Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira “Acheni Kumshambulia Baba Yangu”: Sky Victor Amtetea Tash Kufuatia Madai ya Pesa
TUKO SWAHILI NEWS

Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira

June 19, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

“Acheni Kumshambulia Baba Yangu”: Sky Victor Amtetea Tash Kufuatia Madai ya Pesa

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni
TUKO SWAHILI NEWS
Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni
CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro
HABARILEO
CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro
Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen
HABARI ZA KIPEKEE
Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen
Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira
HABARILEO
Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni
TUKO SWAHILI NEWS
Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni
CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro
HABARILEO
CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro
Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen
HABARI ZA KIPEKEE
Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen
Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira
HABARILEO
Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira
Uncategorized

Trump adai kuhujumiwa na teknolojia Umoja wa Mataifa

September 25, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa kulikuwa na "hujuma mara tatu" dhidi yake wakati alipokwenda makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York.

Uncategorized

Iran yasema haina dhamira ya kuunda silaha za nyuklia

September 25, 2025 mjombazecoder

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, ametangaza mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haina dhamira ya kuunda silaha za nyuklia huku zikiwa zimebaki siku chache kabla…

Uncategorized

25.09.2025 Matangazo ya Mchana

September 25, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea kwa siku yake ya nne leo+++Tume ya uchaguzi nchini Uganda imewateua wagombea 8 kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mapema mwaka…

Uncategorized

25.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

September 25, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, ametangaza mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haina dhamira ya kuunda silaha za nyuklia /…

Uncategorized

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 25.09.2025

September 25, 2025 mjombazecoder

Muhtasari: Rais wa Iran asema nchi yake haina lengo la kuunda silaha za nyuklia wakati akihutubia mkutano wa Umoja wa Mataifa. -Shambulio la droni lawajeruhi watu 20 katika mji wa…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 25, 2025

September 24, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa

Uncategorized

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa waendelea New York

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameuhutubia mkutano huo akizungumzia vinavyoendelea nchini mwake, ambapo ameonya kwamba Urusi inapanga kuvieneza vita kote barani Ulaya na kuutaka Umoja wa Mataifa kuingilia kati.

Uncategorized

Ukraine yashambulia mji muhimu wa bandari wa Urusi

September 24, 2025 mjombazecoder

Mzozo huo umeendelea kuchukua sura mpya ambapo Ikulu ya Urusi iliapa kuzidisha mashambulizi yake ya kijeshi nchini Ukraine na kuyatupilia mbali madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba nchi…

Uncategorized

Trump: Tunataka kumaliza vita katika ukanda wa Gaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Mkutano ulioandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya kukutana na viongozi kadhaa wa Kiarabu na Kiislamu ulilenga kutafuta namna ya kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza.

Uncategorized

Rais wa Malawi Chakwera akubali kushindwa katika uchaguzi

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais Chakwera alichukua utawala nchini Malawi katika uchaguzi wa 2020 wakati alipomshinda rais wa wakati huo Mutharika wa chama cha Democratic Progressive Party, DPP na ambaye anarudi tena katika kiti…

Uncategorized

Chakwera akubali kushindwa na mpinzani wake

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais Lazarus Chakwera amekubali kushindwa na mpinzani wake, Peter Mutharika, ambaye aliwahi kuwa rais kati ya mwaka 2014 na 2020 na anayebashiriwa kushinda baada ya kuzoa zaidi ya asilimia 60…

Uncategorized

Watu zaidi wauawa kwenye mashambulizi ya jeshi la Israel

September 24, 2025 mjombazecoder

Wapalestina zaidi wameuawa kwenye mashambulizi ya jeshi la Israel huko Gaza. Italia imelaani kushambuliwa boti za misaada pembezoni mwa Bahari ya Ugiriki na imepeleka meli ya jeshi la wanamaji kulinda…

Uncategorized

AI yatinga orodha ya changamoto kuu za dunia mkutano wa UN

September 24, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa umezindua mfumo mpya wa kudhibiti teknolojia ya Akili Bandia, AI, ikiwemo jukwaa la kimataifa na jopo la kisayansi. Je, hatua hii inaweza kudhibiti teknolojia inayokua kwa kasi…

Uncategorized

Zelensky na viongozi wengine wahutubia UNGA-80

September 24, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York - Marekani ambapo viongozi mbalimbali wanaendelea kuhutubia na kuelezea mambo mbalimbali yanaouzonga ulimwengu.

Uncategorized

Je nchi za Ghuba zitaunda mfungamano kama wa NATO?

September 24, 2025 mjombazecoder

Qatar ilishambuliwa na Israel hivi karibuni ikiwalenga viongozi wa Hamas waliokuwa wanakutana Doha kujadili uwezekano wa kusimamisha mapigano Gaza. Kati ya waliouwawa walikuwemo pia Waqatari.

Uncategorized

Ufisadi waipotezea Kenya mabilioni ya fedha

September 24, 2025 mjombazecoder

Ripoti ya Chama cha Walipa Ushuru kwa ushirikiano na Shirika la Oxfam Kenya na Shirika la Transparency International inasema Kenya hupoteza bilioni 253 za Kenya kila mwaka kupitia ufisadi na…

Uncategorized

Utapiamlo unasababisha aina mpya ya kisukari

September 24, 2025 mjombazecoder

Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la The Lancet Global Health unaonyesha kuwa zaidi ya watu milioni 25 duniani wanaishi na aina mpya ya ugonjwa wa kisukari unasababishwa na njaa.

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa Malawi akubali kushindwa uchaguzi wa rais hata kabla ya matokeo rasmi kutangazwa

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amekubali kushindwa katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo, akimtaja kiongozi wa zamani Peter Mutharika kuwa "mshindi mtarajiwa".

Uncategorized

Uchaguzi wa urais Malawi: Rais Chakwera akubali kushindwa na kumpongeza Peter Mutharika

September 24, 2025 mjombazecoder

Bila kusubiri matokeo rasmi kutangazwa, Rais anayemaliza muda wake Lazarus Chakwera, ambaye bado alikuwa akilaani udanganyifu katika uchaguzi jana, Jumanne, Septemba 23, amekiri kushindwa na kumpongeza mpinzani wake na mtangulizi…

Uncategorized

Nchini Kenya kujiua bado ni mwiko

September 24, 2025 mjombazecoder

Nchini Kenya, watu wanne hufariki kutokana na kujitoa uhai kila siku, kulingana na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO). Takriban majaribio 500 ya kujitoa mhanga hurekodiwa kila mwaka na polisi, idadi…

Uncategorized

Trump: Ukraine inaweza kurejesha maeneo yaliyotekwa na Urusi

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini Ukraine inaweza kurejesha maeneo yote yaliyotekwa na Urusi, akitaja hali mbaya ya kiuchumi ya Moscow kama fursa ya Kyiv kushambulia sasa.

Uncategorized

Iran yatakiwa kuchukua hatua kuhusu mpango wa nyuklia

September 24, 2025 mjombazecoder

Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza zimeitaka Iran kuchukua hatua madhubuti kushughulikia wasiwasi wa muda mrefu kuhusu mpango wake wa nyuklia, zikitahadharisha kuwa muda unayoyoma.

Uncategorized

DRC: Makundi yenye silaha yanatumia mtandao wa satelaiti ya Starlink kuratibu shughuli zao

September 24, 2025 mjombazecoder

Starlink, mtandao wa satelaiti wa bilionea Elon Musk, sasa ni sehemu ya vifaa vya wanajihadi wa Kiafrika na makundi ya waasi – huko Mali, Niger, na mashariki mwa DRC. Kulingana…

HABARI ZA KIPEKEE

Umoja wa Afrika na nchi za Sahel kurekebisha uhusiano

September 24, 2025 mjombazecoder

Mawaziri wa mambo ya nje wa Mali, Niger, na Burkina Faso wamefanya mazungumzo na Umoja wa Afrika kuhusu kurejesha ushirikiano, ikiwemo juhudi za pamoja za kupambana na ugaidi katika nchi…

HABARI ZA KIPEKEE

Amiri wa Qatar aitaja Israel kuwa ‘utawala wa kihuni’

