Wakazi wa vijiji vya Kasahanga na Buzimbwe vilivyopo wilayani Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kwa ujenzi wa vizimba maal…
Wakazi wa vijiji vya Kasahanga na Buzimbwe vilivyopo wilayani Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kwa ujenzi wa vizimba maalumu vinavyowaruhusu kuchota maji katika Ziwa Victoria bila kuwa katika hatari ya…
Steven Lameck (71) mkazi wa kijiji cha Silonge wilayani Tanganyika ameamua kurudi tena darasani baada ya kuishia darasa la 7 mwa…
Steven Lameck (71) mkazi wa kijiji cha Silonge wilayani Tanganyika ameamua kurudi tena darasani baada ya kuishia darasa la 7 mwaka 1969. Mzee huyo aliyejiendeleza kielimu kwa kujiunga na masomo…
Mgombea Urais kupitia chama cha MAKINI, Coaster Kibonde ameahidi kutoa ekari tano kwa kila kijana wa Kitanzania pamoja na kubore…
Mgombea Urais kupitia chama cha MAKINI, Coaster Kibonde ameahidi kutoa ekari tano kwa kila kijana wa Kitanzania pamoja na kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa umma iwapo atafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu.…
Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani
COASTAL Union imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Fountain Gate kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga.
Mgombea urais wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira ameahidi kuimarisha utawala bora na kuongeza ajira kwa …
Mgombea urais wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira ameahidi kuimarisha utawala bora na kuongeza ajira kwa vijana iwapo atashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Enos Masanja na…
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC) kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki…
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema endapo kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi kupitia uchaguzi wa Oktoba 29 kitamaliza changamo…
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema endapo kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi kupitia uchaguzi wa Oktoba 29 kitamaliza changamoto ya foleni za barabarani katika mji wa Tunduma pamoja na…
#HABARI: Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Bw
#HABARI: Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Bw. Majalio Kyara amesema endapo ataingia Madarakani atahakikisha anatokomeza vitendo vya rushwa kwa kivitendo, ili Watanzania waweze kupata…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza matumizi ya vitambulisho vya taifa au leseni za udereva kwa wapiga kura watakao…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza matumizi ya vitambulisho vya taifa au leseni za udereva kwa wapiga kura watakaokuwa waemepoteza vitambulisho rasmi vya mpiga kura. Taarifa hii ina…
#HABARI: Zaidi ya wapiga kura 80,000 katika Jimbo la Babati Mjini, wanatarajiwa kupiga kura kwenye jumla ya vituo 206, kuelekea …
#HABARI: Zaidi ya wapiga kura 80,000 katika Jimbo la Babati Mjini, wanatarajiwa kupiga kura kwenye jumla ya vituo 206, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais utakaofanyika Oktoba 29…
Mgombea Urais wa chama cha NRA, Almas Kisabya ameahidi kufuta tozo zote za mazao kwa wakulima pamoja na kuboresha mifumo ya sta…
Mgombea Urais wa chama cha NRA, Almas Kisabya ameahidi kufuta tozo zote za mazao kwa wakulima pamoja na kuboresha mifumo ya stakabadhi ghalani. Kisabya ametoa ahadi hiyo katika kampeni zake…
Mgombea Urais wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu ameahidi kuliongezea ufanisi bunge kupitia ushirikiano na wa…
Mgombea Urais wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu ameahidi kuliongezea ufanisi bunge kupitia ushirikiano na watafiti watakaoshirikiana na wabunge kutafuta majibu ya hoja zinazohusu maendeleo ya wananchi.…
#HABARI: Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limejipanga kuhakikisha msimu wa mauzo ya Korosho wa mwaka 2025/2026 unaenda vizuri na kw…
#HABARI: Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limejipanga kuhakikisha msimu wa mauzo ya Korosho wa mwaka 2025/2026 unaenda vizuri na kwa ufanisi mkubwa, baada ya kufanya maboresho katika maeneo yaliyokuwa changamoto…
Wydad mpya ya Ziyech, Aziz Ki balaa jingine
Supastaa, Hakim Ziyech amekubali kujiunga bure na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco baada ya...
Baada ya kupigwa sita, Conte aponda usajili Napoli
Meneja wa Napoli, Antonio Conte amelalamikia mipango mibovu ya usajili kwa timu yake akidai...
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Afrika, Bw
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Afrika, Bw. Sunil Taldar, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano, matumizi ya Akili Bandia (AI) na vituo vya data katika kuharakisha maendeleo ya Kidijitali Barani Afrika, unavyosaidia…
Mashirika ya haki ya binadamu yaipa CCM jukumu
Zikiwa zimebaki siku saba kabla ya Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu, mashirika ya haki za...
Mahakama ilichoamua kuhusu Heche na wenzake
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeamuru viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 22, 2025 – LISSU ASHINDA PINGAMIZI LA KUMKATAA SHAHIDI WA VIDEO
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 22, 2025 - LISSU ASHINDA PINGAMIZI LA KUMKATAA SHAHIDI WA VIDEO
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewataka Maafisa Mae…
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Mbeya kufanya kazi kwa bidii na kujituma…
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imetoa zaidi ya shilingi bilioni 527.7 kwa ajili ya kutekeleza miradi 13…
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imetoa zaidi ya shilingi bilioni 527.7 kwa ajili ya kutekeleza miradi 13 ya barabara, madaraja na mizani katika Mkoa wa Tabora. Meneja wa…
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kwa kushirikiana na shirika la Agriculture and Fisheries Development Program (AFDP…
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kwa kushirikiana na shirika la Agriculture and Fisheries Development Program (AFDP) wamekabidhi vifaa vya uwezeshaji kilimo cha mwani vyenye thamani ya Shilingi…
Mafundi magari zaidi ya 200 waomba wasihamishwe Suye
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude ameutaka Umoja wa Mafundi wa Magari Krokon eneo la Suye...
Mwalimu: Kila Mbunge kwenye uongozi wangu lazma awe na msaidizi mtafiti, amkumbuka Sitta
Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema endapo...
Mahakama yaamuru kina Heche watangazwe gazetini
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeamuru viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limefanya maboresho yatakayoongeza ufanisi na kuhakikisha msimu wa korosho wa 2025/2026 unakuwa na…
Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limefanya maboresho yatakayoongeza ufanisi na kuhakikisha msimu wa korosho wa 2025/2026 unakuwa na tija kubwa kwa wakulima na wadau wa sekta hiyo. Afisa Mwandamizi wa…
Mazingira ya kisiasa na kiuchumi Tanzania kabla ya uchaguzi
Wakati uchaguzi ukikaribia, Watanzania wametoa maoni tofauti kuhusu mustakabali wa taifa lao lakini wengi wakiwa na matumaini ya kupata viongozi watakaoboresha sekta elimu, afya ya uzazi na kuwawezesha vijana ka.
#HABARI: Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Majengo na Tambukareli, wilayani Manyoni, mkoani Singida, wameondokana na adha ya kusom…
#HABARI: Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Majengo na Tambukareli, wilayani Manyoni, mkoani Singida, wameondokana na adha ya kusoma wakiwa wamekaa chini pamoja na kuchangia dawati moja wanafunzi wanne hadi…
Mashambulizi ya droni katika mji mkuu wa Sudan yachelewesha kufunguliwa upya kwa uwanja wa ndege
Safari ya ndani ya kwanza ya ndege ya kibiashara ya kampuni ya Badr Airlines ilipangwa kufanyika Jumatano.
Israel imeirejesha miili 30 ya wapalestina mjini Gaza
Wizara ya afya ya Gaza inayodhibitiwa na Hamas imesema Israel imeirejesha miili ya wapalestina wengine 30 katika Ukanda wa Gaza, na kufikisha jumla ya miili 195 iliyorejeshwa chini ya makubaliano…
Twiga Stars yatakata, yanusa WAFCON
Matokeo hayo yanaifanya Twiga Stars ihitaji ushindi au sare ya aina yoyote katika mechi ya...
Taharuki yatanda kichanga chatupwa kwenye mfuko wa taka
Taharuki yaibuka katika mtaa wa Viwandani kata ya Mjini Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga...
Mashujaa yaibania TRA, ikiendeleza sare Ligi Kuu Bara
TIMU ya TRA United imeshindwa kutamba nyumbani kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora, baada ya leo Oktoba 22, 2025 kulazimishwa suluhu (0-0) dhidi ya Mashujaa, ikiwa ni sare…
Watu 20 wakamatwa Cameroon kwa kupinga matokeo ya urais
Cameroon inakabiliwa na sintofahamu kubwa kufuatia kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani waliokuwa wakijaribu kuandaa maandamano kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika hivi karibuni.
Maandalizi ya mkutano kati ya Trump na putin yanaendelea
Msemaji wa Kremlin Dimtry Peskov amenukuliwa akisema mkutano huo unaandaliwa vyema kwa sababu si Trump wala Putin anayetaka kuuharibu mpango huo na kupoteza muda.
Fufuni inavyong’ara Ligi Kuu Zanzibar
TIMU ya Fufuni kutoka kisiwani Pemba, imeendelea kuwa timu iliyopanda daraja msimu huu kushiriki Ligi Kuu Zanzibar kuwa na matokeo mazuri zaidi ya nyingine hadi sasa baada ya kuvuna alama…
ADC yaahid kusomesha wanafunzi kompyuta kuanzia maandalizi hadi chuo kikuu
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamed, amesema akichaguliwa na...
OMO: Sihofii kura ya mapema, nitashinda tu
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema hana...
Profesa Assad: Hali ya kiuchumi Tanzania ni nzuri
Profesa Assad, amebainisha hayo katika kongamano la kitaaluma la kujadili utekelezaji wa uchumi...
Marco Rubio kuitembelea Israel siku ya Ijumaa
Ziara hiyo inafanyika wakati utawala wa Rais Donald Trump ukijaribu kuimarisha makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza, yaliyofikiwa zaidi ya wiki moja iliyopita.
#HABARI: Taifa la Ujerumani kwa kushirikina na serikali wameanza mchakato wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira ikiwemo uchim…
#HABARI: Taifa la Ujerumani kwa kushirikina na serikali wameanza mchakato wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira ikiwemo uchimbaji haramu wa madini unaofanywa na baadhi ya watu katika vyanzo vya maji…
Uwanja wa ndege wa Khartoum washambuliwa kwa droni
Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Sudan ilikuwa imetangaza kufunguliwa kwa uwanja huo leo baada ya maandalizi ya kiufundi kukamilika, lakini kufuatia mashambulizi mapya, haijulikani kama shughuli zitaanza kama ilivyopangwa.
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa fedha za ujenzi wa Daraja la Jangwani tayari zimepatikana, na Serikali…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewaonya wananchi na makundi yote katika jamii kuepuka vitendo vyovyote vya vu…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewaonya wananchi na makundi yote katika jamii kuepuka vitendo vyovyote vya vurugu, uchochezi au uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika…
Wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika 2025 wajulikana
Mshambuliji wa Liverpool Mohamed Salah na beki wa Paris Saint-Germain Achraf Hakimi ni miongoni mwa nyota 10 walioteuliwa kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika wa 2025, waandaaji wa tuzo…
Watu 400,000 wanufaika na Tasaf, waanza kujitegemea
Zaidi ya watu 400,000 kutoka kaya maskini nchini wamenufaika na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini...
Vikosi vya Syria vyapambana na kundi la wanajihadi
Operesheni hiyo kaskazini-magharibi mwa Syria imesababisha mapigano makali, katika kile kinachotajwa kuwa shambulio la kwanza la serikali mpya ya Syria dhidi ya wanajihadi tangu kuondolewa madarakani kwa Bashar al-Assad
Kitambala ashindwe yeye tu Azam
KOCHA Florent Ibenge, amesema mshambuliaji wa kikosi hicho, Jephte Kitambala, kwa sasa anatakiwa kuwa na mwendelezo wa kufunga hali ambayo itamuongezea kujiamini zaidi.