Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema… Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto … Rais wa Tanzania, Dkt “Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”
ASTV TANZANIA

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Rais wa Tanzania, Dkt

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani

June 19, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
ASTV TANZANIA
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
ASTV TANZANIA
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
Rais wa Tanzania, Dkt
ASTV TANZANIA
Rais wa Tanzania, Dkt
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
ASTV TANZANIA
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
ASTV TANZANIA
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
ASTV TANZANIA
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
Rais wa Tanzania, Dkt
ASTV TANZANIA
Rais wa Tanzania, Dkt
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
ASTV TANZANIA
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
Uncategorized

Wananchi waonyesha kuchoshwa na CCM kuelekea Oktoba 29

October 2, 2025 mjombazecoder

Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, wananchi wa Tanzania wameanza kutoa hisia kali dhidi ya CCM wakilalamikia huduma hafifu za kijamii. Je, sauti hizi za wazi ni…

Uncategorized

Makocha, Wachezaji waukataa mpira mpya Ligi Kuu Bara, Bodi ya Ligi yafunguka

October 2, 2025 mjombazecoder

Wamefunguka ,apungufu wanayoyaona kwenye mpira huo, Soma zaidi hapa

Uncategorized

Urusi haitambui vikwazo vya Umoja wa Mataifa kwa Iran

October 2, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa Vassily Nebenzia, amewaambia waandishi habari kwamba nchi yake haitambui vikwazo vya Umoja huo vilivyorejeshewa Iran.

Uncategorized

WHO: Ebola ilisababisha vifo vya watu 42 DR Kongo

October 2, 2025 mjombazecoder

Shirika la afya Ulimwenguni limesema mripuko wa Ebola uliotangazwa katika Jamhuri ya Kidemkokrasia ya Kongo, mwanzoni mwa mwezi Septemba umesababisha vifo vya watu 42

Uncategorized

Ulaya yajipanga upya kuhusu vita na usalama wa Ukraine

October 2, 2025 mjombazecoder

Karibu viongozi 50 wa Ulaya wamekutana Copenhagen kujadili vita vya Ukraine, usalama wa bara na changamoto za kiuchumi huku Rais Volodymyr Zelensky akitafuta msaada zaidi kufuatia kupungua kwa uungwaji mkono…

Uncategorized

Inaelezwa kuwa karne ya sasa, wanawake wengi huchelewa kuzaa kutokana na sababu mbalimbali kama masomo, kazi, biashara, na baadh…

October 2, 2025 mjombazecoder

Inaelezwa kuwa karne ya sasa, wanawake wengi huchelewa kuzaa kutokana na sababu mbalimbali kama masomo, kazi, biashara, na baadhi huanza kuzaa tu baada ya ndoa. Hali hii mara nyingine husababisha…

Uncategorized

Wanaharakati wa Sumud Flottilla kurejeshwa Ulaya

October 2, 2025 mjombazecoder

Msafara wa Sumud Flottilla wa takriban meli na mashua 45 ukielekea Gaza wazuiwa na wanaharakati wakamatwa na jeshi la Israel katika eneo la bahari la Kimataifa

Uncategorized

Ni ukweli wa wazi kuwa upendo na mshikamano kwenye familia huchangia kwa kiasi kikubwa sana mafanikio ya wana familia kiuchumi n…

October 2, 2025 mjombazecoder

Ni ukweli wa wazi kuwa upendo na mshikamano kwenye familia huchangia kwa kiasi kikubwa sana mafanikio ya wana familia kiuchumi na kijamii. Lakini isivyo bahati, katika baadhi ya familia mafanikio…

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani

October 2, 2025 mjombazecoder

Katika siku za hivi karibuni, Rais Gustavo Petro wa Colombia, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani na sera za utawala wake.

Uncategorized

Mwanamke mwenye umri wa miaka 36, makazi wa Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda – Morogoro, amefariki dunia akidaida kufanya ja…

October 2, 2025 mjombazecoder

Mwanamke mwenye umri wa miaka 36, makazi wa Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda – Morogoro, amefariki dunia akidaida kufanya jaribio la kutoa ujauzito. Nini kifanyike ili kuzuia matukio kama…

Uncategorized

Kufuatia malalamiko ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kuhusu huduma zisizoridhisha za mabasi ya mwendokasi, Rais Samia Suluhu…

October 2, 2025 mjombazecoder

Kufuatia malalamiko ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kuhusu huduma zisizoridhisha za mabasi ya mwendokasi, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza mabadiliko katika uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo…

Uncategorized

‘Kikosi kilichounganishwa’ cha AES kinaingia katika awamu yake ya uendeshaji nchini Niger

October 2, 2025 mjombazecoder

“FU-AES” inawakilisha kikosi kilichounganishwa cha Muungano wa Nchi za Sahel. Hili ndilo lilikuwa lengo la ziara ya Jenerali Abdourahamane Tiani mjini Bamako siku ya Jumanne, Septemba 30. Mkuu wa nchi…

HABARI ZA KIPEKEE

Jinai za Marekani wakati wa uvamizi wa Iraq

October 2, 2025 mjombazecoder

Jinai za Marekani wakati wa kuikalia kwa mabavu Iraq zilikuwa kubwa na mfano mchungu sana wa mauaji na uharibifu chini humo ambazo wavamizi wa Kimarekani walijaribu na hadi sasa wanaendelea…

Uncategorized

Jamii nyingi duniani zinakabiliwa na tatizo la ukatili na hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa ili kupunguza matukio hayo

October 2, 2025 mjombazecoder

Jamii nyingi duniani zinakabiliwa na tatizo la ukatili na hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa ili kupunguza matukio hayo. Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Ilala, Joyce Maketa ameeleza aina za ukatili…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Uchokozi wa Israel dhidi ya msafara wa Sumud ni ugaidi na ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa

October 2, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kitendo cha utawala ghasibu wa Israel cha kuivamia kijeshi msafara wa kimataifa wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Uchokozi wa Israel dhidi ya msafara wa Sumud ni ugaidi na ukiukaji wa wazi wa sheria wa kimataifa

October 2, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kitendo cha utawala ghasibu wa Israel cha kuivamia kijeshi msafara wa kimataifa wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran na Japan zafungua ukurasa mpya katika ushirikiano wa kisayansi

October 2, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran Hossein Simaee amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Iran Tamaki Tsukada kabla ya kufanya ziara huko Japan kwa lengo…

HABARI ZA KIPEKEE

Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu

October 2, 2025 mjombazecoder

Mitaa mbali ya Madagascar jana Jumatano ilishuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kujiuzulu raia wa nchi hiyo. Polisi ya nchi hiyo kwa upande wake walichukua hatua za kuzuia kuibuka ghasia katika…

HABARI ZA KIPEKEE

Somalia yaridhia katiba ya Afrika kuhusu haki na ustawi wa watoto

October 2, 2025 mjombazecoder

Bunge la Shirikisho la Somalia jana lilipasisha Mkataba wa Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto baada ya wabunge kukutana mjini Mogadishu.

HABARI ZA KIPEKEE

WHO: Mlipuko wa Ebola Kongo waonyesha dalili za kupungua maambukizi

October 2, 2025 mjombazecoder

Shirika la Afya Duniani( WHO) limetangaza kuwa mlipuko wa wa ugonjwa wa Ebola kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaonyesha "dalili za kupungua kwa maambukizi".

Uncategorized

Wananchi wameeleza maoni yao baada ya mabasi mapya ya mwendokasi ya kampuni ya MOFAT kuanza kutoa huduma kwa abiria wanaosafiri …

October 2, 2025 mjombazecoder

Wananchi wameeleza maoni yao baada ya mabasi mapya ya mwendokasi ya kampuni ya MOFAT kuanza kutoa huduma kwa abiria wanaosafiri kati ya Mbezi na Kimara, hatua iliyolenga kupunguza kero ya…

Uncategorized

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, ametoa rai kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya uharibifu …

October 2, 2025 mjombazecoder

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, ametoa rai kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya uharibifu wa miundombinu ya umma licha ya changamoto za usafiri zinazojitokeza,…

Uncategorized

Mtaalamu maarufu wa sayansi ya wanyama pori Jane Goodall afariki akiwa na umri wa miaka 91

October 2, 2025 mjombazecoder

Mwanaharakati wa mazingira raia wa Uingereza Jane Goodall, ambaye alikuwa mbobezi katika sayansi ya wanyamapori na hasa uhusiano kati ya sokwemtu na binadamu na kujipatia umaarufu mkubwa duniani kutokana na…

Uncategorized

Tanzania: Ukandamizaji unaozidi kutishia uchaguzi wa Octoba

October 2, 2025 mjombazecoder

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, katika ripoti yake inaishtumu serikali ya Tanzania kwa kuminya uhuru wa kisiasa, hatua ambayo inatilia shaka iwapo uchaguzi…

Uncategorized

Ethiopia: Karibu watu 40 na wengine 200 kujeruhiwa katika jengo la kanisa

October 2, 2025 mjombazecoder

Watu karibu 40 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa, baada ya kuangukiwa na fito na mbao za kushikilia jengo la Kanisa nchini Ethiopia. Imechapishwa: 02/10/2025 – 08:09 Dakika…

Uncategorized

Uganda: Wanaharakati 2 wa Kenya watekwa nyara nchini Uganda walipokuwa kwenye kampeni ya Bobi Wine

October 2, 2025 mjombazecoder

Wanaharakati wawili wa nchini Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, wameripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda katika mazingira ya kutatanisha. Imechapishwa: 02/10/2025 – 07:57 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya…

Uncategorized

Korea Kusini yakubali kuwajibika kwa kuasili watoto kwa njia mbaya

October 2, 2025 mjombazecoder

Korea Kusini imekubali kwa mara ya kwanza leo Alhamisi, Oktoba 2, wajibu wake wa kuasili makumi ya maelfu ya watoto waliotumwa nje ya nchi kwa njia mbaya “kupitia” wakati mwingine…

Uncategorized

Idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Ufilipino yafikia 72

October 2, 2025 mjombazecoder

Idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.9 kipimo cha Richter lililopiga katikati mwa Ufilipino siku ya Jumanne jioni imeongezeka hadi 72, kulingana na shirka…

Uncategorized

GSF inaendelea Gaza licha ya boti zake kuzuiliwa na Israel

October 2, 2025 mjombazecoder

Msafara wa meli, ujulikanao kama Global Sumud Flotilla (GSF), unaobeba misaada kuelekea ukanda wa Gaza ilutangaza mapema leo Alhamisi, Oktoba 2, kwamba unaendelea na safari yake kuelekea eneo lenye vita…

Uncategorized

Marekani kuipa Ukraine taarifa za kijasusi kutumika kwa mashambulizi dhidi ya Urusi

October 2, 2025 mjombazecoder

Marekani itapanga kuipatia Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi, maafisa wawili wamesema siku ya Jumatano, wakati nchi…

Uncategorized

Italia: Maandamano yazuka kufuatia kuzuiwa kwa meli za misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza

October 2, 2025 mjombazecoder

Vyama vya wafanyakazi vya Italia vimeitisha mgomo wa jumla siku ya Ijumaa kwa mshikamano na shirika la kimataifa la misaada kwa Gaza. Maandamano yalizuka katika miji kadhaa siku ya Jumatano…

Uncategorized

Israel yazuia msafara wa meli ya misaada kuelekea Gaza

October 2, 2025 mjombazecoder

Jeshi la wanamaji la Israel limekamata meli zilizokuwa zimebeba misaada kuelekea Gaza na kuwaweka kizuizini wanaharakati waliokuwa ndani, akiwemo mwanaharakati wa hali ya hewa wa Sweden Greta Thunberg. Imechapishwa: 02/10/2025…

Uncategorized

Madagascar: Vyama vya wafanyakazi vyaungana na vuguvugu la maandamano na Rajoelina ajiuzulu

October 2, 2025 mjombazecoder

Vyama vya wafanyakazi nchini Madagascar vinaongeza shinikizo kwa Rais Andry Rajoelina, wiki moja baada ya kuanza kwa vuguvugu la maandamano ambalo halijawahi kushuhudiwa linaloitikisa taifa hivi sasa. Mshikamano wa Vyama…

Uncategorized

WHO yatangaza vifo 42 kufuatia mlipuko wa hivi punde wa Ebola nchini DRC

October 2, 2025 mjombazecoder

Mlipuko mpya wa Ebola umekuwa ukiendelea tangu mapema mwezi Septemba nchiniJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika Mkoa wa Kasai. Kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), watu 42 wamefariki kati…

HABARI ZA KIPEKEE

Colombia yawatimua wanadiplomasia wa Israel kwa kuvamiwa msafara wa Sumud, yasema Trump ni wa kufungwa jela

October 2, 2025 mjombazecoder

Colombia imewafukuza wanadiplomasia wa utawala wa kizayuni wa Israel kwa uchokozi uliofanywa na utawala huo ghasibu wa kuuvamia kijeshi msafara wa kimaataifa wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda…

Uncategorized

Ripoti – Wanawake wanazidi kunyanyaswa kwenye mitandao

October 2, 2025 mjombazecoder

NAIROBI – Kadri matumizi ya mitandao yanavyoongezeka barani Afrika, wanawake na wasichana wanazidi kuripoti ukatili kutokana na matumizi hayo ya mitandao. Imechapishwa: 02/10/2025 – 04:56 Dakika 3 Wakati wa kusoma…

HABARI ZA KIPEKEE

Watafiti Watano wa Iran kutoka Taasisi ya Royan wamo kati ya asilimia 2 bora duniani

October 2, 2025 mjombazecoder

Watafiti watano kutoka Taasisi ya Royan nchini Iran wametajwa miongoni mwa asilimia 2 ya wanasayansi wanaonukuliwa zaidi duniani, kwa mujibu wa orodha iliyochapishwa na Chuo Kikuu cha Stanford.

HABARI ZA KIPEKEE

Uingereza imeipatia Israel zaidi ya risasi 100,000 ndani ya mwezi mmoja wakati wa mauaji ya kimbari Gaza

October 2, 2025 mjombazecoder

Uchunguzi wa hivi karibuni umebaini kuwa Uingereza iliukabidhi utawala katili wa Israel jumla ya risasi 110,000 katika mwezi Agosti, wakati jeshi la Israel likiendelea na vita ya mauaji ya kimbari…

HABARI ZA KIPEKEE

Russia: Hatua ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran haina uhalali, yavunja Mkataba wa UN

October 2, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Vasily Nebenzya, amesema kuwa hatua ya baadhi ya mataifa ya Magharibi kurejesha vikwazo kupitia utaratibu wa “snapback” dhidi ya Iran haina msingi wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa Nigeria atangaza ‘hali mbaya zaidi imepita’

October 2, 2025 mjombazecoder

Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ameadhimisha miaka 65 ya uhuru wa taifa lake kwa hotuba iliyojumuisha heshima kwa waasisi wa taifa na tathmini ya mageuzi aliyosema yameinusuru nchi yenye…

HABARI ZA KIPEKEE

Maduro: Venezuela si ‘koloni’, uchokozi wa Marekani utakabiliwa kwa mshikamano wa kikanda

October 2, 2025 mjombazecoder

Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameonya kuwa shambulio lolote dhidi ya taifa lake litakabiliwa kwa mshikamano wa mataifa ya ukanda, akisisitiza kuwa nchi hiyo katu haiwezi kuwa koloni wala kutawaliwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Kinachoifanya Russia ishikilie msimamo kwamba kurejeshwa vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran kunapingana na Mkataba wa UN

October 2, 2025 mjombazecoder

Russia imetangaza kuwa madai ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran hayana msingi wowote na hatua iliyochukuliwa na Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na suala hilo inapingana na Mkataba wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Alkhamisi, Oktoba Pili, 2025

October 2, 2025 mjombazecoder

Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Mfunguo Saba Rabiul-Thani 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 10 Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe Pili Oktoba 2025 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Leo Katika Historia, Alkhamisi, Oktoba Pili, 2025

October 2, 2025 mjombazecoder

Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Mfunguo Saba Rabiul-Thani 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 10 Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe Pili Oktoba 2025 Miladia.

Uncategorized

02.10.2025

October 2, 2025 mjombazecoder

Hali ya mambo katika maeneo ya Gaza City imechukuwa mwelekeo wa kuzusha wasiwasi mkubwa+++Hadi sasa mamlaka za Uganda zimesita kutoa taarifa kuhusu kukamatwa kwa wanaharakati wawili wa kisiasa raia wa…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 2,2025

October 1, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa

Uncategorized

Samia: Wananchi tukapige kura usalama ni mkubwa

October 1, 2025 mjombazecoder

Kulingana na Samia, wale wanaoshawishi kuvunja amani wana mahali pa kukimbilia wao na familia zao.

Uncategorized

KMKM yavuna Sh10.5 millioni, yaanza kuiwinda Azam kimataifa

October 1, 2025 mjombazecoder

MABAHARIA wa KMKM, wamefanikiwa kuvuna Sh10.5 millioni kutoka kwa Mkuu wa Kikosi cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), Azana Hassan Msingiri ikiwa sehemu ya kuipongeza timu hiyo kwa kuingia hatua ya…

Uncategorized

ZEC: Wapiga kura 8,325 Zanzibar wakosa sifa

October 1, 2025 mjombazecoder

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeidhinisha jumla ya wapiga kura 717,557 watakaoshiriki kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Uncategorized

KVZ, JKU hakuna mbabe ZPL

October 1, 2025 mjombazecoder

MECHI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyochezwa leo Oktoba 1, 2025 kati ya JKU na KVZ kwenye Uwanja wa Mao A mjini Unguja, imemalizika kwa sare ya mabao 2-2.

Posts pagination

1 … 941 942 943 … 992

Recent Posts

  • Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
  • Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
  • Rais wa Tanzania, Dkt
  • “Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
  • Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

ASTV TANZANIA

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Rais wa Tanzania, Dkt

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS