SK2 / S02S9 Septemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa umeme wa maji barani Afrika / Jeshi la Israel limeagiza wakaazi wa Gaza City kuondoka mara moja wakati ambapo linazidisha mashambulizi makubwa kabisa kwenye Ukanda wa Gaza hadi pale kundi la Hamas litakapowachia mateka waliosalia.

https://p.dw.com/p/50DOD

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *