Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaolenga kuzifufua juhudi za kuundwa kwa mataifa mawili kuendelea leo//Kongo imesema mkataba wa amani uliosainiwa kati yake na Rwanda haujasitisha mapigano mashariki mwa Kongo//Marekani imethibitisha kuwa italinda eneo la Jumuia ya Kujihami ya NATO dhidi ya ukiukaji wa usalama wa anga wa nchi wanachama wa NATO barani Ulaya, unaofanywa na Urusi.