Mradi wa UNDP wa Uchumi rejeshi kusaidia kunasua jamii kutoka kwenye umaskini
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) nchini Tanzania limeelezea jinsi warsha mbili ilizoendesha katika mikoa ya Tanga na Mtwara kuhusu dhana ya uchumi rejeshi zimeanza kuzaa…
Sudan Kusini yaahidi kutotumikisha tena watoto jeshini
Nchini Sudan Kusini, matumaini mapya yamechipua baada ya watoto waliokuwa wametumikishwa kwenye jeshi la nchi hiyo, SSPDF kuachiliwa rasmi katika hafla iliyoungwa mkono na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa…
Wafanyakazi wote 15 wa UN waliokuwa wakishikiliwa kwenye kituo cheke Sana’a sasa wako huru
Umoja wa Mataifa nchini Yemen leo umethibitisha kwamba wafanyakazi wote waliokuwa wkishikiliwa katika kituo cha Umoja wa Mataifa mjini Sana’a sasa wameachiliwa kuwa huru, baada ya mvutano ulioendelea kwa siku…
Mkutano wa WMO yachagiza kasi ya tahadhari za mapema zinazookoa maisha dhidi ya majanga
Shirika la Umoja wa Mataifa ka Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani WMO linaongeza kasi ya jitihada za kulinda maisha ya watu dhidi ya madhara ya mabadiliko ya tabianchi. Mkutano…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
Hitilafu ya Amazon yavuruga dunia
Hitilafu iliyotokea katika huduma za Amazon Web Services (AWS) leo Jumatatu Oktoba 20, 2025...
Mgeja ashauri amani, uzalendo kufundishwa shuleni
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeshauriwa kuanzisha masomo ya amani, uzalendo na...
Nottingham Forest kumtangaza kocha mpya wakati wowote
Sean Dyche huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Nottingham Forest baada ya mazungumzo...
Jamhuri ilivyomjibu Lissu pingamizi video ya hotuba yake
Leo Jumatatu Oktoba 20, 2025 Jamhuri imefafanua hoja moja baada ya nyingine na kuhitimisha kwa...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, amesema mkoa huo umejiandaa kwa kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyi…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, amesema mkoa huo umejiandaa kwa kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa amani na utulivu. Amesema maandalizi yote muhimu…
Yanga yaanza mchakato wa kusaka kocha mpya
Klabu ya Yanga nchini Tanzania iko kwenye hatua ya mpito baada ya kuachana na kocha mkuu Romain Folz kwa makubaliano ya pande zote kufuatia matokeo yasiyoridhisha ikiwemo kipigo dhidi ya…
Magonjwa yasiyoambukizwa, yakiwemo ya moyo na kisukari, yameelezwa kuendelea kushamiri mkoani Lindi
Magonjwa yasiyoambukizwa, yakiwemo ya moyo na kisukari, yameelezwa kuendelea kushamiri mkoani Lindi. Kutokana na hali hiyo, wakazi wa mkoa huo wameaswa kujitokeza kwa wingi kupata vipimo na matibabu ya kibingwa…
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Iringa limewahakikishia wananchi kuwa kuanzia sasa majanga ya moto na ajali yatadhibitiwa ip…
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Iringa limewahakikishia wananchi kuwa kuanzia sasa majanga ya moto na ajali yatadhibitiwa ipasavyo kutokana na uwepo wa mitambo ya kisasa. Kamanda wa Jeshi hilo…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi mjane Alice Haule hati ya umiliki wa nyumba waliyoimiliki na marehe…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi mjane Alice Haule hati ya umiliki wa nyumba waliyoimiliki na marehemu mumewe Justice Rugaibura, iliyokuwa katika mgogoro na Mohamed Mustapha.…
Trump amhimiza Zelensky kukubali masharti ya Urusi
Rais wa Marekani Donald Trump anamshinikiza rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kusalimisha baadhi ya maeneo ya nchi yake kwa Urusi.
Makundi ya Kijihad yasababisha vifo 77,000 Sahel
Makundi ya wenye itikadi kali katika eneo la Sahel barani Afrika yameongeza mara mbili wigo wa mashambulizi yao katika miaka ya hivi karibuni na sasa wanafanya operesheni katika eneo lenye…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
Israel yaruhusu tena misaada kuingia Ukanda wa Gaza
Israel imeanza kuruhusu misaada kuingizwa tena katika Ukanda wa Gaza.
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukene kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Luhende, ameendelea na kampeni za kunadi sera…
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukene kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Luhende, ameendelea na kampeni za kunadi sera kwa wakazi Kata ya Semembela iliyopo katika jimbo hilo akiahidi…
Kamanda wa Iran: Miundomsingi ya makombora haikupata ‘hata mkwaruzo’ wakati wa Vita vya Siku 12
Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, miundomsingi ya makombora na ulinzi imebaki imara kama ilivyokuwa kabla ya Vita vya Siku 12 na kubainisha kwa…
Kushner: Hamas ‘inatekeleza kwa nia njema’ makubaliano ya usitishaji vita Ghaza
Mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani, Jared Kushner, ambaye ni mmoja wa wapatanishi wake wakuu katika mpango wa kusitisha mapigano Ghaza, amesema harakati ya Palestina ya Hamas imekuwa "ikitekeleza…
Israel yaruhusu tena misaada kuingia Gaza
Israel imeanza tena kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika ukanda wa Gaza baada ya hapo awali kusitisha uingizwaji wa misaada hiyo kufuatia madai kwamba kulikuwa na mashambulizi ya kigaidi dhidi…
Mashambulizi ya wanamgambo yatanuka kanda ya Sahel
Wanamgambo wa itikadi kali katika kanda ya Sahel barani Afrika wamezidisha maradufu mashambulizi yao katika miaka ya hivi karibuni.
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahajiri 91 na kuopoa miili ya watu wengine wawili kutoka kwenye mashua iliyokuwa hatarini kupeperushwa kwenye pwani ya Kisiwa cha Lampedusa katika Bahari ya…
EL CLASICO
EL CLASICO Jumapili hii katika dimba la Santiago Bernabeu itapigwa EL Clasico, Real Madrid wakiwa wanaongoza msimamo wa Laliga wakiwa na alama 24 wanawakaribisha mahasimu wao FC Barcelona ambao wapo…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tingatinga, wilayani Longido, mkoani Arusha, wameeleza kupata matumaini mapya kuhusu e…
Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tingatinga, wilayani Longido, mkoani Arusha, wameeleza kupata matumaini mapya kuhusu elimu ya amali baada ya wanafunzi wa shule hiyo kubuni njia ya kutengeneza…
#HABARI: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, amemkabidhi mjane Bi
#HABARI: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, amemkabidhi mjane Bi. Alice Haule hati miliki ya kiwanja ilipo nyumba pamoja na kiasi cha shilingi milioni 10 kwa ajili…
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Tom Barrack, balozi wa Marekani nchini Uturuki na mjumbe maalumu wa masuala ya Syria, ametoa onyo la kutisha kwa Lebanon akiitaka ama iipokonye silaha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya…
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusimamisha vita katika mstari wa mapigano zilipo hivi sasa, pendekezo ambalo litaiwezesha Moscow kuhodhi sehemu kubwa ya maeneo ya…
Ferooz ahaidi makubwa, adai vishawishi vilimponza
Msanii mkongwe nchini, Feruz Mrisho 'Ferooz' amejitapa kurudi katika gemu la muziki kama...
“Mwajiri yoyote ambaye hatotekeleza agizo la serikali la kuongeza kima cha chini cha mshahara, wafanyakazi wanaweza wakamshtaki …
"Mwajiri yoyote ambaye hatotekeleza agizo la serikali la kuongeza kima cha chini cha mshahara, wafanyakazi wanaweza wakamshtaki katika mamlaka husika na jambo hili litatekelezwa hata kwa wale wasio na mkataba...,"…
Jeshi la polisi limesema litatumia mfumo mpya wa kidijitali katika ukaguzi wa vyombo vya moto katika wiki ya nenda kwa usalama b…
Jeshi la polisi limesema litatumia mfumo mpya wa kidijitali katika ukaguzi wa vyombo vya moto katika wiki ya nenda kwa usalama barabarani, utakaorahisisha mchakato mzima wa ukaguzi wa vyombo hivyo…
Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
Mwakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Basketball Africa League (BAL), Dar City, imefuzu hatua ya 16 bora ya mashindano hayo ya bara la Afrika, ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu…
Upekee wa Alikiba, Ben Pol kwa Darassa
Kwa takribani miaka 15 katika muziki wa Bongo Fleva, Darassa, ambaye anasimamiwa na menejimenti...
Mtoto wa Mjini – 9
Maafisa wa uhamiaji walikuwa ni wanaume watupu walionekana kuwa makini sana, walimchukua Muddy hadi katika chumba maalumu kwa ajili ya mahojiano wakitaka kujua undani wa safari yake kuja Uholanzi...
Chameleon akata mzizi wa fitna kwenye ndoa ya Bushoke Marekani
Mkongwe wa muziki Jose Chameleon kutokea nchini Uganda amekata mzizi wa fitina kuhusiana na...
Morocco yatwaa Kombe la Dunia U20 ikipita njia ngumu
Morocco imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia la Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya kuibuka...
Serikali ilivyomaliza sakata la nyumba ya mjane Mikocheni
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Kamati imehitimisha kuwa umiliki wa kiwanja namba 189 Msasani Beach...
Messi awapooza wachezaji Argentina
Nahodha na mshambuliaji wa kikosi cha wakubwa cha Argengina, Lionel Messi, ametuma ujumbe wa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
#MEZAHURU: Nini kifanyike kuzuia watu kujichukulia sheria mkononi wanapokamata mwizi au mhalifu yeyote?
#MEZAHURU: Nini kifanyike kuzuia watu kujichukulia sheria mkononi wanapokamata mwizi au mhalifu yeyote?
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nuru Kashakali, amewahakikishia wananchi wa kata ya …
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nuru Kashakali, amewahakikishia wananchi wa kata ya Itebula kuwa atahakikisha changamoto ya kituo cha afya na uhaba wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 20, 2025
Taifa Stars inahitaji mkakati wa pamoja
Hivi karibuni hatua ya makundi ya mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026...
Azam FC inachuma matunda ya uvumilivu
Ushindi wa mabao 2-0 ambao Azam FC iliupata, unaifanya ihitaji matokeo angalau ya sare ili...
Mtoto wa Mjini – 8
Mazingira yalimtisha na kuamini jamaa yake hakuwa tena mtu wa kawaida kama ambavyo alivyokuwa akimfahamu walipokuwa wakiishi pamoja Tanzania. Hivyo, Muddy hakutaka kumwambia ukweli alikozipata pesa zilizomfanya kufunga safari hadi…
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bwana Tundu Antipas Lissu inaend…
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bwana Tundu Antipas Lissu inaendelea leo Oktoba 20, 2025 katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya…
Mrithi wa Folz aanza kusakwa Yanga, Nabi aipa mbinu
Bodi ya Wakurugenzi ya Yanga chini ya Rais, Hersi Said imeanza haraka mchakato wa kumsaka Kocha...
Mtoto wa Mjini – 7
Saa nne usiku Muddy alifanikiwa kuvuka mpaka wa Tanzania na kuingia upande wa Kenya baada ya kufanya mahojiano mafupi na maofisa wa uhamiaji na kugongewa muhuri kwenye hati yake ya…