuhusu kulindwa maslahi ya nchi hii kupitia kufanya mazungumzo na Marekani.
Je, kujenga vinu vya nyuklia kutaiwezesha Afrika au kutaimarisha utegemezi wa kigeni?
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed mwezi uliopita alitangaza mipango ya kujenga vinu vya kwanza vya nyuklia nchini humo na hivyo kuashiria hamu kubwa ya bara la Afrika ya kumiliki…
Mahakama ya ICJ: Israel inapasa kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeitaka Israel ijiepushe kutumia sheria zake za upande mmoja maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na kuukosoa utawala huo ghasibu kwa kuzuia kufikishwa misaada…
Wanamgambo wa RSF waushambulia Uwanja wa Ndege wa Khartoum kwa siku ya tatu mtawalia
Wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) leo wamefanya wimbi la mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) katika Uwanja wa Ndege wa Khartoum kwa siku ya tatu mtawalia.
#HABARI: Mnyama adimu kuonekana, Kakakuona ameonekana akiwa na mtoto wake katika Kijiji cha Lilondo Halmashauri ya Wilaya ya Mad…
#HABARI: Mnyama adimu kuonekana, Kakakuona ameonekana akiwa na mtoto wake katika Kijiji cha Lilondo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku akitarajiwa kutabiri mambo mbalimbali ikiwemo Uchaguzi…
Trump atangaza vikwazo ‘vikubwa’ dhidi ya Urusi
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vikwazo kwa kampuni mbili kubwa zaidi za mafuta za Urusi.
RSF yashambulia mji mkuu wa Sudan kwa siku ya tatu
Wanamgambo wa Sudan RSF wameushambulia mji mkuu, Khartoum na uwanja wake mkuu wa ndege kwa kutumia droni.
TRC yasitisha safari za SGR kwa muda
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema hakuna treni itakayoruhusiwa kuanza safari kwa sasa...
Ndege zisizo na rubani zaendelea kutekeleza mashambulio uwanja wa ndege jijini Khartoum
Imechapishwa: 23/10/2025 – 12:35 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata Ndege zisizokuwa na rubani kwa siku ya tatu mfululizo, zimeshambulia jiji kuu Khartoum na uwanja wake…
Mgombea urais Cameroon aitisha maandamano
Mgombea urais wa upinzani nchini Cameroon Tchiroma Bakary, amewataka Wacameroon kujitokeza na kuandamana.
Asasi za kijamii zakemea kejeli dhidi ya wagombea wanawake
Muungano wa asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake na watoto nchini Tanzania umewatolea mwito Watanzania kujitokea kwa wingi kupiga kura na kukemea lugha za kejeli na matusi dhidi ya…
Bellingham afungua ukurasa mpya Madrid
Hatimaye, Jude Bellingham ameondoa nuksi ya msimu huu baada ya kufunga bao lake la kwanza kwa...
Rubio: Kuzingira Ukingo wa Magharibi kunatishia amani Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, ameionya Israel dhidi ya kuuzingira Ukingo wa Magharibi.
Mahakama ya Cameroon imetupilia mbali malalamiko ya uchaguzi
Baraza la Katiba la Cameroon limetupilia mbali malalamiko yote yaliyokuwa yakipinga uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, na hivyo kufungua njia ya kutangazwa kwa matokeo kamili.
Trump ayawekea vikwazo makampuni makubwa ya mafuta ya Urusi
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umetangaza vikwazo vikubwa dhidi ya makampuni mawili makubwa zaidi ya mafuta yaliyo chini ya serikali ya Urusi.
Mkazi wa Chanika na maeneo ya jirani , Balozi wa AzamTV @mkwere ana ujumbe maalum kwako
Mkazi wa Chanika na maeneo ya jirani , Balozi wa AzamTV @mkwere ana ujumbe maalum kwako. #AzamTVBurudaniKwaWote
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
ZEC yatoa mafunzo kwa wasioona kuwawezesha kushiriki uchaguzi
Zikiwa zimebaki siku sita kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)...
Jeshi la Uganda lakana kuwateka raia wawili wa Kenya
Wanaharakati Wakenya Oyoo na Njagi walikuwa wamesafiri hadi Uganda kumuunga mkono mgombea urais wa upinzani Bobi Wine.
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameibwaga Jamhuri kwa mara nyingine baada ya Mah…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameibwaga Jamhuri kwa mara nyingine baada ya Mahakama kukataa kupokea ripoti ya uchunguzi ya shahidi kutokana na pingamizi aliloliwasilisha…
Kampeni za udiwani Kirua Vunjo Magharibi zasitishwa kufuatia kifo cha mgombea
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesitisha shughuli zote za kampeni za uchaguzi wa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
TRC yataja chanzo ajali treni ya mchongoko, yachunguza
Treni ya Electric Multiple Unit - EMU maarufu treni ya mchongoko iliyokuwa ikitokea Dar es...
Mahakama yaikataa ripoti ya video ya uhaini wa Lissu
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeikataa ripoti ya uchunguzi wa uhalisia wa picha...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema ajali ya treni ya EMU iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma imesababishwa na …
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema ajali ya treni ya EMU iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma imesababishwa na hitilafu za kiuendeshaji. Taarifa ya TRC kwa umma iliyotolewa na…
#HABARI: Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeeleza kuwa hitilafu za kiuendeshaji ndio chanzo cha ajali ya Treni ya Mwendokasi (SGR…
#HABARI: Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeeleza kuwa hitilafu za kiuendeshaji ndio chanzo cha ajali ya Treni ya Mwendokasi (SGR), iliyotokea asubuhi ya leo Oktoba 23, 2025 katika eneo la…
“Mtoto amiliki simu akiwa tayari anajitambua na kujua athari, matumizi sahihi kwa kupata elimu kutoka kwa wazazi wake,” – Afisa …
"Mtoto amiliki simu akiwa tayari anajitambua na kujua athari, matumizi sahihi kwa kupata elimu kutoka kwa wazazi wake," - Afisa Ustawi wa Jamii, Ikupasifa Mwang'ombola akizungumzia juu ya muda sahihi…
Ikulu yakanusha kumpunguzia adhabu Diddy
Ikulu nchini Marekani imekanusha tetesi zinazodai Rais Donald Trump, anapanga kumpunguzia...
Treni ya Mwendokasi ya Reli ya Kisasa (SGR) iliyokuwa ikielekea Dodoma kutoka Dar es Salaam imepata ajali leo Alhamisi, Oktoba 2…
Treni ya Mwendokasi ya Reli ya Kisasa (SGR) iliyokuwa ikielekea Dodoma kutoka Dar es Salaam imepata ajali leo Alhamisi, Oktoba 23, 2025, majira ya asubuhi katika eneo la Ruvu, mkoani…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
Mshindi kilomita 21 Zanzibar Half Marathon kuvuna Sh6 milioni
MSIMU wa tatu wa Zanzibar Half Marathon unatarajiwa kufanyika Novemba 30, 2025, ukiwa na lengo la kurejesha matumaini kwa mama aliyeathirika na vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani waliotelekezwa na…
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameingia kwa morali ya hali ya juu kama kawaida…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameingia kwa morali ya hali ya juu kama kawaida yake kuendelea na kesi ya Uhaini inayomkabili katika Mahakama Kuu…
#HABARI: Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kupata ajali baada ya kuacha njia, katika eneo la Ruvu mkoani Pwani asubuhi ya le…
#HABARI: Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kupata ajali baada ya kuacha njia, katika eneo la Ruvu mkoani Pwani asubuhi ya leo Oktoba 23, 2025 ikiwa inatokea jijini Dar es Salaam…
#HABARI: Zikiwa zimesalia siku chache ili kufanyika Uchaguzi Mkuu, Mgombea Mwenza nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza…
#HABARI: Zikiwa zimesalia siku chache ili kufanyika Uchaguzi Mkuu, Mgombea Mwenza nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dokta Emmanuel Nchimbi akiwa wilayani Chunya mkoani Mbeya amesema…
Wadau wa afya wakutana nchini Afrika Kusini kujadili masuala ya ufadhili
DURBAN – Viongozi katika sekta ya afya , wanasayansi na wataalam wanakutana jijini Durban nchini Afrika Kusini ,kujadili mpango wa pamoja wa kufadhili sekta ya afya baada ya miradi nyingi…
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro, Profesa Mussa Assad, amesema changamoto kubwa kwa vijana wanaohitimu vyuo vikuu…
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro, Profesa Mussa Assad, amesema changamoto kubwa kwa vijana wanaohitimu vyuo vikuu siyo kukosa nafasi katika uchumi, bali ni kukosa ujuzi wa vitendo…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
Utamaduni wa kampuni unavyoweza kuathiri ufanisi kibiashara
Utamaduni wa kampuni ni kanuni zinazounda mazingira ya kijamii na kisaikolojia ndani ya taasisi...
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amewasili katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya D…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amewasili katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya muendelezo wa kesi ya Uhaini inayomkabili.…
Ripota Maalumu wa UN atoa ripoti mpya kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa ripoti yake mpya kuhusu mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni Israel katika Ukanda wa Gaza,…
Maduro atishia kuvurumusha maelfu ya makombora ya Igla-S kukabiliana na vitisho vya Marekani
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, ametangaza kuwa nchi yake inamiliki makombora 5,000 ya kutungulia ndege yaliyotengenezwa Russia ili kukabiliana na vitisho vya jeshi la Marekani na vikosi vyake vilivyotumwa katika…
#MEZAHURU: Kwanini hakuna mkakati wa kukuza vipaji hapa nchini?
#MEZAHURU: Kwanini hakuna mkakati wa kukuza vipaji hapa nchini?
Shakhsia mashuhuri wa Kiyahudi duniani waihimiza UN, viongozi wa dunia kuiwekea vikwazo Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Zaidi ya shakhsia 450 wa Kiyahudi kutoka duniani kote wametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na viongozi wa kimataifa kuuwekea vikwazo utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari "yasiyokubalika"…
Shakhsia mashuhuri wa Kiyahudi dunia waihimiza UN, viongozi wa dunia kuiwekea vikwazo Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Zaidi ya shakhsia 450 wa Kiyahudi kutoka duniani kote wametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na viongozi wa kimataifa kuuwekea vikwazo utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari "yasiyokubalika"…