September 24, 2025 mjombazecoder

Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, amelaani vikali vitendo vya Israel, huku akiutaja utawala huo kuwa wa "kihuni” kufuatia shambulio la karibuni lililolenga ujumbe wa mazungumzo wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa Colombia atoa wito wa kuundwa ‘jeshi la kimataifa’ kuikomboa Palestina na kukomesha mauaji ya halaiki Gaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kijeshi nchini Palestina, akisisitiza haja ya kuundwa kwa jeshi la kimataifa kwa ajili ya “kuikomboa Palestina” na kupinga “udikteta…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yakataa masharti ya kupunguza uwezo wa makombora yake

September 24, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa nchi hii itatetea kwa ari kubwa usalama wake wa kitaifa na haitakubali “masharti ya kudhalilisha” kama vile kuwekewa mipaka ya uwezo…

HABARI ZA KIPEKEE

Afrika Kusini yaitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki iamue kuwa Israel inatekeleza mauaji ya kimbari Gaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Afrika Kusini imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kutoa uamuzi rasmi kuwa mauaji ya kimbari yanatekelezwa katika Ukanda wa Gaza, na kuamuru kusitishwa mara moja kwa machafuko hayo, kwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi kutumia bidhaa za ndani?

September 24, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi wa nchi hiyo kuacha kutumia bidhaa kutoka nje na badala yake watumie bidhaa za ndani kufuatia kushtadi mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na…

Uncategorized

Guterres asema amani haiji Gaza mpaka vita visimame

September 24, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, amani ya kudumu huko Gaza haitawezekana kujengwa kwa kuendeleza ghasia.

Uncategorized

Félix Tshisekedi aishawishi Washington kuunganisha madini ya kimkakati na amani DRC

September 24, 2025 mjombazecoder

Félix Tshisekedi amewasili Marekani siku ya Jumanne, Septemba 23, kwa kikao cha 80 cha Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Rais wa Kongo ametumia fursa hiyo kufanya mikutano mingi ya…

Uncategorized

Mashambulizi ya Israel yaua watu 15 Gaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Mashambulizi hayo ya Israel ni mwendelezo wa operesheni yake ya kijeshi ya angani na ardhini kwenye mji wa Gaza na ambayo imewalazimu maelfu ya watu kuondoka katika maeneo hayo yenye…

Uncategorized

Vita vya Urusi na Ukraine vyakuchukua sura mpya

September 24, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dimtry Peskov, ameyasema hayo siku moja baada ya Trump kusema Ukraine inaweza kurudisha maeneo yake yote yaliyochukuliwa na Urusi kwa kuwa kwa sasa uchumi wake…

Uncategorized

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuendelea hii leo

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, Masoud Pezeshkian wa Iran na Ahmad al-Sharaa wa Syria wamepangwa kutoa hotuba zao mchana huu katika makao makuu ya umoja huo mjini New York, Marekani.

Uncategorized

Merz aitetea bungeni bajeti ya serikali yake

September 24, 2025 mjombazecoder

Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani inakabiliana na moja ya vipindi vigumu kabisa katika historia ya sasa, kufuatia misukosuko ya kilimwengu. Kwa mtazamo wa Merz bajeti ni muhimu kuimarisha uchumi wa…

Uncategorized

Israel yafunga kivuko cha Allenby, kinachounganisha Maeneo ya Palestina na Jordan

September 24, 2025 mjombazecoder

Israel imetangaza siku ya Jumanne, Septemba 23, kwamba Kivuko cha Allenby, ambacho kinaunganisha eneo hili la Palestina na Jordan, kitafungwa. Hii ina maana kwamba Wapalestina zaidi ya milioni tatu katika…

Uncategorized

Merz: Ujerumani ipo katika nyakati ngumu zaidi kwa sasa

September 24, 2025 mjombazecoder

Merz ameyasema hayo leo wakati akitetea bajeti inayopendekezwa na serikali yake kwa mwaka wa fedha wa 2026 katika mjadala mkuu wa bunge la Ujerumani, Bundestag.

Uncategorized

Tshisekedi: Mzozo wa DRC ni “mauaji ya kimbari”

September 24, 2025 mjombazecoder

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuutambua mzozo wa mashariki mwa nchi yake kuwa ni "mauaji ya kimbari yanayoendeshwa kimya kimya".

