Mgombea wa Urais Coaster Kibonde wa Chama cha MAKINI ameahidi kuboresha sekta ya kilimo nchini ikiwemo kugawa bure pembejeo kwa …
Mgombea wa Urais Coaster Kibonde wa Chama cha MAKINI ameahidi kuboresha sekta ya kilimo nchini ikiwemo kugawa bure pembejeo kwa wakulima nchini kwasababu sekta hiyo inahusisha wananchi wengi. Taarifa ya…
Mgombea mwenza CCM aahidi watajenga meli kubwa ya mizigo Mtwara – Comoro
Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameahidi miradi...
Mgombea Urais wa Chama cha CHAUMMA, Salum Mwalim amewaahidi wapiga kura wa Kilosa mkoani Morogoro kuwa endapo atafanikiwa kushin…
Mgombea Urais wa Chama cha CHAUMMA, Salum Mwalim amewaahidi wapiga kura wa Kilosa mkoani Morogoro kuwa endapo atafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu ataunda serikali ambayo itashughulikia changamoto za muda mrefu za…
Mgombea Urais wa SAU, Majalio Kyara ameomba apewe siku 450 kwa ajili ya kufanya mageuzi katika sekta ya afya ili kupunguza chang…
Mgombea Urais wa SAU, Majalio Kyara ameomba apewe siku 450 kwa ajili ya kufanya mageuzi katika sekta ya afya ili kupunguza changamoto zinazowakabili wajawazito wakati wa kujifungua. Kyara aliyekuwa akiomba…
#HABARI: Barabara ya Morogoro – Dar es Salaam, imeshindwa kupitika kwa saa kadhaa na kusababisha foleni kubwa, licha ya magari k…
#HABARI: Barabara ya Morogoro - Dar es Salaam, imeshindwa kupitika kwa saa kadhaa na kusababisha foleni kubwa, licha ya magari kupita barabara za mchepuko kufuatia ajali iliyohusisha malori ya mizigo,…
#HABARI: Siku mbili baada ya wanaharakati wawili kutoka Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, kuripotiwa kutekwa nyara nchini Ugand…
#HABARI: Siku mbili baada ya wanaharakati wawili kutoka Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, kuripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda, na watu waliokuwa wamejihami katika mazingira ya kutatanisha baada ya kuhudhuria…
#MALUMBANO:”NINI FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI YA BANDARI YA BAGAMOYO, BOMBA LA MAFUTA AFRIKA MASHARIK…
#MALUMBANO:"NINI FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI YA BANDARI YA BAGAMOYO, BOMBA LA MAFUTA AFRIKA MASHARIKI NA UJENZI WA MIUNDOMBINU MINGINE?"
Vyuo vikuu vitano vyaungana kukabiliana na mabadiliko tabianchi
Watafiti na wahadhiri kutoka vyuo vikuu vitano wamekutana mjini Morogoro kwa ajili ya kutafuta...
Hii hapa sababu kuteketea moto Soko la Kawe
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limetaja chanzo cha moto ulioteketeza Soko la Kawe na hitilafu ya...
Wajasiriamali wahimizwa kutumia taasisi wezeshi
Wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo mkoani Mara wametakiwa kutumia fursa za uwepo wa...
Mageuzi ya mifumo CRDB yanavyofungua fursa mpya
Dar es Salaam. Mageuzi ya mfumo mkuu wa kibenki ya CRDB yametajwa kuwa hatua kubwa ya kimkakati...
Vijana wapatiwa mafunzo ya kilimo biashara kujikwamua kiuchumi
Vijana takribani 83,000 kutoka mikoa saba nchini wamepewa mafunzo ya kuendesha kilimo biashara...
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 02 , 2025 – HATUA ZACHUKULIWA KUSHUGHULIKIA MWENDO KASI DAR
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 02 , 2025 - HATUA ZACHUKULIWA KUSHUGHULIKIA MWENDO KASI DAR
TRA yakusanya Sh8.97 trilioni kwa miezi mitatu
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya Sh8.97 trilioni kati ya Julai hadi...
Riba ya BoT kwa mabenki kubaki asilimia 5.75
Matokeo chanya yanayoonekana katika shughuli za kiuchumi yametajwa kuwa kichocheo cha kiwango...
Mwalimu aahidi kushusha kodi vifaa vya ujenzi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi...
Vijana wawili wauawa katika maandamano Morocco
Waandamanaji wawili wameuawa na polisi nchini Moroco, katika maandamano yanayozidi kukua, ya kupinga namna serikali ya nchi hiyo inavyoshughulikia huduma za kijamii. Hivyo ni vifo vya kwanza kuripotiwa katika vurugu…
Dk Mwinyi: Msidanganyike kujitokeza siku ya kura ya mapema
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amewasihi...
Mfanyabiashara adaiwa kujinyonga Moshi, sababu yatajwa
Mfanyabiashara katika sekta ya utalii, Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai wilayani Moshi...
Tanzania yaanza afya kidijitali kuharakisha afya kwa wote
Maboresho mfumo utoaji leseni za madini kupunguza urasimu...
Maboresho mfumo utoaji leseni za madini kupunguza urasimu
Maboresho ya mfumo wa utoaji na usimamizi wa leseni za madini, yanatajwa kupunguza vitendo vya...
Mfalme Charles ashitushwa na shambulizi dhidi ya sinagogi
Mfalme Charles wa tatu wa Uingereza amesema ameshitushwa na kusikitishwa na shambulizi katika sinagogi moja mjini Machester Kaskazini Magharibi mwa Uingereza, lililowauwa watu wawili na kuwajeruhi wengine watatu.
Israel yatakiwa kuwaachia wanaharakati inaowazuilia
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameitolea wito Israel kuwaachia mara moja wanaharakati wanaoiunga mkono Palestina, akiwemo mjukuu wa rais wa kwanza wa taifa hilo Nelson Mandela.
Maandamano Antananarivo yasitishwa kwa saa 24
Waandaaji wa maandamano ya vijana ya kupinga serikali nchini Madagascar wameyasitisha maandamano hayo katika mji mkuu wa Antananarivo kwa saa 24, wakiwa na wasiwasi juu ya afya na nguvu ya…
UN yasema mapigano Sudan yawaangamiza 91 El Fasher
Umoja wa Mataifa umesema mashambulizi yaliyofanywa na wanamgambo wa RSF ndani ya siku 10 mwezi uliopita katika mji uliozingirwa wa El Fasher nchini Sudan yaliwauwa watu 91.
Dk Tulia aja na ahadi ya maboresho ya Tazara akitaja fursa muhimu kiuchumi
Mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson amesema...
Wauaji wawili Manchester, Starmer avunja mkutano wa Ulaya
Watu wawili wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulizi la gari na kisu nje ya sinagogi la Wayahudi kaskazini mwa Manchester. Waziri Mkuu Keir Starmer amerudi London kuongoza kikao cha dharura…
Tanzania imeahidi kuendeleza ushirikiano wa kijeshi na Misri ili kudumisha amani na kuongeza ujuzi baina ya nchi hizo
Tanzania imeahidi kuendeleza ushirikiano wa kijeshi na Misri ili kudumisha amani na kuongeza ujuzi baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt.…
Morocco: Makabiliano yazuka kati ya waandamanaji na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z
Maandamano yanaendelea nchini Morocco, kushinikiza mageuzi kuhusu namna huduma zinavyotolewa kwa wananchi, lakini pia kumaliza visa vya ufisadi. Imechapishwa: 02/10/2025 – 16:57 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…
Global Sumud Flotilla: Wanaharakati wanaoshikiliwa kurejeshwa Ulaya
Mamia ya wanaharakati, akiwemo Greta Thunberg, mwanaharakati maarufu wa mazingira kutoka nchini Sweden, wamezuiwa na maafisa wa usalama wa Israeli, baada ya kukamatwa kwa meli na boti zilizokuwa zinasafirisha misaada…
Sudan: Umoja wa Mataifa unataka hatua za haraka zichukuliwe kuzuia ukatili El-Fasher
Umoja wa Mataifa unataka hatua za haraka kuchukuliwa, kuzuia mauaji makubwa ya kikabila yanayoendelea kutekelezwa kwenye mji wa El-Fasher, Magharibi mwa nchi ya Sudan. Imechapishwa: 02/10/2025 – 16:30 Dakika 1…
Uingereza: Wawili wauawa katika ‘shambulio la kigaidi’ karibu na sinagogi Manchester
Watu wawili wameuawa baada ya kugongwa na gari lililolenga mkusanyiko wa watu na wengine kushambuliwa kwa visu, wakiwa kwenye maeneo ya Hekalu mjini Manchester nchini Uingereza. Imechapishwa: 02/10/2025 – 16:25…
Haiti: Zaidi ya watu 16,000 waliuawa katika ghasia tangu mwaka 2022, kulingana na UM
Zaidi ya watu 16,000 wameuawa tangu mwaka 2022 huko Haiti, kisiwa kilichokumbwa na ghasia za magenge, Umoja wa Mataifa umeonya leo Alhamisi, ukisema kwamba bila msaada wa kimataifa, “hali mbaya…
Unafahamu kuwa ‘Love Bite’ inaweza kusababisha kiharusi?
Love Bite, au alama nyekundu inayotokana na busu kali kwenye ngozi huzingatiwa kama ishara ya mapenzi, mara nyingi huwekwa shingoni na alama hii inabaki mwilini kwa muda.
Nguzo za kanisa zaporomoka Ethiopia na kuua watu 36
Takriban watu 36 waliuawa na zaidi ya 200 kujeruhiwa katika tamasha la kidini katikati mwa Ethiopia, wakati viunzi vya mbao vilipowaangukia ndani ya kanisa lililokuwa likiendelea kujengwa.
Rais wa Zanzibar, Dkt
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameungana na viongozi na waumini wa Kiislam katika dua ya kumrehemu hayati Ali Hassan Mwinyi. Dua hiyo iliyofanyika katika eneo alilozikwa Rais huyo…
EPC: Jukwaa jipya la mshikamano wa kisiasa barani Ulaya
Jumuiya ya Kisiasa ya Ulaya, imekuwa jukwaa muhimu la kukutanisha karibu mataifa 50 kujadili usalama, nishati na siasa. Kuanzia Prague 2022 hadi Copenhagen 2025, EPC imejidhihirisha kama chombo cha mshikamano…
Mgombea urais kupitia CCM, Dkt
Mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itaendeleza utalii Arusha kwa kuboresha miundombinu na kuongeza vivutio vipya, ikiwemo utalii wa michezo. Amesema ujenzi wa uwanja wa…
Kufuatia msiba wa mwana mazingira na mtafiti mbobezi wa uhusiano wa sokwe, binadamu na mazingira, Dkt
Kufuatia msiba wa mwana mazingira na mtafiti mbobezi wa uhusiano wa sokwe, binadamu na mazingira, Dkt. Jane Goodall ambaye utafiti wake zaidi ya miaka 50 kuhusu sokwe ulimpa heshima na…
Zelensky aionya Ulaya: Urusi yajaribu kuongeza moto wa vita
Rais Volodymyr Zelensky ameonya Ulaya kwamba mashambulizi ya ndege zisizo na rubani ni dalili Russia inataka kuongeza vita, akitoa uzoefu wa Ukraine kusaidia kujenga ulinzi. Je, Ulaya iko tayari kuzuia…
Dkt. Larijani: Marekani haina nia ya kufanya mazungumzo ya dhati
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa, Marekani haina nia ya dhati ya kufanya mazungumzo.
Maandamano makubwa Ulaya kupinga hujuma ya Israel dhidi ya msafara wa Sumud
Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika nchi za Ulaya kupinga mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya uvamizi wa meli ya msafara wa kimataifa wa Sumud.
Tanzania yakanusha ripoti ya HRW kuhusu ukandamizaji wa haki za binadamu
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekana madai kwamba ukandamizaji wa kisiasa umeongezeka nchini humo wakati taifa hilo linapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025.
Gazeti la New York Times lafichua jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan
Ripoti ya uchunguzi ya New York Times imefichua undumakuwili na kinga ya wanajeshi wa Marekani wanaotuhumiwa kwa uhalifu wa kivita nchini Afghanistan, ikihusisha kesi kama vile mauaji ya raia, utesaji…
Umoja wa Mataifa waidhinisha kikosi kikubwa zaidi kukabiliana na ghasia za Haiti
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha kikosi kikubwa zaidi cha usalama cha kimataifa kwa ajili ya Haiti kwa ajili ya kukabiliana na ghasia za magenge zinazoongezeka katika nchi…
Katibu Mkuu wa UN amelaani shambulio la kigaidi kwenye Sinagogi Manchester
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antnio Guterres amelani vikali shambulio la kigaidi lililotokea leo kwenye sinagogi la Heaton Park Hebrew Congregation huko Manchester, nchini Uingereza, ambapo watu 2 waliuawa…
Kikosi kipya kinachoungwa mkono na UN kukabiliana na magenge Haiti ni kipi?
Kadri magenge ya uhalifu nchini Haiti yanavyoendelea kupanua wigo wa maeneo wanayoyadhibiti na kuendeleza vitisho kwa raia bila kusita, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limechukua hatua madhubuti…
Lazima tupindue ukurasa wa hali Haiti na tunaweza: Mkuu wa OHCHR
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametoa onyo kali kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu nchini Haiti, akiiambia Baraza la Haki za…
Sudan: Türk ataka hatua za haraka kuwalinda raia na kuzuia uhalifu mkubwa wa El Fasher
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kuzuia mashambulizi makubwa ya kikatili yanayoendeshwa kwa misingi ya…
Namna UNCDF ilivyosaidia jamii kupata mtaji na huduma muhimu Rwanda, Burundi, Malawi na Zimbabwe
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuendeleza Mitaji, UNCDF, limeendelea kuwekeza katika kupunguza hatari za hasara za kifedha na kufungua fursa za mitaji nafuu kwa vijana, wanawake na sekta muhimu…