Akoni acheza kama Hakimi kwenye ishu ya maokoto
Mwanamuziki na mwigizaji maarufu kutoka Marekani, Akon Thiam amekumbwa na sakata jipya katika...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amewahakikishia wazee na wananchi wa mkoa huo usalama na amani wakati wa uchag…
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amewahakikishia wazee na wananchi wa mkoa huo usalama na amani wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika matembezi ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 15, 2025
Mtoto wa Mjini – 3
Hapo ndipo zilipozaliwa ndoto za kutafuta maisha bora ya Ulaya na kuwaingia akilini vijana wengi walioamini wangefanikiwa kimaisha kama wangefika katika mojawapo wa nchi za bara hilo.
Mtoto wa Mjini – 2
Kwanza hakutaka kuamini moja kwa moja kama dereva aliyekuwa naye alikuwa amemtoroka, aligeuka huku na kule, kisha alipiga hatua kadhaa kuufuata Mtaa wa Congo lakini hakuwa na matumaini...
Mtoto wa Mjini – 1
NDOTO za Muddy Manyara zilishafanikiwa. Tayari kila kitu kilishakaa kwenye mstari. Maisha alishayapatia baada ya kufika Ulaya na kuangukia katika mapenzi na mwanamke wa kizungu, Linnie, lakini akaleta utoto wa…
Uchaguzi wa urais Cameroon: Mashirika ya kiraia yakaribisha ‘maandalizi mazuri
Siku tatu baada ya uchaguzi wa urais wa Jumapili, Cameroon bado inasubiri matokeo rasmi. Mashirika manane ya kiraia, ikiwa ni pamoja na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Kibinadamu wa…
Michael Jackson alipitia haya baada ya kesi ya unyanyasaji wa kingono
Baada ya kupitia moja ya kesi kubwa zaidi katika maisha yake, mwaka 2005 marehemu staa wa...
DRC: Baadhi ya wapinzani wa Félix Tshisekedi wakutana Kenya
Kongamano hilo la siku mbili lililoitishwa na rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila aliyehukumiwa kifo nchini mwake hivi majuzi, mjini Nairobi, linawaleta pamoja wapinzani kadhaa wa Félix Tshisekedi pamoja…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 15,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 15,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
DRC: Kinshasa na AFC/M23 wakubaliana kuhusu mfumo wa kusimamia usitishwaji mapigano
Kundi la waasi la AFC/M23 na serikali ya Kongo wametia saini mfumo wa kusimamia usitishwaji mapigano mjini Doha siku ya Jumanne, Oktoba 14, 2025. Hii inachukuliwa kuwa hatua muhimu katika…
Takwimu za kushangaza kutoka kwa UM zinazohusiana na uharibifu uliofanywa na Israel Gaza
Dola bilioni sabini. Hivyo ndivyo Umoja wa Mataifa unakadiria ujenzi mpya wa Gaza unaweza kugharimu. Kiasi kikubwa sana, kinacholingana na uharibifu. Kwa kuwa sasa usitishwaji wa mapigano umeshafikiwa, mashirika ya…
Gaza: Donald Trump anasema Marekani ‘itawapokonya Silaha’ Hamas Iwapo hawatoweka chini slaha
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumanne kuwa Marekai “itawapokonya silaha” Hamas ikiwa hawatoweka chini silaha. Katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa, Hamasinaendesha kampeni ya ukandamizaji na imetoa video…
ACT – Wazalendo inavyojipambanua
Chama cha ACT - Wazalendo kimetoa Ilani ya Uchaguzi kwa Zanzibar, ikibainisha msimamo wake...
Senegal, Ivory Coast zafunga hesabu Kombe la Dunia kibabe.
Senegal na Ivory Coast zimekamilisha idadi ya timu tisa zitakazowakilisha Afrika katika Fainali...
Mambo sita pekee yanayoutofautisha uchaguzi mkuu wa 2025 na zingine
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025 unaandika kihistoria mpya inayoutofautisha na chaguzi...
Kampeni nyumba kwa nyumba zazua mjadala
Kipindi rasmi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kilianza Agosti 28, 2025 na...