Uncategorized

Kutambuliwa kwa Palestina: Macron anataka kuendeleza majadiliano juu ya kusitisha mapigano Gaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Katika siku yake ya tatu mjini New York, na wakati wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambao ni muhimu hasa kwa Emmanuel Macron kufuatia tangazo lake la kutambua taifa…

Uncategorized

Japan: Utambuzi wa Palestina ni suala la muda tu

September 24, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa (AFP) – Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba siku ya Jumanne, Septemba 23, katika Umoja wa Mataifa, ametangaza kwamba Tokyo kulitambua taifa la Palestina ni suala la…

Uncategorized

Kremlin inaamini kwamba uhusiano na Washington kunatoa “matokeo karibu na sifuri”

September 24, 2025 mjombazecoder

Siku moja baada ya rais wa Marekani kubadili ghafla msimamo wake wa kuishambulia Urusi na kuiunga mkono Ukraine, msemaji wa rais wa Urusi Dmitry Peskov amesema kuwa “katika mahusiano yetu…

Uncategorized

Kiongozi Mkuu wa Iran afutilia mbali mazungumzo ya nyuklia na Marekani

September 24, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Mkuu wa Iran ametupili mbali mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani siku ya Jumanne kuhusu mpango wa nyuklia wa nchi yake, uwezekano wa kufunga mlango wa jaribio la…

Uncategorized

Bado Watatu – 39

September 24, 2025 mjombazecoder

“Muuaji huyu hapa,” Inspekta huyo akatuambia. Siwezi kusimulia mshituko nilioupata. Raisa alikuwa ametahayari vibaya sana. Aliinua macho yake mara moja akatutazama. Macho yake yalipokutana na yangu akayarudisha chini haraka.

Uncategorized

Bado Watatu – 38

September 24, 2025 mjombazecoder

Kwa msaada wa polisi wa usalama barabarani pikipiki ilikamatwa mara moja. Ilikutwa katika kituo cha bodaboda cha Kwaminchi. Mwenye pikipiki ndiye huyu hapa niliyekuja naye. Sasa nataka na yeye mumsikilize.”…

Uncategorized

Bado Watatu – 37

September 24, 2025 mjombazecoder

Alinipeleka katika chumba kimoja ambako nilimkuta mume wangu Sufiani akiwa pamoja na askari niliyemfahamu kwa jina la Sajin Meja Robert. Polisi hao walikuwa wamepata ushahidi kuwa siku ile lilipotokea tukio...

HABARI ZA KIPEKEE

Imam Khamenei: Mazungumzo na Marekani hayana maana yoyote

September 24, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepinga ombi la Washington la mazungumzo ya nyuklia na kusema kwamba hakuna taifa lolote huru na lenye heshima linaloweza kukubali…

HABARI ZA KIPEKEE

Araqchi: Shambulio la Israel-Marekani dhidi ya maeneo ya nyuklia ya Iran, sura ya giza kwa NPT

September 24, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya maeneo vituo vya nyuklia vya Iran ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Guterres afungua mkutano wa UN kwa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel Ghaza

September 24, 2025 mjombazecoder

Mkutano Mkuu wa 80 wa Umoja wa Mataifa umefunguliwa rasmi kwa hotuba ya Katibu Mkuu Antonio Guterres. Katika hotuba yake hiyo Guterres amesema kuwa, hati ya Umoja wa Mataifa na…

HABARI ZA KIPEKEE

Baqaei alaani vikali kuwekewa vikwazo wanadiplomasia wa Iran mjini New York

September 24, 2025 mjombazecoder

Ismail Baqaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikwali kitendo cha maafisa wa Marekani kuwawekea vikwazo wanadiplomasia wa Iran mjini New York.…

HABARI ZA KIPEKEE

Mapigano ya kijeshi yashadidi kati ya SAF na RSF magharibi mwa Sudan

September 24, 2025 mjombazecoder

Mapigano ya kijeshi yameongezeka katika siku za hivi karibuni kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko El Fasher, makao makuu ya Jimbo la…

Posts pagination

1 … 949 950 951 … 990

Recent Posts

  • Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni
  • CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro
  • Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen
  • Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira
  • “Acheni Kumshambulia Baba Yangu”: Sky Victor Amtetea Tash Kufuatia Madai ya Pesa

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

TUKO SWAHILI NEWS

Taharuki Nakuru! Watu 3 Wajeruhiwa Baada ya Mbunge Kudaiwa Kufyatua Risasi Shuleni

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa sherehe za Arbaeen

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS