🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UREMBO ASILIA…..OKTOBA 23, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UREMBO ASILIA.....OKTOBA 23, 2025
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Bariadi Vijijini mkoani Simiyu, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bwana Masanja Kado…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Bariadi Vijijini mkoani Simiyu, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bwana Masanja Kadogosa amesema hawawezi kuwa na majaribio ya ubunge ambayo ni maisha ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 23, 2025
Wahamiaji karibu 40 wapoteza maisha baada ya boti kupinduka katika pwani ya Tunisia
Afisa mmoja wa serikali ya Tunisia amesema kuwa takriban wahamiaji 40 kutoka Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara wamefariki dunia baada ya mashua yao kupinduka katika pwani ya Tunisia jana…
Miji ya ubunifu inavyoweza kuiendeleza Tanzania
Kila siku, jua linachomoza mashariki na kuangazia nchi yetu ya Tanzania, ukwasi ambao tumezoea...
#HABARI: Marekani imetangaza vikwazo vipya vikubwa kwa sekta ya mafuta ya Urusi
#HABARI: Marekani imetangaza vikwazo vipya vikubwa kwa sekta ya mafuta ya Urusi. Vikwazo hivyo vinalenga kumpelekea Rais Vladimir Putin, kukubali kufanya mazungumzo ya amani na hatimaye kuvimaliza vita nchini Ukraine.…
Liverpool yamaliza ukame wa ushindi, Salah mambo magumu
Hugo Ekitike amefunga dhidi ya klabu yake ya zamani wakati Liverpool wakiukomesha mwenendo wao...
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 23,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 23,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Sudan: Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Khartoum wafunguliwa tena
Ndege kutoka Port Sudan imeitua alasiri ya Jumatano, Oktoba 22, mjini Khartoum, ambapo Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilifurushwa miezi sita iliyopita. Uwanja huo wa ndege ulikumbwa na mashambulio…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 23, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 23, 2025
Bilbao yaandika ushindi wa kwanza Ligi ya Mabingwa Ulaya
Klabu ya Athletic imetoka nyuma na kuichapa Qarabag mabao 3-1 na kupata ushindi wake wa kwanza...
DRC: Brigadia Jenerali Ngoy Wa Kabila John akamatwa
Wakili Mkuu Mteule katika Mahakama Kuu ya Kijeshi baada ya kuwa karibu na rais wa sasa wa Kongo, afisa huyu wa zamani wa Joseph Kabila alikamatwa nyumbani kwake Kinshasa usiku…
Osimhen aweka rekodi ya mabao Galatasaray ikiichapa Bodo/Glimt
Victor Osimhen amefunga mabao mawili na kusaidia lingine wakati Galatasaray ikiendeleza...
Umuhimu wa kuwa na mfuko wa dharura
Mfuko wa dharura ni akiba ya fedha inayowekwa kando mahsusi kwa ajili ya kukabiliana na matukio...
🔴KUMEKUCHA: USHIRIKI WA VIJANA NA WANAWAKE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…OKTOBA 23, 2025
🔴KUMEKUCHA: USHIRIKI WA VIJANA NA WANAWAKE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU...OKTOBA 23, 2025
Kane anavyowasha moto Bundesliga
Straika Harry Kane amekuwa gumzo na kuwafanya watu waamini anaweza kubadili nafasi yake ya...
Bayern yaweka rekodi ikiichapa Club Brugge
Kuna rekodi mbili zimewekwa katika mechi ambayo Bayern Munich imeikanda Club Brugge mabao 4-0...
Huduma za kidijitali kupitia simu zinavyonufaisha kilimo nchini
Wakati teknolojia ikizidi kubadilisha taswira ya maisha katika sekta mbalimbali, kilimo nacho...