Tunaelekea ukingoni, kura yako thamani yako kuwa makini
Agosti 28, 2025, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilipuliza rasmi kipyenga cha kuanza kwa...
UCHAMBUZI WA MALOTO: Hizi zingekuwa agenda za Nyerere Uchaguzi Mkuu 2025
Kutoka Oktoba 14, 1999 hadi ilipofika jana, Oktoba 14, 2025, ilitimia miaka 26 bila Baba wa...
Waandishi wasaidieni wapigakura
Kampeni zinazidi kupamba moto wakati muda unakwenda kwa kasi kama treni ya umeme. Tumebakiza...
Wabongo hatari walivyo mfyatua Fyatu asifyatuke akawafyatua
Nilirejea kwa mbambamba na mbwebwe na Bi Nkubwa na vitoi tulivyovitengezea huku lau ndugu...
Donald Trump anasema uungaji mkono wake kwa Argentina utategemea matokeo ya uchaguzi
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumanne, Oktoba 14, kwamba uungaji mkono wake kwa Argentina “kwa namna fulani” utatokana na matokeo ya uchaguzi ujao wa wabunge, ambao utakuwa…
🔴KUMEKUCHA: WATOTO WENYE KICHWA KIKUBWA NA MGONGO WAZI…OKTOBA 15, 2025
🔴KUMEKUCHA: WATOTO WENYE KICHWA KIKUBWA NA MGONGO WAZI...OKTOBA 15, 2025
Gaza: Mateka wengine wanne waliokuwa wamesalia wakabidhiwa shirika la Msalaba Mwekundu
Jeshi la Israel limetangaza jioni ya Jumanne, Oktoba 14, kwamba mateka wengine wanne ambao walikuwa bado wanazuiliwa na kundi la Palestina la Hamas huko Gaza wamekabidhiwa kwa Shirika la Msalaba…
Rais wa Syria al-Sharaa kuzuru Moscow Jumatano
Rais wa Syria Ahmed al-Sharaa anatarajiwa kuzuru Moscow leo kwa mazungumzo kuhusu mustakabali wa vituo vya kijeshi vya Urusi nchini humo na hatma ya Bashar al-Assad, aliyepinduliwa mwaka jana na…
🔴MAGAZETI: ASKOFU RUWA’ICHI ATOA UJUMBE MZITO / LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA…OKTOBA 15, 2025
🔴MAGAZETI: ASKOFU RUWA'ICHI ATOA UJUMBE MZITO / LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA...OKTOBA 15, 2025
Marekani, China zatupiana ada mpya za bandari
Mvutano wa kibiashara kati ya Marekani na China umechukua sura mpya baada ya mataifa hayo mawili kuanza kutozana ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji baharini.
Donald Trump atishia kusitisha ununuzi wa mafuta ya kupikia kutoka China
Rais wa Marekani Donald Trump ameikosoa China siku ya Jumanne, Oktoba 14, kwa kutonunua tena soya kutoka Marekani na kudai kuwa nchi yake inaweza, kwa kulipiza kisasi, kuacha kuagiza mafuta…
Waziri Mkuu wa Uhispania: Usitishaji vita hauipi kinga Israel ya kutoadhibiwa kwa mauaji ya kimbari ya Gaza
Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa makubaliano ya kusitisha vita Gaza yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Israel yasifanywe kuwa…
Israel yapokea miili ya mateka zaidi kutoka Gaza
Jeshi la Israel limepokea mabaki ya mateka wanne waliokabidhiwa na Hamas chini ya mpango wa kusitisha mapigano. Wakati huo huo, hospitali ya Gaza imethibitisha kupokea miili ya Wapalestina 45 waliorejeshwa…
#KIPIMAJOTO: Miaka 26 ya Kumbukizi ya Kifo cha Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere
#KIPIMAJOTO: Miaka 26 ya Kumbukizi ya Kifo cha Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere. Je, watanzania wanatunza misingi ya amani aliyoiasisi?
Madagascar: Wanajeshi wachukuwa madaraka baada ya rais kuondolewa na Bunge
Bunge la taifa la Madagascar limepiga kura ya kumuondoa Rais Andry Rajoelina kwa kura nyingi (130 kati ya wabunge 163) siku ya Jumanne, Oktoba 14. Katika taarifa iliyotolewa muda mchache…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 15, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 15, 2025
Jumatano, Oktoba 15, 2025
Leo ni Jumatano mwezi 22 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hijria mwafaka na tarehe 15 Oktoba 2025 Milaadia
Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu, Abbas Araghchi atazuru Uganda karibuni hivi kushiriki Mkutano wa 19 wa…
Rajoelina atangaza kulivunja Bunge la Madagascar akiwa ‘mafichoni’
Rais wa Madagascar anayesakamwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Andry Rajoelina ametangaza kulivunja Bunge kufuatia wiki kadhaa za maandamano dhidi ya serikali yake kote nchini, akisema ni muhimu kurejesha utulivu na…
India yaendelea kuwakamata Waislamu wanaosema ‘Nampenda Muhammad’
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameikosoa vikali serikali ya India kwa kuendelea kuwatia mbaroni na kuwashtaki Waislamu wanaoendeleza kampeni ya nchi nzima ya 'Nampenda Muhammad'.
Balozi: US inaihangaisha dunia kwa kisingizio cha kuleta ‘uhuru’
Balozi wa Venezuela nchini Iran, José Rafael Silva Aponte amesema Marekani inaihangaisha dunia nzima, ikiwa ni pamoja na Amerika ya Kusini, kwa kutumia kisingizio cha kuleta uhuru katika maeneo tofauti…
Mgogoro wa ukosefu wa makazi katika Umoja wa Ulaya; je, bara la Ulaya linaweza kuhuisha ndoto ya haki ya kijamii?
Umoja wa Ulaya unakabiliwa na idadi kubwa ya watu wasio na makazi inayoongezeka kwa kasi, mzozo ambao unachukua sura mpya kila siku.
Pacome na chama lake wafuzu Kombe la Dunia 2026
Kiungo wa Ivory Coast Pacome Zouzoua amekuwa staa wa kwanza kutoka Ligi Kuu Bara kukata tiketi ya kwenda kwenye Fainali za Kombe la Dunia akiwa kwenye kikosi cha Ivory Coast,…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 15, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Takriban watu saba wauawa kwenye mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za RSF nchini Sudan
Angalau watu saba wmeuawa Jumanne kutokana na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaliyotekelezwa na Kikosi cha Wanamgambo wa RSF, nchini Sudan, kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo na…
Afrika Kusini yafuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Rwanda
Afrika Kusini imekuwa taifa la hivi karibuni kutoka Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 baada ya kuichapa Rwanda mabao 3-0 siku ya Jumanne na kuongoza kundi C.
Uturuki yaingilia kati: Jinsi diplomasia ya Erdogan ilivyosaidia kufanikisha usitishaji vita Gaza
Kuwepo kwa mashaka na makubaliano yaliyoshindikana, hatua ya Uturuki kujiunga katika mazungumzo, ikiungwa mkono na diplomasia ya kibinafsi na wa kiintelijensia, iligeuza pendekezo lililoonekana kuwa dhaifu kuwa makubaliano yanayotekelezeka.
Uturuki imetuma “Meli ya Ukarimu” ya 17 yenye msaada wa tani 900 kuelekea Gaza
Uturuki imetuma “Meli ya Ukarimu” ya 17 ikiwa na tani 900 za misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza, ikiwa ni sehemu ya juhudi endelevu za misaada baada ya kusitishwa kwa mapigano.
Taifa Stars yachapwa tena, yamaliza dakika 540 bila ushindi
MABAO mawili yaliyofungwa Iran katika dakika 26 za kwanza, yametosha kuifanya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushindwa kuambulia ushindi kwenye mechi sita mfululizo ilizocheza sawa na dakika 540.
Afrika Kusini yafuzu Kombe la Dunia, Nigeria ikiichapa Benin
Usemi wa ‘anayecheka mwisho ndio anacheka sana’ umetimia leo Jumanne, Oktoba 14, 2025 katika...
Taifa Stars yalala kwa Iran, ikiendeleza ukame wa ushindi
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza mchezo wake wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya...
Madrid yadhamiria kumuuza Vinicius Jr Saudi Arabia
Real Madrid imedhamiria kumuuza winga wao wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Junior, 25, dirisha...