Mripuko wa Ebola: Kesi kumi na moja zathibitishwa nchini Kongo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inakabiliana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola, huku maafisa wa afya wakithibitisha kesi kumi na moja za ziada katika Ukanda wa Afya wa Bulape…
Mlipuko wa Ebola: Kesi kumi na moja zathibitishwa nchini Kongo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inakabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola, huku maafisa wa afya wakithibitisha kesi kumi na moja za ziada katika Ukanda wa Afya wa Bulape…
Sarkozy ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa uhalifu
Mahakama ya Paris jana Alhamisi ilimhukumu rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy kifungo cha miaka mitano jela baada ya kumpata na hatia ya njama ya uhalifu katika kesi aliyotuhumiwa…
Sababu zilizoifanya Colombia itoe wito wa aina yake wa kuundwa jeshi la kimataifa la kuikomboa Palestina
Colombia imetoa wito wa kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa kizayuni wa Israel.
Ijumaa, Septemba 26, 2025
Leo ni Ijumaa mwezi Tatu Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Septemba 2025 Milaadia.
26.09.2025
Syria inajiandaa kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa bunge baada ya kuangushwa utawala wa kidikteta+++Shambulizi la droni lililosababisha usumbufu katika viwanja vya ndege na kambi za kijeshi nchini Denmark limeibua…
26.09.2025 – Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Rais wa Marekani Donald Trump atangaza ushuru mpya na kufufua tena vita vya kibiashara++Mkurugenzi wa zamani wa FBI James Comey afunguliwa mashtaka ++Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupigia…
Taarifa ya Habari ya Asubuhi 26.09.2025
Rais wa Marekani Donald Trump atangaza ushuru mpya na kufufua tena vita vya kibiashara++Mkurugenzi wa zamani wa FBI James Comey afunguliwa mashtaka ++Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupigia…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 26, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Slovenia imemtangaza Waziri Mkuu wa Israel, Netanyahu kuwa mtu asiyestahili
Serikali ya Slovenia imetangaza Alhamisi kuwa imeamua kwa kauli moja kumpiga marufuku Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuingia nchini humo, ikikumbusha kuwa kesi zinaendelea dhidi yake kwa uhalifu wa…
Mahmoud Abbas: ‘Mashambulizi ya Oktoba 7 hayawakilishi raia wa Palestina’
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas ameuambia Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi kwamba mashambulizi ya Oktoba 7 “hayawakilishi raia wa Palestina,” akiikatisha tamaa Hamas kwa…
Donald Trump asema ‘hataruhusu Israel kuteka Ukingo wa Magharibi’
Donald Trump amebainisha siku ya Alhamisi, Julai 25, kwamba “hataruhusu Israel kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu,” hatua iliyotakiwa na mawaziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa…
UN: Haiti inataka uungwaji mkono zaidi katika “nchi iliyo kwenye vita”
Haiti, iliyoharibiwa na ghasia za magenge, ni “nchi iliyo katika vita,” ametangaza Laurent Saint-Cyr, Rais wa Baraza la Rais la Mpito la Haiti, katika Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi,…
Trump kuiondolea Uturuki vikwazo vya Marekani
Donald Trump amesema yuko tayari kuondoa vikwazo vya Marekani dhidi ya sekta ya ulinzi ya Uturuki “karibu mara moja” wakati akimpokea mwenzake, rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, siku ya…
Ecuador: Makabiliano kati ya wafungwa katika gereza moja yasababisha vifo kadhaa
Wafungwa wa magenge hasimu walikabiliana vikali Alhamisi katika gereza moja katika mji wa kaskazini-magharibi mwa Ecuador wa Esmeraldas, na kusababisha vifo vingi, kulingana na polisi. Imechapishwa: 26/09/2025 – 00:02 Dakika…
Changamoto zipi zinamsubiri rais ajaye wa Malawi?
Mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira na upungufu wa fedha za kigeni vimechochea hasira kubwa miongoni mwa Wamalawi, na kufungua njia ya kurejea kwa Peter Mutharika katika siasa. Je, urais…
Yanayoendelea Mashariki ya Kati
Watu 17 zaidi wameuawa katika Ukanda wa Gaza. Wanaharakati Wataliano walio kwenye msafara wa boti za misaada kwa ajili ya watu wa Gaza wakataa pendekezo la serikari yao.
Rais Zelensky atishia kuishambulia Ikulu ya Kremlin
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametishia kuishambulia Ikulu ya Kremlin ikiwa Urusi itaendeleza vita dhidi ya taifa lake.
Rais wa zamani wa Ufaransa Sarkozy afungwa miaka mitano
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, amesema ataikatia rufaa hukumu ya kifungo cha miaka mitano jela kwa tuhuma za kupokea ufadhili kutoka Libya katika kampeni yake ya urais ya…
Merz ahofia Ujerumani kumpoteza mshirika wake Marekani
Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani iko hatarini kumpoteza Marekani kama mshirika wake mkubwa kabisa na wa kumtegemea.
Slovenia yapiga marufuku safari za Netanyahu
Serikali ya Slovenia imepiga marufuku Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuingia nchini humo, hatua inayochochea zaidi mivutano ya kidiplomasia kati ya Ljubljana na Tel Aviv.
Mahmoud Abbas aikosoa vikali Israel kwa vitendo vyake Gaza
Rais wa Palestina amelihutubia baraza hilo kwa njia ya video na kuikosoa vikali Israel kwa vita vyake huko Gaza na kwa vitendo vyake katika eneo Ukingo wa Magaharibi, huku pia…
Meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania yaripotiwa kuzama
Meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania imeripotiwa kuzama kwa sehemu kusini mwa Kisiwa cha Kish nchini Iran, kwa mujibu wa shirika la habari la Tasnim.
Rais wa Mamlaka ya Palestina alikosoa kundi la Hamas
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesema kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Palestina mara vita vitakapokoma kwenye Ukanda wa Gaza na litalazimika kukabidhi silaha zake…
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas aikosoa kundi la Hamas
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas amesema kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Palestina mara vita vitakapokoma kwenye Ukanda wa Gaza na litalazimika kukabidhi silaha zake kwa Mamlaka…
NATO yasita kuikabili Urusi licha ya shinikizo la washirika
Baada ya ukiukaji wa anga ya NATO na ndege za Urusi nchini Poland na Estonia, mjadala mkali umeibuka miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo kuhusu iwapo wachukue hatua za moja…
Sarkozy: Kutoka Ikulu ya Elysee hadi jela
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, aliyeingia madarakani kwa kishindo mwaka 2007, anakabiliwa na anguko kubwa la kisiasa baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa ufisadi na…
Abbas: Hamas haitakuwa na nafasi kuongoza Gaza baada ya vita
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas amesema kwamba kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Gaza mara baada ya vita kukoma, akisisitiza kuwa mamlaka ya Palestina iko tayari kubeba…
Bado Watatu – 40
“Nilikuwa nimepitiwa na usingizi…” Hamisa akajibu. “Samahani. Nilikupigia muda huu kwa kuhisi kuwa umeshatoka kazini.” “Bila samahani. Nililala ghafla tu, sijazima televisheni wala taa… Kwema huko?”
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas kulihutubia UNGA
Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Palestina analihutubia leo Alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York kwa njia ya video.
Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa ushindi
Umoja wa Afrika umempongeza Peter Mutharika kwa kushinda uchaguzi nchini Malawi, pamoja na wanachi wa taifa hilo kwa kufanya kampeni za amani.
Macron akaribisha kauli ya Trump kuwa ‘Ukraine inaweza kurejesha miji iliyochukuliwa na Urusi’.
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amekaribisha ‘ujumbe wa wazi’ uliotolewa na rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye juma hili alionekana kubadili msimamo kuhusu vita ya Ukraine, akidai kuwa nchi hiyo…
Rais wa zamani wa Ufaransa Sarkozy akutwa na hatia
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy amekutwa na hatia na mahakama ya jinai ya Paris kwa baadhi ya makosa ya kesi inayohusiana na madai ya fedha za kampeni kutoka…
Ripoti: Visa vya saratani hatarini kuongezeka
Ripoti mpya iliyochapishwa hii leo na jarida la masuala ya tiba la Lancet inaonyesha idadi ya visa vipya vya saratani vitaongezeka kwa kasi kote ulimwenguni katikati ya karne hii.
Baghaei: Madai ya Marekani ya kuheshimu diplomasia ni chapwa na udanganyifu
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema katika kujibu madai ya Marekani ya kwamba eti iko tayari kufanya mazungumzo na Iran na kuheshimu diplomasia na kusema: Huwezi…
Maelfu waandamana Tunisia kuiunga mkono Ghaza
Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mikoa na miji mikubwa yote ya nchi hiyo kuunga mkono kundi la Global Fleet of Resistance na pia kuunga mkono mapambano ya kuhakikisha vita…
Jerusalem Post: Vipigo vya Yemen dhidi ya Israel havizuiliki
Baada ya Israel kushindwa kuzuia shambulio la droni la Yemen katika eneo la kusini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, gazeti la Jerusalem Post linalotoa nakala nyingi zaidi limekiri…
Hofu ya kutiwa mbaroni yazidi kumtia kihoro Netanyahu, ndege yake yakata masafa marefu
Ndege iliyokuwa imembeba waziri mkuu wa Israel ambaye ni maarufu kwa jina la nduli wa Ghaza na ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kujibu mashtaka ya jinai…
Zaidi ya wakimbizi 300 wa Rwanda wahamishwa DRC na kurejeshwa kwao
Rwanda imetangaza kuwa, jana Jumatano ilipokea wakimbizi 314 raia wa nchi hiyo waliorejeshwa Rwanda kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Shambulio la droni laua watu 15 sokoni El Fasher, magharibi mwa Sudan
Takriban raia 15 wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa katika shambulio la droni na ndege zisizo na rubani linalodaiwa kufanywa na RSF kwenye soko moja ndani ya mji wa El Fasher…
Israel yaendeleza mashambulizi katika Ukanda wa Gaza
Watu 11 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel katika Ukanda wa Gaza huku jeshi la Israel likiendeleza mashambulizi yake ya ardhini katikati ya mji wa Gaza City.
Kwa nini mazungumzo na Marekani hayana maana
Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa sababu mbalimbali kwa nini mazungumzo na Marekani hayana natija.
UN: Rais wa Palestina kuhutubia Mkutano wa Baraza Kuu
Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea kwa siku yake ya nne. Miongoni mwa watakaohutubia mkutano huo ni Rais wa Palestina Mahmud Abbas na mawaziri wakuu wa mataifa…
Ufaransa: Sarkozy akutwa na hatia kuhusu sakata la kufadhiliwa kifedha na Libya
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, amepatikana na hatia ya kupanga njama kuhusu sakata la kufadhiliwa na serikali ya Libya, wakati wa kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2007.…
Je, DRC inataka kupunguza mishahara katika sekta ya utumishi wa umma na ulinzi ?
Wakati mfumuko wa bei ukipungua katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), hali ambayo inaweza kuashiria kuboreka kwa hali ya uchumi, mamlaka zina wasiwasi kuhusu ukubwa wa mishahara ya serikali.…
Ufaransa, Ujerumani na Uhispania zatatizika kufikia makubaliano kuhusu mradi wa ndege za kivita
Ufaransa iko tayari kuunda ndege ya kivita ya siku za usoni ikiwa peke yake ikiwa mazungumzo na Berlin na Madrid yatashindwa kuhusu mradi wa baadaye wa ndege ulioandaliwa kwa pamoja,…
Vita vya Ukraine na faida nono kwa mashirika ya silaha ya Marekani
Vita vya Ukraine, vilivyoanza mwishoni mwa mwezi Februari 2022, vimeleta mabadiliko makubwa ya kijiografia na kisiasa ulimwenguni.
Iran yaonyesha taswira za ndani ya kinu cha nyuklia cha Israel, taarifa nyeti za wanasayansi na wataalamu 189 wa kijeshi
Kwa mara ya kwanza, Wizara ya Usalama ya Iran imeonyesha hadharani picha na taswira nyeti za ndani ya kinu cha nyuklia cha Dimona cha utawala wa kizayuni wa Israel.
Shambulio la droni la Yemen lajeruhi wazayuni 22 Eilat, wawili hali zao mahututi
Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi wa 22 wakiwemo wawili ambao hali zao…
Denmark: Ndege zisizo na rubani zonekana kwenye viwanja vya ndege kadhaa
Siku mbili baada ya ndege zisizo na rubani kuonekana juu ya anga ya uwanja wa ndege wa Copenhagen, ndege hizo zimeonekana usiku wa umatano kuamkia Alhamisi kwenye viwanja vinne vya…