Cameroon: Baraza la Katiba kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais Jumatatu, Oktoba 27
Baraza la Katiba limetangaza tarehe hiyo baada ya kupitia na kukataa rufaa zote zinazohusiana na uchaguzi wa Oktoba 12. Kwa upande wake, Issa Tchiroma Bakary, mgombea urais wa chama cha…
🔴#MAGAZETI: LISSU ASHINDA HOJA MAHAKAMA KUU / WAKIZINGUA TU IMEKULA KWAO
🔴#MAGAZETI: LISSU ASHINDA HOJA MAHAKAMA KUU / WAKIZINGUA TU IMEKULA KWAO....
#KIPIMAJOTO: Rai ya Viongozi wa Dini kulinda haki na amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi
#KIPIMAJOTO: Rai ya Viongozi wa Dini kulinda haki na amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Je, liwe jambo la kudumu badala ya kusubiri matukio?
Iran: Mashirika 50 ya kijasusi yaliisaidia Israel katika Vita vya Siku 12 dhidi yetu
Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema: Katika vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel mwezi Juni mwaka huu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, adui alipanga kuzusha uvunjifu mkubwa wa…
Liverpool yawaaibisha Frankfurt, Bayern yavuna ushindi mnono
Eintracht Frankfurt ilipewa funzo la kandanda usiku wa kuamkia Alhamis mjini Frankfurt kwa kucharazwa mabao 5-1 na Liverpool ya England katika mechi ya ligi ya vilabu bingwa Ulaya.
Umoja wa Mataifa wahofia kutofanyika uchaguzi nchini Haiti
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewaonya viongozi wa Haiti kuwa muda wa kurejesha usalama na kuandaa uchaguzi mkuu nchini humo unasonga.
Mahakama ya ICJ yaitaka Israel iikubalie UNRWA Gaza
Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, imesema israel ni sharti Shirika la Umoja wa Mataifa linalotoa misaada kwa Wapalestina UNRWA huko Gaza, kuendelea na shughuli zake.
Marekani yaiwekea vikwazo vikubwa sekta ya mafuta ya Urusi
Marekani imetangaza vikwazo vipya vikubwa kwa sekta ya mafuta ya Urusi.
Iran: Hatutarudi kwenye meza ya mazungumzo hadi Marekani iachane na sera zake za kupenda makuu
Seyyed Abbas Araqchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sharti la kurejea Iran katika meza ya mazungumzo ni Wamarekani kucha siasa zao za…
Lazzarini: Kujenga upya shule za Gaza ndio kipaumbele
Philippe Lazzarini, Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), aamesema kuwa, kurejesha haki ya elimu kwa watoto wa Gaza ni jambo la dharura na…
Misri na EU wasaini makubaliano ya kuzidisha ushirikiano
Misri na Umoja wa Ulaya wametia saini makubaliano mapana yanayolenga kuzidisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kiusalama.
Korea Kaskazini yarusha makombora ya balestiki wiki moja kabla ya mkutano nchini Korea Kusini
Korea Kaskazini imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi kuelekea Bahari ya Japan kwenye pwani ya mashariki ya nchi hiyo.
Makumi waaga dunia katika mlipuko wa lori la mafuta nchini Nigeria
Makumi ya watu wameripotiwa kufariki dunia katika mlipuko wa lori la mafuta nchini Nigeria. Ripoti zinasema tukio hilo limetokea katika jimbo la kati la Niger nchini Nigeria baada ya gari…
Unafiki wa Ulaya mkabala wa Gaza: Biashara na Israel au kuheshimu haki za binadamu?
Umoja wa Ulaya utarejesha uhusiano wake wa kibiashara wa upendeleo na Israel hatua kwa hatua kwa kisingizio cha kutekelezwa usitishaji unaolegalega wa mapigano huko Gaza.
Alkhamisi, Oktoba 23, 2025
Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1447 Hijria mwafaka na tarehe 23 Oktoba 2025 Milaadia.
23.10.2025 -Matangazo ya Jioni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ameelekea ziarani Israel+++Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar limewataka maafisa wake kufanya kazi kwa umakini ili kuendeleza historia nzuri iliyowekwa kwenye kumbukumbu…
23.10.2025
Marekani yaiwekea vikwazo vikubwa sekta ya mafuta ya Urusi//Mahakama ya ICJ yaitaka Israel iikubalie UNRWA kufanya shughuli zake Gaza//Na Misri na Umoja wa Ulaya wasaini makubaliano ya kuzidisha ushirikiano.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 23, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Umoja wa Ulaya na Marekani zaiwekea tena vikwazo Urusi
Umoja wa Ulaya umetangaza siku ya Jumatano, Oktoba 22, kwamba umefikia makubaliano ya kuimarisha vikwazo vyake dhidi ya hidrokaboni za Urusi na kuzuia rasilimali za Kremlin katika vita vyake dhidi…
Tunisia: Wahamiaji 40 kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara wamekufa maji, 30 waokolewa
Wahamiaji 40 kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara, wakiwemo watoto wachanga, wamefariki siku ya Jumatano, Oktoba 22, baada ya boti waliokuemo kuzama baharini katika pwani ya Tunisia walipokuwa wakijaribu kufika…
Afrika kusini: Wito mpya wa ufadhili wa afya mbadala kwa Afrika
Viongozi wa dunia, wataalam wa Afya na wanasayansi wanakutana Afrika Kusini siku chache kabla kikao cha G20,kuja na msimamo kuhusu njia za kufadhili afya bila kutegemea ufadhili wa kigeni. Imechapishwa:…
Togo: Raia watano wa Ufaransa wafariki katika ajali ya barabarani
Raia watano wa Ufaransa, wakiwemo wanne kutoka Bouches-du-Rhône, wenye umri wa kati ya miaka 70 na 75, wamefariki siku ya Jumanne, Oktoba 21, katika ajali ya barabarani nchini Togo, shirika…
Iran yatangaza kuachiliwa kwa masharti kwa raia wake Mahdieh Esfandiari nchini Ufaransa
Mamlaka ya Iran imetangaza siku ya Jumatano, Oktoba 22, “kuachiliwa kwa masharti” kwa raia wa Iran, Mahdih Esfandiari, aliyekamatwa nchini Ufaransa mwezi Februari kwa kutetea ugaidi kwenye mitandao ya kijamii.…
Washington ‘kuimarisha’ vikwazo dhidi ya Moscow
Waziri wa Fedha wa Marekani Scott Bessent ametangaza siku ya Jumatano kwamba Washington itatangaza awamu mpya ya vikwazo dhidi ya Moscow, kufuatia kuahirishwa kwa muda usiojulikana kwa mkutano kati ya…
#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Makini Ndg
#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Makini Ndg. Coster Jimmy Kibonde, ameahidi kutoa ekari tano kwa kila kijana wa Kitanzania endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
Ndege ya abiria ya kampuni ya Badr Airlines imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum kwa mara ya kwanza tangu Aprili 2023, ikiwa ni ishara ya kurejea kwa…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 22, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 22, OKTOBA 2025
ICJ: Israel lazima iwezesha misaada kwa Gaza na kukidhi mahitaji ya Wapalestina
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeamua siku ya Jumatano, Oktoba 22, kwamba Israel inawajibika chini ya sheria za kimataifa kuwezesha kuwasilisha misaada ya kibinadamu Gaza. Imesisitiza kuwa Israel lazima…
Chama cha CHADEMA charipoti kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Polisi
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CHADEMA nchini Tanzania, John Heche, amekamatwa Jumatano nje ya mahakama ambako kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa chama hicho ilikuwa ikiendelea, msemaji…
#HABARI: Siku chache baada ya kuzikwa kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga katika Kaunti ya Siaya, Naibu Rais Kithur…
#HABARI: Siku chache baada ya kuzikwa kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga katika Kaunti ya Siaya, Naibu Rais Kithure Kindiki amewataka Wakenya kuwa na utulivu kufuatia kifo cha…
#HABARI: Wakazi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamesema wapo tayari kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyi…
#HABARI: Wakazi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamesema wapo tayari kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu, ili waweze kupata viongozi bora watakaotatua changamoto zao…