Josephat Charo

9 Septemba 2025

Waziri mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou kujiuzulu na serikali yake baada ya kuondolewa na bunge katika kura ya imani. Watu 2 wauwawa na wengine 16 kujeruhiwa Donetsk. Na Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer akutana na rais wa mamlaka ya ndani ya Wapalestina Mahmoud Abbas jijini London.

https://p.dw.com/p/50Be1

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *